PRE-SEASON TUTAFANYIA WAPI?/TAREHE YA SIMBA DAY NI LINI?/SEMAJI AHMED ALLY AWEKA WAZI KILA KITU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • SUBSCRIBE NOW:
    🌐 Site: simbasc.co.tz/
    📱 App: Iphone User: apps.apple.com...
    📱 App: Android User: play.google.co...
    🔵 Facebook: / simbatanzania
    📸 Instagram: / simbasctanzania
    𝕏 Twitter: / simbasctanzania
    🎶 Tiktok: / simbascofficial
    About the Official Simba SC TH-cam Channel:
    Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
    🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi

ความคิดเห็น • 125

  • @NhtezimanaMatata
    @NhtezimanaMatata 3 หลายเดือนก่อน +1

    We are going to be the hero of the next competition ❤❤ SIMBA NGUVU 1

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 3 หลายเดือนก่อน +22

    Can't wait Simba inapochukua ubingwa na kufika nusu fainali huyu mwamba akiwa msemaji naona atakuwa bonge kama msechu anaipenda Simba from the bottom of his heart

    • @adrianorayner6551
      @adrianorayner6551 3 หลายเดือนก่อน +1

      Na labda asichukue huyu mwamba , akih watakomab😂😂😂

    • @humphreymamuya4105
      @humphreymamuya4105 3 หลายเดือนก่อน

      Jee ni kweli imeondolwa mashindano ya klabu bingwa Afrika ? Na simba kupewa hiyo nafasi? Tujuze semaji letu asante

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx 3 หลายเดือนก่อน

      Yupo kazini broo maan Simba ndo inayomuweka mjini hata Manara alikuw hivyo

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 3 หลายเดือนก่อน

      @@brunoh_bx ni kweli yupo kazini ila huyu mwamba tangu akiwa Azam TV kazini alikuwa anaonesha mapenzi yake kwa team

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 3 หลายเดือนก่อน +2

    Bs hiyo Simba tuje Tukiwashe hapo, Muziki Mnene na Vipaji vikubwa zaidi from EGM🎉🎉🎉🎉 Simba tz changamkieni fursa hii

  • @MichaelMsigala-pv7gx
    @MichaelMsigala-pv7gx 3 หลายเดือนก่อน +1

    Naamini simba bora inakuja

  • @Mobgo2Plus
    @Mobgo2Plus 3 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana semaji

  • @mogan-tz
    @mogan-tz 3 หลายเดือนก่อน +4

    Msemaji tunae ila viongozi ndo ushuzi huyu angekuwa hata mjumbewa bodi basi naiona simba ya moto vibayabmnoo Kwan nini asiwe msemaji alafu akawa na mwenyekiti wa bodi

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi nashauri mbaki hapa hapa msimu huu

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws 3 หลายเดือนก่อน +3

    Pesa itumike kusajiria wachezaji jamani! Dah! Mbona wale wafuga vyula na Mbu huwa hawaendi na wanafanya VEMA?

    • @NeemaAkyoo-s4s
      @NeemaAkyoo-s4s 3 หลายเดือนก่อน +1

      Umesahau kutaja moja wanavuga hata simba wala majani pia usijzime data tabu iko pale pale

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 3 หลายเดือนก่อน

      Bila ngungu kutoka hatununui jezi hata

  • @SamsonTanzania
    @SamsonTanzania 3 หลายเดือนก่อน +7

    Semaji la caf 👏👏👏👏

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 3 หลายเดือนก่อน +1

    mkijisahu tuu huu mwaka tena watawafunga miguu tenawachezaji wote Upande wapili wameandaa kamati maalum kwaniaba ya kuwalibu wachezaji wote nawakumbusha kuweni makini Sana

  • @imanmasawe749
    @imanmasawe749 3 หลายเดือนก่อน

    Zanzibar nisehemu sahihi sana kwa Simba kwanza watatengeza platform nzur ya wanachama na mashabiki pia nisehem nzur sana kwa kambi

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtaalam wa utani karud ,,,, our comedian his back , ahmed😇

