WADADA WA SHIVAZ WANAOFANYA BIASHARA YA NGONO WASAIDIWA NA NABII MKUU KUACHA! - GeorDavie TV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ย. 2023
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa.
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa #ikulu
    #serikali
    #bunge

ความคิดเห็น • 742

  • @rehemangala1399
    @rehemangala1399 10 หลายเดือนก่อน +21

    Ukiona MTU anafanya kazi yoyote Ka ya kujiuza usimhukumu maana hujui wanayopitia😢 Mungu awatie nguvu . asante Sana Baba Kwa utumishi wako

  • @fatimafatima6796
    @fatimafatima6796 10 หลายเดือนก่อน +15

    Asante Mungu kwa kunileta umbali huu maana kama sio Mungu ningelikua mtaani kutafuttia watoto wangu 😭😭😭😭😭 barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 10 หลายเดือนก่อน +13

    Hakika wewe ni baba mzuri. Baba mzuri huwajari watoto wake. Nakukubali sana nabii mkuu. Sijaona mtu mwenye moyo km huu. ipo siku watakukumbuka sana mtumishi. Ubarikiwe sana,

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 10 หลายเดือนก่อน +10

    Daah 😢 masikini geordevie amelia kwaajili ya matatizo ya watu ooh mungu akuongoze sana

  • @FelicianaMalya
    @FelicianaMalya 10 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera sanaaa kwa kaz unayoifanya your are one in a MILLIONS. Mungu azid kukubari nabii mkuu

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 10 หลายเดือนก่อน +6

    Saerekali inawakamata haiwapi mtaji halafu wakiwakamata wanawaomba pesa Tena ndiyo watoke badala ya kuwasaidia nijambo jema hata wao hawapendi ni maisha tu nawanafamilia hao mungu ni mwaminifu atawafungua naimani watabadilika nabii jodevi mungu amekupa nguvu ya kuwarudisha waliopote 🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-xo3kt6kp6h
    @user-xo3kt6kp6h 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mtoto akipotea dawa sio fimbo Bali nikujua tatizo nini paka mtoto apotee watumishi wengi wanaukumu wanasahau kazi aliyo ltiwa ndio mahana wanaukumu ila wewe baba nabii mkuu unapokea ubagui mungu a kupe maisha malefu❤❤❤❤❤❤

  • @KEMEATV25
    @KEMEATV25 10 หลายเดือนก่อน +6

    Nabii namkubali sana mtumishi wa kweli niyule anae kuonyesha njia ya kweli na kuku support

  • @christianjohn2324
    @christianjohn2324 10 หลายเดือนก่อน +8

    Mzeee Mwenyezi Mungu akutie nguvu pia nashauri fungua mfuko mahalumu kwa ajili ya kuchangia.amina

  • @paulomondi7914
    @paulomondi7914 10 หลายเดือนก่อน +7

    Nabi wa mungu nakushukuru sana kua kusikiliza hao wakina dada, naomba mungu akupe nguvu utuwakilisha kama wanaume kua hili jambo kua sababu ata sisi tunaumia manyumbani ju ya hawa wakezetu, wengi wao wanatunyima haki zetu za ndoa, mwisho wake sisi wote tunajikuta barabarani kua hili tendo, nigeomba turudishe nyumbani kueli mtumishi

  • @georgeeliakimu
    @georgeeliakimu 10 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani huyu baba Mungu ampe maisha marefu hapa duniani aendelee kusaidia binafsi nimeguswa na hili

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba5288 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ni BABA wa pekee sana
    Your Very special in this world 🌎
    Asante sana BABA YANGU NABII MKUU GEORDAVIE kwa kutuponya kiroho na kimwili
    Umetuheshimisha kwa Upya wepesi kila mahali umetutoa Misri na kutupeleka chi ya maziwa na Asali
    Hakuna kinachoshindikana Ngurumo ya UPAKO ni wewe kuamini Tu.

