Highlights | Simba 0-1 TP Mazembe | Simba Day 19/09/2021

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2021
  • Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 321

  • @hashimuzuberi2067
    @hashimuzuberi2067 2 ปีที่แล้ว +5

    Akuna cha mechi nzuri simba ni timu libovu tu wamechezewa mpira mwingi sana mashabiki wametulia kama wamemwagiwa maji

  • @lizikimfilinge4182
    @lizikimfilinge4182 2 ปีที่แล้ว +24

    Azam tv ni taifa kubwa kama unamini ivo gonga like

  • @philippemukandama2960
    @philippemukandama2960 2 ปีที่แล้ว +26

    Guys this game was like a final.🔥🔥🔥, Thank you so much MO for inviting one of the best Club in the continent.
    I really enjoy the game.
    Big congratulations to tp Mazembe and Simba sport club.🇨🇩

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 2 ปีที่แล้ว +15

    Mechi Ilikuwa Ni Nzuri Sana
    Bravo to Simba Nadhani Muda Mfupi Ujao watakua na Team Nzuri Zaidi

  • @giressemokelwa7657
    @giressemokelwa7657 2 ปีที่แล้ว +8

    Mazembe sio kunguru
    Mazembe ni mamba

  • @josuemukeba2396
    @josuemukeba2396 2 ปีที่แล้ว +23

    c'est une veritable ligue des champions; match de haut niveau malgré une legere domination de Simba, bravo au TP

  • @kindokiss833
    @kindokiss833 2 ปีที่แล้ว +11

    honestly, my team tp mazembe performing , I really appreciated and I wish all the best to the team for the caming caf champions league. God bless. from: P.stone

  • @messaoudarbane1670
    @messaoudarbane1670 2 ปีที่แล้ว +2

    Je suis un supperteur de jskabylie et j'ame le football africain et les clubs africain enchalah viendra un jour en se déplace partout en Afrique bonne chance pour le simba cette année plain de réussite vive la Afrique vive le football africain vive les africains la Afrique pour les africains supperteur de jskabylie algérien et faire d'être africain

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum8436 2 ปีที่แล้ว +17

    TP MAZEMBE mnatumia vinywaji gani niwapooze maana wananchi tungeishi kwa shida

    • @samwelmangi843
      @samwelmangi843 2 ปีที่แล้ว

      Hahaha kufa kufaana et! Mngenyooka utopolo fc

    • @msafirisalum8436
      @msafirisalum8436 2 ปีที่แล้ว

      @@samwelmangi843 haloo jana hata vibaka hawajaiba wamaelala doro kinyamaa

  • @glodnkondo7776
    @glodnkondo7776 2 ปีที่แล้ว +6

    wow I'm Congolese I'm so glad thy perform 😍😍😍😍😍

    • @mr_ogc6233
      @mr_ogc6233 2 ปีที่แล้ว +2

      Kibu he’s Congolese be proud

    • @glodnkondo7776
      @glodnkondo7776 2 ปีที่แล้ว +1

      yes we have to be proud

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 2 ปีที่แล้ว +18

    Licha ya kufungwa na TP Mazembe Ila Simba wameonesha soka safi la kujiamini na kishambulia,Still best team in East Africa.Simba babalao

  • @tittoskeysproject1967
    @tittoskeysproject1967 2 ปีที่แล้ว +23

    Simba ina team bora! Ingawa mm ni Yanga huo ndo ukweli

  • @j...876
    @j...876 2 ปีที่แล้ว +14

    Ces jeunes congolais qui sont les corbeaux de tout le temp m'ont fait fierté d'être congolais d'origine 🇨🇩🥰

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 2 ปีที่แล้ว +2

      Tutakutana Kwenyw Mechi Ya Mashindano Ya CAF Champions League Lazima mtafungwa na hapo ndo kwa mkapa

    • @ronsardgalilee9488
      @ronsardgalilee9488 2 ปีที่แล้ว +2

      @@mzeewajambo8293 Kabumbu ni fair play

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 2 ปีที่แล้ว

      @@ronsardgalilee9488 Ndio Ni Fair Play

    • @someaafrika.3379
      @someaafrika.3379 2 ปีที่แล้ว

      Muamko mpya Afrika.
      Timu zote zilicheza vizuri kabisa, japo mwisho wa siku baba atabaki kuwa.....
      TZ 🤫

  • @benjaminenyasanga2195
    @benjaminenyasanga2195 2 ปีที่แล้ว +12

    simba imefungwa ila kikosi chao ni kizuri saana.
    tusubiri mechi zaidi kujua gape limezibwa au bado lipo tu
    #NGUVU_MOJA

