Askofu Gwajima aweka wazi namna wachawi wanavyologa watu | UCHAWI UPOO!!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 พ.ค. 2021
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

ความคิดเห็น • 81

  • @brendakerora1707
    @brendakerora1707 2 ปีที่แล้ว +2

    Im happy I found you in you tube 🇰🇪 unanitia nguvu apostle ubarikiwe

  • @apostlefredricksyengo2002
    @apostlefredricksyengo2002 3 ปีที่แล้ว +4

    Hallelujah, kila wakati Askofu wanitia nguvu, moree grace🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @romainebashizi7638
    @romainebashizi7638 3 ปีที่แล้ว +5

    Ooooh God! I love this man of God. My life has changed a lot since listining to his sermons. God bless you Bishop Gwajima

  • @evagumbo6731
    @evagumbo6731 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameeeen Mwana wa Mungu nakuelewa sanaaaa,Bwana akutende mema siku zote unatuimarisha mnoo rohoni nakuelewa jina tulilopewa namamlaka tuliyonayo hakika mashaka na hofu havina nafasii kwa jina la Yesu, namshukuru Mungu kwakukuleta Duniani,unaitenda kazi yake vyema kabisaa kwa uaminifu mkubwa na siyo mchoyo wa maarifa

  • @malikaalimwashaka2444
    @malikaalimwashaka2444 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen napokea nuru ya macho ya moyoni ili nilijue tumaini la wito Mungu ndan yangu

  • @erickaguo2556
    @erickaguo2556 4 หลายเดือนก่อน

    Asantee baba kwa somo😊

  • @salhaeliya8330
    @salhaeliya8330 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina Bishop nabarikwa saana by agatha

  • @LampadLewandowsk
    @LampadLewandowsk 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuinue zaidi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 ปีที่แล้ว +1

    Vimeumbwa na Mungu . Mimi ni mwana na Mungu, sura,matendo nk vyote ni mbegu iliyotengenezwa na Mungu tu. Asante kwa somo Mzee Gwajima.

  • @user-cl3he4ps5e
    @user-cl3he4ps5e 10 หลายเดือนก่อน

    Tunakufuatilia kutoka Burundi.We love you too much.

  • @heroes1932
    @heroes1932 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante baba unanibariki sana, kila nikikusikiriza Imani yangu inaongezeka na kukua nakupenda sana Bishop Gwajima am your follower nafata nyayo zako Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu sana

    • @lileoh3893
      @lileoh3893 3 ปีที่แล้ว

      Mtaendelea kutumiwa kama punda

  • @rhodamahembe3206
    @rhodamahembe3206 ปีที่แล้ว

    Amen napokea Nuru ya macho ya rohoni katika jina la Yesu

  • @jimmyalfa1462
    @jimmyalfa1462 3 ปีที่แล้ว +2

    Tuko pamoja mzee wangu

  • @mpogomialexandermussa248
    @mpogomialexandermussa248 3 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi wa bwana barikiwa sana mtumishi wa bwana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥

  • @loiceomwola7451
    @loiceomwola7451 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana Bishop

  • @margaretrukerebula6826
    @margaretrukerebula6826 3 ปีที่แล้ว +2

    Shalom my Bishop jemadari was Yesu blessings from Kent uk

  • @loisndossi9877
    @loisndossi9877 ปีที่แล้ว

    U-mkuu Sana mbele za Mungu na kwetu ni zawadi.

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 3 ปีที่แล้ว

    Ameen..Asante kwa maarifa haya..mafundisho ni mafupi mno.

  • @peterkobaai2639
    @peterkobaai2639 3 ปีที่แล้ว

    Barakiwa Sana mtumishi kwa Neno la ukweli

  • @alicensabimana7293
    @alicensabimana7293 3 ปีที่แล้ว

    Maman
    Karibu siku nyingi
    Ubarikiwe
    Nafurahiya kuku on a

  • @happynessgodfrey3678
    @happynessgodfrey3678 3 ปีที่แล้ว

    Jamani gwajima ananikosha roho mungu akubariki baba

  • @theresiamhina9714
    @theresiamhina9714 3 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa Baba 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 6 หลายเดือนก่อน

    Gwajima kazana kazana yesu ameinuliwa

  • @rachelmakokha7389
    @rachelmakokha7389 3 ปีที่แล้ว

    Amen Amen

  • @favourndila8474
    @favourndila8474 ปีที่แล้ว

    Ameeen in Jesus Christ Mighty name

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 ปีที่แล้ว

    amen nimepokea

  • @pauloteleja7548
    @pauloteleja7548 3 ปีที่แล้ว

    Aminaa

  • @adamkiba8082
    @adamkiba8082 3 ปีที่แล้ว

    Thanks thanks thanks thanks

  • @rhodamwita3
    @rhodamwita3 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli nimeamini nilpata uvimbe kwenye mfuko wa uzazi baada ya kula vyakula mara kwa mara kwenye ndoto.....mara nyingi nikiota naamka nakemea sijui huwa nakosea wapi au bado rohoni mchanga?nahitaji msaada saidi mimi ni mwana ufufuo mwenzenu

  • @irenengina233
    @irenengina233 3 ปีที่แล้ว

    Mwavuli juuuu...asante Bishop

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 5 หลายเดือนก่อน

      Majeshi majeshi, majeshi ya BWANA

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 ปีที่แล้ว +1

    amen

  • @eliurassa2515
    @eliurassa2515 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli Gwajima anlifahamu Gombo

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 3 ปีที่แล้ว

    Namuona leo mama leo, siku nyingi sana sijamuona

    • @saudakabogo
      @saudakabogo 3 ปีที่แล้ว

      Kumbe na wewe unawaza kama mm nimefurahi sana kumwona mama

  • @Lucy-nr2sm
    @Lucy-nr2sm 3 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @jema1232
    @jema1232 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @fettycute3939
    @fettycute3939 3 ปีที่แล้ว

