WADADA WA SHIVAZ WANAOFANYA BIASHARA YA NGONO WASAIDIWA NA NABII MKUU KUACHA! - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ย. 2023
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa.
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa #ikulu
#serikali
#bunge
Ukiona MTU anafanya kazi yoyote Ka ya kujiuza usimhukumu maana hujui wanayopitia😢 Mungu awatie nguvu . asante Sana Baba Kwa utumishi wako
Asante Mungu kwa kunileta umbali huu maana kama sio Mungu ningelikua mtaani kutafuttia watoto wangu 😭😭😭😭😭 barikiwa mtumishi wa Mungu
Hakika wewe ni baba mzuri. Baba mzuri huwajari watoto wake. Nakukubali sana nabii mkuu. Sijaona mtu mwenye moyo km huu. ipo siku watakukumbuka sana mtumishi. Ubarikiwe sana,
k wewew
Daah 😢 masikini geordevie amelia kwaajili ya matatizo ya watu ooh mungu akuongoze sana
Hongera sanaaa kwa kaz unayoifanya your are one in a MILLIONS. Mungu azid kukubari nabii mkuu
Nabii wa nyoko
Saerekali inawakamata haiwapi mtaji halafu wakiwakamata wanawaomba pesa Tena ndiyo watoke badala ya kuwasaidia nijambo jema hata wao hawapendi ni maisha tu nawanafamilia hao mungu ni mwaminifu atawafungua naimani watabadilika nabii jodevi mungu amekupa nguvu ya kuwarudisha waliopote 🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏🙏
Mtoto akipotea dawa sio fimbo Bali nikujua tatizo nini paka mtoto apotee watumishi wengi wanaukumu wanasahau kazi aliyo ltiwa ndio mahana wanaukumu ila wewe baba nabii mkuu unapokea ubagui mungu a kupe maisha malefu❤❤❤❤❤❤
Nabii namkubali sana mtumishi wa kweli niyule anae kuonyesha njia ya kweli na kuku support
Mzeee Mwenyezi Mungu akutie nguvu pia nashauri fungua mfuko mahalumu kwa ajili ya kuchangia.amina
Nabi wa mungu nakushukuru sana kua kusikiliza hao wakina dada, naomba mungu akupe nguvu utuwakilisha kama wanaume kua hili jambo kua sababu ata sisi tunaumia manyumbani ju ya hawa wakezetu, wengi wao wanatunyima haki zetu za ndoa, mwisho wake sisi wote tunajikuta barabarani kua hili tendo, nigeomba turudishe nyumbani kueli mtumishi
Yaani huyu baba Mungu ampe maisha marefu hapa duniani aendelee kusaidia binafsi nimeguswa na hili
Wewe ni BABA wa pekee sana
Your Very special in this world 🌎
Asante sana BABA YANGU NABII MKUU GEORDAVIE kwa kutuponya kiroho na kimwili
Umetuheshimisha kwa Upya wepesi kila mahali umetutoa Misri na kutupeleka chi ya maziwa na Asali
Hakuna kinachoshindikana Ngurumo ya UPAKO ni wewe kuamini Tu.
Naaam, hii ndio kazi halisi ambayo Yesu alituachia kuifanya hapa duniani. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Geordavie kwa kutumika kuzivuna hizi nafsi kuzileta kwa Yesu. It is very possible kwamba huduma yako ya kitume ya kusaidia watu financially hapo kanisani ni Mungu mwenyewe aliianzisha kusudi awavutie hawa leo. Ni kwa sababu support za fedha siku zote huvutia watu wengi. Imagine hao wamefaidika financially lakini pia wamemjua Mungu kupitia wewe. Baba Geordavie una thawabu kubwa kwa Mungu wa Mbinguni kwa ajili ya kazi hii❤❤
Kweli kabisa
Mimi nakukubali sana ubarikiwe zaidi Mungu anakutumia Mtumishi wa Mungu
May God keep you well 🙏🙏🙏❤️❤️❤️😭😭😭
Really is touching our hearts God will 👏
👍true.
Mungu akubariki Nabii ,unatenda yaliyomwema umegusa maisha ya watu ishi sana Baba yetu
Barikiwa sana Nabii kwa Huduma hii ya kuwavuta watu wa namna hii kwa YESU.
