Vifaa Muhimu vya Videography kwa Wanaoanza 2022

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Video hii inaelezea vifaa Muhimu kwa Beginners wanaotaka kuanza Videography. Kwa uzoefu wangu watu wengi tunapoanza huwa hatujiui tunaanza vipi katika upande wa kujifunza na vifaa vyake. Vifaa hivyo ni
    1:33 Camera
    7:44 Lens
    11:04 Camera Supports
    14:50 Sound
    19:07 Lights
    22:19 Software
    Premium Courses richstartz.gum...
    FOLLOW ME:
    Instagram: / richstartz​
    Twitter: / richstartz​
    Facebook: / richstatz​
    Email: rmaguluko@gmail.com

ความคิดเห็น • 120

  • @AbubakariShomari-zp7ef
    @AbubakariShomari-zp7ef 2 หลายเดือนก่อน

    Elimu ni kubwa sana hii ulioitoa kwa walionahamasa yakufanya wenyewe na wawekezaji au hata wajasiliamali wa makundi yote ubarikiwe sana mkuu

  • @Mwarobaini
    @Mwarobaini 2 ปีที่แล้ว +5

    Huwa ninajifunza sana mambo mhimu kutoka kwako. Big up.

  • @danielbetweli3519
    @danielbetweli3519 2 ปีที่แล้ว +4

    Shukran brother kwa somo lako
    Maana ha2kuwa n masomo haya hapo kwabla kwa kisw

  • @fedrisbeda3173
    @fedrisbeda3173 ปีที่แล้ว +1

    Respect brooo nilichoka kusikiliza wazungu kila mdaa

  • @USWAZITVONLINE
    @USWAZITVONLINE 2 ปีที่แล้ว +3

    Thanks kiongozi

  • @chiwaletvonline8999
    @chiwaletvonline8999 2 ปีที่แล้ว +3

    Miniseme shukrani sana sababu nimejifundisha vingi sana kwako na nina pata matokeo mengi mazur

  • @zengogospel
    @zengogospel 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana hii video nimeifanyia kazi na imenisaidia sana

  • @kimchannel5279
    @kimchannel5279 2 ปีที่แล้ว +1

    Habari kk mm naomba mawasiliano yko kupata taaluma zaidi

  • @FavorbJoseph-dz8yl
    @FavorbJoseph-dz8yl 5 หลายเดือนก่อน

    Nakubali Sana

  • @zackzack9730
    @zackzack9730 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana Bro👍👍👍

  • @fadhilimesso6033
    @fadhilimesso6033 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks

  • @Hompic_studio
    @Hompic_studio 2 ปีที่แล้ว +1

    You're the best 👌

  • @mwishobeatz4794
    @mwishobeatz4794 2 ปีที่แล้ว +3

    Mbonaa Hujataja Black magic kaka

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Blackmagic ni Pro Camera, ni nzuri sana ila sishauri beginner kuanza na camera hii ndiyo maana sija itaja katika list

    • @mwishobeatz4794
      @mwishobeatz4794 2 ปีที่แล้ว

      @@Richstartz na Hujawahi kuongelea Black magic pocket kabxa kaka

    • @mwishobeatz4794
      @mwishobeatz4794 2 ปีที่แล้ว

      @@Richstartz ukipata nafasi tuelezee tuielewe kaka

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      @@mwishobeatz4794 Sawa nitalifanyia kazi hilo hivi karibuni

  • @kazimilyvoice7
    @kazimilyvoice7 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakubali 🔥

  • @Jackson-oq1nv
    @Jackson-oq1nv ปีที่แล้ว +1

    Nisaidie kaka nashindwa kuwa director

  • @djcharzone740
    @djcharzone740 2 ปีที่แล้ว +1

    Vp bro

  • @berryprince5591
    @berryprince5591 ปีที่แล้ว

    Mmm.. Brother icho nikipaji.. Kihukweli

  • @muuhnaija
    @muuhnaija 2 ปีที่แล้ว +2

    asante kwa kuniongezea kitu🔥🔥

  • @Omix_production
    @Omix_production 2 ปีที่แล้ว +2

    Vitu muhimu vya kuzingatia ukihitaji kushoot cinematic scenes kwa kutumia kamera ya kawaida low budget camera

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 2 ปีที่แล้ว +2

    It's ma first time to know yo..Ila big up 💥💥🎶

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Thank you, hit subscribe button

  • @teendwasingo
    @teendwasingo ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥🔥

  • @dennisngela8311
    @dennisngela8311 2 ปีที่แล้ว +2

    hua najifunza vitu ngivi sana kutoka kwako kaka napenda sana kufanya video glaphy unanipa nguvu na mwanga najua one day nitafanya shukurani sana kwa mafunzo

  • @akhyhassan5398
    @akhyhassan5398 2 ปีที่แล้ว +2

    Nataka package za mafunzo, after effects tafadhali kama hutojali naomba mawasiliano yako.