  • @petermollel1471
    @petermollel1471 10 หลายเดือนก่อน +57

    Naaam, hii ndio kazi halisi ambayo Yesu alituachia kuifanya hapa duniani. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Geordavie kwa kutumika kuzivuna hizi nafsi kuzileta kwa Yesu. It is very possible kwamba huduma yako ya kitume ya kusaidia watu financially hapo kanisani ni Mungu mwenyewe aliianzisha kusudi awavutie hawa leo. Ni kwa sababu support za fedha siku zote huvutia watu wengi. Imagine hao wamefaidika financially lakini pia wamemjua Mungu kupitia wewe. Baba Geordavie una thawabu kubwa kwa Mungu wa Mbinguni kwa ajili ya kazi hii❤❤

    • @kiliannesphorylaurence826
      @kiliannesphorylaurence826 10 หลายเดือนก่อน +3

      Kweli kabisa

    • @emmanuelonyangoochola9228
      @emmanuelonyangoochola9228 10 หลายเดือนก่อน +3

      Mimi nakukubali sana ubarikiwe zaidi Mungu anakutumia Mtumishi wa Mungu

    • @sweetrayuzuwiya8375
      @sweetrayuzuwiya8375 10 หลายเดือนก่อน +3

      May God keep you well 🙏🙏🙏❤️❤️❤️😭😭😭

    • @edwardouma1630
      @edwardouma1630 10 หลายเดือนก่อน +2

      Really is touching our hearts God will 👏

    • @salmampinga4995
      @salmampinga4995 10 หลายเดือนก่อน +2

      👍true.

  • @annamungure4335
    @annamungure4335 10 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu akubariki Nabii ,unatenda yaliyomwema umegusa maisha ya watu ishi sana Baba yetu

  • @corneliusgoodluckkivuyo666
    @corneliusgoodluckkivuyo666 10 หลายเดือนก่อน +8

    Barikiwa sana Nabii kwa Huduma hii ya kuwavuta watu wa namna hii kwa YESU.

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 10 หลายเดือนก่อน +8

    Baba Mungu wa mbinguni aendele kukuinua wewe ni mfano wa kuingwa sana na watumishi wa Mungu.

  • @LongututiTajiri
    @LongututiTajiri 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hapa nimejifunza mengi sana ebu fikiria mtoto wako ndo anafanya haya utajiskiaje umeangaika kumsomesha,kufanya kila namna iili tu ata apate ajiri alfu unamkuta katikati ya hanasa kifupi prophet Geodavie ubarikiwe Sana 😢😢😢😢

  • @josepndayay
    @josepndayay 10 หลายเดือนก่อน +4

    Huduma nzuri sana watumishi wa Bwana :
    mimi naomba niwaase dada zangu wahanga kupitia :
    Isaya 1:18
    2mambo ya nyakati 7: 14
    Mungu wetu ni wa msamaha,
    Mungu wetu ni wa huruma,
    Kumb: ukiamua kuachana na uchafu usiurudie tena.
    "Tazama ya kale yamepita sasa yamekuwa mapya".
    By
    Joseph ndayay
    Mwimbaji nyimbo za injili kutoka arusha TZ.

  • @XaveryBinyoga-lb9kl
    @XaveryBinyoga-lb9kl 10 หลายเดือนก่อน +7

    Ubarikiwe sana nabii kwa moyo wako wa kujitoa mwenyezi Mungu akubariki

  • @dailantz4073
    @dailantz4073 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu hana tupenda sana nakutupa baba mwema mwene upendo mwene kujali mwene kusamini na wene moyo wapeke sana hakuna kama wewe nakama yupo niwewe nabii mkuu

  • @esthernyabweye
    @esthernyabweye 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubaliki sana m2mishi wamungu usichoke kwa huyo moyo ulio pesa wakusaidia mungu azidi kukuongesea uendelee hivyo hvy so ni Esther from kenya