  • @DannyGold1996
    @DannyGold1996 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu jamaa ahmed ally ningependekeza awe mwenyekiti wa simba sports club baadae ,he gas charisma

  • @Anthonyzombie-d2s
    @Anthonyzombie-d2s 3 หลายเดือนก่อน +5

    Simba nguvu moja

  • @Life_expirience50
    @Life_expirience50 3 หลายเดือนก่อน +1

    🦁🦁

  • @HospiaceMata
    @HospiaceMata 3 หลายเดือนก่อน

    Waende Tu nje wakafanye pre season coz just like a tour

  • @benchris7580
    @benchris7580 3 หลายเดือนก่อน

    Tanga kuzuri sana kwa pre Season

  • @SeifKarata-fr7dv
    @SeifKarata-fr7dv 3 หลายเดือนก่อน

    Nendeni lushoto hali ya hewa Safi pia mazingira mazuri sana

  • @amjadikihongosi1135
    @amjadikihongosi1135 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mbebwe zimeaza hiyo hela nibora mkafanyia usajiri

    • @Imanibroadcast24
      @Imanibroadcast24 3 หลายเดือนก่อน

      Kajifunze kusoma kwanza

    • @mohdhaji550
      @mohdhaji550 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nakuandika maana badala ya kusema usajili unatuandikia usajiri😂😂

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 3 หลายเดือนก่อน

    Bora Timu baking Tanzania kuliko kwenda nje kupoteza pesa nyingi bila tija

  • @imanmasawe749
    @imanmasawe749 3 หลายเดือนก่อน +1

    wabak tz au waende Zanzibar ilikupunguza gharama zisizo za msingi

  • @HassanAbdulrehman-w1o
    @HassanAbdulrehman-w1o 3 หลายเดือนก่อน

    Unapaka siyagi,jam pilipili,chumvi,sukari,ndimu, washabiki hawataki porojo hizo wanataka foootball🔥

  • @WileMbonde
    @WileMbonde 3 หลายเดือนก่อน

    Nguvu moja

  • @elistarish
    @elistarish 3 หลายเดือนก่อน

    Msiende pre season nje ya nchi,mi naona pigeni tizi kwenye vwanja vya mikoani mana ndo ua tunapoteza point mle

  • @jeremiahgwimo8711
    @jeremiahgwimo8711 3 หลายเดือนก่อน

    Pre-season na wachezaji gani sasa😂 *Simba yanguuuu*

  • @ValentinLuísMualabo
    @ValentinLuísMualabo 3 หลายเดือนก่อน

    Mwaka huu Tusiende Uturuki.

  • @ramadhanmnembuka1408
    @ramadhanmnembuka1408 3 หลายเดือนก่อน

    Waje Ruangwa Lindi Mipango lafk IPO Vzur

  • @iskhakahaji
    @iskhakahaji 3 หลายเดือนก่อน

    P endekezo langu Zanzibar

  • @RotiSimwanza
    @RotiSimwanza 3 หลายเดือนก่อน

    Jaman timu yetu yot

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo Lushoto ndio yenyewe, Mkishindwa kabisa Basi Arachuga full accommodation..😂😂😂😂

  • @EnockEnock-f9v
    @EnockEnock-f9v 3 หลายเดือนก่อน

    Mangungu atoke ahmed ally akae hiyo nafas na usemaj aendlee anaweza sana huyu mwmba

  • @AbdiHamisi-l6s
    @AbdiHamisi-l6s 3 หลายเดือนก่อน

    Lushoto pata faa sana hali ya hewa saf mazingira mazuri

  • @fuad_fx_
    @fuad_fx_ 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna haja ya kwenda huko bakini hapahapa
    Mnaenda nje kisha mnakuja na mambo ya maajabu

  • @DaudSlungwe
    @DaudSlungwe 3 หลายเดือนก่อน

    Ila wanasimba msemaji tunae

  • @RichieKidesela
    @RichieKidesela 3 หลายเดือนก่อน

    Mm nashauli mbaki ichini2

  • @abdallahluhinda
    @abdallahluhinda 3 หลายเดือนก่อน

    Semaji la caf usiniache nataka kuja kuimba mashairi ya Simba yetu Niko mwanza.