Baba Mungu wa mbinguni aendele kukuinua wewe ni mfano wa kuingwa sana na watumishi wa Mungu.
Hapa nimejifunza mengi sana ebu fikiria mtoto wako ndo anafanya haya utajiskiaje umeangaika kumsomesha,kufanya kila namna iili tu ata apate ajiri alfu unamkuta katikati ya hanasa kifupi prophet Geodavie ubarikiwe Sana 😢😢😢😢
Huduma nzuri sana watumishi wa Bwana :
mimi naomba niwaase dada zangu wahanga kupitia :
Isaya 1:18
2mambo ya nyakati 7: 14
Mungu wetu ni wa msamaha,
Mungu wetu ni wa huruma,
Kumb: ukiamua kuachana na uchafu usiurudie tena.
"Tazama ya kale yamepita sasa yamekuwa mapya".
By
Joseph ndayay
Mwimbaji nyimbo za injili kutoka arusha TZ.
Ubarikiwe sana nabii kwa moyo wako wa kujitoa mwenyezi Mungu akubariki
Mungu hana tupenda sana nakutupa baba mwema mwene upendo mwene kujali mwene kusamini na wene moyo wapeke sana hakuna kama wewe nakama yupo niwewe nabii mkuu
Mungu akubaliki sana m2mishi wamungu usichoke kwa huyo moyo ulio pesa wakusaidia mungu azidi kukuongesea uendelee hivyo hvy so ni Esther from kenya
Wewe watakupiga mawe lakini simama mungu ataendelea kukujazia atokupungukia pia kwenye uduma sio kila mtu katumwa wengine wamejituma wenyewe wewe niwatofauti sana Mimi nimesali kwenye makanisa mengi lakini hapo nipatofauti sana mungu wambingu akuzidishie umri uzidi kusaidia wenye moyo wako niwachache duniani❤❤❤❤❤❤❤
Barikiwa Baba mtumishi kazi ya Mungu hiyo kukomboa walio katika vifungo na minyororo ya shetani
Kwa kujitoa na kutubu mungu kawasamehe na mtumishi Kwa moyo wako mungu akuinue na azidi kubariki utumishi wako
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kiukweli nimejikuta naliaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaa tena nimesikia moyoooo wanguu kuguaaaa sanaaaa barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Safi sana nabii mkuu wa Yesu Kristo! Kazi njema yenye Imani na Matendo ndiyo INJILI halisi! Much blessing!🙏🙏
shukrani nabii mkuu nikweli yatima adeki mimi naomba mungu uishi daima usizeeke maana jambu ulilo fanya nikumbwa mnoo
MUNGU Akubariki mtumishi wa MUNGU.
Ninakuangalia hapa Kenya.
May God bless you i remember 15yrs ago nilisaidia madada walikuwa wanajuhuza mwili.kule Mombasa.mungu Akubariki tu sana
Mungu simama utuongoze ss kina mama,,,hapo maombi yakiaanza watakaoanguka ni wanawake ,,,,,,,,ko wanawake ss tuna hali ngumu pande zote,,,,,,, Mungu usielala simama baba,,,tulinde maana sisi haohao ndo matumbo yetu yanatakiwa kuzaa watoto ambao ni viongoz kama nabii Geo,,,....simama Mungu unyooshe mkono wako wa baraka ,,,,,,,gusa matumbo yetu yakakuzalie matunda mema❤
Nabiii hapa ameupiga mwingi hongera sana mtumishi... 👏👏👏👏👏
baba usishangae mafalisayo wapo, kuna mahali wananong'ona wanasema et ona anakula na wenye dhambi na makahaba Yesu alijua nia zao akawaambia ndio nakula nao maana nilikuja kwaajili ya watu kama hawa! wacha waseme dady maana kazi njema huwa upinzani mkubwa kutoka kwa hao mafalisayo ambao wanaona dini ni kwenda kanisa wapuuzi tu sisi tunaenda mbele zaidi. Barikiwa baba Mungu akuwe sana
Amen Amen mtumishi wa Mungu hii ndiyo kazi ya utumishi wa kazi ya Mungu Mungu akuinue abariki kazi za mikono yako umenigusa nimelia sana ee Mungu saidia kizazi chetu Amen
❤kabisa yaan huu ndio utumishi Sasa watumishi wengine hawatoi wao wanatolewa tu sadaka na waumini na kujilimbikizia. Mali mali.hawatoagi Kwa watu..baba umeitws Kwa mambo magumu ni sahihi kabisa.ulichoitiwa ww nabii mkuu sio alioitiwa mwingine.ubarikiwe baba MUNGU akupe maisha marefu sana yenye afya nguvu na uchumi.mwingi.ili usaidie zaidi UFALME wa MUNGU na jamii Kwa jumla.barikiwa sana nabii mkuu Na MTUMISHI mzuri wa MUNGU.Amen kubwaaa
Eheeeee mungu wangu Kuna watu wajiusa poleni sana dada zangu 😭😭😭😭
Yaaani Mtumishi Wa Mungu Geo Davi Yesu Akukumbuke Daima Na Hata Milele!!