  • @user-xo3kt6kp6h
    @user-xo3kt6kp6h 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe watakupiga mawe lakini simama mungu ataendelea kukujazia atokupungukia pia kwenye uduma sio kila mtu katumwa wengine wamejituma wenyewe wewe niwatofauti sana Mimi nimesali kwenye makanisa mengi lakini hapo nipatofauti sana mungu wambingu akuzidishie umri uzidi kusaidia wenye moyo wako niwachache duniani❤❤❤❤❤❤❤

  • @hammerymachogu3885
    @hammerymachogu3885 10 หลายเดือนก่อน +2

    Barikiwa Baba mtumishi kazi ya Mungu hiyo kukomboa walio katika vifungo na minyororo ya shetani

  • @antonmtumbuka
    @antonmtumbuka 10 วันที่ผ่านมา

    Kwa kujitoa na kutubu mungu kawasamehe na mtumishi Kwa moyo wako mungu akuinue na azidi kubariki utumishi wako

  • @kimlolakimlolanelly6330
    @kimlolakimlolanelly6330 10 หลายเดือนก่อน +4

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kiukweli nimejikuta naliaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaa tena nimesikia moyoooo wanguu kuguaaaa sanaaaa barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @prophetgervasebenard7486
    @prophetgervasebenard7486 หลายเดือนก่อน

    Safi sana nabii mkuu wa Yesu Kristo! Kazi njema yenye Imani na Matendo ndiyo INJILI halisi! Much blessing!🙏🙏

  • @SherfuiddySimba
    @SherfuiddySimba 10 หลายเดือนก่อน +3

    shukrani nabii mkuu nikweli yatima adeki mimi naomba mungu uishi daima usizeeke maana jambu ulilo fanya nikumbwa mnoo

  • @francislekula-fs1cj
    @francislekula-fs1cj 10 หลายเดือนก่อน

    MUNGU Akubariki mtumishi wa MUNGU.
    Ninakuangalia hapa Kenya.
    May God bless you i remember 15yrs ago nilisaidia madada walikuwa wanajuhuza mwili.kule Mombasa.mungu Akubariki tu sana

  • @JONAISMARTINESAM-vs4jy
    @JONAISMARTINESAM-vs4jy 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu simama utuongoze ss kina mama,,,hapo maombi yakiaanza watakaoanguka ni wanawake ,,,,,,,,ko wanawake ss tuna hali ngumu pande zote,,,,,,, Mungu usielala simama baba,,,tulinde maana sisi haohao ndo matumbo yetu yanatakiwa kuzaa watoto ambao ni viongoz kama nabii Geo,,,....simama Mungu unyooshe mkono wako wa baraka ,,,,,,,gusa matumbo yetu yakakuzalie matunda mema❤

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nabiii hapa ameupiga mwingi hongera sana mtumishi... 👏👏👏👏👏

  • @innocentraymond3301
    @innocentraymond3301 10 หลายเดือนก่อน +2

    baba usishangae mafalisayo wapo, kuna mahali wananong'ona wanasema et ona anakula na wenye dhambi na makahaba Yesu alijua nia zao akawaambia ndio nakula nao maana nilikuja kwaajili ya watu kama hawa! wacha waseme dady maana kazi njema huwa upinzani mkubwa kutoka kwa hao mafalisayo ambao wanaona dini ni kwenda kanisa wapuuzi tu sisi tunaenda mbele zaidi. Barikiwa baba Mungu akuwe sana

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 10 หลายเดือนก่อน +7

    Amen Amen mtumishi wa Mungu hii ndiyo kazi ya utumishi wa kazi ya Mungu Mungu akuinue abariki kazi za mikono yako umenigusa nimelia sana ee Mungu saidia kizazi chetu Amen

