ACHRAF HAKIMI (MCHEZAJI PSG) AFUNGUKA ENG. HERS ALIVYOMFUATA UFARANSA |AELEZA LENGO LA KUJA TANZANIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - กีฬา
Im so appreciate Hakim🎉🌷God bless you#viva Morocco 🙌
...manzoki tena?...kwani Hakimi kaja kwny mkutano gani wa Yanga?....acha majungu makolo wewe, Sisi tulifanya mkutano hatukualika viashiria kama nyie makolo!....Hakimi kaja kwa mwaliko wa Eng Hersi Said Rafiki yake!.... .huyu walikutana naye wakati Rais wetu wa Yanga alipokwenda Spain wakati akijifunza namna ya kuongozwa mpira na uongozi wa La Liga!...
❤❤
mwambie huyo koloooo😂😂😂
Tumpe maua yake Injinia kwa kushiriki kukuza utalii na kurudisha kwa jamii.
Yanga atuna siasa tungesema tunamsajili uyu jamaa mungesema siasa tulielewe ilo uyo jamaa amekuja kwenye mambo yake na kuja kufanya utalii na sio Yale ya ( 3:42 manzonki)
Jmn yanga weee
Are sure boy jchampren aboubakal
Huo sio uchaguzi msijichanganye
MNAKUMBUKA YA MANZOKI? NA YEYE ALIONGEA MANENO MAZURI SANA KM HUYUHUYU SASA YUKO WAPI?
Wee kolo ACHA KUFANANISHA uchupli WENU na mambo ya Wananchi, UNAOSEMA manzoki Kwani HAPO kunauchaguzi? NYIE manzoki mlimleta KWENYE UCHAGUZI HUYO kaja kutalii kaamua kutembelea club ya MPIRA.
Nilikuwa sisikilizi hotuba mm nilikwa na mwangalia bodigadi apo tu wabong wapo waivyo
Hakim rais wa wanaume dunian
Yanga hatuna uchaguzi siasa inatokea wapi
wewe hiyosiosiasa huyo nirafiki wa rais
Huyu hakimi sio manzoki 😂
SIASA KAMA ZA MANZOKI ZIMEHAMIA YANGA
Sisi uchaguzi tushamaliza, hapo ni urafikii tuuu, tunataka awe balozi wetu huko kwao na ufaransa pia
😂😂😂😂una akili nyingine ndugu angu ama uko na hii hii tu nianzie hapo na unaelewa kinachoendelea hapo ama umekurupuka ujaelewa lengo la hii kitu
😂😂😂kolo kwel ww
Unachanganya mambo huyo ni mchezaji wa psg watu wanafunguwa wigo kujitangaza unaleta mtori wa manzoki vinafanana vipi