Guys this game was like a final.🔥🔥🔥, Thank you so much MO for inviting one of the best Club in the continent. I really enjoy the game. Big congratulations to tp Mazembe and Simba sport club.🇨🇩
honestly, my team tp mazembe performing , I really appreciated and I wish all the best to the team for the caming caf champions league. God bless. from: P.stone
Je suis un supperteur de jskabylie et j'ame le football africain et les clubs africain enchalah viendra un jour en se déplace partout en Afrique bonne chance pour le simba cette année plain de réussite vive la Afrique vive le football africain vive les africains la Afrique pour les africains supperteur de jskabylie algérien et faire d'être africain
Ebana pira limepigwa yaani hapo tembo walikutana. Huo usajili nimeuelewa. alafu nilisema huu sasa ndio wakati wa RB maestro megician left footer kung'aa kama chama.
SIMBA SC, you got a very good and organized team BUT, you need to get a better GOALKEEPER! Your keeper made some stupid mistake that costed the team! Also the upfront attacking players need to focus more & HIT THE TARGET.....There were clear goals but the target was never hit!! TARGET! Simba could have surprised TP Mazembe if only the players shot to the target! In comparison, TP Mazembe upfront attackers kept hitting the target which exposed the keeper Aisha
Hii SIMBA no nzuri sana inakwenda Speed sawa na aina ya mchezo na wanapiga pass fresh kabsa Simba. Yaani hii Simba ni tofauti na ile ya msimu uliopita. Wachezaji hawa wakizoeana katika michezo ya ligi kuu na champions inamaana itakuwa ni timu ambayo itakuwa hatari sana kama sio tishio Tanzania na Afrika nzima.
Yeeeeah, mpira saafi kabisa no matter simba imefungwa lakini imecheza mpira mmoja mtamu sana, congratulations to Tp mazembe, Simba SC pamoja na MO Dewji (MO) kipimo kizuri sana, #nextlevel
Simba nguvu moja msife moyo mashabiki mpora ulikuwa mgumu sna na Simba ilinithidi sanaaaas 25 utopolo hawatoki sisi tunakikosi kixiri sana kinachoaminiwa na kuthubutu kucheza na Timu kubwa km Tp mazembe na nyinginezo
Simba is going to be the best team in Africa.. I have enjoyed the game..BUT manula as goalkeeper .he had made us loose the Game.. We don't need these stupid mistakes anymore.. Manula you have to go to yanga please leave Simba
Gem ilikuwa kali sana ilotawala ufundi na mafundi. Tofauti na yanga mpaka balozi kasema mech ya yanga km mazeozi tu cjaelewa kitu huezi kujua km clab bingwa
Naomba niseme kitu kama azam amefanya hivi Africa mashariki inatulazimu tuwe na camera za namna hii kwa kila kituo cha lining naomba nileweke nisitafriwe vibaya kwa macho yangu nimeona hivo
Umejiuliza Simba super cup zile4G walipigwa na nanani? Simba kapata ajali ya baiskeli,kachubuka tu safari inaendelea,ila uto wazee wa mapokezi wamegongwa na guta chali motchual🙄
Tp mazembe msimu huu CAF CL lazima watafika mbali ...wapo focus sana wana wachezaji wazuri, Simba naona wachezaji walicheza ilimradi tu, mfano Bernad Morrison yaani hakuwa na impact kabisaa
@@linuskyando4155 kwani hao wachezaji wa unaowataja si walishakutana na simba wakiwa As Vita...na kipigoa wakakipata nje ndani..labda kama wamebadilika..
Ukilinganisha mpira uliochezwa Yanga day na huu, hakika Yanga day ilikuwa mechi nzuri. wanafiki endeleeni kuyapamba majezeza badala ya kuchanga hela za matibabu.
