ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

AFYA: SABABU 10 ZITAKAZOFANYA FIGO ZAKO KUFA-JANABI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 มิ.ย. 2024
  • Hizi ni sababu kumi ambazo zimeainishwa na mtaalamu wa Afya wa Hospitali ya Muhimbili Professor Janabi ambazo zinaweza sababisha figo zako kufa.
    #afya #figo #janabi #afyayako

ความคิดเห็น • 54

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kazi nzuri Prof ,acha kuwasikiliza akina Msukuma wasiojua hata kuchora picha ya moyo.

  • @ramseyngwejela499
    @ramseyngwejela499 หลายเดือนก่อน +2

    Magonjwa mengi kwa binadamu karibu asilimia 80 hutokana na mfumo wa vyakula. Kwa maana hii 1. Kula vyakula au vitu ambavyo havifai ktk mwili. 2. Kula vitu ambavyo si vyakula au vinywaji halisi. m.f. soda na juice bandia. 3. Tabia mbaya ya kula chakula wakati hauna njaa, yaani kula kwa kufuata saa. Kula chakula wakati mwili hauhitaji kula. Huu mfumo wa tabia hii ndio vyanzo vya magonjwa mengi ktk mwili wa mwanadamu.

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n หลายเดือนก่อน +3

    Kweli kabisa akiwa waziri atapoteza ufanisi wake.

  • @Anithasinga
    @Anithasinga หลายเดือนก่อน +5

    Nimeanza kunywa maji kwa wingi. Thanks doctor

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 หลายเดือนก่อน

      👍 Maji ni muhimu kwenye kila kitu kilichokuwa hai.

  • @salumissa3200
    @salumissa3200 หลายเดือนก่อน +1

    allah bless you prof. Janabi

  • @OscerShop
    @OscerShop หลายเดือนก่อน +13

    Mh. Rais uyu Prof. Janab anatakiwa ikikupendeza awe Waziri wa Afya atatusaidia Sana kwakua anauwezo mkubwa.

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 หลายเดือนก่อน +1

      Una hakika gani kuwa elimu hiyo inatoka kwake?
      Maana yawezekana anatafsiri toka mitandaoni tuu???

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 หลายเดือนก่อน +1

      Una hakika gani kuwa elimu hiyo inatoka kwake?
      Maana yawezekana anatafsiri toka mitandaoni tuu??? Na uwaziri sio maelezo tuu, ni utendaji kazi hasa, sio blaablaa za kina Riziwani!!!

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 หลายเดือนก่อน

      ​@@josephmasanja8584😂😂😂

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 หลายเดือนก่อน

      ​@@josephmasanja8584 chuki itakuuwa wewe. Huyo sio dokta wako Ndodi wa tiba za asili anayegoogle au mpiga ramli na manyanga wa pale kijijini kwenu, huyo ni profesa wa afya ya mwanadamu. Ni daktari bingwa na ameshahudumu kama daktari binafsi wa raisi. Kwa sasa ndiye anayesimamia uangalizi wa afya za watanzania wote kama mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya taifa ya Muhimbili. afya za watanzania zipo chini yake... uprofesa wake sio wa kupachikwa, kakaa darasani akasoma, bwege wewe!!

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 หลายเดือนก่อน

      ⁠@@josephmasanja8584Madaktari wote Duniani kama yeye ndio wanasema hayo hayo hata Madaktari wa China, India na Wazungu kwa jumla na hata wa Africa 😂😂😂 lakini nyiye wa Bongo lazima muwaponde Viongozi wenu wote. Sababu ya upungufu wa Elimu. Mambo ya ajabu kweli.

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana, Prof. Janabi.

  • @julianadaudi8541
    @julianadaudi8541 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa Somo zuri

  • @nathanmalangalila9791
    @nathanmalangalila9791 หลายเดือนก่อน +5

    Uwaziri ni nafasi ya kiutwala,yy anafaa kuwa kwenye uwanja wa mapambano kama hivi anavyofanya.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +2

    ALIPWE MSHAHARA MZURI 🎉❤

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri หลายเดือนก่อน +1

    Asante professor

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulaliki

  • @user-nh9pp8xe2g
    @user-nh9pp8xe2g หลายเดือนก่อน +2

    Nimekuelewa msomo Mungu akubariki sana bila nyie tuta kwama

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kumsupport Doctor wenu. Dr. Anakutakiyeni afya nzuri.

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz หลายเดือนก่อน +1

    Mashaaalah,janabi

  • @KiagoBakari
    @KiagoBakari หลายเดือนก่อน +4

    Prof wakupe tu wizara ya afya iliudhibiti vizuri eneolote la afya

    • @kheriakida3309
      @kheriakida3309 หลายเดือนก่อน

      Hapa ndipo wabongo tunapokosea, hawa ma professor, hawatakiwi kuwa wanasiasa wabaki kuwa wataalamu na washauri, bahati mbaya sana hatuwatumii kwa sababu tunadhani watakwamisha deal zetu, ukimpeleka kwenye siasa huyu utamchukia hawezi sema kitaalamu tena, wako ma professor wengi wameangamia baada kupewa uwaziri

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 หลายเดือนก่อน

      @@kheriakida3309Lakini kuna wana wa Siasa ni Wachochezi wa BAYA.

