Mbinu za kupata Masaa 4000 na Subscriber 1000
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ค. 2024
- Katika Video hii nimeelezea mbinu za kupata Masaa 4000 na Subscriber 1000 ndani ya muda mfupi ili uweze ku apply monetization
0:00 Utangulizi
1:38 Mbinu ya Kwanza
3:50 Mbinu ya Pili
5:48 Mbinu ya Tatu
10:50 Mbinu ya Nne
13:20 Ushauri wa Mwisho
Programu za ku design Thumbnails
1. Adobe Photoshop
2. Canva.
TH-cam Channel Management Toolkit
1. TubeBuddy
2. VideoIQ
FOLLOW ME:
Instagram: / richstartz
Twitter: / richstartz
Facebook: / richstatz
Email: rmaguluko@gmail.com
Mimi karibu kila siku, wakati mwingine na upload mbili kwa siku
Asante, ila hukusisitiza kuwa vigezo vya 1000 subscribers na 4000 watch hours VINATAKIWA VIWE REACHED KWA MWAKA MMOJA SINCE UMEFUNGUA TH-cam CHANNEL YAKO! Asante kwa elimu brother.
Asante sana kwa somo nimekupata vizuri sana
Nice
Unafundisha vizuri sana kaka
Naomba tuwasiliane tufanye kitu cha maendeleo🙏🏽
Shukran sana kwa Darasa Bro 🙏🙏
Asante na Ubarikiwe
@@Richstartz Hata wew pia
Maybe one day na Mimi Nitafikia monetazation dah! Mambo Ni Moto yani nitayafuata mafunzo yako Bro yatanisaidia kwakweli.
Kila la heri
unapatikana wapi ndugu
asante sana mwalimu wetu
ENJOY
Darasa Zuri Sana 🙏🙏🙏
Shukrani
Sanaaaaa mkuuu
@@fredymastory6208 ✊🏼✊🏼
Asantee kaka richstar nimejifunza vingi kwako had sasa nikushukuru mungu azidi kukubarik kwa msaada wako
Asante sana
bro nimejifunza vingi
Sana kaka 💕💕💕🎉🎉
Advice is on top
Asante sana
Ahsante brother
Asante kwa elimu🤗🤗🤗
Ahsante sana
Asante sana
Asante sana mwamba nakufuatilia muda mrefu una madini yakueleweka🙏🙏🙏
Asante sana kk
Inakuwaje mzee Wangu Richstar
Salama mzee wangu Upo ?
Ongera bro
Vizuri sana mkuu
Asante sana
@@Richstartz najifunza mengi toka kwako ubarkiwe sana
ndonamimi naanza kaka asante kwa ushaur wako🙏
Thanks
Asante kwa kaka
Nakubal bro
Brother naomba unijibu nataka kujua masaa 100 miamoja ni sawa na views wangapi 🙏🙏🙏 naomba nijibu
Zinajumlishwa dakika wanazo tumia watizamaji wako so inategemea pia na ulefu wa video zako
We jamaa unaelekeza vizuri mno.
Bonge la darasa big up bro
Thanks brother
You ARE WELCOME
@@Richstartz hello with forgiveness I would like you to help me with the color theme in premiere pro please. greetings from equatorial guinea
I NEED PROFESSIONAL HELP AND YOU ARE
asante sana kaka
Thenks
Respect master
Tupo pamoja
Your great
Nimekuelewa kaka
Unyama broooh
Mkuu ili uwe monitezed wanaangalia masaa kwenye life time au yanayoonekan kwenye dashboard kwa wakat huo?
ni kweli lakin
Broo mimi nina miaka mi 3 mwaka huu ndo nime fikisha masaa 4000 ila subscribe ni 2.7k je naweza monetaize
A.alaykum, kaka nahitaj msaada kuweza kurecieve PIN from Google adsense
Brother nitumie number yako
Asante sana. Naomba namba yako tafadhali
Good
Thanks
Kaka,naomba promotion tafadhali ,nimekwama kwa 3 subscribers
Unatak utangaziwe au
Yes
Code toka Google itapatikana kivipi ?
Inatumwa katika Bahasha
Daa bro jinsi ya kutengeneza video kwa kutumia simu
Naomba mwelekezo wa ku apload TH-cam shorts tafadhali
Mbn rahis tu
sawa
Na kama unataka uone history ads
SAwa kaka
Unaeleweka baba
Hivi comedy za video cover hiyo content inakubalika na TH-cam?
Kama Content zote ni zako Original haina shida
Brother sorry naomba kuuliza masaa 100 miamoja ni sawa na views wangapi ??🙏🙏
xaxa kaka ivi ukiwa una subscribe 100 na ukapata views100,000 ivi unaweza ukaanza kulipwaa
Hujakiz vigezoo
Hapana
Waooo
Sawa
😮😮
Pow
Hapa mkuu penyewee
Shukrani sana
Naomba namba zako kaka tafadhali
je nawezakuwa na chanel 2
Ninzuri sana ila niele weshe vizuri kwaku post siku nzuri yaku post na saa nzuri please ni jibu
hello with forgiveness I would like you to help me with the color theme in premiere pro please. greetings from equatorial guinea
I NEED PROFESSIONAL HELP AND YOU ARE
Send me email to rmaguluko@gmail.com
good
Hiiii sorry naomba unipatie no yk wht up nataka kuongea n ww khs ki2fulan plz
instagram.com/richstartz
Nina yotininamba garama shilingingap
Kaka Mkubwa, naomba msaada wa namna ya kupromote video TH-cam
Unataka kutumia TH-cam Paid Ads ama ?
@@Richstartz ndio mkuu
@@selaalpha1384 Unataka ufanye promo ya kitu gani
Video za Mafundisho ya Neno la MUNGU
@@selaalpha1384 lengo lako la kupromote ni nn viewers, subscribers, $ Au watch hours?
Nime vutiwa Mno Na somo Lako
Naomba namba zako kaka
Mkuu natumia Camtasia studio lakini napata changamoto ya sauti. Natumiaa Logitech USB headset 540
Ukiwa una records una kumbuka ku set default Audio input device ?
@@Richstartz yes nachagua hiyo Logitech 540 kwenye Camtasia.
@@Richstartz unatumia software gani kuandaa video zako?
@@LayersPro Ku record tutorial natumia Camtasia, Ku edit video nilizoshoot natumia Premiere Pro
@@Richstartz hizo software ni free au zikulipia
sasa una maanisha video za namna gani mziki au video yoyote ya vichekesho
Asante bro ila nilikuwa na shida ya namna spelling za hizo app zinavo andikwa
Programu za ku design Thumbnails
1. Adobe Photoshop
2. Canva.
TH-cam Channel Management Toolkit
1. TubeBuddy
2. VideoIQ
@@Richstartz ahsante sana🙏🙏🙏👌mungu akubariki
Brother kwa upande wa Msanii anae anza inatakiwa afanyaje
Vitu vingi vinafanana so unaweza ukafuatisha nilioyazungumza kwa yale yanayowezekana
Duu!!!
Well done kaka like yangu na subscription yangu umepata
Br mie naomba namba zako
Br nipe namba yako
Kaka naomba namba yako tafadhar
Angalia ktk video description
Broo etii ukipopy wimbo wa mtuu haulipwiii
Ndiyo
@@Richstartz ivii kwanini viwes huwa wanashukaaa ukiwa unapg promo au ukiwa unasambazaa
Thanks
Good
Nice
Thanks
Naomba namba zako kaka
0714250356
Thanks
Naomba namba yako kka