  • @kennethkennedy717
    @kennethkennedy717 2 ปีที่แล้ว +9

    Bonge la game kama fainali hivi🙏🙏 blessed brother Mo

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 ปีที่แล้ว +8

    Ushindani ulikuwa mkubwa sana kufungwa inatokeaga tu km bhti mbaya vile ila simba hki imejithidi sanaa

  • @officialmidy_og
    @officialmidy_og 2 ปีที่แล้ว +17

    Manula fundi sema ilkuwa ndo ivo ishaandikwa Simba 🦁 4life

    • @kingyeskingyes2263
      @kingyeskingyes2263 2 ปีที่แล้ว

      Nguli th-cam.com/video/jIKtN6WUSe8/w-d-xo.html💥💥💥💥💥💥🥰🥰🥰

    • @pamphilchokala6878
      @pamphilchokala6878 2 ปีที่แล้ว +2

      kolo fc vp kwa mkapa hatoki mtu

    • @hafydhmo9566
      @hafydhmo9566 2 ปีที่แล้ว +1

      Dulinyo😂😂😂😂msalimie rocky

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 2 ปีที่แล้ว +14

    Mm yanga lakini ngao ya jamii tujipange simba hatari

  • @hasheemkaz2732
    @hasheemkaz2732 2 ปีที่แล้ว +23

    Ebana pira limepigwa yaani hapo tembo walikutana. Huo usajili nimeuelewa. alafu nilisema huu sasa ndio wakati wa RB maestro megician left footer kung'aa kama chama.

  • @daudkhatib81
    @daudkhatib81 2 ปีที่แล้ว +8

    Kufungwa. Kufungwaa. Tu Kama mngeshina mungejisifuu.sannaa

  • @amadidiwan4986
    @amadidiwan4986 2 ปีที่แล้ว +5

    Simba ipo vizuri nauakika itafanya vizuri #CCTunamungu

  • @officialkenzo5034
    @officialkenzo5034 2 ปีที่แล้ว +5

    Huyo kinzumbi🔥🔥🔥

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 2 ปีที่แล้ว +5

    Game ilikuwa Kali sana, kama final ya caf champions league

  • @hajihija1903
    @hajihija1903 2 ปีที่แล้ว +1

    Haya magoli wacongo ni mazoea yao Sasa jipangeni sana Simba Mayele is comming on 🔥🔥🔥

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 2 ปีที่แล้ว +9

    Safiii sn TP Mazembe...bonge la Goliiiii 💪💪💪💪💪

  • @semenivevo
    @semenivevo 2 ปีที่แล้ว +5

    Vumbi sasa
    Ngimbi vumbi hhhh🤣🤣 eh Goal wow 🤣
    Vumbi kasha timkaa

  • @hellenpaul9671
    @hellenpaul9671 2 ปีที่แล้ว +8

    Well done simba My favorite team

  • @sapduke8691
    @sapduke8691 2 ปีที่แล้ว +14

    SIMBA SC, you got a very good and organized team BUT, you need to get a better GOALKEEPER! Your keeper made some stupid mistake that costed the team! Also the upfront attacking players need to focus more & HIT THE TARGET.....There were clear goals but the target was never hit!! TARGET! Simba could have surprised TP Mazembe if only the players shot to the target! In comparison, TP Mazembe upfront attackers kept hitting the target which exposed the keeper Aisha

    • @emmanuelmartin9128
      @emmanuelmartin9128 2 ปีที่แล้ว

      True brother ,thanks for nice coment

    • @colonelmustafa7213
      @colonelmustafa7213 2 ปีที่แล้ว +1

      True bro.the goalkeaper is bulshit..what type of mistake is that..

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii SIMBA no nzuri sana inakwenda Speed sawa na aina ya mchezo na wanapiga pass fresh kabsa Simba. Yaani hii Simba ni tofauti na ile ya msimu uliopita.
    Wachezaji hawa wakizoeana katika michezo ya ligi kuu na champions inamaana itakuwa ni timu ambayo itakuwa hatari sana kama sio tishio Tanzania na Afrika nzima.

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 2 ปีที่แล้ว +1

    Mikia Bado sana, mnaruka ruka tu ovyo bila mpangilio.

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 ปีที่แล้ว +5

    Pole sana Manula umejithidi sana lengo lilikuwa kuokoa lkini ndo hivyo ukjikut nawe unzama

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 ปีที่แล้ว +7

    Simba ni Wanaume wa Shoka!!!