  • @MsafiriMbawala
    @MsafiriMbawala 3 หลายเดือนก่อน

    nendeni handeni mkaugue funza

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe prisizon nn toa viongoz wabovu kwanza

  • @KigesoKigeso
    @KigesoKigeso 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona wachezaji walewale au

  • @evaristusmakota8308
    @evaristusmakota8308 3 หลายเดือนก่อน

    Uzur wa huyu mwandishi wa Simba TV hamwin Ahmed daima anamcheka

  • @ProudNative
    @ProudNative 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nendeni mkaokoteze wachezaji tena, sisi kama wananchi tunawaahd 5 zngne

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 3 หลายเดือนก่อน +1

    hatutakj

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 หลายเดือนก่อน

    BAKINI HAPAA, HAPAA BONGO MNATUMIA PESA NYINGI KWENDA NJE MWISHO WA SKU INAKUA N UPUUZI TU

  • @MalikiPanga
    @MalikiPanga 3 หลายเดือนก่อน

    Vizuli semaji letu tunakupenda

  • @francisphilipo5749
    @francisphilipo5749 3 หลายเดือนก่อน

    Unaendaje kuweka kambi nchi za barid na ukirudi bongo ni joto kali hapo ni kutalii tu

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 3 หลายเดือนก่อน

    Hilo tatizo,tuambieni mapema mnaficha nini michezo wa wazi huu

  • @IsmailHussein-vq4gj
    @IsmailHussein-vq4gj 3 หลายเดือนก่อน +1

    Karatu arusha

    • @flova7022
      @flova7022 3 หลายเดือนก่อน

      Huo mji unawarembo Tz nzima hkuna

  • @SojephShabani-bd6nw
    @SojephShabani-bd6nw 3 หลายเดือนก่อน

    Iringa

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b 3 หลายเดือนก่อน

    Uturuki ni laana kwa simba nendeni bunju tu ujinga wenu ni kuharibu pesa tu na hakuna lolote

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 3 หลายเดือนก่อน

    Mangungu ni kirusi pale simba

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo mangungu anasubir nin atak afie umo?

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela 3 หลายเดือนก่อน

    Ahamed ali mh naona kama tuwe siliasi kidogo yani tuwe kijanjaja mh maana pale kwa jirani wana watu sana

  • @SwalehIsmail-vg7nw
    @SwalehIsmail-vg7nw 3 หลายเดือนก่อน

    Kunguru 😂😂😂

  • @minahismail9515
    @minahismail9515 3 หลายเดือนก่อน

    Yebox2 tulieni mnyama afanye kufuru..

  • @oneegraphy8285
    @oneegraphy8285 3 หลายเดือนก่อน

    amuendi tena uturukii hahahhaa

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 3 หลายเดือนก่อน

    Ila simba bwana mambo yao wanakulupuka ndoo maana wanafungwa ovyo na mkijichanganya tena ubingwa yanga anachukua tena nipo pale ntaxhangaa xana mnatoka inje yanga wanabaki jangwani na tukiludi tumeixha duu😢😢😢😢 ila simba nguvu moja🙏

  • @othinielfrednand5243
    @othinielfrednand5243 3 หลายเดือนก่อน

    Ajabu jamaa anasemea baadhi ya content ambazo sio uhalisia wa clabu yao

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 3 หลายเดือนก่อน

    hulaya gundu sisi tunapo kwenda ulaya uku tuna waacha yanga wana dili na malefa wote timu zote waganga wote tuwe makini langu ilo wame tuwini apotu tubaki tuone kama kimimi muongo tubaki tudili nao

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 3 หลายเดือนก่อน

    HUYO MANGUNGU ATOKE KABSA NDO WANASIMBA ANATUGAWA

  • @orestaley2242
    @orestaley2242 3 หลายเดือนก่อน

    Wabeki hapa hapa ,afu mashabiki hawana shauku kbc wamechoka ko nyie bakini hapa hapa kwani amna chochot

