SIMBA DAY: FULL HIGHLIGHTS: SIMBA SC 6 - 0 VITAL'0 - 22/08/2020
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2020
- Tazama namna Simba ilivyokamilisha wiki ya mabingwa kwa kuichapa Vital'O ya Burundi kwa mabao 6-0 kwenye mchezo wa kirafiki uliopigwa katika dimba la Mkapa.
#SimbaDay #SimbaDay2020 #SimbaSC
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - กีฬา
Naomba like zenu kwa anayerudia marudio Kama mimi
Like za Bwalya kama umemuelewa uyu mtu daah 😂😂😂
Mmb
jo 🇰🇪tuseme tu ukweli entertainment na sports tz wako level nyingine wanapenda vya kwao sana bigup
Safi sana ukweli usemwe
Hapo Kagere&Konde boy hujawaona😃😃😃
Ndevu za suna na sio za kalantin tena duuh ni shidaaaaaa niachie like ya nguvu moja
Hii Simba inakwenda kurudi 2024/2025 kwa uwezo wa Mungu
Hakika Jasiri haachi asili huu msimu ujao kombe linatua msimbazi
Amen
Wanao watch 2021 tujuane
Am a Kenyan lkn Naisupport Simba... Na Tanzania imetushinda sanaaa upande wa Ligi za ndani
wakenya wanachezia Simba??
Kumbe na kenya kuna timu inaitwa simba 🙄🙄
wewe uliskia wapi.. ama uko na Kenya ingine
@@samaritanherald75 yeah wapo
@@surayakhan3955 Kwani mtu akisema yeye ni mkenya na anasupport Man utd, hiyo inamaanisha Man utd ipo Kenya???? 🤣🤣🤣🤣Be logical
Chama kubwa Simba sports club 🙏
Mungu pekee ndo atanitenganisha na simba lakn siyo wanadam
Huyu bwalya ni nyookoooo kila pasi jiwe simba tumejipatia bonge la jembee bwalya mmoja mukoko sitaa 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿 #anotherlevel
Pasi upendo wa agape simba raha sana😂😂😂😂
Yanga tutakaa sana...haya majamaa yashatutangulia..
Simba rahaa jmn uto wataisoma another level, first eleven atakayoitumia sven hii hapa mfumo 4-3-3
1 manula
2 kapombe
3 tshabalala
4 ame
5 onyango
6 mkude
7 morison
8 bwalya
9 mugalu
10 chama
11 mickson
Like jmn na mnaweza kunirekebisha simba nguvu moja
Wapizani kazi munayo
Upo sahihi Mwamba
Hata akpumzka Mugalu tumuweke ZUCHU bado watakufa nyiiiingi
Kama umeielewa Simba piga keleleee
2024... NAKUMBIKIAA ENZIII
asante AZAM kwa highlights ndefu
Chama angeingzwa kpnd cha 1 wangeoga meng hawa watu,,
Chama nakutakia kila la kheri uko morroco
Tutakumiss sana ur da best ever in afrika,,
Hope ma team simba will do da best in coming season of 2020)2021
i love simba sport club
Simba on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hyu bwalya akicope vzr,hli balaaa lingne
Bernad Morison we ni htari kbisas hongera sana unajua kutesa mpaka kero ,penda wewe sana unavyocheza tu dah 😍👍👍💪
Jaman goli la chamaaa shikamoo marahaba simba raha jaman
Onyango is very fantastic player
Team BM3 tujuane ..
Safi Sana Simba hoyeeeeeeeeeee
Mmetukera tu kupiga campeni uwanjani hilo tu ndo mmerukwaza ila kila kitu fleshi
Daaaaa nikiikumbuka hii Simba 🥲🥲
Simba🔥🔥🔥🔥🔥
Mpenja we kibokoooo hayo maneno duuuh 💪😀😀
Good performance of simba
Simba hatari
Sana wanatupa raha sana
Joe has never disappointed playing football. He is real gem 💎 and has taking to higher hight... kudos Joe.
