PRE-SEASON TUTAFANYIA WAPI?/TAREHE YA SIMBA DAY NI LINI?/SEMAJI AHMED ALLY AWEKA WAZI KILA KITU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com...
📱 App: Android User: play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC TH-cam Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
We are going to be the hero of the next competition ❤❤ SIMBA NGUVU 1
Can't wait Simba inapochukua ubingwa na kufika nusu fainali huyu mwamba akiwa msemaji naona atakuwa bonge kama msechu anaipenda Simba from the bottom of his heart
Na labda asichukue huyu mwamba , akih watakomab😂😂😂
Jee ni kweli imeondolwa mashindano ya klabu bingwa Afrika ? Na simba kupewa hiyo nafasi? Tujuze semaji letu asante
Yupo kazini broo maan Simba ndo inayomuweka mjini hata Manara alikuw hivyo
@@brunoh_bx ni kweli yupo kazini ila huyu mwamba tangu akiwa Azam TV kazini alikuwa anaonesha mapenzi yake kwa team
Bs hiyo Simba tuje Tukiwashe hapo, Muziki Mnene na Vipaji vikubwa zaidi from EGM🎉🎉🎉🎉 Simba tz changamkieni fursa hii
Naamini simba bora inakuja
Nakukubali sana semaji
Msemaji tunae ila viongozi ndo ushuzi huyu angekuwa hata mjumbewa bodi basi naiona simba ya moto vibayabmnoo Kwan nini asiwe msemaji alafu akawa na mwenyekiti wa bodi
Mimi nashauri mbaki hapa hapa msimu huu
Pesa itumike kusajiria wachezaji jamani! Dah! Mbona wale wafuga vyula na Mbu huwa hawaendi na wanafanya VEMA?
Umesahau kutaja moja wanavuga hata simba wala majani pia usijzime data tabu iko pale pale
Bila ngungu kutoka hatununui jezi hata
Semaji la caf 👏👏👏👏
mkijisahu tuu huu mwaka tena watawafunga miguu tenawachezaji wote Upande wapili wameandaa kamati maalum kwaniaba ya kuwalibu wachezaji wote nawakumbusha kuweni makini Sana
Zanzibar nisehemu sahihi sana kwa Simba kwanza watatengeza platform nzur ya wanachama na mashabiki pia nisehem nzur sana kwa kambi
Mtaalam wa utani karud ,,,, our comedian his back , ahmed😇
Huyu jamaa ahmed ally ningependekeza awe mwenyekiti wa simba sports club baadae ,he gas charisma
Simba nguvu moja
🦁🦁
Waende Tu nje wakafanye pre season coz just like a tour
Tanga kuzuri sana kwa pre Season
Nendeni lushoto hali ya hewa Safi pia mazingira mazuri sana
Mbebwe zimeaza hiyo hela nibora mkafanyia usajiri
Kajifunze kusoma kwanza
Nakuandika maana badala ya kusema usajili unatuandikia usajiri😂😂
Bora Timu baking Tanzania kuliko kwenda nje kupoteza pesa nyingi bila tija
wabak tz au waende Zanzibar ilikupunguza gharama zisizo za msingi
Unapaka siyagi,jam pilipili,chumvi,sukari,ndimu, washabiki hawataki porojo hizo wanataka foootball🔥
Nguvu moja
Msiende pre season nje ya nchi,mi naona pigeni tizi kwenye vwanja vya mikoani mana ndo ua tunapoteza point mle
Pre-season na wachezaji gani sasa😂 *Simba yanguuuu*
Mwaka huu Tusiende Uturuki.
Waje Ruangwa Lindi Mipango lafk IPO Vzur
P endekezo langu Zanzibar
Jaman timu yetu yot
Hiyo Lushoto ndio yenyewe, Mkishindwa kabisa Basi Arachuga full accommodation..😂😂😂😂
Mangungu atoke ahmed ally akae hiyo nafas na usemaj aendlee anaweza sana huyu mwmba
Lushoto pata faa sana hali ya hewa saf mazingira mazuri
Hakuna haja ya kwenda huko bakini hapahapa
Mnaenda nje kisha mnakuja na mambo ya maajabu
Ila wanasimba msemaji tunae
Mm nashauli mbaki ichini2
Semaji la caf usiniache nataka kuja kuimba mashairi ya Simba yetu Niko mwanza.