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Sanaa chama langu la Simba Kwa kiwango mlicho kionyesha 🙏🙏
    Hayo makosa Nina iman mtayalekebisha Ukiona panavuja weka bati mpya 👊

  • @innocentherman5101
    @innocentherman5101 2 ปีที่แล้ว +7

    to be honest mechi ilikuwa level ya nusu fainali za caf champions league, ahsante timu yangu ya simba nina imani na kikosi chetu

  • @bababrenda8832
    @bababrenda8832 2 ปีที่แล้ว +2

    Etyiijiiii mbna uyu lefa mkali sana kasema buda boss aaawooteeh so mimi

  • @jumamwaliko452
    @jumamwaliko452 2 ปีที่แล้ว +4

    Poleni Sana simbaaaaa

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 ปีที่แล้ว +3

    Simba wamefanya vixuri sana kuichukua hii timu kwa mjribio wengine ni. Mitelezo tu safi Simba mmejithidi sanaaa

  • @onlygame5110
    @onlygame5110 2 ปีที่แล้ว +1

    Azam naomba niulize swali hii camera inayo tu tumika hapa ni ya wapi? Maana sio kwa 4K hii

  • @mehboobkarmali5211
    @mehboobkarmali5211 2 ปีที่แล้ว +21

    Well done Simba

    • @kingyeskingyes2263
      @kingyeskingyes2263 2 ปีที่แล้ว

      Nguli th-cam.com/video/jIKtN6WUSe8/w-d-xo.html💥💥💥💥💥🥰🥰🥰🥰🥰

  • @JohnRock..
    @JohnRock.. 2 ปีที่แล้ว

    Yeeeeah, mpira saafi kabisa no matter simba imefungwa lakini imecheza mpira mmoja mtamu sana, congratulations to Tp mazembe, Simba SC pamoja na MO Dewji (MO) kipimo kizuri sana, #nextlevel

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 ปีที่แล้ว +4

    Yaani ilikuwa walinzi waende ple golini chapu jmn bsi tisilaumu pengine walifikiri mpira unazidi kuchezwa kumbe ushaingizwa duhu

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 ปีที่แล้ว +11

    hiki ndio kipimo sahihi cha kujiandaa na ligi ya mabingwa

  • @elisamasha4666
    @elisamasha4666 2 ปีที่แล้ว +6

    Grt Simba big play

  • @gloryjesus4308
    @gloryjesus4308 2 ปีที่แล้ว +2

    Simba mtatoa hesabu kwa Yanga juma mos lazima mfungwe

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 2 ปีที่แล้ว +5

    Hapa kwa hii TP ingekuwa Uto wangekula c chini ya mkono

    • @asiarashidi1520
      @asiarashidi1520 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 we jifariji tu...ila ndy hvy mpira ni mchezo wa makosa unahitaji ukosee wenzio wakuadhibu

  • @originalsal2141
    @originalsal2141 2 ปีที่แล้ว +19

    This was so fun to watch. We need an East African Cup knockout tournament or something….

  • @kimbilikiti2
    @kimbilikiti2 2 ปีที่แล้ว +4

    Isimtusi Mamba kabla haujavuka Maji. TPM ni Mamba ananjaa Kali, Simba kaliwa na Mamba.

  • @armandonappa435
    @armandonappa435 2 ปีที่แล้ว +6

    Asante sana mAzembe

  • @makameibrahim5086
    @makameibrahim5086 2 ปีที่แล้ว +11

    Kiwango kimeonekana hongereni Simba

    • @linuskyando4155
      @linuskyando4155 2 ปีที่แล้ว

      Kiwango bila MATOKEO ni Zero HATA Arsenal Wana KIWANGO

    • @castrocastro9615
      @castrocastro9615 2 ปีที่แล้ว

      @@linuskyando4155 ni nini maana ya neno matokeo? Au hayo yaliyopatikana unayaitaje? We kweli kidimbwi fc.

    • @castrocastro9615
      @castrocastro9615 2 ปีที่แล้ว

      @@linuskyando4155 hv kwanza unajua lengo kubwa la tamasha la Simba day?? Au ndio kuzungumza usichokijua?