Safi Timu kubwa Simba tumefungwa ila ninafuraha sana kwa simba kuthubutu kuiita mazembe haki wamejipoma vizuri mno safi ingekuwa utopolo kumi yashawahusu kama River wamewapiga je hawa wangewapa kumi
Pengo la chama bado linaonekana mechi ya kwanza chama alicheza mpira mkubwa saana mechi na asante kotoko ile ilionesha ni mchezaji wa aina gani lakini wacha tuone hizi middle mpya zitatufikisha wapi wanasimba ila kiukweli huyo wa mbele yetu ajipange aise kwa simba 🦁 hii litakufa jitu Wallah
Simba wangelipewa TP Mazembe badala ya Galaxy kwenye Champions league tungeli kuwa tunakiongelea Nini kwa Sasa aty waende kupinduwa meza Lubumbashi Hahaaaaaaa
Akuna cha mechi nzuri simba ni timu libovu tu wamechezewa mpira mwingi sana mashabiki wametulia kama wamemwagiwa maji
Azam tv ni taifa kubwa kama unamini ivo gonga like
Guys this game was like a final.🔥🔥🔥, Thank you so much MO for inviting one of the best Club in the continent.
I really enjoy the game.
Big congratulations to tp Mazembe and Simba sport club.🇨🇩
Mechi Ilikuwa Ni Nzuri Sana
Bravo to Simba Nadhani Muda Mfupi Ujao watakua na Team Nzuri Zaidi
Kabisa
Mazembe sio kunguru
Mazembe ni mamba
c'est une veritable ligue des champions; match de haut niveau malgré une legere domination de Simba, bravo au TP
honestly, my team tp mazembe performing , I really appreciated and I wish all the best to the team for the caming caf champions league. God bless. from: P.stone
Je suis un supperteur de jskabylie et j'ame le football africain et les clubs africain enchalah viendra un jour en se déplace partout en Afrique bonne chance pour le simba cette année plain de réussite vive la Afrique vive le football africain vive les africains la Afrique pour les africains supperteur de jskabylie algérien et faire d'être africain
TP MAZEMBE mnatumia vinywaji gani niwapooze maana wananchi tungeishi kwa shida
Hahaha kufa kufaana et! Mngenyooka utopolo fc
@@samwelmangi843 haloo jana hata vibaka hawajaiba wamaelala doro kinyamaa
wow I'm Congolese I'm so glad thy perform 😍😍😍😍😍
Kibu he’s Congolese be proud
yes we have to be proud
Licha ya kufungwa na TP Mazembe Ila Simba wameonesha soka safi la kujiamini na kishambulia,Still best team in East Africa.Simba babalao
Umeongea ukweli
Ukweli mtupu
Point sana
Simba ina team bora! Ingawa mm ni Yanga huo ndo ukweli
Wameshida
ukweli gani sasa
Ces jeunes congolais qui sont les corbeaux de tout le temp m'ont fait fierté d'être congolais d'origine 🇨🇩🥰
Tutakutana Kwenyw Mechi Ya Mashindano Ya CAF Champions League Lazima mtafungwa na hapo ndo kwa mkapa
@@mzeewajambo8293 Kabumbu ni fair play
@@ronsardgalilee9488 Ndio Ni Fair Play
Muamko mpya Afrika.
Timu zote zilicheza vizuri kabisa, japo mwisho wa siku baba atabaki kuwa.....
TZ 🤫
simba imefungwa ila kikosi chao ni kizuri saana.
tusubiri mechi zaidi kujua gape limezibwa au bado lipo tu
#NGUVU_MOJA
Bonge la game kama fainali hivi🙏🙏 blessed brother Mo
Ushindani ulikuwa mkubwa sana kufungwa inatokeaga tu km bhti mbaya vile ila simba hki imejithidi sanaa
Manula fundi sema ilkuwa ndo ivo ishaandikwa Simba 🦁 4life
Nguli th-cam.com/video/jIKtN6WUSe8/w-d-xo.html💥💥💥💥💥💥🥰🥰🥰
kolo fc vp kwa mkapa hatoki mtu
Dulinyo😂😂😂😂msalimie rocky
Mm yanga lakini ngao ya jamii tujipange simba hatari
Wewe Simba
Ebana pira limepigwa yaani hapo tembo walikutana. Huo usajili nimeuelewa. alafu nilisema huu sasa ndio wakati wa RB maestro megician left footer kung'aa kama chama.
Simba baba lao
@@ashurazombe580 mhhh
Kufungwa. Kufungwaa. Tu Kama mngeshina mungejisifuu.sannaa
Kushina ndo nini?