MTUMISHI WA MUNGU???????????????????????
🙏🙏ubarikiwe mtumishi wa Mungu,kwakweli hata Mimi limenigusa dah.
Mungu akubaliki sana m2mishi wamungu usichoke kwa huyo moyo ulio pesa wakusaidia mungu azidi kukuongesea uendelee hivyo hvy
Baba yetu wewe ni nabii mkuu wa kweli kabisa katikati Karne hii mungu akubariki na akupe miaka mingi zaidi uishi milele
time will tell
Wewe nimfano mzur kwa viongozi wengi wa dini, umeamua kurudisha kwenye jamii kile ulichojaaliwa na mungu mkuu, binafsi Nakupenda kupita kiasi.
Heshima yako mtu mkuu wa Mungu🙌🙌🙌
Amen Baba uxijali wanao kusema vibaya we wasaidie watu WEMA HAUWOZI💯
Hivyo sio kuwasaidia,ni kuwatia aibu mbele za UMA,yaani kuwaANIKA UWANJANI KWA MAASI YAO..KUASI MUNGU NI KUPOTEA,SIO IBADA
Kwani wao wanafanya kazi yao kichakani au mbele ya uma tena wakiwa uchi? Nini kingine wanaficha na ukienda shivasi unawakuta uchi na uso hawafuniki?? Fikiri kabla ya kusema acha wasaidiwe hata Yesu aliwafungua watu mbele ya Uma.
OOOOOOH majozi yanitoka Nabiiii Ubalikiwe❤❤❤❤❤❤
Asante baba Nabii mkuu Dr GeorDavie balozi wa amani unatengeneza amani ndani ya waliokosa amani.Ishi sana baba yangu ❤❤❤🙏🙏🙏
Mungu akubariki sn baba nikweli nimelia sn wanawake tunapitia changamoto sn nanikweli wapo watumishi wengi nawanaosali sn Lkn maisha yanawafanya wawe hivyo,ubarikiwe sn.
HONGERA sana MTU wa MUNGU,UPENDO huu ndio UPENDO wa MUNGU wetu kwa watu wote.ASANTE YESU KUMTUMIA MTU WAKO NABII
Glory be to God hallelujah!!!
Kwali nijambo kubwa mno nmeliona kwako na kwli naamini kazi unayo fanya ninjema Mungu akubariki sanaa mtumishi,usichoke kufanya ivyo
Mungu akupe maisha marefu baba,wanadamu hawana jema hata Yesu walimsema bila aibu eti anajifanya yy ni mwana wa Mungu
Kweli "Tutawatambua kwa Matendo" Hii inadhihirisha tosha, wengine tunawatenga, Nabii Mkuu anawapokea kama Kristo alivyowapokea. Mungu awe nawe daima.
Yaan huyu baba Mungu amlinde yaan nimelia hana ubaguzii
Amina Mungu bariki xana kazi ya uyu akika mzigo wa uyu nabiio wa ajabu xana akika akika Mungu azidi kumpa maisha marefu xana tena xana tena xana
Pole Sana baba na hongera kwa Mambo unayoyafanya mungu akuongeze Sana pale unapotoa mkono wa mungu usikupungukie
Hakika wewe ni Mtumishi Wa Mungu
Mungu akubariki na kukutunza siku zote❤
UPO SERIOUS????????????????