    • @jacquelinemwakasala9563
      @jacquelinemwakasala9563 10 หลายเดือนก่อน

      ❤kabisa yaan huu ndio utumishi Sasa watumishi wengine hawatoi wao wanatolewa tu sadaka na waumini na kujilimbikizia. Mali mali.hawatoagi Kwa watu..baba umeitws Kwa mambo magumu ni sahihi kabisa.ulichoitiwa ww nabii mkuu sio alioitiwa mwingine.ubarikiwe baba MUNGU akupe maisha marefu sana yenye afya nguvu na uchumi.mwingi.ili usaidie zaidi UFALME wa MUNGU na jamii Kwa jumla.barikiwa sana nabii mkuu Na MTUMISHI mzuri wa MUNGU.Amen kubwaaa

  • @MondesWilson-jr7rr
    @MondesWilson-jr7rr 10 หลายเดือนก่อน +8

    Eheeeee mungu wangu Kuna watu wajiusa poleni sana dada zangu 😭😭😭😭

  • @isayachamsa3849
    @isayachamsa3849 10 หลายเดือนก่อน +6

    Yaaani Mtumishi Wa Mungu Geo Davi Yesu Akukumbuke Daima Na Hata Milele!!

    • @AMINIELIHAALI-xv1rd
      @AMINIELIHAALI-xv1rd 16 วันที่ผ่านมา

      MTUMISHI WA MUNGU???????????????????????

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 10 หลายเดือนก่อน +3

    🙏🙏ubarikiwe mtumishi wa Mungu,kwakweli hata Mimi limenigusa dah.

  • @esthernyabweye
    @esthernyabweye 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubaliki sana m2mishi wamungu usichoke kwa huyo moyo ulio pesa wakusaidia mungu azidi kukuongesea uendelee hivyo hvy

  • @angela-kd2iz
    @angela-kd2iz 10 หลายเดือนก่อน +4

    Baba yetu wewe ni nabii mkuu wa kweli kabisa katikati Karne hii mungu akubariki na akupe miaka mingi zaidi uishi milele

  • @saidijuma5843
    @saidijuma5843 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe nimfano mzur kwa viongozi wengi wa dini, umeamua kurudisha kwenye jamii kile ulichojaaliwa na mungu mkuu, binafsi Nakupenda kupita kiasi.

  • @neemamjema1067
    @neemamjema1067 10 หลายเดือนก่อน +5

    Heshima yako mtu mkuu wa Mungu🙌🙌🙌

  • @EmmanuelSanare-bc7si
    @EmmanuelSanare-bc7si 10 หลายเดือนก่อน +11

    Amen Baba uxijali wanao kusema vibaya we wasaidie watu WEMA HAUWOZI💯

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hivyo sio kuwasaidia,ni kuwatia aibu mbele za UMA,yaani kuwaANIKA UWANJANI KWA MAASI YAO..KUASI MUNGU NI KUPOTEA,SIO IBADA

    • @angelatarimo1969
      @angelatarimo1969 10 หลายเดือนก่อน +3

      Kwani wao wanafanya kazi yao kichakani au mbele ya uma tena wakiwa uchi? Nini kingine wanaficha na ukienda shivasi unawakuta uchi na uso hawafuniki?? Fikiri kabla ya kusema acha wasaidiwe hata Yesu aliwafungua watu mbele ya Uma.

  • @arnaudkaburugutu3870
    @arnaudkaburugutu3870 10 หลายเดือนก่อน +4

    OOOOOOH majozi yanitoka Nabiiii Ubalikiwe❤❤❤❤❤❤

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 10 หลายเดือนก่อน +1

    Asante baba Nabii mkuu Dr GeorDavie balozi wa amani unatengeneza amani ndani ya waliokosa amani.Ishi sana baba yangu ❤❤❤🙏🙏🙏

  • @BeatriceThadey-sz2wv
    @BeatriceThadey-sz2wv 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sn baba nikweli nimelia sn wanawake tunapitia changamoto sn nanikweli wapo watumishi wengi nawanaosali sn Lkn maisha yanawafanya wawe hivyo,ubarikiwe sn.

