Ya Allah tumedhulumiwa sana sisi wa nyumba kubwa mama wa kambo na.wanawe wametuhangaisha sana kwa mali ya baba yetu naomba malipo wewe ndio tegemeo letu hatuna wa kutupigania yarabi🤲🤲🤲🤲
💔😭YAA ALLAH NAOMBA KWA DHULUMA HII NILOFANYIWA JASHO LANGU YAA RABIY WEWE ULINIONA NILIVYOKUWA NIKITAABIKA JUU YA KUITAFUTA YAA RABIY KAMA VILE WEWE HUPENDI DHULUMA NAKUOMBA MALIPO YAA RABIY NAWEWE UMENIONA NILIVYOUMIYA MOYO WANGU KWA KUDHULUMIWA YAA RABIY NAOMBA MALIPO🤲NAHANGAIKA ILI NISAIDIYE WAZAZI WANGU LEO MTU AJE ALE HIVI HIVI EE MLIPAJI WA HAKI NAOMBA MALIPO🤲💔😭😭😭
Hapo kwakudhulumu wallahi namuwachiya Allah atalipa nime dhulumiwa ardhiyangu,pesa karibu elifu 80 walahi nikikumbuka huliya kila siku ila najuwa Allah yupo atanilipiya insha'Allah 😢😢
Mm kunamtu alinidhulumu nakunifanyia fujo yy nawatotowake wananitukana kilakukicha umwaka wa 3 matusi makubwa nakuniambia mm nikonasulambaya wananifananisha nawanyama nilimuomba mungu anipe subla nisijekujibu mtu mpaka sasa wananitukana wananizomea sijawai mjibumtu namshukulu mungu
SHEKHE WETU NAOMBA PIA USHAURI WAKO JUU YA DHULUMA HII NILIFANYIWA MAANA MOYO WANGU UNANIAMRISHA NIMFANYIYE KISOMO LKN MOYO WANGU UNARUDI KTK SUBRA.. TAFADHALI ARKAS ONLINE TV NAOMBA NIULIZIYENI KWA SHEKHE WETU.. SHUKURAN
WALLAH MPAKA IKAFIKIYA NAKOSA USINGIZI EE MOLA WANGU JASHO LANGU YAA RABIY BORA KAMA NINGEITOA KWENYE JAMBO LA KHERI KULIKO MTU ANIDHULUMU .MOLA WANGU HAKUNA KINACHOKUSHINDA KTK MILIKI YAKO🤲😭
My ww sema alhamdulillah, usisome cjui albadil,sali sana Allah atakupa kwa njia nyngene mie yalinikuta,wallah sikuwaza kufanya lolote baya japo niliumia kama mwanadamu niliongea,lkn niliongea zaidi na Allah wallah Allah alinilipa zaid ya kile,kwaio ww usifanye lolote baya omba tu kwa Allah akupe subra,utasahau na Allah atakulipa badala
@@rehmakondo ALHAMNDULLILAH RABIL AALAMIYN YAA ALLAH 🤲 SHUKURAN DADAANGU REHMAKONDO KWA USHAURI WAKO .ILA HATA MIMI WALLAH HUWA SI TABIA YANGU KUMFANYIYA BINADAMU MWENZANGU UBAYA NA NIMEULIZIYA KWA WASOMI WAMENIJIBU KUWA NI SHIRKI.KWAHIYO NIMEMKABIDHI ALLAH MJUZI WA KULIPA NA PIA AMENIPA UTULIVU WA MOYO WANGU.NIPOKWENYE DUA KWA SASA ALHAMNDULLILAH RABIL AALAMIYN 🤲❤️
@@rehmakondo INSHAALLAH HAKIKA KWA ALLAH HAKUNA KUBWA NAMWOMBA ANISAHAULISHE NAMI NA ANIPE AMANI.SHUKURANI DADAANGU NAHIS FARAJA KWA KAULI YAKO.INSHAALLAH MPNZ UCK MWEMA WENYE AMAN NA UTULIVU 🤲🤲🤲❤️❤️❤️
YAALLAH NISAMEHE MAKOSA YANGU YA DHAHIR NA SHAHIR YARAABI HAKIKA NIMEIDHURUMU NAFSI YANGU YAARABU NAOMBA MSAMAHA NAOMBA MOLA WANGU MLEZI HURUMA NA REHEMA ZAKO YAARABI NISAMEHE KWA YALE NILOYATANGULIZA HAKIKA NAFSI YANGU HAIWEZI KUIHIMILI ADHABU ZAKO YAARABI YAARABI YAARAB NISAMEHE EEH MOLA WANGU MLEZI NAOMBA MSAMAHA WAKO ❤❤🥺🥺
Ewe mollah wangu naomba wapunguzie mitihan wazazi wangu wa wili. Inshallah
Allah atunusur na adhabu ya akhera na dunia kwa waislam wote....nawasamehe wote walinidhulum mim isiwe sabbu. Ya wao kuadhibiwa..na allah..