Nikweli baba ni vizuri sana watu wakija apo na kupata msaada wa hakikisheni pia awe na viongozi wa kuwafatilia maendeleo yao ili wabadilike kimaisha
Kazi nzur sana, mtumish wa Mungu. God bless him
Namushukuru Mungu kwa kazi nyingi nzuri Nabii Mkuu anazozifanya Mungu amubariki sana
Mungu akutunze sana wewe ni mtumishi wa Mungu mwenye huruma sana ubarikiwe
Baba MUNGU akupe maisha marefu sanaaaaaaa
Da Mungu akukumbuke baba unamoyo watofauti sana Tena ni Moyo wakitumishi ubarikiwe🙏🙏🙏
Baba Mungu akubariki kwa kweli.hao wanaokusema hawajui gharama iliyoko ndani yako.
Baba Nabii Mungu akuzidishiye uko mtu mzuri sana kweli hili limenigusa sana,uko mtu mwema sana,mimi niko Burundi nafuata ibada Yako,nimetowa machozi kwa hili,Amen
amzidishie nn awaongoz sala ya toba
Mung akubariki sana baba
Be blessed servant of God may the blessings of the living God be upon you always Spiritual and Physical in Jesus name amen
Mungu akupe maisha marefu san duniani baba
Mtushi mungu azidi kukubariki, watumishi wa mungu wachache sana wenye mioyo kama hii yako ya kutoa kusaidia wenye huitaji,wengiwao wanatakatu wapewe na maaskini
Geodevi Mungu akupe maisha malefu Mungu awe nawe yep by step wanao kutafta kwa ubaya wapatwe na mabaya Mara 70 nitachoka kukuombea nikiwa nimekufa!🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Baba tunashukuru Sana Sana ❤❤❤❤
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, na akujalie siku nyingi za kuishi
Ubarikiwe zaidi baba
Mungu mwema sana.Mungu Asante Kwa zawadi ya Nabii Duniani
MUNGU hana mshirika wala hana mtoto,huyo ni mungu na sio Mungu
Action zenu na baba wa mungu wenu,anawapoteza
Baba ww ni mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana sana.
Dah! Ukiona mpaka nabii anadondosha chozi kwa hili. Ujue ni maumivu kiasi gani ameyasikia. Amina baba. Kutoa ni moyo na sio utajili. Ninachokiona kwako ni hekma za kimungu ulizonazo. Maana km pesa wako watu wengi wanapesa kuliko wewe lkn ndugu tu wanashindwa kuwasaidia. Je jilani atamsaidia kweli?. Asante baba uwe na maisha marefu
Ubarikiwe Baba ninafurahia sana matendo makuu unayofanya Kwa watu wa Mungu.
Mungu akuweke sana mtumishi wa MUNGU..
HUYU MTUMISHI NA HII HUDUMA NAFANINISHA NA YESU..WALIMUENDEA WATU WA KILA AINA..
WAZURI NA WABAYA AMBAO WAMEKATALIWA ,NAKUMBUKA MAKAHABA WALIKAA MIGUUNI PA YESU NA WAKABADILIKA...
NAMUONA YESU HALISI KWAKO MTUMISHI HUDIMA YAKO INABADILISHA WENGI.....
by samwel.
Nilisikitika sana nilipo muona dada niliye soma nao hapo shivas anajiuza 😢😢 very pain Ahsante 🙏 Nabii Mkuu kwa kuwa kumbuka hawa wadada.
Jamani so sorry 😢
Kweli kwa hili Nabii mkuu, limenigusa sanaa, kweli hii ndo kazi ya Mungu, si kuombewa tu, na kuwasaidia watu kama hawa, ubarikiwe baba.
Mungu akubariki sana baba kwa utumishi huu na huruma ya kiungu unayoionyesha
Sio muombewe afu mrudie uchafu wenuuu mtalaaniwaa
Mzee waangalie hao wengine janja janjaaaaa
Mungu azidi kuinuka ndani yako utulee na kututunza kondoo wa Mungu, Barikiwa Baba
Daaahhh Umenigisa sana... Ubarikiwe sana Mtumishi
That Is My DADY❤
Peleka Tako akupakue nyoko ww
God bless you more man of God
Ooh my mpaka Kuna wanao taka kuolewa 😢😢😢😢😢 Mungu awatendehee sawasawa Na hitaji la kila mmoja wenu Amen
Akiii ni huruma sana 😢😢 lakini huyu baba kuwasaidia akii mungu atamlipa pakubwa sana kumstiri mtu ane jiuza kwa shida aseee 😢😢😢 mpka machozi eeh mtu unajiuza imechoka lakiniii eeh
Unarikiwe sana mtumishi mwaminifu wa Mungu nabii mkuu kuwasikiliza vijana wetu hawa naomba uwaombee waokoke.