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Rmaguluko@gmail.com

  • @chrisantushokororo8450
    @chrisantushokororo8450 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro natamani siku uelezee matumizi ya reflector ,na kila rangi ya reflector inatakiwa itumike vp,pia matumizi ya lights mchana ,huo ni ugonjwa wa maphotographer wengi hata wanaojiita ni wakubwa,toa elimu hiyo kaka tuzidi kusonga mbele kwenye hii game

  • @Joakimworkproduction
    @Joakimworkproduction ปีที่แล้ว

    Kweli tena

  • @ndaisengazoya8793
    @ndaisengazoya8793 ปีที่แล้ว

    Brother umetenda haki kwenye hii mada binafsi nakubaki balaa lako sio dogo, video zako ni maarufu sana youtube kila niomba k2 kinachohusu design lazima video zako zije, big up sana keep on kutuletea mambo mazuri.
    tuletee camera setting hili itatusaidia sana.

    • @Richstartz
      @Richstartz  ปีที่แล้ว

      Sawa nitalifanyia kazi

  • @nurumtula7182
    @nurumtula7182 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kaka kwa elimu yako

  • @bravotv8777
    @bravotv8777 2 ปีที่แล้ว +1

    Uko PW sana broo napenda unanifuza mengi coz nimetoka chini napambana. Ado ado unanipa moyo mno

  • @photobproduction
    @photobproduction 2 ปีที่แล้ว

    Kaka mungu akubariki maana mimi nimeguswa Sana na hili somo

  • @faidoninyondo
    @faidoninyondo 2 ปีที่แล้ว +3

    Mimi natamani kufungua yutyubu yakunipa faida je utanifungulia?

  • @facts-nm9bt
    @facts-nm9bt 2 ปีที่แล้ว

    Asanteh sana bro, naomba uelezee matumizi ya lighting mchana

  • @djkabby739
    @djkabby739 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka

  • @maratech1204
    @maratech1204 2 ปีที่แล้ว +1

    Ongelea vitu vya muhimu kwa photographer anae anza

  • @doyermaziwa6382
    @doyermaziwa6382 2 ปีที่แล้ว +1

    Macho respect kwako 🙏

  • @djcharzone740
    @djcharzone740 2 ปีที่แล้ว +1

    Naitaj mic ya bei rahisi bro napataje?

  • @al-saggaf8590
    @al-saggaf8590 ปีที่แล้ว

    Cano sigma lens 50mm 1:3.5-5.6 inakuwaje hii kwenye video

  • @akhyhassan5398
    @akhyhassan5398 2 ปีที่แล้ว +1

    Camera ulizotaja ni moving camera au stil camera.
    Hapa namaanisha inaweza kurekodi kwa vipande vipande au moja kwa moja bila kukata kata vipande.
    Tafadhal Rich nisaidie kwa hilo

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Hizi zina record moja kwa moja
      Vipande hukatwa katwa hakusababishwi na ya camera. Bali hukatwa kwa sababu ya uwezo wa Kadi ya camers na battery

    • @akhyhassan5398
      @akhyhassan5398 2 ปีที่แล้ว

      @@Richstartz
      Kuna camera tulikuwa tunatumia, hata ukiweka card ya 64 GB hurekodi dakika 30 kisha hukata na unalazimika kurekodi tena, utarudia kwa kadri ya uhitaji.
      Je, hilo halisababishwi na camera husika?