  • @salomethomas6469
    @salomethomas6469 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hili jamaa ban waga linanipa fraha san jitu frani hiv

    • @FAUSTINAULEDI-ln5fi
      @FAUSTINAULEDI-ln5fi 3 หลายเดือนก่อน

      Kwakwel Ahmed Ally ni mtu nangai liko vizuri jamaa

  • @sanuramdegela9606
    @sanuramdegela9606 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmeanza tantalilaaa zenu...mwisho wa msim mnaanza majuto...hizo pesa za kambi nnje ya nchi fanyeni usajili wa wachezaji

    • @KareemMako-dg6dp
      @KareemMako-dg6dp 3 หลายเดือนก่อน +1

      We inakuhudu nn mbn baba Ako hela alizokuwa analewewa pombe c angekusokesha ww

    • @sanuramdegela9606
      @sanuramdegela9606 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@KareemMako-dg6dp pole kumbe shule iko zero...kusokesha ndo mdudu gan

    • @KareemMako-dg6dp
      @KareemMako-dg6dp 3 หลายเดือนก่อน

      You're not educated that's why u can't understand bt I'll teach u my young bro you should deal with your own business and not talk about our team

    • @lydiathomas2905
      @lydiathomas2905 3 หลายเดือนก่อน

      Hela zako? pilipili ya shamba wewe unawashwa😂

    • @sanuramdegela9606
      @sanuramdegela9606 3 หลายเดือนก่อน

      @@KareemMako-dg6dp mzee baba ongea tu kiswahil utaeleweka , kangingereza ka kukuunga na gundi achana nako

  • @peterlawrance1391
    @peterlawrance1391 3 หลายเดือนก่อน

    Mambo ya kupeleka watu kambi kama wanaenda kuzurura ni Utapeli.

  • @francisphilipo5749
    @francisphilipo5749 3 หลายเดือนก่อน

    Unaenda uturuki unacheza na vilabu vya dalaja la nne havikujengi chochote tuach e sifa za kijinga tubaki bongo

  • @SharonF21
    @SharonF21 3 หลายเดือนก่อน +5

    All the best myteam❤🦁

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kabisa kabisa. Ahamed Ally apewe na uongozi hasa kwenye usajiri. Awe Semaji na Kiongozi. Nakumbuka tulikuwa na kocha mchezaji Hassan Afifu na SSC ilifanya VEMA.

  • @promisehezron706
    @promisehezron706 3 หลายเดือนก่อน +2

    Maneno hayo ungekuw unawashauli hata viongz huko kwenye mikutano yenu bs tungefika mbali

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 3 หลายเดือนก่อน +2

    Fanyeni yote leteni wachezaji wazuri tu hao juma mwiko watanyamaza wenyewe

  • @herykavuka
    @herykavuka 3 หลายเดือนก่อน +4

    Go simba sports club

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nilichukia simba yangu asilimia 💯 ila kwa Habari hizi njema MO +MAGORI +BARBRA GONZALEZ ❤ALHAMDULILLAH 🇹🇿🇦🇪

  • @NdiheSigaro
    @NdiheSigaro 3 หลายเดือนก่อน

    Nashauri usajiri uwe mzuri na mtuletee wachezaji bora na walio na uzoefu wa mechi za afrika! Isihe kua tena porojo tu.

  • @HajiOmari-mv2bc
    @HajiOmari-mv2bc 3 หลายเดือนก่อน

    Acheni ukhanithi kwenda uturuki cjui sauzi afrika alafu timu inakuja Kua mbovu izo habari msilete

  • @HospiaceMata
    @HospiaceMata 3 หลายเดือนก่อน

    Huu msimu wanasimba tunaenda kuyaondoa majonzi yote mana usajr si wakawaida.