    • @linuskyando4155
      @linuskyando4155 2 ปีที่แล้ว

      Kwani Wewe ULIKUWA hujui LENGO LA TAMASHA LA YANGA? MALENGO YETU YANAFANANA WOTE TUNA TIMU MBOVU

    • @jumahamad9463
      @jumahamad9463 2 ปีที่แล้ว

      KIWANGO KWELI KIMEONEKANA CHAKUFUNGWA MAKOLOKOLO

  • @izvibez6823
    @izvibez6823 2 ปีที่แล้ว +5

    Nyiiieee mcongo hanaga show ndogo 😂

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 ปีที่แล้ว +3

    Simba nguvu moja msife moyo mashabiki mpora ulikuwa mgumu sna na Simba ilinithidi sanaaaas 25 utopolo hawatoki sisi tunakikosi kixiri sana kinachoaminiwa na kuthubutu kucheza na Timu kubwa km Tp mazembe na nyinginezo

    • @suleimanjokoro
      @suleimanjokoro 2 ปีที่แล้ว

      Pambana na Hali Yako🤣

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 2 ปีที่แล้ว

      @@suleimanjokoro kwani utopolo wao wanasemaje kule ningeria

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 2 ปีที่แล้ว

      @@suleimanjokoro kwani utopolo wao wanasemaje kule ningeria

  • @colonelmustafa7213
    @colonelmustafa7213 2 ปีที่แล้ว +4

    Simba is going to be the best team in Africa.. I have enjoyed the game..BUT manula as goalkeeper .he had made us loose the Game.. We don't need these stupid mistakes anymore.. Manula you have to go to yanga please leave Simba

  • @allymatengula1259
    @allymatengula1259 2 ปีที่แล้ว

    Simba juu tuu, hatakama haikupata matokeo na mazembe..., Big up mnyama.

  • @ismailmchome40
    @ismailmchome40 2 ปีที่แล้ว +6

    Kikosi kikopoa t kufungwa nikawaida ila wameonesha ushindani mkubwa

  • @haridyhillaryndembo7848
    @haridyhillaryndembo7848 2 ปีที่แล้ว +11

    Bora hata goli LA yanga tuliliona, Simba butu🤣🤣

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 2 ปีที่แล้ว

      Gem ilikuwa kali sana ilotawala ufundi na mafundi. Tofauti na yanga mpaka balozi kasema mech ya yanga km mazeozi tu cjaelewa kitu huezi kujua km clab bingwa

  • @hashimuzuberi2067
    @hashimuzuberi2067 2 ปีที่แล้ว +1

    Simba ni mnyama aina ya panya ana maajabu yoyote wachezaji wanalukaluka tu

  • @someaafrika.3379
    @someaafrika.3379 2 ปีที่แล้ว +2

    Muamko mpya baarani Afrika💪
    Timu zote zilicheza vizuri japo mwisho wa siku baba anabaki kuwa baba.

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 2 ปีที่แล้ว +4

    Ila Morrison amepoteza mipira Sana ajirekebishe

  • @rashidrajab1391
    @rashidrajab1391 2 ปีที่แล้ว +8

    Nguvu moja

  • @dicksonmmary7311
    @dicksonmmary7311 2 ปีที่แล้ว

    Manula umeonyesha kipaji chako safiiiiiiiiiii Sana Tanzania one

  • @anthonymwambepo7441
    @anthonymwambepo7441 2 ปีที่แล้ว +1

    Mugaru brother man kishenzi

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 2 ปีที่แล้ว +5

    Simba Day imeadhimisha,ila kuna kitu bado kinanitia wasiwasi,wapi Mwinakaduguda,simba wa Yuda?🙄🙄

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 2 ปีที่แล้ว +7

    Hii ni timu nzuri naimani itafanya vizuri

  • @onlygame5110
    @onlygame5110 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba niseme kitu kama azam amefanya hivi Africa mashariki inatulazimu tuwe na camera za namna hii kwa kila kituo cha lining naomba nileweke nisitafriwe vibaya kwa macho yangu nimeona hivo

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 2 ปีที่แล้ว +1

    Kipa nanialimtuma atoke golini simba wanatia hasira wamezubaa sana

  • @happyshayo372
    @happyshayo372 2 ปีที่แล้ว +2

    Simba jamani. Chama na miqson waliondoka na mpira wao😂😂😂😂😂😂

  • @mandalorian_4.11
    @mandalorian_4.11 2 ปีที่แล้ว +8

    Eti kwa mkapa hatoki mtu.... 😭😭😂😂😂😂 #kolokolofc

    • @godyfataa4800
      @godyfataa4800 2 ปีที่แล้ว +1

      Hatukumbuki mara ya mwisho kufungwa hapo Club bingwa na Shirikisho ni lini!!! Utopolo mmepigwa mande hapo juz

  • @nelsoncharles4750
    @nelsoncharles4750 2 ปีที่แล้ว +1

    Cheap is expensive kama arsenal vile kutengeneza na kuuza

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 2 ปีที่แล้ว +3

    Acrobatic Fantastic goal

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 ปีที่แล้ว +8

    Mabeki mmemponza Manula wangu!

