#APONYWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Nabii mkuu,ngurumo ya upako tamuko ya upako napokea uponyaji na pia kufunguliwa baraka katika jina ya Yesu Kristo.Amen....................................
Natamani nije uko Yan me naangalia u tube tu jaman Ila nataka nijipange nije uko Mana maisha yangu hata sielewi nabii mungu aendelee kukutia nguvu uendelee kutufungua I like it
Mungu Akubariki Sana Amen Mtu wa Mungu Nabii Mkuu GeorDavie
God bless
Kweli hilo ni deki LA Kristo.
Mbona usemi kwa jina la yesu😦
Asante mungu wa nabii
Asante sana mtumishi wa mungu kwa kazi yako Akuna kama wewe you are so powerful ninapokea hata mimi uponyaji Amen
Baba niombee
Wewe hujuwi kuomba?
@@josephurupia4653 mpuzi ww koma
Ameeen
Asnt baba mungu
Balikiwa BABA asante
Kuweni na macho guys
baba nisaidie baba nifunguliwe
jaman Mungu atusaidiee kuwa na macho ya roho!....wengi tunaangamia kwa kukosa maarifa ,,,,,,,,,me cwez kuingia kanisa kama hlooo n kama nko kwa mganga wa kienyej
Baba please
😚😂😂😂😂eti na nyie leo mnatoa shoo mapepo yanasemeshwa kama binadam
natamani nifike TZ
@@missmalindikenya6204 Karibu sana ukuje ufanyiwe na maombi kwa nabii
NAKUSHAURI TOA COMMENT SECTION MAANA BRO TUTACOMMENT SANA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 WAAFRICA TUACHE UTAPELI AISEE MARA YA KWANZA NILIFIKIRI NI THT KUMBE NI KANISA
Niko dar wiki hii yuko wapi jamani
MNYAMWEZI ANATAKA KUPIGA DEKI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 SAFISHA SAFISHA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣BRO WAJINGA NDIO WALIWAO KUMBE MTU UKIWA BORED UNAWEZA KUINGIA KWENYE HILI KANISA KUANGALIA COMEDY STUNT
Ila nabii jamani mengine uongee kwa code nimechekaa mnoo eti HALAFU WEWE UACHE KULALA NA WANAUME UTAKUFA🤣🤣🤣🤣🤣 na sarah Naye anao 20 dah pole baba na kazi maana c ndogo kondoo watukutu