Simba ipo vizuri nauakika itafanya vizuri #CCTunamungu
Huyo kinzumbi🔥🔥🔥
Game ilikuwa Kali sana, kama final ya caf champions league
Hatarii
Haya magoli wacongo ni mazoea yao Sasa jipangeni sana Simba Mayele is comming on 🔥🔥🔥
Safiii sn TP Mazembe...bonge la Goliiiii 💪💪💪💪💪
Duuuh
Vumbi sasa
Ngimbi vumbi hhhh🤣🤣 eh Goal wow 🤣
Vumbi kasha timkaa
Well done simba My favorite team
Mambo
SIMBA SC, you got a very good and organized team BUT, you need to get a better GOALKEEPER! Your keeper made some stupid mistake that costed the team! Also the upfront attacking players need to focus more & HIT THE TARGET.....There were clear goals but the target was never hit!! TARGET! Simba could have surprised TP Mazembe if only the players shot to the target! In comparison, TP Mazembe upfront attackers kept hitting the target which exposed the keeper Aisha
True brother ,thanks for nice coment
True bro.the goalkeaper is bulshit..what type of mistake is that..
Hii SIMBA no nzuri sana inakwenda Speed sawa na aina ya mchezo na wanapiga pass fresh kabsa Simba. Yaani hii Simba ni tofauti na ile ya msimu uliopita.
Wachezaji hawa wakizoeana katika michezo ya ligi kuu na champions inamaana itakuwa ni timu ambayo itakuwa hatari sana kama sio tishio Tanzania na Afrika nzima.
Mikia Bado sana, mnaruka ruka tu ovyo bila mpangilio.
Pole sana Manula umejithidi sana lengo lilikuwa kuokoa lkini ndo hivyo ukjikut nawe unzama
Simba ni Wanaume wa Shoka!!!
Asante Sanaa chama langu la Simba Kwa kiwango mlicho kionyesha 🙏🙏
Hayo makosa Nina iman mtayalekebisha Ukiona panavuja weka bati mpya 👊
to be honest mechi ilikuwa level ya nusu fainali za caf champions league, ahsante timu yangu ya simba nina imani na kikosi chetu
Etyiijiiii mbna uyu lefa mkali sana kasema buda boss aaawooteeh so mimi
Poleni Sana simbaaaaa
Simba wamefanya vixuri sana kuichukua hii timu kwa mjribio wengine ni. Mitelezo tu safi Simba mmejithidi sanaaa
Azam naomba niulize swali hii camera inayo tu tumika hapa ni ya wapi? Maana sio kwa 4K hii
Well done Simba
Nguli th-cam.com/video/jIKtN6WUSe8/w-d-xo.html💥💥💥💥💥🥰🥰🥰🥰🥰
Yeeeeah, mpira saafi kabisa no matter simba imefungwa lakini imecheza mpira mmoja mtamu sana, congratulations to Tp mazembe, Simba SC pamoja na MO Dewji (MO) kipimo kizuri sana, #nextlevel
Yaani ilikuwa walinzi waende ple golini chapu jmn bsi tisilaumu pengine walifikiri mpira unazidi kuchezwa kumbe ushaingizwa duhu
hiki ndio kipimo sahihi cha kujiandaa na ligi ya mabingwa
Usajir nimeujua
Grt Simba big play
Simba mtatoa hesabu kwa Yanga juma mos lazima mfungwe
Hapa kwa hii TP ingekuwa Uto wangekula c chini ya mkono
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 we jifariji tu...ila ndy hvy mpira ni mchezo wa makosa unahitaji ukosee wenzio wakuadhibu
This was so fun to watch. We need an East African Cup knockout tournament or something….
We have it already
Isimtusi Mamba kabla haujavuka Maji. TPM ni Mamba ananjaa Kali, Simba kaliwa na Mamba.
Asante sana mAzembe
Kiwango kimeonekana hongereni Simba
Kiwango bila MATOKEO ni Zero HATA Arsenal Wana KIWANGO
@@linuskyando4155 ni nini maana ya neno matokeo? Au hayo yaliyopatikana unayaitaje? We kweli kidimbwi fc.