Kama tim dhaifu nyie vyura mlipigwa ngapi na simba 4G
mo nakuomba baba simba ishike milele
simba simba simbaaaaaaaaaaaaa
Nimerejea tena kumuangali bwaliya
Nani mwingine anagalia mechi hhi tarehe 27/7/2023
Chama kama chama ,the brain
Simba nguvu Moja💪
😋😋😋😋Kwa simba hii 🐒fc wajipange kwa kweli
Jamn hiii mechi naikumbuka sanaaa ilikua hatarii
This is zimba🐆🐆 gonga like twende pamoj
Chezea Morrison I love simbaaa
Wa kwanza mimi like zenu apa wanasimba wote
Ata ikawa ya sika sisi atujui
Au ya sita tunaju kuwa nikibonde kwetu
Ila huyu tripple C Mungu anamuona.
Hahahaahahah
Haswaa
This is simba brother
Simba sports club big time Africa 👊
Simba nguvu moja
Huyu Bwaliya!! Ni tatizo jingine Simba sc
Ukisikia waite waite ujue onyango kaliamsha dude 😆😆😆mpenja mungu akuweke miaka mia baba
Mambo vp
Aloina 2021 gonga like
Mtangazaji anatishaaa anaongea mpaka Kiarabu safi sanaaaaaa
Charabu hajui nimemusikia
Iddi salum kidedea ulamaa uyo
Lkn manyani Fc mkumbuke mmegongwa 4 je nyie ni wazuri au wabovu ?? Acheni unyani kuweni watu wenye uwelewa
Simba kama simba
Daaaaaaaaahhhh Kama nawaona uto wanavyoteseka
Simba ninoma mamaee
Sisi na wao liniii
18 mwezi wa 10
Simba ya msimu huu ni moto
Nice Simba fo every body
Jmni simba wakicheza ni Raha tupuuuu , naipenda hii timu yangu mpka naumwa kbisa dah
Nakubali chama langu sapraiz yeyoooo.
AZAM TUNAWAOMBA MUIWEKE MECHI NZIMA TH-cam.
Golikipa amebaki anaumia moyo tuu Baraka mpenja anamaneno hatr
Simba SC very good
Harmoniz 26:23
Ongera simba nguvu maja
Noma san sisi haooooo simba yet
Mpo vzr
Simba hiyoooooooooo
Nan mwngne anae angalia 7/01/2024
Simba baba lao
Naipenda simb
Pow
Vizur hii ndioo zana ya nguvu moja
Kama kocha ameshaona kitu kati ya Bwalya,Morrison na Bocco dah sema mimi yanga ila hii simba Tamu wajuba
Asantee Kaka kwa kuiyelewa simbaa
Vizur kwa kusema ukwel
@@janethgood9213 . Me see
Sasa anatakiwa uamke
Pamoja mwamba
Nakumbali,mwamba
Simba 💯 💯 🔥🔥🔥
Sipati picha siku watakapo cheza pamoja,Bwalyason, Miquison,Chamason na Morrison.🔥🔥🔥🔥
Hlf pale mbele ht asimame ZUCHU sawa tu.
Hio siku itakua big show
Piga kelele kwa simba akee weweweeee3e
Tanzaniy 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️💘😍😘
Yaaaaaaaaa goood game
Tukutane tena kwa ngao ya jamii
Simbaa nomaa xanaaaa
Another level
Simba kiboko yao Sema simba
Iko vizr sana
Happy vp wadau Simba txha xana eee
Bwalyaaaaaa!! Yajayo yanafurahisha, uko tayari?
Ndio nipo tyr
Ukiwasikia Marisson Miquioson ,chamason ,na Bwalyson kimbia uvunjike miguu ni hatari sana simba hawa kwenye kucheza pasi na chenga hizo sasa dah penda mno my timu
Paulo
Tutaendelea kuongoza
Karibo
ALHMDHULILLAH
Nice
Simba safi
Kama aupendi simba jinyonge
Nawapenda wote
Simba juuuuuu
BINTI WA KISASA NEW FILM 2020 EPISODE 01 (MWARABU ARTS GROUP ) @trAM
Wanasimba tumeshindwa kujaza uwanja. Hii ni aibu kubwa.
Yes