Mwenyezi Mungu atuongoze, atuepushe na dhulma.
Nampend San Sheikh othman kw ajil ya Allah hakika Allah akulipe ujira mwema isha Allah ❤
😅❤❤❤😂
Asante sana sheith ,Allah akulipe kila la heri , ❤
Mwenyezimungu atunusuru na mitihani ya duniani na akhera yarab ameen!
Yaa Allah walipie malipo kwa wote walodhulumiwa Ameen Yaa Raabil 3alameen............na wenye kudhulumu hata habari hawana Subhana Allah
Ya Allah tumedhulumiwa sana sisi wa nyumba kubwa mama wa kambo na.wanawe wametuhangaisha sana kwa mali ya baba yetu naomba malipo wewe ndio tegemeo letu hatuna wa kutupigania yarabi🤲🤲🤲🤲
Ma sha Allah ya sheik Othman Malim
Allah atuepushe na vitu vya dhuluma Insha Allah
💔😭YAA ALLAH NAOMBA KWA DHULUMA HII NILOFANYIWA JASHO LANGU YAA RABIY WEWE ULINIONA NILIVYOKUWA NIKITAABIKA JUU YA KUITAFUTA YAA RABIY KAMA VILE WEWE HUPENDI DHULUMA NAKUOMBA MALIPO YAA RABIY NAWEWE UMENIONA NILIVYOUMIYA MOYO WANGU KWA KUDHULUMIWA YAA RABIY NAOMBA MALIPO🤲NAHANGAIKA ILI NISAIDIYE WAZAZI WANGU LEO MTU AJE ALE HIVI HIVI EE MLIPAJI WA HAKI NAOMBA MALIPO🤲💔😭😭😭
😢Allah atakusaidia inshaallah
Pole sana dada yangu
Shukuran kakaangu
Ameen
Poleee dear 😊
Yaarabi tuepushe na dhambi hizi 🙏
Shekhe othuman Allah akujalie kher nyingi dunia mawaidha yako ni maxur
Allah atusamehe na atujalie mwisho mwema
Masha Allah hakika tuwaswamehe waliotudhulumu kwa ajili ya kutaka na kupata radhi za Allah illa ukweli dhulma inaumaaa
Mashallah Allah shekhe wetu mawaidha mazuri sana
Allah atusamehe mathambi yetu,kwa yale tunayo yajuwa na tusiyo ya juwa
Ammiin YARABIL ALLAMIN
Mm nilizulimiwa na mvulana Alie taka kunioa kamdhulumu adi mama yangu niliumia Ila Nish samehe kwaajili ya allah
Shukran sheikh mawaidha mazuri kuhusu dhulma allah akupanuliye kifuwa chako ilmu izidi mara dufu
Mashallah Shikh ALLAH SUBHAANA WATAALA akuzidishie elimu na hekma na akulinde na kila shari alizoziumba amin
Allah s.w atunusur na mitihan yarab allah tuhifadh siy viumb wak wadhaif kwak tunaelekea Othman uhibbu fiisabililaa allah atuhifadh..
Mashaallah tabarakaah
Shukran sheikh wetu mawaiza mazuri
Yaarabi tupe moyo wakutosheka
Hapo kwakudhulumu wallahi namuwachiya Allah atalipa nime dhulumiwa ardhiyangu,pesa karibu elifu 80 walahi nikikumbuka huliya kila siku ila najuwa Allah yupo atanilipiya insha'Allah 😢😢
Maashaallah
Mashallah tabarakallah Allah ukumbusho unawafaa wenye Iman❤❤
Mashaalaah
Ila huyu shekhe kiila madam atayoileta " ni atakueleweshen mpaka muelewe tu.. Mwenyewe mungu akujaze kila lenye kheri na wewe
Hakika Mungu nisamehe
Yani ninapo kuskiliza niko na stress huwa nafarijika kabisa Allah akupe mwisho mwema insha
Mwenyezi mungu atuepushe name huu mtihani was dhulma
Allahumah Amin yarabi
Mungu atuongoze kwa kheri
Jazakumullahu khaira, vip kuhusu yule atakayejitangazia kuwa yeye ni mungu kama firaun hii haimhusu.?