@@linuskyando4155 hv kwanza unajua lengo kubwa la tamasha la Simba day?? Au ndio kuzungumza usichokijua?
Kwani Wewe ULIKUWA hujui LENGO LA TAMASHA LA YANGA? MALENGO YETU YANAFANANA WOTE TUNA TIMU MBOVU
KIWANGO KWELI KIMEONEKANA CHAKUFUNGWA MAKOLOKOLO
Nyiiieee mcongo hanaga show ndogo 😂
Simba nguvu moja msife moyo mashabiki mpora ulikuwa mgumu sna na Simba ilinithidi sanaaaas 25 utopolo hawatoki sisi tunakikosi kixiri sana kinachoaminiwa na kuthubutu kucheza na Timu kubwa km Tp mazembe na nyinginezo
Pambana na Hali Yako🤣
@@suleimanjokoro kwani utopolo wao wanasemaje kule ningeria
@@suleimanjokoro kwani utopolo wao wanasemaje kule ningeria
Simba is going to be the best team in Africa.. I have enjoyed the game..BUT manula as goalkeeper .he had made us loose the Game.. We don't need these stupid mistakes anymore.. Manula you have to go to yanga please leave Simba
We ni shabiki mandazi
Simba juu tuu, hatakama haikupata matokeo na mazembe..., Big up mnyama.
Kikosi kikopoa t kufungwa nikawaida ila wameonesha ushindani mkubwa
Bora hata goli LA yanga tuliliona, Simba butu🤣🤣
Gem ilikuwa kali sana ilotawala ufundi na mafundi. Tofauti na yanga mpaka balozi kasema mech ya yanga km mazeozi tu cjaelewa kitu huezi kujua km clab bingwa
Simba ni mnyama aina ya panya ana maajabu yoyote wachezaji wanalukaluka tu
Muamko mpya baarani Afrika💪
Timu zote zilicheza vizuri japo mwisho wa siku baba anabaki kuwa baba.
Ee
Ila Morrison amepoteza mipira Sana ajirekebishe
Nguvu moja
Manula umeonyesha kipaji chako safiiiiiiiiiii Sana Tanzania one
Mugaru brother man kishenzi
Simba Day imeadhimisha,ila kuna kitu bado kinanitia wasiwasi,wapi Mwinakaduguda,simba wa Yuda?🙄🙄
Hii ni timu nzuri naimani itafanya vizuri
Naomba niseme kitu kama azam amefanya hivi Africa mashariki inatulazimu tuwe na camera za namna hii kwa kila kituo cha lining naomba nileweke nisitafriwe vibaya kwa macho yangu nimeona hivo
Kipa nanialimtuma atoke golini simba wanatia hasira wamezubaa sana
Simba jamani. Chama na miqson waliondoka na mpira wao😂😂😂😂😂😂
Eti kwa mkapa hatoki mtu.... 😭😭😂😂😂😂 #kolokolofc
Hatukumbuki mara ya mwisho kufungwa hapo Club bingwa na Shirikisho ni lini!!! Utopolo mmepigwa mande hapo juz
Cheap is expensive kama arsenal vile kutengeneza na kuuza
Acrobatic Fantastic goal
Mabeki mmemponza Manula wangu!
Congratulations Tout puissant Mazembe anglebert
Game ilikua nyeupe hii, wachezaji wamefanya mzaha tu.
Walinzi plz Simba mjithidi kutazama hpo zaidi
Tp mazembe siyo ya mchongo kila mala simba anakalia kidude
Umejiuliza Simba super cup zile4G walipigwa na nanani?
Simba kapata ajali ya baiskeli,kachubuka tu safari inaendelea,ila uto wazee wa mapokezi wamegongwa na guta chali motchual🙄
Safi sana Manula dah pira linachezwa jmn huwiii
Hao chama na miquissone walionesha makali ndani ya mwezi mmoja toka kusajiliwa?