  • @ronsardgalilee9488
    @ronsardgalilee9488 2 ปีที่แล้ว +4

    Congratulations Tout puissant Mazembe anglebert

  • @stn4873
    @stn4873 2 ปีที่แล้ว +3

    Game ilikua nyeupe hii, wachezaji wamefanya mzaha tu.

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 ปีที่แล้ว +2

    Walinzi plz Simba mjithidi kutazama hpo zaidi

  • @bertha6322
    @bertha6322 2 ปีที่แล้ว +2

    Tp mazembe siyo ya mchongo kila mala simba anakalia kidude

    • @augustinochimtunga2391
      @augustinochimtunga2391 2 ปีที่แล้ว

      Umejiuliza Simba super cup zile4G walipigwa na nanani?
      Simba kapata ajali ya baiskeli,kachubuka tu safari inaendelea,ila uto wazee wa mapokezi wamegongwa na guta chali motchual🙄

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 ปีที่แล้ว +7

    Safi sana Manula dah pira linachezwa jmn huwiii

    • @allyfaki209
      @allyfaki209 2 ปีที่แล้ว

      Hao chama na miquissone walionesha makali ndani ya mwezi mmoja toka kusajiliwa?

  • @majaliwamolis2403
    @majaliwamolis2403 2 ปีที่แล้ว +5

    Simba 🔥🔥🔥🔥💪💪💯

  • @philipkomba5525
    @philipkomba5525 2 ปีที่แล้ว +6

    Tp mazembe msimu huu CAF CL lazima watafika mbali ...wapo focus sana wana wachezaji wazuri, Simba naona wachezaji walicheza ilimradi tu, mfano Bernad Morrison yaani hakuwa na impact kabisaa

    • @rashidramadhan1931
      @rashidramadhan1931 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa bwana Phillip Komba.Hakika Morrison amenikera sana kiwango chake Cha kawaida sana aseee halafu hakuwa na impact yoyete

    • @linuskyando4155
      @linuskyando4155 2 ปีที่แล้ว

      Kipimo watakapokutana na YANGA ILIYOKAMILIKA JMS, DJUMA, AUCHO, MAYELE NDANI MJICHANGANYE MPANGE WACHEZAJI VIBAYA MOTO UTAWAKA

    • @thaddeojude7511
      @thaddeojude7511 2 ปีที่แล้ว

      @@linuskyando4155 kwani hao wachezaji wa unaowataja si walishakutana na simba wakiwa As Vita...na kipigoa wakakipata nje ndani..labda kama wamebadilika..

    • @linuskyando4155
      @linuskyando4155 2 ปีที่แล้ว

      Wachezaji WA KONGO HAMWAWEZI ONA JANA WALIVYOWACHEZESHA NDOMBOLO YA SORO

    • @samwelmangi843
      @samwelmangi843 2 ปีที่แล้ว

      Sio kweli aisee au kwa kua tumefungwa ndo unatulaumu

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 2 ปีที่แล้ว +1

    Msumari Wa moto.

  • @hulilodonard5524
    @hulilodonard5524 2 ปีที่แล้ว +1

    Naipongeza timu yangu ya Simba kwakuleta timu nzuri nakubwa maana imekua kipimo sahihi kwenda kimataifa

  • @mussabonny7370
    @mussabonny7370 2 ปีที่แล้ว

    Simba day am 🔥 fire

  • @bababrenda8832
    @bababrenda8832 2 ปีที่แล้ว +2

    Buda boss aawotee unaonaje hiii wana lushoto namuwamisha buda boss

  • @jackykanku3134
    @jackykanku3134 2 ปีที่แล้ว +1

    Honestly thé refree refuse two penalty for TP mazembe.

  • @zaizainabu2948
    @zaizainabu2948 2 ปีที่แล้ว +3

    Tusikate tamaa wanasimba tuangalie wapi penye makosa turekebishe japo mchuano ulikuwa mkali Sana hongera wachezaji na dirisha la ufundi

    • @jumamangombe6493
      @jumamangombe6493 2 ปีที่แล้ว

      Nani alisema amekata tamaa? Wew unayeongea hivi ndo unaonyesha kuwa na wasiwasi

    • @jumamangombe6493
      @jumamangombe6493 2 ปีที่แล้ว

      Sisi wanasimba tunaona kikosi bomba mno

  • @ibrahimsanga690
    @ibrahimsanga690 2 ปีที่แล้ว +3

    Sadio kanoute ni moto...