  • @hosseinmaina2444
    @hosseinmaina2444 หลายเดือนก่อน +1

    Prof Mungu akusaidie uishi miaka mingi unatuelimisha sana

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน +1

    Subuhanallah. Mtihani haya maladhi

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku หลายเดือนก่อน +1

    Wslevi wanted pombe na vilivi vyote ni wabishi mno.Tumsikilize sana Pr.Nyanabi.elimu anayoitoa tukiifuata ni uponyaji

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri Dr. Kwa elimu❤❤❤🎉🎉

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +1

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 หลายเดือนก่อน +1

    Ilitakiwa achaguliwe ndio awe waziri wa afya atatusaidia sana.

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 หลายเดือนก่อน +3

    Dokta sema unywaji wa pombe haufai kabisa waambie kweli iwe kidog owe nyingi .anaetaka achukue asietaka aendelee kunywa tu atakuona mbele huko alichokitafuta..

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 หลายเดือนก่อน

      Hahaha kweli kabisa mkojo wa ibilisi haufai uwe mdogo uwe mwingi

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku หลายเดือนก่อน +1

    Msukuma anafikiri kila kitu ni siasa.pia .Tuliotayari kusikiliza tufuate maelekezo

  • @VeronicaMalongo
    @VeronicaMalongo หลายเดือนก่อน

    I wish to understand if alcohol consumption is inherently likely to lead to kidney failure or if it's the resultant dehydration that leads to kidney disease? If the latter is the case, can we consume alcohol safely by consuming water too?

    • @DavidMutiba-hr3vo
      @DavidMutiba-hr3vo หลายเดือนก่อน +1

      Why not leave alcohol altogether, it's not food but a drug.If it risks your kidinies then it is poisonous and worth avoiding .

  • @NYANGHWALETV
    @NYANGHWALETV หลายเดือนก่อน

    YAANI ANAFAA SANA, WATU WANAFANIKIWA SANA KUPITIA VIDEO HIZI KAMA MAONI YA WATU WENGINE ANATAKIWA APEWE KIPINDI MAALUM KILA WIKI KWENYE CHANNEL ZOTE TZ KWA MUDA TOFAUTI ITASAIDIA SANA...

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 หลายเดือนก่อน

    Dah somo zuri, ili niweze kuepukana na matatizo! Hapo kwenye maji mimi inaweza pita hata wiki sijanywa maji

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 หลายเดือนก่อน

      Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 หลายเดือนก่อน

      Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 หลายเดือนก่อน

      Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

      Zambi. Kunywa pombe​@@josephmasanja8584

  • @deusswai3310
    @deusswai3310 หลายเดือนก่อน

    Kwa ma saa 24 mtu anatakiwa alale ma saa ma ngapi

  • @OthnoShezume
    @OthnoShezume หลายเดือนก่อน

    Kusafisha figa ni kias ndugu

  • @maase2023
    @maase2023 หลายเดือนก่อน

    Huyu profesa janabi profession yake ni moyo sasa anaongelea figo je ana utaalamu nazo???

    • @Allyhujjat
      @Allyhujjat หลายเดือนก่อน

      Ushasema professor sasa unauliza tena kwani ujui kuwa mpaka mtu anatibu moyo ni lazima ajue kuhusu viungo vingine ikiwa figo sababu tatizo la figo ndio lina sababisha tatizo la moyo

    • @maase2023
      @maase2023 หลายเดือนก่อน

      @@Allyhujjat kila kiungo na elimu yake ! Janabi fani yake aliosomea ni moyo ! Figo ina fani yake na elimu yake kama hujui taaluma ilivyo bora unyamaze tu! Ww unadhania ukiitwa profesa ndio unajua kila kitu????

    • @user-ru6xu4hb1d
      @user-ru6xu4hb1d หลายเดือนก่อน

      @Ally hujat.acha ujinga sasa tufahamjshe ww ulosomea Figo mpumbavu mkubwa

    • @maase2023
      @maase2023 หลายเดือนก่อน

      @@user-ru6xu4hb1d 😃😃😃😃😃 shidaaaa tupu dah! Mkisikia jina la profesa mnapagawa? Kila profesa ana kitengo chake acheni ujinga

  • @NYANGHWALETV
    @NYANGHWALETV หลายเดือนก่อน

    YAANI ANAFAA SANA, WATU WANAFANIKIWA SANA KUPITIA VIDEO HIZI KAMA MAONI YA WATU WENGINE ANATAKIWA APEWE KIPINDI MAALUM KILA WIKI KWENYE CHANNEL ZOTE TZ KWA MUDA TOFAUTI ITASAIDIA SANA...