Allah akulinde inshaallah
ALLAH ALISHA MLAAMI MTU ACHEBI KUZUA ZUA
Assallam Allaikum ustadh Allah Atupe umri tuzidi kunufaishana katika dini
Mm kunamtu alinidhulumu nakunifanyia fujo yy nawatotowake wananitukana kilakukicha umwaka wa 3 matusi makubwa nakuniambia mm nikonasulambaya wananifananisha nawanyama nilimuomba mungu anipe subla nisijekujibu mtu mpaka sasa wananitukana wananizomea sijawai mjibumtu namshukulu mungu
SHEKHE WETU NAOMBA PIA USHAURI WAKO JUU YA DHULUMA HII NILIFANYIWA MAANA MOYO WANGU UNANIAMRISHA NIMFANYIYE KISOMO LKN MOYO WANGU UNARUDI KTK SUBRA.. TAFADHALI ARKAS ONLINE TV NAOMBA NIULIZIYENI KWA SHEKHE WETU.. SHUKURAN
Usimsomea albaduri ni haramu wewe kuwa tu uswali suna za usiku unamuomba Allah insha Allah utalipwa hapa hapa
@@batulialmass8914 SHUKURAN DADABATULALMASS KWA USHAURI WAKO HAKIKA HAKUNA ZAIDI YA ALLAH ☝️ NDIYE MLIPAJI
Jaman tumuogopeni allah
WALLAH MPAKA IKAFIKIYA NAKOSA USINGIZI EE MOLA WANGU JASHO LANGU YAA RABIY BORA KAMA NINGEITOA KWENYE JAMBO LA KHERI KULIKO MTU ANIDHULUMU .MOLA WANGU HAKUNA KINACHOKUSHINDA KTK MILIKI YAKO🤲😭
My ww sema alhamdulillah, usisome cjui albadil,sali sana Allah atakupa kwa njia nyngene mie yalinikuta,wallah sikuwaza kufanya lolote baya japo niliumia kama mwanadamu niliongea,lkn niliongea zaidi na Allah wallah Allah alinilipa zaid ya kile,kwaio ww usifanye lolote baya omba tu kwa Allah akupe subra,utasahau na Allah atakulipa badala
@@rehmakondo ALHAMNDULLILAH RABIL AALAMIYN YAA ALLAH 🤲 SHUKURAN DADAANGU REHMAKONDO KWA USHAURI WAKO .ILA HATA MIMI WALLAH HUWA SI TABIA YANGU KUMFANYIYA BINADAMU MWENZANGU UBAYA NA NIMEULIZIYA KWA WASOMI WAMENIJIBU KUWA NI SHIRKI.KWAHIYO NIMEMKABIDHI ALLAH MJUZI WA KULIPA NA PIA AMENIPA UTULIVU WA MOYO WANGU.NIPOKWENYE DUA KWA SASA ALHAMNDULLILAH RABIL AALAMIYN 🤲❤️
@@Aminamuhamed insha Allah utakaa sawa my,Allah atajibu kwa wkt na utasahau mpnz,me nimesahau kbsa na nna amani
@@rehmakondo INSHAALLAH HAKIKA KWA ALLAH HAKUNA KUBWA NAMWOMBA ANISAHAULISHE NAMI NA ANIPE AMANI.SHUKURANI DADAANGU NAHIS FARAJA KWA KAULI YAKO.INSHAALLAH MPNZ UCK MWEMA WENYE AMAN NA UTULIVU 🤲🤲🤲❤️❤️❤️
@@Aminamuhamed Nawe pia my, nakupenda kwa ajili ya Allah 😘❤
Subhanallah
Allah akulindee sana
Othman malimu na kukbar sana allah kujalihe barak
Mashaallah Mashaallah
Mungu akujalie
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatu Nakama arhamu zako walikukataa tangu mdogo jee hukmu yake ni vipi sheikh
Jaman Shekh anawake wangap?? Wallah nampenda san afikishiwe hu ujumbe😢🤌
Amebaki na mmoja ndugu yangu
Mimi wakati nilivyokuwa mschana mdogo nina miaka mak 20-25 nilikua napenda sana macho yake walai tena
تبارك الرحمن
Mashallah mafunzo muhimu
Koo anamaana nasaba zako ndugu zako
MashaAllah
Asalam alkm mwenye namba ya shekhe naomba anisaidie ninashida
Sheikh Othman mmi nimedhulumiwa pesa na msichana Saudi Arabia so naomba kusoma albadili
YARABI NAKUOMBA WAJAALIE WAZAZ FURAHA SIKU ZOTE KWA KIDOGO NTAKACHOWAPA
Polle dada angu ingawa na mim yamenikuta week moja iloyopita kikubw dada angu tusubil tu hukmu ya allah yeye ndo mwamba wa miamba
Auma aminaaaa❤❤❤
Uyu ni mtu wa Mungu kweli nahamini
Tena yeye mwenyewe anamthibitishiya ndugu yangu kuwa kudhulum mtu haifani nami namwomba MUNGU kwa kauli yake anilipiye YAA RABIY 🤲🤲💔😭
Nipo Sénégal 🇸🇳
Senegal wanaelewa kiswahili ?
@@salimmohamud5390hahahahahaa😂😂mswahili huyo anataka tujue alipo😅
😢
Shekh Kama Niko na mzazi mmoja ni mama Tu na Baba yangu Simjui na akuwahi ata kunitafuta je..Mimi Kama mtoto wake napataje milango ya Pepo kwake??
Sheikh koo ni nini sijaelewa
Asalaam aleikum
Maneno hayo
Gogo libahali
Sheikh jamani kukata kooo n nni mbn sijaelewa
Kuvunja undugu
Kuvunja undugu
Mungu aninusuru na dhuruma siitaki hata kama mtu atanudhulumu Mimi Sawa ila mm sitafhurum
MashaAllah