Apo mtumishi nimekukubali sana sipendwi kiangalia mahubir Kwenye mitandao ila Kwa hili baba mungu akutunze sana Niko mwanza ila nimeingia mtandaoni nikakutana na kitendo hiki ulichonifanyia mpaka nimehis kulia mungu akutunze na uendelee kumsaidia baba
Mungu awafungue ....Mungu akubariki sana Nabii mkuu
Wacha ww
Japo mm nimzambi baba,japo mm nimgumu sana na nimchanga mno katka Imani Ila nampenda mungu sana ,Ila kwahiili tukio nabii ubarikiwe sana baba na usikomee kwahao tusaidie nasie niwajawako baba tutetee na utuokoe nafamilia zetu japo hatuna chakukupa Ila tumeguswa na maombi yako tunaimani utaenda kutenda mioyoni mwetu Amina mungu akutie nguvu zakutosha mtumishi wa mungu maneno wanayokusema hayatapata kibali katka ufalme wowote ule tunaamini nakuomba katka jinalabwana aliyehai Amina
Hawa ndio watumishi wa Mungu halisi. wanaowasaidia watu ktk uhalisia. Sio wachungaji wengine wanakamua sadaka ya kondoo zao na hawana mabadiliko yoyote kiuchumi
Dah! Nilikuwa simpendi huyu baba, na wala hata nilikuwa sijui kwa nini simpendi! Ila kwa haya anayoyafanya kwa kuwasaidia hata wale ambao kwenye jamii walikuwa huenda tuliwaona hawana maana na hawafai kbs machoni pa watu, lkn Geordavie nabii kawapokea na kuwaheshimisha, hakika nimempenda tokea siku ya leo. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na azidi kukubariki na kukuongezea mara dufu pale unapopunguza kwa ajili ya kusaidia watu.
❤❤❤❤❤❤ kweli hufikii kwangu
Baba Ngurumo Mungu akubariki sana Unafanya kazi njema Ubarikiwe sana
Mungu akusaidie sana mtumishi wangu sana saidi ya sana
kanisa ni kusaidia wengine. Wachungaji kujitoa kwajili ya wengine. Napendaga sana makanisa ya namna hii.
Baba mungu akubaliki Sana kwa huduma yako kubwa ya kinambii hakika wewe ni nabii wa kipekee nduniani Zima wewe ni zaidi ya manabi wote Dunia zima ni zaidi ya wafarume wote Duniani mungu kanipa maono hayo wewe ni zaidi ya pesa na vitu vyote vya samani Duniani sisi Tanzania mungu ametuendelea mno kuwa na wewe.hapa Tanzania ❤❤❤
Mh!
Ooh Mungu liokoe Taifa litambue shida iyo Kwa wamama wetu jamani daah!
MUNGU akubariki mutumishi wa MUNGU Kwa kusimama na ndungu zetu
Asante baba mungu amekuita💪💯🙏
kwakwel Nabii wa Bwana huumoyo Mungu alio kupa nimoyo waajabu😢😢 endelea kusimamia wito huu mkuu najua unapigwa mawe sana ila jipe moyo utashinda nakufananisha na mtumishi Tibijoshua alietangulia mbele zahaki kweli Imani pasipo matendo imekufa
Geordavi baba mungu amekuona zaidi kwa hilo ulilolifanya naomba Kasai die na yatoms
Matatizo ni mengi hapa duniani sio kama wanapenda mungu akubariki mtumishi wa mungu.
Hela iliyo barikiwa? This speaks volumes! Jicho la rohoni litang'amua. Msaada haukataliwi na umefanya vizuri. Ila simuloni Yesu hapo!
MUNGU akubarik mtumishi wa MUNGU pia dada zangu jipeni moyo mkuu hakuna linalomshinda MUNGU hakuna aliye mkamilifu wote ni watenda dhambi ni neema ya MUNGU tu kuwa hatuangamii ni furaha mbinguni kwa mmoja aliyetubu nawaombea kwa MUNGU awape maisha mapya yenye furaha ameeeen
Glory to Almighty God
Mungu akuinue akupe maisha marefu