Namna nzuri ya kununua vifaa vya studio ya Muziki kwa wenye barget ndogo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.พ. 2024
- Unapoanza kujishughurisha na sanaa ya muziki na uchakataji wa sauti.... Namna nzuri ya kununua vifaa vya studio ya Muziki huwa inakuwa changamoto hasa kama una badget ambayo haiwezi kukidhi uhitaji wote kwa mara moja hivyo kujikuta ukinunua vifaaa kimoja baada ya kingine. kwenye video hii nimekusaidia namna rahisi ya kufanya maamuzi ya kipi unaweza nunua kwanza kabla ya kingine ili uweze kuanza safari yako ya sanaa ya muziuiki wa namna hiliyo nzuri... ungana nami kuitazama video hii
- เพลง
Habari , kaka naomba mawasiliano yako. Kuna vitu nahitaji kuvifahamu
Asnte nimekuelewa Sana kiongozi
Safi sana mkuu
Maelekezo mazuri uko vizuri hongera sana
Unajua kujieleza ukaeleweka Bro big up
Mahadhi mbali mbali isipokuwa... singeli na taarabu
Hongera kaka kwa maelezo mazuri yanayoeleweka kabisa 💯/, mimi nina swali kidogo je ili upate vifaa vya kuanzia unatakiwa uwe na kiasi gani cha fedha ambayo utaweza kupata vifaa ambavyo vinahitajika hatua ya mwanzo ya vifaa,,?
kwa vitu ambavyo ni vipya kabisa ukitaka kuwa na vyote nilivyovitaja hapo KWENYE VIDEO kasoro chumba tu .... walau uanzie na 4M..... KWA STANDARD STUDIO KIT..... UNAWEZA PATA CHINI YA HAPO KAMA UNATAKA KUNUNUA VITU USED (2.5 - 3M)
Bro napenda san mambo ya Production
Unaweza ukanifunza mimi nikawa mwanafunzi wako
Napenda sana kuwa Producer
@@feimaker08 karibu kijana.....unapatikana wap
Nice Video.
Many many thanks @imuworld
Umetufunza sana kakaaa
Nafurahi kusikia hivyo.... tuendelee kujifunza
Muzik gani una produce bro
Lam iwe ngap mkuu
UNAWEZA TAZAMA HII HAPA NIMEZUNGUMZIA KIUNDANI ZAIDI th-cam.com/video/d92rpdbDgPI/w-d-xo.html
vipi naweza kupata piano midi?
Weka mawasiliano
Kuna email address kwenye description box hapo lakini kuanzia video inayofwata ntakuwa na number kwenye video kabisa....Karibu👍
Me nimejifunza kupiga beat saiv nataka nikimaliza chuo nifungue studio ya kurecord. Kwangu imekua rahis sana kujifunza na kufanya hii kitu. Napiga beat balaa kwa fl pamoja na kwamba pc imekatika screen but nimekua adicted wa kupiga beat. Napenda afro beat na hip hop…. Kama za metro booming 🔥🔥🔥
Habari njema hii... keep your focus....na zaidi ya hapo ni historia kuandikwa tu 👍👍
Gkdt😮 to get bbbbbbbnnj@@tweakingtricks1087
Mimi nimsanii natafta natafta mgonga beat niwe natumia baazi ya biti zake then tunaweka kama mkataba kwamba kazi zikianza kulipa tunaangalia tunalipana vp tunakuwa tunasaidiana you tube natumia jina la DINEO TZ
Oyah niaje ofxa
Daah mwanangu me napenda San kuwa Producer. Tunaweza tuka click nikapata maujuzi kidg kutoka kwak
Iv sound card Q23 ikoje naitaka hiyo
q 24 in soundcard ina option kadha ambazo watu wanazipenda .. eg inakuwezesha kuconnect speaker zinazotumia av cables kitu ambacho sound card nyingi zinasupport only jack connector (kubwa) lakini pia bei yake imepoa pia pia e.t.c ..... personaly sound Quality ya sound yake sijawaaahi isikia lakini naona watu wanaiwinda kweli
Unafundisha music production pia?
Yeah... Unapatikana mkoa gani ?
@@tweakingtricks1087 nipo Dar brother
@@tweakingtricks1087 mim nipo Dsm
@@tweakingtricks1087 napatikana Dar kaka
Kwan soundcard zna bei gan??
Zipo za aina nyingi.. ukitaka nzuri kabsa andaa kiasi cha chini kuanzia 350k
inategemeana na brand pia number of channels badget ya kuanzia mia 500k unweza pata card nzuri kwa kuanzia
vipi naweza kupata piano midi?
personal siuzi vyombo ya mziki lakini nina used berhinger mid naiuza..... other wise unaweza pata toka dukani au kutoka kwa wadau wengine
@@tweakingtricks1087 unaiuza shilingi ngapi?