  • @francisphilipo5749
    @francisphilipo5749 3 หลายเดือนก่อน

    Kama uko nje kuna biashara mnapeleka au mnafuata sawa lakin kama ni kambi bongo

  • @EliasHamis-q7o
    @EliasHamis-q7o 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba hakosei kuongea na anaipenda Simba mno

  • @josephnobashi3223
    @josephnobashi3223 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nadhani morogoro bigwa pana faaa sana karibuni moro town

  • @KareemMohamed-jh9bz
    @KareemMohamed-jh9bz 3 หลายเดือนก่อน

    Kikubwa tuna itaji team bola na kikosi kipana

  • @neemamshote9577
    @neemamshote9577 3 หลายเดือนก่อน

    Fanyeni yote ila Jobe lin mnampa senki you

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 3 หลายเดือนก่อน

    Tumewazoea matapeli wetu

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu moja

  • @lameckyohana1101
    @lameckyohana1101 3 หลายเดือนก่อน

    Simba damudamu

  • @luismchayano4796
    @luismchayano4796 3 หลายเดือนก่อน

    Wabaki tu hapo Mo arena. Kwani wamepajenga kwa ajili ya nn? Kwann waingie gharama wakati hostel zenu zipo. Haya bhna kama ni kwa ajili ya upigaji kazi kwenu.

  • @francisphilipo5749
    @francisphilipo5749 3 หลายเดือนก่อน

    Tubaki bongo tuandae bonanza tualike tim mbili au tatu za nje tuache kutumia gharama kubwa baadae hizo gharama zinawekwa kwenye mapato na matumizi

  • @aliasabakari9925
    @aliasabakari9925 3 หลายเดือนก่อน

    Binafsi napendekeza simba ikaweke kambi lushoto, kuna mazingira mazuri yenye utulivu na hali yake ya hewa ni nzuri kwa ajili ya kuandaa timu itakayoweza kushindana kwenye hali ya hewa yoyote

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 3 หลายเดือนก่อน

    Tumefanya kampeni nchi nzima tususe kununua jezi mpaka mangungu na bodi yake wajiuzulu

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 3 หลายเดือนก่อน

    Uache ujinga wa kusifu sifu mambo kupita kiasi halafu yote unayoyasifu yanakuwa hasi hatutami tena

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 3 หลายเดือนก่อน

    Mh Ally Nakutabiria kuja kuwa kiongozi Mkubwa hapo Baadae

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 3 หลายเดือนก่อน

    Pre season nje hauna tija zaidi ya hasara tu. Mlishakwenda sana na kutunia gharama kubwa ila mwisho ni hasara tu na pesa na matokeo ya timu. Fanyeni hapa hapa

  • @SamsonTanzania
    @SamsonTanzania 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani jamani mangungu atoke hatumtaki akibaki jezi hatununui pia kola za jezi mbaya

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mangungu asibaki tunachotaka usajiri bora sio bora usajili tunahitaji

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 3 หลายเดือนก่อน

    Mipango iyo anapnga nani😂😂😂😂na tuko kwenye mgogoro na mangungu

  • @NehemiahNdimgwango-i5i
    @NehemiahNdimgwango-i5i 3 หลายเดือนก่อน

    Jezy mtanunua wenyewe msimu huu🐕‍🦺🐕‍🦺🐕‍🦺

  • @Khmediy3241
    @Khmediy3241 3 หลายเดือนก่อน

    Atujii uwanjani mpaka mangungu atoe nyooo nyinyi

  • @edwardlenga7961
    @edwardlenga7961 3 หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu moja, tushikamane

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya4077 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna haja ya kupeleka team nje, kwanini uingie gharama kisha mtu anasema anapata hasara, ni upuuzi wa hali ya juu.

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 3 หลายเดือนก่อน

    Utapeli tuu wabaki bongo maf faida

  • @abdallahsaidi5933
    @abdallahsaidi5933 3 หลายเดือนก่อน

    😂Ahmed jembe letu tuko pamoja

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mnachokisema hapo na kikatimia.

  • @albertisrael5879
    @albertisrael5879 3 หลายเดือนก่อน

    Juma mgunda apewe timu