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      @@akhyhassan5398 Hio kadi haina uwezo. Uwezo wa kadi unapimwa kwa kuangalia Read speed, Write speed, File handling capacity. Kuna memory File halitakiwi lizidi 4GB ikizidi inajistop . Ushauri tafuta Premium Memory mfano Lexar ama Samsung Pro. Ila Ni expensive sana

  • @newtonnyema358
    @newtonnyema358 2 ปีที่แล้ว

    Napenda kuomba ufanye kufundisha kuhusu best computer capacity na specifications zake kwenye hii industry

  • @umenyagatv7163
    @umenyagatv7163 2 ปีที่แล้ว +2

    Ivyo vitabu vya mafunzo ya video editor unauza beigan

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Ni videos package sio vitabu. Bei ni 20,000 - 30,000

  • @jodanama3207
    @jodanama3207 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro niaje,VP kuwa director nilazma kwenda shule ? Yaan vyuo vya film maker

  • @GEGE8159
    @GEGE8159 2 ปีที่แล้ว

    Bro umeninjenga sana

  • @ayubutave4131
    @ayubutave4131 ปีที่แล้ว

    Kaka naomba msaada nikipate hicho kitabu ambacho ninaweza kupata somo zaidi

  • @damaleo5137
    @damaleo5137 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua kuhusu Camera ya Fujfilm nikianza na ukubwa upi itanifaa

  • @godloveelieza4330
    @godloveelieza4330 ปีที่แล้ว

    Hivi Rode mic Ina bei gani brother

  • @clevermaphotos
    @clevermaphotos 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ninayo 500D

  • @jeiseven9935
    @jeiseven9935 2 ปีที่แล้ว

    Izo koz zako nazipataje sasa broo

  • @directorwizles6192
    @directorwizles6192 2 ปีที่แล้ว

    naqbal kaka

  • @bestonesmo9348
    @bestonesmo9348 3 หลายเดือนก่อน

    Bro canon 4000d inafaa kwenye kuanza videography?

  • @daisythetech
    @daisythetech ปีที่แล้ว

    lense ipi nzur kwa canon M50 mark 2 kwa ajili ya youtube video ?

  • @ojaystephen
    @ojaystephen 2 ปีที่แล้ว

    Tuelezee kuhusu computer ipi ninafaa kwa mtu anae anzia,

  • @nyweleboy2832
    @nyweleboy2832 2 ปีที่แล้ว

    Kakae Mimi Nina kamera NIKON D3200 Hii inafaa

  • @djkabby739
    @djkabby739 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro WhatsApp nakuchek unipatie full course ya fl studio

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 ปีที่แล้ว +1

    Mimi Nina Canon 60D naomba USHAURI,au niipi kubwa inayofaa Kat ya hyo Canon 500 au 60 d?!

  • @dragonmusicproduction966
    @dragonmusicproduction966 2 ปีที่แล้ว

    Man nielekeze jinsi ya kuapload mziki boom play

  • @sunsetstudioz
    @sunsetstudioz 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka
    Naomba utufunze swala la
    CINEMATIC LIGHTING
    hata kama hii comment haitapew kipaumbele ila naomba sana

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Nitalifanyia kazi hilo

  • @director_ggxstudio3297
    @director_ggxstudio3297 2 ปีที่แล้ว

    Steadicam iko vipi hapo mkuu

  • @onearmyonlinetv4918
    @onearmyonlinetv4918 2 ปีที่แล้ว

    Mimi ningependa uzungumzie namna ya kufanya seting za camera

  • @geofreyj.1986
    @geofreyj.1986 2 ปีที่แล้ว

    Hauwez amini nilikuwa nahangaika kusearch kwa kingereza napata ugumu kuelewa asaante bro nashukuru sana namba ako inapatikanaje

  • @loinkivuyo838
    @loinkivuyo838 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka naona hujazungumzia aina ya pc ambazo unapendekeza kwa video editing

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Next time nitalizungumzia

  • @bracketshow2772
    @bracketshow2772 2 ปีที่แล้ว

    Unauzaje hizo package za kukifunza?

  • @tanzaniatest4529
    @tanzaniatest4529 2 ปีที่แล้ว

    Kaka rich ....iyo camera uliyorecodia hii content ni aina ipi pamoja na lens uliyotumia ?

  • @talibhaji6866
    @talibhaji6866 2 ปีที่แล้ว

    Memory nzur Kwa camera ni ipi natumia nikkon d5500

  • @frankfintan9496
    @frankfintan9496 2 ปีที่แล้ว

    Mzee nakubali sana naweza kupata namba zako tafadhali?