    Amen daddy

  • @josephinewangwe9064
    @josephinewangwe9064 3 ปีที่แล้ว

    🙏 🙏 🙏

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 2 ปีที่แล้ว

    Salute

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 3 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 ปีที่แล้ว

    YESU yu mwema

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen daddy Gwajima

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 2 ปีที่แล้ว

    Amin

  • @monicanelisha1299
    @monicanelisha1299 3 ปีที่แล้ว

    Halleluyah

  • @bibishemartha4378
    @bibishemartha4378 3 ปีที่แล้ว

    Kabisa

  • @chengeson
    @chengeson ปีที่แล้ว

    Mke mwema ana toka kwa bwana ila wa bishop ni mzee kuliko yeye

  • @rapkid6929
    @rapkid6929 3 ปีที่แล้ว

    Unanibaliki Dana na umenitoa mbali ww ni baba yangu wa kiroho pia vyenye mmesimama na wito moja ya corona mi ni Kenyan but sivaangi barakoa Ila mahalo nitazuiliwa kuingiabila na Nina wahakikishoa ya kwa was he hofu me ni Margaret siogopi pia mm ni mwanaheshi pamoja nanyi God bless you na mnikubuke pia kwa maombi

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 ปีที่แล้ว

    C mpaka hixo hela ziwepo za kuzungusha huku & huko? Yalopita yalikuwa ni Magufuli kupelekwa huku & hukoooo.

  • @mwaumark4372
    @mwaumark4372 3 ปีที่แล้ว

    How can I get in touch with man of God? Somebody help me please

    • @yushuaissa467
      @yushuaissa467 3 ปีที่แล้ว

      Go to Tanzania. Lookup his church physical location and contacts online.

    • @mwaumark4372
      @mwaumark4372 3 ปีที่แล้ว

      @@yushuaissa467 asante yushua

  • @marleysumaty2942
    @marleysumaty2942 3 ปีที่แล้ว

    Sema frequency 😄😄😄

  • @emmanuelnkombe7228
    @emmanuelnkombe7228 3 ปีที่แล้ว

    Type maarifa ya Rohoni MTU wa MUNGU.

  • @johnyty498
    @johnyty498 3 ปีที่แล้ว

    iv unaweza kuwa daktari bila ku..practice mambo ya kidaktari??
    GOD is GOD

  • @user-cl3he4ps5e
    @user-cl3he4ps5e 10 หลายเดือนก่อน

    Napenda kupata orodha ya vitabu ulivyo andika ili niweze kuchagua ntakavyo vinunua

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 3 ปีที่แล้ว

    Eti ngwaji nikwanini Uliiba kura?

    • @rubymasuku7514
      @rubymasuku7514 3 ปีที่แล้ว +2

      Seth swali lako ni hopeless ishi Leo SIYO jana😭😭😭😭

  • @kibuabigo8467
    @kibuabigo8467 3 ปีที่แล้ว +1

    Niliota kaka yangui amejifunga kitenge changu na anachinja kuku anamuachia lkn kuku hajafa ila damu ikamwagika,hicho kitenge si rahisi kujifunga yy kk angu,na wakati huo yy yupo kwnginge na mimi mkoa mwingine,nikapotezea lkn nikikaa wazo la ile ndoto inanijia mara kwa mara ikabid niunganishe matukio maana kunasiku niliota rafiki yangu ambae alikua amefarik amenijia na kunikalia kwenye mbavu nililala kifudifudi sasa yeye akawa anainuka anakaa huku anasema unsringa sana ww utaona,niliumiza kichwa km mwez hivi nikapata fatak za hatr ndipo nikajua zile ndto mbili ni kitu halisia hd walionifanyia hyo mambo nikawajua kutokana na matukio,tuheshim ndoto zinamaana sana,NILIPOWAJUA NILIWAAMBIA WAZIWAZI ASANTE MUNGU KWA KUJUA NA KUNIFUNDISHA KILA SIKU,sasa hv yanawarudia wao sifa kwa ungu

  • @orentosebastian6074
    @orentosebastian6074 ปีที่แล้ว

    bishop samahani naomba unisaidie swali hili roho ikitolewa si huwa mtu anakufa? je hii roho ambayo mchawi anaweza kukuchomelea ndani yako je inakuwaje baada ya mchawi kuitoa hiyo roho mbona mtu hafii?

  • @AAl-xy8kl
    @AAl-xy8kl 3 ปีที่แล้ว

    Leo fupi sana

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 3 ปีที่แล้ว

    Kanisa linaloingiza kuongelea Mambo ya ushirikina

    • @francismangula2715
      @francismangula2715 3 ปีที่แล้ว +3

      Ukijua mbinu za anazotumia adui yako ni rahis kupambana nae...au unaskitika mbinu zenu zinawekwa wazi?

    • @yushuaissa467
      @yushuaissa467 3 ปีที่แล้ว

      @@francismangula2715 Art of War by Ssun Tzu

    • @brendakerora1707
      @brendakerora1707 2 ปีที่แล้ว

      @@francismangula2715 😆😆😆😆

  • @nicolaus4088
    @nicolaus4088 ปีที่แล้ว

    Namininunuliegari ainayakentaniwe nakuleteaviazi

  • @rachelmakokha7389
    @rachelmakokha7389 3 ปีที่แล้ว

    Amen Amen

  • @farajamkuchu8458
    @farajamkuchu8458 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @henryxavery1713
    @henryxavery1713 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @mainajemima1442
    @mainajemima1442 3 ปีที่แล้ว

    Amen