  • @PastorDicksonMwaipopo
    @PastorDicksonMwaipopo 10 หลายเดือนก่อน +3

    HONGERA sana MTU wa MUNGU,UPENDO huu ndio UPENDO wa MUNGU wetu kwa watu wote.ASANTE YESU KUMTUMIA MTU WAKO NABII

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 10 หลายเดือนก่อน +9

    Glory be to God hallelujah!!!

  • @jacksonmaterru3933
    @jacksonmaterru3933 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwali nijambo kubwa mno nmeliona kwako na kwli naamini kazi unayo fanya ninjema Mungu akubariki sanaa mtumishi,usichoke kufanya ivyo

  • @eunicematu7060
    @eunicematu7060 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maisha marefu baba,wanadamu hawana jema hata Yesu walimsema bila aibu eti anajifanya yy ni mwana wa Mungu

  • @adolfkiango1763
    @adolfkiango1763 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kweli "Tutawatambua kwa Matendo" Hii inadhihirisha tosha, wengine tunawatenga, Nabii Mkuu anawapokea kama Kristo alivyowapokea. Mungu awe nawe daima.

    • @devothachami5128
      @devothachami5128 10 หลายเดือนก่อน

      Yaan huyu baba Mungu amlinde yaan nimelia hana ubaguzii

  • @elikamtumishi
    @elikamtumishi 10 หลายเดือนก่อน

    Amina Mungu bariki xana kazi ya uyu akika mzigo wa uyu nabiio wa ajabu xana akika akika Mungu azidi kumpa maisha marefu xana tena xana tena xana

  • @linahdavid9251
    @linahdavid9251 10 หลายเดือนก่อน +6

    Pole Sana baba na hongera kwa Mambo unayoyafanya mungu akuongeze Sana pale unapotoa mkono wa mungu usikupungukie

  • @abelcheche7363
    @abelcheche7363 10 หลายเดือนก่อน +11

    Hakika wewe ni Mtumishi Wa Mungu
    Mungu akubariki na kukutunza siku zote❤

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 10 หลายเดือนก่อน +5

    Nikweli baba ni vizuri sana watu wakija apo na kupata msaada wa hakikisheni pia awe na viongozi wa kuwafatilia maendeleo yao ili wabadilike kimaisha

  • @brightonkomba1149
    @brightonkomba1149 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzur sana, mtumish wa Mungu. God bless him

  • @ECPBUBurundi-gp1fg
    @ECPBUBurundi-gp1fg 10 หลายเดือนก่อน

    Namushukuru Mungu kwa kazi nyingi nzuri Nabii Mkuu anazozifanya Mungu amubariki sana

  • @upendojohn3461
    @upendojohn3461 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu akutunze sana wewe ni mtumishi wa Mungu mwenye huruma sana ubarikiwe

  • @zakariamartin3980
    @zakariamartin3980 10 หลายเดือนก่อน +3

    Baba MUNGU akupe maisha marefu sanaaaaaaa

  • @mariakajigili4280
    @mariakajigili4280 10 หลายเดือนก่อน +1

    Da Mungu akukumbuke baba unamoyo watofauti sana Tena ni Moyo wakitumishi ubarikiwe🙏🙏🙏

  • @mrs.belindastephenmagula9858
    @mrs.belindastephenmagula9858 10 หลายเดือนก่อน +2

    Baba Mungu akubariki kwa kweli.hao wanaokusema hawajui gharama iliyoko ndani yako.