  • @franklinbernard4367
    @franklinbernard4367 ปีที่แล้ว

    naomba namba yako kaka

  • @zengogospel
    @zengogospel 2 ปีที่แล้ว

    Kwa kutumia mice Kama yako hiyo unategemea uwe na kitu gani ili inase sauti ama inakwenda kwa camera moja kwa moja?

  • @jodanama3207
    @jodanama3207 2 ปีที่แล้ว +1

    Package ya premiere pro na after effects ni bei gan

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      20,000 Premiere Pro. After effects 30,000

    • @ABELVILTV
      @ABELVILTV ปีที่แล้ว +1

      Nahitaji naipataje?... May i get your whatsap number?

    • @Richstartz
      @Richstartz  ปีที่แล้ว

      0714 250 356

  • @geofreyj.1986
    @geofreyj.1986 2 ปีที่แล้ว

    Kaka namba ako inapatikanaje

  • @mziwandabasketball4695
    @mziwandabasketball4695 2 ปีที่แล้ว

    Vitu vya kuzingatia ukiwa location unashoot video yani setting za kuandaa light iweje kwa muda flani aina za kushoot video na vingine vingi tu please🙏

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Sawa nitalifanyia kazi

  • @charlesemmanuel1717
    @charlesemmanuel1717 2 ปีที่แล้ว +1

    Ni camera ipi nzuri Kwa matumizi ya picha Kwa kazi ya photography?

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Inategemea na budget yako iko kwa kiwango gani ila zipo nyingi

    • @charlesemmanuel1717
      @charlesemmanuel1717 2 ปีที่แล้ว +1

      @@Richstartz Ndo nataka nianze kazi ya photography lakini Nina uwezo wa kupata laki 8

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      @@charlesemmanuel1717 Nunua Canon 550d ama Canon Rebel T2i itabaki chenchi nunua lens ya 50mm

    • @charlesemmanuel1717
      @charlesemmanuel1717 2 ปีที่แล้ว

      @@Richstartz sawa broo

  • @fabianbakari7916
    @fabianbakari7916 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka richstat ivi package ya premium pro na after effect umezielezea kwanjia ya video au umeandika?

  • @sjmahona
    @sjmahona 2 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji mawasiliano tu kaka nipate hizo causes

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      0714 250 356

    • @sjmahona
      @sjmahona 2 ปีที่แล้ว

      @@Richstartz sawa kaka

  • @alhudhaify7810
    @alhudhaify7810 ปีที่แล้ว

    Huwezi kuchukua video bila lens?

    • @Richstartz
      @Richstartz  ปีที่แล้ว

      Unaweza ila video itaonyesha BLACK or WHITE kwa sababu lens ndiyo kitu kinachopima na kuruhusu kiasi gani mwanga uingie ndani ya camera

    • @alhudhaify7810
      @alhudhaify7810 ปีที่แล้ว

      @@Richstartz ok, thanks

  • @ANUARYTz
    @ANUARYTz 9 หลายเดือนก่อน

    Bar boss naomba nambako ya whatsapp

  • @ibrahmdazur1256
    @ibrahmdazur1256 2 ปีที่แล้ว

    Vp hali Kaka,naitaji nipate whatsapp namba ya kwako Kaka

  • @mufarijikasilembo2481
    @mufarijikasilembo2481 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka naomba number whatsapp yako

  • @mbashastudio-nyimboasili7157
    @mbashastudio-nyimboasili7157 2 ปีที่แล้ว +1

    Hallo Rich. Mi Naitwa Robert Mbasha naishi Kahama, Kagongwa Shinyanga. Uliwahi kuja kwa kijana wangu Migera hapa kagongwa bahati mbaya sikuwepo kwangu lilikua pengo kubwa ajabu nilitamani sana nikuone, kwa kifupi kama hautajali naomba no. yako nitext kwa 0754 440961, tufanye biashara mzee wangu

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Nitumie ujumbe Rmaguluko@gmail.com

    • @mbagaherbal4796
      @mbagaherbal4796 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@RichstartzBrother Habari za Muda huu! Naomba Tuwasiliane, ili nipate msaada zaidii.

  • @ANUARYTz
    @ANUARYTz 9 หลายเดือนก่อน

    Bar boss naomba nambako ya whatsapp