Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.
SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏
Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah
Mi dada nikuambie kitu. Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe. Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu. Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa. TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.
MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.
Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.
Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki
Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu
Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili
Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto
Mawaidha mazuri mnoooooo mashallah mashallah mashallah.... Allah atupe subra kwenye ndoa zetu za uke wenza
Yaan ukhtyy natamann mke wangu asikilize mawaidha yako ili nistarehh na mm .ila dahh .mungu akupe umri mreff uzidi kuwaelimisha ukewenza
Allah akujaalie utupe elimu zaidi inshallah
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI ISHALLAH AKHUT
Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.
Ha ha ha ha a a a a hicho Ndo kinachowaumaga wanawake wengi , Ila c Wote walioandikiwa Shida Wengine n Raha
Asante sana hii video imeniponya maana ndo nilichokuwa napitia kwa sasa..nataman kupata no ya huyu ukty nahitaji sana darasa kutoka kwakee
Alhamdulillah
Mashaallah''' ukhti yangu nakupenda kwa ajili ya Allah. Mada ni nzuri na imeeleweka almuhim kuifanyia kazi ili ndoa zetu zidumu.
Mashaallah hyu ndio wakumskiliza maana anamaneno mazur yakutuliza moyo.
Inauma sana ukewenza maana kuna na ushirikina na maradhi
MASHAALLAAH MANENO YENYE MAZINGATIO NA YENYE LADHA NDANI NIMEJIFUNZA MAMBO MAPYA NA MAZURI ALLAAH AKULIPE KHERI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH ❤
Mashallah tabaraka llah Ukhty wajina Wang Allah akuwekeye wepesi paliopo uzito na akupe mwisho mwema Ukhty ❤️❤️❤️
🛑🛑maashaalah wakumbushe ukhtiy ili nasi tupate nafasi ya kupeperusha bendera ya kuoa Nathan WA thulaathaa WA rubaagha
Mashaa Allah dadaake
Allah akuhifadhi duniani na kesho a akhera
Aaamin
Amiin
Mungu akupeni ushind ktk kuwaelimisha wanawke wakislam
Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Mungu Akujazie Dadaa
Nakuombea kwa Allah mtukuf akumiminie khairaat za dunia na akhera.na ma ukhty wenzako ukhty Fatma mdidi nawe unajitahid
SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏
Amiin, Atupe lenye sote
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie Kwa kutujuza
Subhana'allah loe nimesikiya points kilasiku tunataka mawaidha kamahayo masha'allah
Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah
Asante sana Dada mawaiza Yako yamenijenga kiakili hendelea kutupa mawaiza tuimalike
Ma shaa Allah!!!! Somo limeeleweka. Shukraaan mwl Khadija!!!!
Mashaaallah
Huu kweli ni mtihani ndugu zanguni subhanallah
Mi dada nikuambie kitu.
Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe.
Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu.
Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa.
TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.
Tatizo lenu sio waadirifu
Kabla yakuongeza mke jitasmini huyo 1 ulonae unafika walau nusu ya mahitaji yake? Alafu sasa fanya maamuzi
Shukran ukhty Allah akulipe umeniongezea Tiba niseme umeniponya
Allah akuzidishie elimu umefikisha ujumbe mzuri sana ambae hatoelewa atubu kwa mwenyezimungu
Mashallah barakala Mwenyezi Mungu akutunze Bi Hadija
Akutunze nawe pia
@@kalamuMedia waleikum slm ya ustadha shukran kwa mawaidha . Na wenye kusukumwa na kuoa na mavia ?
Jazakallah khayran
Maa shaa Allah jazakallah kheir
umenichekeeeesha sana ,worth sharing
Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe
Mashallah mashallah
Mashallah, Allah akullipe kheri inshallah
MashaAllah asante kwa darasa nzuri
Shukran jaziilan
Assalam alykm Dada iyo Mada ninzuri Sana ila Kanahawa wake wadogo ndo wanao sababisha matatizo
Allah akulipe kheri Maashallah
Jazakallah khyra!!!!
Mashaallah! Shukran kwa darsa
Naomba taratibu za kumpata dada huyu tumpe mwaliko aje singida kwa ajili ya dawa
Mansha allah allah awazidishiye
A w w ahsante sana dada mwenyrzi mungu akulipe mashaallah
Masha Allha wajina Allha akuzidishie kila lakheli tunazidi kujifunza mengi
salalahu calayhi wasalam ♥️
Allah akuhifadhi ukhtih uke wenza unauma ila umenifariji
Mungu akutongoze siku zote umenisaidia Sana🙏🙏
MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.
