Namna ya Kutibu Majeraha ya Ukewenza - Ukht Khadija Idd

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2022
  • Part 2 ya sehemu ya Tatu ya Mada ya Ukewenza na Ukht Khadija Idd

ความคิดเห็น • 273

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji7661 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mawaidha mazuri mnoooooo mashallah mashallah mashallah.... Allah atupe subra kwenye ndoa zetu za uke wenza

  • @user-pf9yz1rt6s
    @user-pf9yz1rt6s ปีที่แล้ว +6

    Yaan ukhtyy natamann mke wangu asikilize mawaidha yako ili nistarehh na mm .ila dahh .mungu akupe umri mreff uzidi kuwaelimisha ukewenza

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt หลายเดือนก่อน +1

    Allah akujaalie utupe elimu zaidi inshallah

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 ปีที่แล้ว +4

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI ISHALLAH AKHUT

  • @fatumabungara6307
    @fatumabungara6307 ปีที่แล้ว +3

    Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.

    • @khadijamohamedkibabi3625
      @khadijamohamedkibabi3625 2 หลายเดือนก่อน

      Ha ha ha ha a a a a hicho Ndo kinachowaumaga wanawake wengi , Ila c Wote walioandikiwa Shida Wengine n Raha

  • @user-hz7gm6ye4y
    @user-hz7gm6ye4y 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana hii video imeniponya maana ndo nilichokuwa napitia kwa sasa..nataman kupata no ya huyu ukty nahitaji sana darasa kutoka kwakee

  • @aisha-rj6uc
    @aisha-rj6uc ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah''' ukhti yangu nakupenda kwa ajili ya Allah. Mada ni nzuri na imeeleweka almuhim kuifanyia kazi ili ndoa zetu zidumu.

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx ปีที่แล้ว +11

    Mashaallah hyu ndio wakumskiliza maana anamaneno mazur yakutuliza moyo.

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 6 วันที่ผ่านมา

    Inauma sana ukewenza maana kuna na ushirikina na maradhi

  • @fettysaidy8621
    @fettysaidy8621 6 หลายเดือนก่อน

    MASHAALLAAH MANENO YENYE MAZINGATIO NA YENYE LADHA NDANI NIMEJIFUNZA MAMBO MAPYA NA MAZURI ALLAAH AKULIPE KHERI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH ❤

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 ปีที่แล้ว +7

    Mashallah tabaraka llah Ukhty wajina Wang Allah akuwekeye wepesi paliopo uzito na akupe mwisho mwema Ukhty ❤️❤️❤️

    • @amirnkokoo3083
      @amirnkokoo3083 ปีที่แล้ว

      🛑🛑maashaalah wakumbushe ukhtiy ili nasi tupate nafasi ya kupeperusha bendera ya kuoa Nathan WA thulaathaa WA rubaagha

  • @Rkim-em3td
    @Rkim-em3td ปีที่แล้ว +5

    Mashaa Allah dadaake
    Allah akuhifadhi duniani na kesho a akhera

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupeni ushind ktk kuwaelimisha wanawke wakislam

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Mungu Akujazie Dadaa

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 ปีที่แล้ว +1

    Nakuombea kwa Allah mtukuf akumiminie khairaat za dunia na akhera.na ma ukhty wenzako ukhty Fatma mdidi nawe unajitahid

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 ปีที่แล้ว +1

    SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏

    • @khadijahidd3678
      @khadijahidd3678 6 หลายเดือนก่อน

      Amiin, Atupe lenye sote

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 ปีที่แล้ว +1

    Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie Kwa kutujuza

  • @aminauwimana9976
    @aminauwimana9976 ปีที่แล้ว +8

    Subhana'allah loe nimesikiya points kilasiku tunataka mawaidha kamahayo masha'allah

  • @halimaissa4
    @halimaissa4 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah

  • @user-zk5kw8pb7r
    @user-zk5kw8pb7r 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Dada mawaiza Yako yamenijenga kiakili hendelea kutupa mawaiza tuimalike

  • @hidayarubibi4224
    @hidayarubibi4224 ปีที่แล้ว +3

    Ma shaa Allah!!!! Somo limeeleweka. Shukraaan mwl Khadija!!!!