  • @alexisannick
    @alexisannick 10 หลายเดือนก่อน +4

    Baba Nabii Mungu akuzidishiye uko mtu mzuri sana kweli hili limenigusa sana,uko mtu mwema sana,mimi niko Burundi nafuata ibada Yako,nimetowa machozi kwa hili,Amen

    • @TolaElisha
      @TolaElisha 10 หลายเดือนก่อน

      amzidishie nn awaongoz sala ya toba

    • @lovenessmartin3621
      @lovenessmartin3621 9 หลายเดือนก่อน

      Mung akubariki sana baba

  • @Chr196
    @Chr196 2 หลายเดือนก่อน

    Be blessed servant of God may the blessings of the living God be upon you always Spiritual and Physical in Jesus name amen

  • @zakayotarimo6004
    @zakayotarimo6004 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akupe maisha marefu san duniani baba

  • @erickmachalo-ol6mg
    @erickmachalo-ol6mg หลายเดือนก่อน

    Mtushi mungu azidi kukubariki, watumishi wa mungu wachache sana wenye mioyo kama hii yako ya kutoa kusaidia wenye huitaji,wengiwao wanatakatu wapewe na maaskini

  • @EdrickMlyahela
    @EdrickMlyahela 4 หลายเดือนก่อน

    Geodevi Mungu akupe maisha malefu Mungu awe nawe yep by step wanao kutafta kwa ubaya wapatwe na mabaya Mara 70 nitachoka kukuombea nikiwa nimekufa!🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 10 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 10 หลายเดือนก่อน +7

    Baba tunashukuru Sana Sana ❤❤❤❤

  • @siwemamsesa-ho6tx
    @siwemamsesa-ho6tx 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, na akujalie siku nyingi za kuishi

  • @user-gf6jj8rf5b
    @user-gf6jj8rf5b 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ubarikiwe zaidi baba

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu mwema sana.Mungu Asante Kwa zawadi ya Nabii Duniani

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 10 หลายเดือนก่อน

      MUNGU hana mshirika wala hana mtoto,huyo ni mungu na sio Mungu

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 10 หลายเดือนก่อน

      Action zenu na baba wa mungu wenu,anawapoteza

  • @upendojohn3461
    @upendojohn3461 10 หลายเดือนก่อน +2

    Baba ww ni mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana sana.

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 10 หลายเดือนก่อน

    Dah! Ukiona mpaka nabii anadondosha chozi kwa hili. Ujue ni maumivu kiasi gani ameyasikia. Amina baba. Kutoa ni moyo na sio utajili. Ninachokiona kwako ni hekma za kimungu ulizonazo. Maana km pesa wako watu wengi wanapesa kuliko wewe lkn ndugu tu wanashindwa kuwasaidia. Je jilani atamsaidia kweli?. Asante baba uwe na maisha marefu

  • @josephmilandononi1096
    @josephmilandononi1096 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe Baba ninafurahia sana matendo makuu unayofanya Kwa watu wa Mungu.

  • @emanuelgella8201
    @emanuelgella8201 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akuweke sana mtumishi wa MUNGU..

  • @samwelchilijila
    @samwelchilijila 10 หลายเดือนก่อน +3

    HUYU MTUMISHI NA HII HUDUMA NAFANINISHA NA YESU..WALIMUENDEA WATU WA KILA AINA..
    WAZURI NA WABAYA AMBAO WAMEKATALIWA ,NAKUMBUKA MAKAHABA WALIKAA MIGUUNI PA YESU NA WAKABADILIKA...
    NAMUONA YESU HALISI KWAKO MTUMISHI HUDIMA YAKO INABADILISHA WENGI.....
    by samwel.

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nilisikitika sana nilipo muona dada niliye soma nao hapo shivas anajiuza 😢😢 very pain Ahsante 🙏 Nabii Mkuu kwa kuwa kumbuka hawa wadada.

    • @GMD820
      @GMD820 10 หลายเดือนก่อน

      Jamani so sorry 😢

  • @eliasurious7419
    @eliasurious7419 10 หลายเดือนก่อน +8

    Kweli kwa hili Nabii mkuu, limenigusa sanaa, kweli hii ndo kazi ya Mungu, si kuombewa tu, na kuwasaidia watu kama hawa, ubarikiwe baba.