Mashallah Mashallah barakallah ❤❤
Alhamdulillah Allah akulipe kheri dear na akuongoze katika wema
Maa shaa Allah bi Khadija umenijenga kwakwel Allah akulipe kheir
Alhamdulillah
masha allah
Mungu anipe moyo kama wako sijui nitaweza mume wangu anawake wanne naisi kufa
Shukrani ukhty
Shukran San Anty
Wafikishie MAANA wanamaradhi Sana ya USUMBUFU
Ujumbe ni wa wote. Tujielimishe
Mshlah jazzakaAllah khairah
MashaAllah ❤❤❤ shukraan habibty
Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.
Akupende zaidi Mola wetu mlezi, habibty
Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki
@@kitengenyembo4223 Ma shàa Allah Allah awape upendo wa dhati
Allah akubariki ww na familia yako
@@kitengenyembo4223 Maa shaa Allah.Allah awazidishie mapenz nawe uzid kuwaombea Dua wake zako
Mashallah mashallah mashallah mwenyezi Mungu akubariki uendelee hivyo hivyo kutupa darasa nzuri
Mungu akulinde pamoja nafamilia yako uzidi kutupoza vidonda
Shukren..
Mashallah allah bariki
NAKWELI KABISA, ALLAH NDIO AWE KIPENZI CHAKO ZAIDI, KISHA MTUME, KISHA MENGINE.
Mashaallah umenijibu maswali niliyo kuwa najiuliza mume akiingia akitoka neno hata ongeza mkee
Manshalla maneno mazuri sana
dada uko vizuriiiiiiiiiiii sana
Alhamdhulillah nikweli tutajitahidi mungu atuwezeshe insha'Allah
Ma shaa Allah Allah akujaze kher
Ameen
Mashaallah shukran kwa darsa nzuri
We ndo mimi mashaallah hata sim sishiki
Uko vizuri ukhtii
Masha Allah
ALAH akubaariki Sana ktka DAAWA yako ya uke wenza
Amiin, Atubariki sote
Allah akupe pepo ya daraja ya juu ukhty
Amiin
Mashaanlah
Allah wQbar
Asalam alaykum mm muume wng akiowa naenda mpaka harusini wala sina kinyongo chochote kile na tunapenda sana
MASHAALLAH
Mashallah
Mashaallah, ukthi umeitendea haki mada
Ma Shaa allah naomba namba ya ustadhat in Shaa allah
Mashaallah
mashaAllah
mwashallah❤
Ni mazingatio makubwa .... Kiukweli Ndoa ni changamoto kiufupi ni kusema alhamdulillah na kuendelea na maisha
waalykum msaalam waramatulsh wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah ❤❤❤
Uko sahihi bi Khadija tuteye nasie tuone kama tutapata ndoa hâta ya uke wenza
Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu
Innallahmaaswabrin
Khadija
Ukewenza sio shida shida Ni mwanaume
Kuoa ni sunna hata mke mmoja sunna na sunna bora ni kua na mke mmoja wanaume hawawezi majukumu yao
Asalam alaykum aky hivyo unavyoongea ndio msimamo nliouchukua alhamdulillah nko na aman wala sibabaiki
Naomba namba yako
Mashaallah Namuomba Allah akulipe gheri atusamehe pale tulipoghafilika
Maneno mazuri kabisa.
Mada ni nzul ila hata wake wakubw wanamitihan yao
It's nihatari sana
Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili
MAASHALLAH.JAZAAKILLAHU KHEIR.NATAMANI MKEWANGU AWE AMEKUSKIA
Mpelek darsa
Hahahahahah
Yote kheri Allah atupe wepes⚖️ 22:19
Ni kweli kabisa, lakini kuna ubaguzi hapo kwa siku zijazo.
Kama kipi
@@aisharajimbo6784 vizazi vijavyo kuhusu watoto yaَ nini kuoa oa kuletesha fitna?
@@fatmaalnabhani3609maisha yote ya dunian fitina ww kuepo kwako hp dunian bas fitina kwako na kw wat wengne
@@fatmaalnabhani3609 Yani hizi fitina Ni mikakati ya Allah hapa dunian lengo kuchuuja msafi na mchafu
@@fatmaalnabhani3609 dada angu tulete istghfar na tusijihisi tuko peke etu na ndo tunastahiki zaid Yale alotufitinia mwenye enz mungu
Mashallah ukht upo vizuri na.omba namba zako za simu
Ehee uvae hivyo hivyo
Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto
Kuna utii na mapenzi, somo ni mapenzi sio utii
Mimi Niko Rwanda nabasaliim unasema ukweli