  • @sabihasaid9164
    @sabihasaid9164 ปีที่แล้ว +6

    Mashaaallah

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 ปีที่แล้ว +2

    Huu kweli ni mtihani ndugu zanguni subhanallah

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 ปีที่แล้ว +10

    Mi dada nikuambie kitu.
    Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe.
    Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu.
    Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa.
    TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo lenu sio waadirifu

    • @fifo262
      @fifo262 13 วันที่ผ่านมา

      Kabla yakuongeza mke jitasmini huyo 1 ulonae unafika walau nusu ya mahitaji yake? Alafu sasa fanya maamuzi

  • @user-js2kq9xo6q
    @user-js2kq9xo6q 10 หลายเดือนก่อน

    Shukran ukhty Allah akulipe umeniongezea Tiba niseme umeniponya

  • @abushawalihamisi2649
    @abushawalihamisi2649 ปีที่แล้ว

    Allah akuzidishie elimu umefikisha ujumbe mzuri sana ambae hatoelewa atubu kwa mwenyezimungu

  • @farhiaisabella3166
    @farhiaisabella3166 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah barakala Mwenyezi Mungu akutunze Bi Hadija

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  ปีที่แล้ว

      Akutunze nawe pia

    • @buhitexmohamed4785
      @buhitexmohamed4785 ปีที่แล้ว

      @@kalamuMedia waleikum slm ya ustadha shukran kwa mawaidha . Na wenye kusukumwa na kuoa na mavia ?

  • @a.856
    @a.856 ปีที่แล้ว +1

    Jazakallah khayran

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 ปีที่แล้ว

    Maa shaa Allah jazakallah kheir

  • @aishasaid7067
    @aishasaid7067 ปีที่แล้ว +1

    umenichekeeeesha sana ,worth sharing

  • @zuenamsonga5274
    @zuenamsonga5274 ปีที่แล้ว

    Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe

  • @JuniJuni-ki9vk
    @JuniJuni-ki9vk หลายเดือนก่อน

    Mashallah mashallah

  • @jumabakari4277
    @jumabakari4277 ปีที่แล้ว

    Mashallah, Allah akullipe kheri inshallah

  • @rehemamustapha364
    @rehemamustapha364 ปีที่แล้ว

    MashaAllah asante kwa darasa nzuri

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 ปีที่แล้ว +2

    Shukran jaziilan

  • @user-cq5nw6vi7t
    @user-cq5nw6vi7t 3 หลายเดือนก่อน +1

    Assalam alykm Dada iyo Mada ninzuri Sana ila Kanahawa wake wadogo ndo wanao sababisha matatizo

  • @nadhifahassan168
    @nadhifahassan168 ปีที่แล้ว +2

    Allah akulipe kheri Maashallah

  • @yusufumindu-mc6uh
    @yusufumindu-mc6uh ปีที่แล้ว

    Jazakallah khyra!!!!

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah! Shukran kwa darsa

    • @twahamachozi8018
      @twahamachozi8018 ปีที่แล้ว

      Naomba taratibu za kumpata dada huyu tumpe mwaliko aje singida kwa ajili ya dawa

  • @umurengeramwanaidi6915
    @umurengeramwanaidi6915 ปีที่แล้ว

    Mansha allah allah awazidishiye

  • @zainabolenga2829
    @zainabolenga2829 ปีที่แล้ว

    A w w ahsante sana dada mwenyrzi mungu akulipe mashaallah

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 ปีที่แล้ว

    Masha Allha wajina Allha akuzidishie kila lakheli tunazidi kujifunza mengi

  • @fatushayaan8316
    @fatushayaan8316 ปีที่แล้ว +3

    salalahu calayhi wasalam ♥️

  • @user-yr5lh3mp8v
    @user-yr5lh3mp8v 11 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhi ukhtih uke wenza unauma ila umenifariji

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akutongoze siku zote umenisaidia Sana🙏🙏

  • @kholaabdulrahman1750
    @kholaabdulrahman1750 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.