    • @tereziamwashiuya8682
      @tereziamwashiuya8682 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu akubariki sana baba kwa utumishi huu na huruma ya kiungu unayoionyesha

    • @malembobulongo3856
      @malembobulongo3856 10 หลายเดือนก่อน

      Sio muombewe afu mrudie uchafu wenuuu mtalaaniwaa

    • @malembobulongo3856
      @malembobulongo3856 10 หลายเดือนก่อน

      Mzee waangalie hao wengine janja janjaaaaa

  • @johnmwalingo5218
    @johnmwalingo5218 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kuinuka ndani yako utulee na kututunza kondoo wa Mungu, Barikiwa Baba

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 10 หลายเดือนก่อน

    Daaahhh Umenigisa sana... Ubarikiwe sana Mtumishi

  • @MkaliWenuOriginal
    @MkaliWenuOriginal 10 หลายเดือนก่อน +5

    That Is My DADY❤

    • @user-le6jm2tf5y
      @user-le6jm2tf5y 18 วันที่ผ่านมา

      Peleka Tako akupakue nyoko ww

  • @RuthyTemu-ev5li
    @RuthyTemu-ev5li 10 หลายเดือนก่อน

    God bless you more man of God

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya7521 10 หลายเดือนก่อน +10

    Ooh my mpaka Kuna wanao taka kuolewa 😢😢😢😢😢 Mungu awatendehee sawasawa Na hitaji la kila mmoja wenu Amen

    • @user-zt3et5kl5m
      @user-zt3et5kl5m 10 หลายเดือนก่อน

      Akiii ni huruma sana 😢😢 lakini huyu baba kuwasaidia akii mungu atamlipa pakubwa sana kumstiri mtu ane jiuza kwa shida aseee 😢😢😢 mpka machozi eeh mtu unajiuza imechoka lakiniii eeh

  • @alphoncehume9495
    @alphoncehume9495 9 หลายเดือนก่อน

    Unarikiwe sana mtumishi mwaminifu wa Mungu nabii mkuu kuwasikiliza vijana wetu hawa naomba uwaombee waokoke.

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039 10 หลายเดือนก่อน +4

    Apo mtumishi nimekukubali sana sipendwi kiangalia mahubir Kwenye mitandao ila Kwa hili baba mungu akutunze sana Niko mwanza ila nimeingia mtandaoni nikakutana na kitendo hiki ulichonifanyia mpaka nimehis kulia mungu akutunze na uendelee kumsaidia baba

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu awafungue ....Mungu akubariki sana Nabii mkuu

  • @boniphacepaskal4024
    @boniphacepaskal4024 10 หลายเดือนก่อน

    Japo mm nimzambi baba,japo mm nimgumu sana na nimchanga mno katka Imani Ila nampenda mungu sana ,Ila kwahiili tukio nabii ubarikiwe sana baba na usikomee kwahao tusaidie nasie niwajawako baba tutetee na utuokoe nafamilia zetu japo hatuna chakukupa Ila tumeguswa na maombi yako tunaimani utaenda kutenda mioyoni mwetu Amina mungu akutie nguvu zakutosha mtumishi wa mungu maneno wanayokusema hayatapata kibali katka ufalme wowote ule tunaamini nakuomba katka jinalabwana aliyehai Amina

  • @abrahamabrahamkatavo5528
    @abrahamabrahamkatavo5528 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa ndio watumishi wa Mungu halisi. wanaowasaidia watu ktk uhalisia. Sio wachungaji wengine wanakamua sadaka ya kondoo zao na hawana mabadiliko yoyote kiuchumi

  • @engineertarimo7345
    @engineertarimo7345 10 หลายเดือนก่อน +2

    Dah! Nilikuwa simpendi huyu baba, na wala hata nilikuwa sijui kwa nini simpendi! Ila kwa haya anayoyafanya kwa kuwasaidia hata wale ambao kwenye jamii walikuwa huenda tuliwaona hawana maana na hawafai kbs machoni pa watu, lkn Geordavie nabii kawapokea na kuwaheshimisha, hakika nimempenda tokea siku ya leo. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na azidi kukubariki na kukuongezea mara dufu pale unapopunguza kwa ajili ya kusaidia watu.

