Maa Shaa Allah ukhty,, I wish nikiolewa niwe na wenzangu au niolewe uke wenza ila nahitaji mwalimu wakunifunza SoMo Hilo. Ukhty I wish ungekuwa mwalimu wangu. I wish 😢
Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.
Mimi Ni mkristo lkn nimejifunza kitu kikubwa Sana kupitia somo hili pia umeniponya Moyo kwa kiwango kikubwa Sana🙏 hii elim sio kwa waisilamu tu Bali hata sisi wakristo kipo chakujifunza.shukran san
Mashallah wewe ni kijana wa dhahabu duniani karibu kujifunza dini kupitia midahalo ya masheikh mbali mbali mfano sheikh saidi kinyogali, Dr sule,salim daawa hamza mahene, Yusuf wambugu
Uft sahizi hamna uwadilifu ni mtihani mwaname anawatesa wanawake tu sahivi hamna kitu ni. Mtihani kula ni yashida anakolala anapeleka huku haleti hujuwi nguo ya iddi wala ramadhani na matusi tu
Mimi niko na dada yangu anamateso ya ndowa yeye ni wamwanzo lakini ni shida tu kula ya shinda idd hampi nguo hata moja watoto mtihani pakula wanalala chini anakuja kuosema nyumbani iweje hamna kitu analiya kwa aghadhabu ya mume wake kwa kweli mtihani mimi naenda nikayaona kwa macho yangu
Ma shaa Allah!!! KONGOLE UKHT FATMA MDIDI! ALLAH AKUHIFADHI.
Mashaallah hakika nimejinfunza mengi allah akulipe kheri fatma nimekupenda kwa hidhini ya allah
Mashallah uhti Allah akubarik twambie ukweli maana sisi wanawake wengi hatutaki kusoma dini yetu baada ya umbea tu .
Kama mwenyezi mungu amewakubalia sisi ni nani tukatae amri ya Allah inauma lakini tuwe na subra. Na nyinyi wanaume mumuogope mwenyezi mungu
MaSha Allah TabarakaLlah Mungu Akuhifadhi. Swadakta Habibty. Umezungumza Mada, Muhimu. Mungu Akujaze Kila la kheri
Amiin yaarab
Mashaallah....Allah atujalie wake wenye uelewa kuhusu dini na ukewenza ..
Masha Allah ukhty umeongea vzr sana nimepata Elim kubwa sana, Allah akutunze
Mashallah dada fatma kwakutupa mawaidha nzuri kwa kutufunza wanawake mada ambao ni gumu sana kwa wengi kukubali
Maashaallah ustadhat Allah amekuongoza ktk hili,ni adhimu kupata haya!,Allah atuhifadhi na atupe mwisho mwema
Namuomba sana Allah niwe na elimu kma yako dada🤲🤲🤲🤲🤲
Nakupenda sana ukhty kwang n kama mama kabisa na unanipa san nguvu nakuona hata kama nikiolewa naweza
Maa Shaa Allah ukhty,, I wish nikiolewa niwe na wenzangu au niolewe uke wenza ila nahitaji mwalimu wakunifunza SoMo Hilo. Ukhty I wish ungekuwa mwalimu wangu. I wish 😢
Uko z wpi my mm nataka mwenzangu
@@ashuraidd9117 dar es salaam
Mashallah tabarakallah mwenyezi mungu akujaze kila la kheri dadaetu kipenzi nimejifuza sana kuhusu ibada hiyo
Mashaalah Allah atujaalie tuweze kutimiza mapenzi ya kweli
Mashaallah ingawa cna mpango wa kuowa uke weza ila darsa ni zuri ❤❤❤❤
Mashallah tabaraka llah 👍🤗 Allah atuwezeshe Kwakwel Ukewenza unapingwa Saana ❤️❤️❤️ Shukran sana 😘
Asalam aleikum masha Allha Allha Akulipe kheli dunia walAkhela
Nmejifunza pakubwa alhmdullah Allah akujaliee mwisho mwema inshallah
Ma sha Allah Tabaarakallah Shukran ukhti fatma mdidi Kwa darsa muhim saaana lenye mazingatio makubwa🤝🤝🌹❤️
Mashaallah mashaallah mashaallah mwenyezi Mungu akulipe bi fatma nimepata faida kubwa sanaa
mashaAllah ukhty Fatma tumeipa elimu❤️❤️
Masha Allah, Jazaka lahu Khair. Umetujenga ki-imani,
Allah atujaalie kila la kheri na ww akujaalie umri mrefu
Ukhty kwa hakika ume sema kweli na darsa nzuri sana hii.
Kwa ushauri, inge pendeza zaidi unge ifunika kwa khimaar sura yako....................
Funika USO dada usitamaniwe
mashaallah TabaraqaAllah nakupenda sana ukht
Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.