    • @johasaidy1471
      @johasaidy1471 ปีที่แล้ว

      Mashallah Mashallah barakallah ❤❤

    • @khadijahidd3678
      @khadijahidd3678 ปีที่แล้ว

      Alhamdulillah Allah akulipe kheri dear na akuongoze katika wema

  • @azizadjumadazuu2731
    @azizadjumadazuu2731 ปีที่แล้ว

    Maa shaa Allah bi Khadija umenijenga kwakwel Allah akulipe kheir

  • @fatushayaan8316
    @fatushayaan8316 ปีที่แล้ว +2

    masha allah

  • @VivianYombayomba
    @VivianYombayomba หลายเดือนก่อน

    Mungu anipe moyo kama wako sijui nitaweza mume wangu anawake wanne naisi kufa

  • @remaz-tf6zh
    @remaz-tf6zh ปีที่แล้ว

    Shukrani ukhty

  • @mejumaamwachirero7324
    @mejumaamwachirero7324 ปีที่แล้ว

    Shukran San Anty

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 ปีที่แล้ว

    Wafikishie MAANA wanamaradhi Sana ya USUMBUFU

    • @khadijahidd3678
      @khadijahidd3678 6 หลายเดือนก่อน

      Ujumbe ni wa wote. Tujielimishe

  • @zainabubwa9569
    @zainabubwa9569 ปีที่แล้ว

    Mshlah jazzakaAllah khairah

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 ปีที่แล้ว

    MashaAllah ❤❤❤ shukraan habibty

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 ปีที่แล้ว +1

    Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.

    • @khadijahidd3678
      @khadijahidd3678 ปีที่แล้ว

      Akupende zaidi Mola wetu mlezi, habibty

    • @kitengenyembo4223
      @kitengenyembo4223 ปีที่แล้ว +1

      Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki

    • @majutoyussuf6191
      @majutoyussuf6191 ปีที่แล้ว +1

      @@kitengenyembo4223 Ma shàa Allah Allah awape upendo wa dhati

    • @zulfashabani4890
      @zulfashabani4890 ปีที่แล้ว +1

      Allah akubariki ww na familia yako

    • @husnaally7964
      @husnaally7964 ปีที่แล้ว +1

      @@kitengenyembo4223 Maa shaa Allah.Allah awazidishie mapenz nawe uzid kuwaombea Dua wake zako

  • @damandokondoko1787
    @damandokondoko1787 ปีที่แล้ว

    Mashallah mashallah mashallah mwenyezi Mungu akubariki uendelee hivyo hivyo kutupa darasa nzuri

    • @RonicahWilson
      @RonicahWilson หลายเดือนก่อน

      Mungu akulinde pamoja nafamilia yako uzidi kutupoza vidonda

  • @aminaabebe205
    @aminaabebe205 ปีที่แล้ว +2

    Shukren..

  • @ridhiwan8030
    @ridhiwan8030 ปีที่แล้ว

    Mashallah allah bariki

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 ปีที่แล้ว +1

    NAKWELI KABISA, ALLAH NDIO AWE KIPENZI CHAKO ZAIDI, KISHA MTUME, KISHA MENGINE.

  • @zainabuseiphu-pq4kp
    @zainabuseiphu-pq4kp ปีที่แล้ว

    Mashaallah umenijibu maswali niliyo kuwa najiuliza mume akiingia akitoka neno hata ongeza mkee

  • @sabiha8869
    @sabiha8869 ปีที่แล้ว

    Manshalla maneno mazuri sana

  • @MuhammadHamisi
    @MuhammadHamisi 2 หลายเดือนก่อน

    dada uko vizuriiiiiiiiiiii sana

  • @amonaamona3816
    @amonaamona3816 ปีที่แล้ว

    Alhamdhulillah nikweli tutajitahidi mungu atuwezeshe insha'Allah

  • @majutoyussuf6191
    @majutoyussuf6191 ปีที่แล้ว

    Ma shaa Allah Allah akujaze kher

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah shukran kwa darsa nzuri

  • @user-uf5ye4lj9b
    @user-uf5ye4lj9b 3 หลายเดือนก่อน

    We ndo mimi mashaallah hata sim sishiki

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri ukhtii

  • @sygtamks1643
    @sygtamks1643 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 ปีที่แล้ว

    ALAH akubaariki Sana ktka DAAWA yako ya uke wenza

    • @khadijahidd3678
      @khadijahidd3678 6 หลายเดือนก่อน

      Amiin, Atubariki sote

  • @zainabdambu7091
    @zainabdambu7091 ปีที่แล้ว +1

    Allah akupe pepo ya daraja ya juu ukhty

  • @hemedabdallah7534
    @hemedabdallah7534 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaanlah

  • @user-ri9su4ty3o
    @user-ri9su4ty3o 6 หลายเดือนก่อน

    Allah wQbar

  • @user-gd6kt9hu3t
    @user-gd6kt9hu3t 19 วันที่ผ่านมา

    Asalam alaykum mm muume wng akiowa naenda mpaka harusini wala sina kinyongo chochote kile na tunapenda sana

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 ปีที่แล้ว

    MASHAALLAH

  • @ridhiwan8030
    @ridhiwan8030 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @haliyamwijaa6493
    @haliyamwijaa6493 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah, ukthi umeitendea haki mada