    • @agnesspaul1866
      @agnesspaul1866 29 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤ kweli hufikii kwangu

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 10 หลายเดือนก่อน

    Baba Ngurumo Mungu akubariki sana Unafanya kazi njema Ubarikiwe sana

  • @MondesWilson-jr7rr
    @MondesWilson-jr7rr 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akusaidie sana mtumishi wangu sana saidi ya sana

  • @martinwangwe8966
    @martinwangwe8966 10 หลายเดือนก่อน +3

    kanisa ni kusaidia wengine. Wachungaji kujitoa kwajili ya wengine. Napendaga sana makanisa ya namna hii.

  • @user-hy5pv7hb1d
    @user-hy5pv7hb1d 10 หลายเดือนก่อน +1

    Baba mungu akubaliki Sana kwa huduma yako kubwa ya kinambii hakika wewe ni nabii wa kipekee nduniani Zima wewe ni zaidi ya manabi wote Dunia zima ni zaidi ya wafarume wote Duniani mungu kanipa maono hayo wewe ni zaidi ya pesa na vitu vyote vya samani Duniani sisi Tanzania mungu ametuendelea mno kuwa na wewe.hapa Tanzania ❤❤❤

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ooh Mungu liokoe Taifa litambue shida iyo Kwa wamama wetu jamani daah!

  • @Apostledanielsmith2543
    @Apostledanielsmith2543 10 หลายเดือนก่อน +4

    MUNGU akubariki mutumishi wa MUNGU Kwa kusimama na ndungu zetu

  • @magrethlwaga955
    @magrethlwaga955 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asante baba mungu amekuita💪💯🙏

  • @onesmomallya102
    @onesmomallya102 10 หลายเดือนก่อน +1

    kwakwel Nabii wa Bwana huumoyo Mungu alio kupa nimoyo waajabu😢😢 endelea kusimamia wito huu mkuu najua unapigwa mawe sana ila jipe moyo utashinda nakufananisha na mtumishi Tibijoshua alietangulia mbele zahaki kweli Imani pasipo matendo imekufa

  • @rainardykomba
    @rainardykomba 10 หลายเดือนก่อน

    Geordavi baba mungu amekuona zaidi kwa hilo ulilolifanya naomba Kasai die na yatoms

  • @weveeernest9911
    @weveeernest9911 10 หลายเดือนก่อน +3

    Matatizo ni mengi hapa duniani sio kama wanapenda mungu akubariki mtumishi wa mungu.

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 10 หลายเดือนก่อน

    Hela iliyo barikiwa? This speaks volumes! Jicho la rohoni litang'amua. Msaada haukataliwi na umefanya vizuri. Ila simuloni Yesu hapo!

  • @elineemamndeme5634
    @elineemamndeme5634 10 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akubarik mtumishi wa MUNGU pia dada zangu jipeni moyo mkuu hakuna linalomshinda MUNGU hakuna aliye mkamilifu wote ni watenda dhambi ni neema ya MUNGU tu kuwa hatuangamii ni furaha mbinguni kwa mmoja aliyetubu nawaombea kwa MUNGU awape maisha mapya yenye furaha ameeeen

  • @sisterolivia9874
    @sisterolivia9874 10 หลายเดือนก่อน +1

    Glory to Almighty God

  • @MidaMalagabu
    @MidaMalagabu หลายเดือนก่อน

    Mungu akuinue akupe maisha marefu