Mashaallah. Allah akulipe kila la kheri
Somo zuri,mashaa Allah ukht fatma mdidi
Shukran nimejifunza sana Allah akulinde na baba yako ampe makazi mema amin
MashaAllah....shukran kwa kutupa elimu kuhusu hili jambo
Maashaallah..... Hongera sana Ukhty Fatma kwa weledi aliokujaalia Allah S.W.T
Mashaallah.uht Fatma jazaka Allah heer
Wanaume wamepewa idhin ya kuoa zaid ya mmoja ....hiyo ni kher kwao wakiwa wako kwenye tawhid
Mungu akujalie mama
Alhamdulillah ya Allah Allah akuzidishie umri uzid kutuelimisha akujalie khemir ya dunia na akhera amiin
Mashaallah
Allah akulipe kheir inshallah mwalimu wetu
Mimi Ni mkristo lkn nimejifunza kitu kikubwa Sana kupitia somo hili pia umeniponya Moyo kwa kiwango kikubwa Sana🙏 hii elim sio kwa waisilamu tu Bali hata sisi wakristo kipo chakujifunza.shukran san
Yaani huyo ukhty mashallah wako 4...ikiwa yeye ni mke wa kwanza.. Wanapendana saana
Mashallah wewe ni kijana wa dhahabu duniani karibu kujifunza dini kupitia midahalo ya masheikh mbali mbali mfano sheikh saidi kinyogali, Dr sule,salim daawa hamza mahene, Yusuf wambugu
Ubadilike
Mashaallah Allah akipe mri mrefu
Yan huyu dada ananifurahisha sana sio anaongea tu ila anayaishi anayoyaongea
Nakukubali sana my teacher
Mashallah ukhty Fatma Mussa, Allah akulipe Kila kheri. Allah Amiin.
Jazakallah khayran
Mashaallah dadangu Allah akupe umri mada tamu xna
Masha Allah
😂😂😂😂😂😂bismilah mashalaah. mawaidha mazuri sana.ALLAH AKUWEKEEE UKHTY FATMA❤❤
Somo zuri hili..mashaaAllah
Jazakumullah kheir
Masha Allha 🔥❤️🔥
Shukurani sana mama kwa darasa zuri
Barakallahu fit kum
asalam alaikum ww nitowe shukran hajati nina ulizo wenye sio wajani hawaruhusiwi kuolewa
Manshallah Nimejufunza kitu ALLAH Akuifazi 🤗🤗😘😘
Ndoa za ukee wenza zinapunguza Zina kwa upande zote kike kiume
subutu
kabisaa
Asnte ukhty umenifumbua macho mana mm mwenyewe npo kwenye hii sunna
Mashallah ❤❤🎉🎉🎉ukhty fatma Allah akulipe🤲
umesema vzr jazaa ya wema
Mashallah habibty nakupenda bure bure
Mashallah allah akuongezee inshallah
Mashaallah mungu atuwezeshe inshaallah.
MashaAllah sister Fatma nimejifunza mengi 🥰🥰🥰
Shukran jazla ustadha
Masha Allah baraka Allah 🤲
Sijajutia kukuckiliza💙💙
MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤❤❤👌👌
Swadakta
Uft sahizi hamna uwadilifu ni mtihani mwaname anawatesa wanawake tu sahivi hamna kitu ni. Mtihani kula ni yashida anakolala anapeleka huku haleti hujuwi nguo ya iddi wala ramadhani na matusi tu
Shukran sana ukht nimekuelewa tupe namba zako tukiitsji ushauri inshaallah
Maa Shaa Allah
Ukht naomba kuuliza km mtoto wa mama mkubwa Na mama mdogo kuolewa Na mume mmoja Je yafaa
Mtoto wa mama mkubwa na mdogo inafaa kuolewa pamoja Tena inapendeza kweli
Mashaallah, ustadhat
Mashaa Allah tabaraka Allah
Jazakallah khaira
Ma shaa Allah tabarakallah jazakallahu kheir
Nimejifunza mengi s
Mashallah tabarakallah nimeipenda sana mada
MashaAllah 🥰🥰🥰
Masha Allah 🥰🥰
Manshallah nimekuelewa ukhty
Ukhty umeongea pwenti sana 😢
1:39:04 1:39:04 1:39:04 1:39:04
Maashaallah maashaallah maashaallah
Assalam alaykum warahmatullah Naomb namba ya ukhty fatma
Nakupenda Kwaajili ya Allah
Assalaam alaykum
Naomba namba za ukhty Fatma mdidi tafadhali
Mashallah kwamafundisho mazuli
Allah atujaalie tuwe waumini wema
Mashallah ❤❤❤❤
Aaah hapana Kwa kweli ukewenza Mimi stakiii,hata ake nan hamjaniconvice
Dada yangu naomba namba zako ninashida kuhusu huo uke wenza huenda ukanisaidia
Kwa yule kwenye uwadilifu Ila kwa Zama hizi muadilifu ninani huyo moja shida tuu
UKTY naomba namba yako nikupigie. inshallah
Mashaallah 😍😍😍🤲🤲
MashaAllah TabaraqaAllah 🌹❤️
Namba zako wajina tupate tukuulize tuliyonayo
Ujueukewenza
Assalam alaykum
VIP.. nambayako
Mimi niko na dada yangu anamateso ya ndowa yeye ni wamwanzo lakini ni shida tu kula ya shinda idd hampi nguo hata moja watoto mtihani pakula wanalala chini anakuja kuosema nyumbani iweje hamna kitu analiya kwa aghadhabu ya mume wake kwa kweli mtihani mimi naenda nikayaona kwa macho yangu
Hilo ni tatizo la MUMEWE .KAMA ALIVYOSEMA UKTY KUWA HANA IMAN AU ELIMU.
Mimi Nataka Namba za uyo mama nisaidien ninashida nae
Ukipata unitag na mim
ماشاءالله تبارك الله كلام صحيح مايه بي الميه والحمدالله على نعمه الإسلام الله يبارك فيك
MashaAllah tumpende allah kuliko chochote
Kadilia
Tutaelewana tu elim ndio kila kitu
Tatizo ni wanaume