  • @wilmatonbonefas2511
    @wilmatonbonefas2511 2 ปีที่แล้ว

    Mashabiki wa simba msife moyo huo nimwanzo kikosi cha simba kiko vizuri

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 2 ปีที่แล้ว +7

    Mabingwa mara tano wa Africa na mabingwa sifuri wa Africa kolo Fc aka nyumbu

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 ปีที่แล้ว

      Mapokezi Fc msharudi kwenye kazi yenu

    • @sophymaganza7798
      @sophymaganza7798 2 ปีที่แล้ว

      Visit Kilimanjaro Zanzibar

    • @poulmgogo1255
      @poulmgogo1255 2 ปีที่แล้ว

      Hatuongei na malaya anaekazwa nje ndan

    • @mchezakamaliog265
      @mchezakamaliog265 2 ปีที่แล้ว

      @@poulmgogo1255 hahahahahahaaaa vumbi la kongo

  • @b1vevo
    @b1vevo 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukilinganisha mpira uliochezwa Yanga day na huu, hakika Yanga day ilikuwa mechi nzuri. wanafiki endeleeni kuyapamba majezeza badala ya kuchanga hela za matibabu.

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi Timu kubwa Simba tumefungwa ila ninafuraha sana kwa simba kuthubutu kuiita mazembe haki wamejipoma vizuri mno safi ingekuwa utopolo kumi yashawahusu kama River wamewapiga je hawa wangewapa kumi

    • @bigjizee4130
      @bigjizee4130 2 ปีที่แล้ว

      Unaongea pumba kama sio takataka

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 2 ปีที่แล้ว

    Tumefungwa kihalali na tim bora Africa

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

    Simba wapo vizur

  • @omaryregga5315
    @omaryregga5315 2 ปีที่แล้ว +1

    Timu nzuri san

  • @erickngatunga2359
    @erickngatunga2359 2 ปีที่แล้ว

    zemanga soze ni fundi sana.

  • @ameerlehao2320
    @ameerlehao2320 2 ปีที่แล้ว +1

    Pengo la chama bado linaonekana mechi ya kwanza chama alicheza mpira mkubwa saana mechi na asante kotoko ile ilionesha ni mchezaji wa aina gani lakini wacha tuone hizi middle mpya zitatufikisha wapi wanasimba ila kiukweli huyo wa mbele yetu ajipange aise kwa simba 🦁 hii litakufa jitu Wallah

  • @b1vevo
    @b1vevo 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawa Simba ni wa kawaida sana na awamu hii lig ya mabingwa hawatoboi,

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana

  • @ibrahimabdijuma962
    @ibrahimabdijuma962 2 ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @derrickmwita5894
    @derrickmwita5894 2 ปีที่แล้ว +4

    Simba wangelipewa TP Mazembe badala ya Galaxy kwenye Champions league tungeli kuwa tunakiongelea Nini kwa Sasa aty waende kupinduwa meza Lubumbashi Hahaaaaaaa

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 2 ปีที่แล้ว +2

    Ila timu ipo vizuli tu tipi walijipanga kutualibia shele yetu tu

  • @johnsonmbwana1405
    @johnsonmbwana1405 2 ปีที่แล้ว

    Cmba iko vizur mno

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Mungu tumeliona pengo la chama na miqson 😂😂😂😂😂

    • @allyfaki209
      @allyfaki209 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna pengo la chama wala Miquissone

    • @allyfaki209
      @allyfaki209 2 ปีที่แล้ว +1

      Hao Chama na Miquissone wameonesha ubora kwenye siku chache tu kusajiliwa?

    • @allyfaki209
      @allyfaki209 2 ปีที่แล้ว

      Utakuta walikaa muda wa miezi mitatu hadi minne ili kuzoeana na wenzao baadae timu ndo ikawa kali sana

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 ปีที่แล้ว

      Na jina lako hamida linasadifu ukichoandika ahahaaaa , kwani wao walikaa mwezi 1 wakawa fiti?

    • @mchezakamaliog265
      @mchezakamaliog265 2 ปีที่แล้ว

      @@emmadora7848 na vp kuhusu wachezaji wa yanga wao wana miaka mingapi wakiwa pamoja?