  • @tatusalimmwazizi1160
    @tatusalimmwazizi1160 8 หลายเดือนก่อน

    Ma Shaa allah naomba namba ya ustadhat in Shaa allah

  • @mimamambo9537
    @mimamambo9537 11 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @uwimanahamu4583
    @uwimanahamu4583 ปีที่แล้ว

    mashaAllah

  • @fathimamohamed684
    @fathimamohamed684 ปีที่แล้ว

    mwashallah❤

  • @TumaYussuf
    @TumaYussuf 2 หลายเดือนก่อน

    Ni mazingatio makubwa .... Kiukweli Ndoa ni changamoto kiufupi ni kusema alhamdulillah na kuendelea na maisha

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 ปีที่แล้ว +2

    waalykum msaalam waramatulsh wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah ❤❤❤

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 ปีที่แล้ว

    Uko sahihi bi Khadija tuteye nasie tuone kama tutapata ndoa hâta ya uke wenza

  • @user-xh2ie9rv6l
    @user-xh2ie9rv6l 7 หลายเดือนก่อน

    Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu

  • @salmamshakangoto6285
    @salmamshakangoto6285 ปีที่แล้ว

    Innallahmaaswabrin

  • @jumanasoro8903
    @jumanasoro8903 ปีที่แล้ว

    Khadija

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 ปีที่แล้ว +1

    Ukewenza sio shida shida Ni mwanaume

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 6 วันที่ผ่านมา

    Kuoa ni sunna hata mke mmoja sunna na sunna bora ni kua na mke mmoja wanaume hawawezi majukumu yao

  • @majutoyussuf6191
    @majutoyussuf6191 ปีที่แล้ว +3

    Asalam alaykum aky hivyo unavyoongea ndio msimamo nliouchukua alhamdulillah nko na aman wala sibabaiki

    • @husnaummuhysam375
      @husnaummuhysam375 ปีที่แล้ว

      Naomba namba yako

    • @abuumohammed4364
      @abuumohammed4364 ปีที่แล้ว

      Mashaallah Namuomba Allah akulipe gheri atusamehe pale tulipoghafilika

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Maneno mazuri kabisa.

  • @ZainabuHassani-u2u
    @ZainabuHassani-u2u 14 วันที่ผ่านมา

    Mada ni nzul ila hata wake wakubw wanamitihan yao

  • @user-mz8qv1yr1z
    @user-mz8qv1yr1z 6 หลายเดือนก่อน

    It's nihatari sana

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 ปีที่แล้ว

    Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili

  • @aliathuman8736
    @aliathuman8736 ปีที่แล้ว

    MAASHALLAH.JAZAAKILLAHU KHEIR.NATAMANI MKEWANGU AWE AMEKUSKIA

  • @user-vu8ks8co3e
    @user-vu8ks8co3e 10 หลายเดือนก่อน

    Yote kheri Allah atupe wepes⚖️ 22:19

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 ปีที่แล้ว +2

    Ni kweli kabisa, lakini kuna ubaguzi hapo kwa siku zijazo.

    • @aisharajimbo6784
      @aisharajimbo6784 ปีที่แล้ว

      Kama kipi

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 ปีที่แล้ว

      @@aisharajimbo6784 vizazi vijavyo kuhusu watoto yaَ nini kuoa oa kuletesha fitna?

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 ปีที่แล้ว

      @@fatmaalnabhani3609maisha yote ya dunian fitina ww kuepo kwako hp dunian bas fitina kwako na kw wat wengne

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 ปีที่แล้ว

      @@fatmaalnabhani3609 Yani hizi fitina Ni mikakati ya Allah hapa dunian lengo kuchuuja msafi na mchafu

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 ปีที่แล้ว

      @@fatmaalnabhani3609 dada angu tulete istghfar na tusijihisi tuko peke etu na ndo tunastahiki zaid Yale alotufitinia mwenye enz mungu

  • @MkiwaJeneto-tp2md
    @MkiwaJeneto-tp2md ปีที่แล้ว

    Mashallah ukht upo vizuri na.omba namba zako za simu

  • @saidiamiri9518
    @saidiamiri9518 ปีที่แล้ว +1

    Ehee uvae hivyo hivyo

  • @humairamajengo6616
    @humairamajengo6616 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto

    • @shammyshemkunde9577
      @shammyshemkunde9577 4 หลายเดือนก่อน

      Kuna utii na mapenzi, somo ni mapenzi sio utii

  • @user-me7bk4dy5g
    @user-me7bk4dy5g 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi Niko Rwanda nabasaliim unasema ukweli