Simba 🔥🔥🔥🔥💪💪💯
Tp mazembe msimu huu CAF CL lazima watafika mbali ...wapo focus sana wana wachezaji wazuri, Simba naona wachezaji walicheza ilimradi tu, mfano Bernad Morrison yaani hakuwa na impact kabisaa
Kabisa bwana Phillip Komba.Hakika Morrison amenikera sana kiwango chake Cha kawaida sana aseee halafu hakuwa na impact yoyete
Kipimo watakapokutana na YANGA ILIYOKAMILIKA JMS, DJUMA, AUCHO, MAYELE NDANI MJICHANGANYE MPANGE WACHEZAJI VIBAYA MOTO UTAWAKA
@@linuskyando4155 kwani hao wachezaji wa unaowataja si walishakutana na simba wakiwa As Vita...na kipigoa wakakipata nje ndani..labda kama wamebadilika..
Wachezaji WA KONGO HAMWAWEZI ONA JANA WALIVYOWACHEZESHA NDOMBOLO YA SORO
Sio kweli aisee au kwa kua tumefungwa ndo unatulaumu
Msumari Wa moto.
Naipongeza timu yangu ya Simba kwakuleta timu nzuri nakubwa maana imekua kipimo sahihi kwenda kimataifa
Simba day am 🔥 fire
Buda boss aawotee unaonaje hiii wana lushoto namuwamisha buda boss
Honestly thé refree refuse two penalty for TP mazembe.
Tusikate tamaa wanasimba tuangalie wapi penye makosa turekebishe japo mchuano ulikuwa mkali Sana hongera wachezaji na dirisha la ufundi
Nani alisema amekata tamaa? Wew unayeongea hivi ndo unaonyesha kuwa na wasiwasi
Sisi wanasimba tunaona kikosi bomba mno
Sadio kanoute ni moto...
Mashabiki wa simba msife moyo huo nimwanzo kikosi cha simba kiko vizuri
Mabingwa mara tano wa Africa na mabingwa sifuri wa Africa kolo Fc aka nyumbu
Mapokezi Fc msharudi kwenye kazi yenu
Visit Kilimanjaro Zanzibar
Hatuongei na malaya anaekazwa nje ndan
@@poulmgogo1255 hahahahahahaaaa vumbi la kongo
Ukilinganisha mpira uliochezwa Yanga day na huu, hakika Yanga day ilikuwa mechi nzuri. wanafiki endeleeni kuyapamba majezeza badala ya kuchanga hela za matibabu.
Safi Timu kubwa Simba tumefungwa ila ninafuraha sana kwa simba kuthubutu kuiita mazembe haki wamejipoma vizuri mno safi ingekuwa utopolo kumi yashawahusu kama River wamewapiga je hawa wangewapa kumi
Unaongea pumba kama sio takataka
Tumefungwa kihalali na tim bora Africa
Simba wapo vizur
Timu nzuri san
zemanga soze ni fundi sana.
Pengo la chama bado linaonekana mechi ya kwanza chama alicheza mpira mkubwa saana mechi na asante kotoko ile ilionesha ni mchezaji wa aina gani lakini wacha tuone hizi middle mpya zitatufikisha wapi wanasimba ila kiukweli huyo wa mbele yetu ajipange aise kwa simba 🦁 hii litakufa jitu Wallah
Hawa Simba ni wa kawaida sana na awamu hii lig ya mabingwa hawatoboi,
Kama Yanga?
Safi sana
Safi sana Tp mazembe
Thanks
Simba wangelipewa TP Mazembe badala ya Galaxy kwenye Champions league tungeli kuwa tunakiongelea Nini kwa Sasa aty waende kupinduwa meza Lubumbashi Hahaaaaaaa
Ila timu ipo vizuli tu tipi walijipanga kutualibia shele yetu tu
Cmba iko vizur mno
Asante Mungu tumeliona pengo la chama na miqson 😂😂😂😂😂
Hakuna pengo la chama wala Miquissone
Hao Chama na Miquissone wameonesha ubora kwenye siku chache tu kusajiliwa?
Utakuta walikaa muda wa miezi mitatu hadi minne ili kuzoeana na wenzao baadae timu ndo ikawa kali sana
Na jina lako hamida linasadifu ukichoandika ahahaaaa , kwani wao walikaa mwezi 1 wakawa fiti?
@@emmadora7848 na vp kuhusu wachezaji wa yanga wao wana miaka mingapi wakiwa pamoja?