nendeni handeni mkaugue funza
Wewe prisizon nn toa viongoz wabovu kwanza
Mbona wachezaji walewale au
Uzur wa huyu mwandishi wa Simba TV hamwin Ahmed daima anamcheka
Nendeni mkaokoteze wachezaji tena, sisi kama wananchi tunawaahd 5 zngne
hatutakj
BAKINI HAPAA, HAPAA BONGO MNATUMIA PESA NYINGI KWENDA NJE MWISHO WA SKU INAKUA N UPUUZI TU
Vizuli semaji letu tunakupenda
Unaendaje kuweka kambi nchi za barid na ukirudi bongo ni joto kali hapo ni kutalii tu
Hilo tatizo,tuambieni mapema mnaficha nini michezo wa wazi huu
Karatu arusha
Huo mji unawarembo Tz nzima hkuna
Iringa
Uturuki ni laana kwa simba nendeni bunju tu ujinga wenu ni kuharibu pesa tu na hakuna lolote
Mangungu ni kirusi pale simba
Uyo mangungu anasubir nin atak afie umo?
Ahamed ali mh naona kama tuwe siliasi kidogo yani tuwe kijanjaja mh maana pale kwa jirani wana watu sana
Kunguru 😂😂😂
Yebox2 tulieni mnyama afanye kufuru..
amuendi tena uturukii hahahhaa
Ila simba bwana mambo yao wanakulupuka ndoo maana wanafungwa ovyo na mkijichanganya tena ubingwa yanga anachukua tena nipo pale ntaxhangaa xana mnatoka inje yanga wanabaki jangwani na tukiludi tumeixha duu😢😢😢😢 ila simba nguvu moja🙏
Ajabu jamaa anasemea baadhi ya content ambazo sio uhalisia wa clabu yao
hulaya gundu sisi tunapo kwenda ulaya uku tuna waacha yanga wana dili na malefa wote timu zote waganga wote tuwe makini langu ilo wame tuwini apotu tubaki tuone kama kimimi muongo tubaki tudili nao
HUYO MANGUNGU ATOKE KABSA NDO WANASIMBA ANATUGAWA
Wabeki hapa hapa ,afu mashabiki hawana shauku kbc wamechoka ko nyie bakini hapa hapa kwani amna chochot
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hili jamaa ban waga linanipa fraha san jitu frani hiv
Kwakwel Ahmed Ally ni mtu nangai liko vizuri jamaa
Mmeanza tantalilaaa zenu...mwisho wa msim mnaanza majuto...hizo pesa za kambi nnje ya nchi fanyeni usajili wa wachezaji
We inakuhudu nn mbn baba Ako hela alizokuwa analewewa pombe c angekusokesha ww
@@KareemMako-dg6dp pole kumbe shule iko zero...kusokesha ndo mdudu gan
You're not educated that's why u can't understand bt I'll teach u my young bro you should deal with your own business and not talk about our team
Hela zako? pilipili ya shamba wewe unawashwa😂
@@KareemMako-dg6dp mzee baba ongea tu kiswahil utaeleweka , kangingereza ka kukuunga na gundi achana nako
Mambo ya kupeleka watu kambi kama wanaenda kuzurura ni Utapeli.
Unaenda uturuki unacheza na vilabu vya dalaja la nne havikujengi chochote tuach e sifa za kijinga tubaki bongo
All the best myteam❤🦁
Kabisa kabisa. Ahamed Ally apewe na uongozi hasa kwenye usajiri. Awe Semaji na Kiongozi. Nakumbuka tulikuwa na kocha mchezaji Hassan Afifu na SSC ilifanya VEMA.
Maneno hayo ungekuw unawashauli hata viongz huko kwenye mikutano yenu bs tungefika mbali
Fanyeni yote leteni wachezaji wazuri tu hao juma mwiko watanyamaza wenyewe
Go simba sports club
Nilichukia simba yangu asilimia 💯 ila kwa Habari hizi njema MO +MAGORI +BARBRA GONZALEZ ❤ALHAMDULILLAH 🇹🇿🇦🇪
Nashauri usajiri uwe mzuri na mtuletee wachezaji bora na walio na uzoefu wa mechi za afrika! Isihe kua tena porojo tu.
Acheni ukhanithi kwenda uturuki cjui sauzi afrika alafu timu inakuja Kua mbovu izo habari msilete
Huu msimu wanasimba tunaenda kuyaondoa majonzi yote mana usajr si wakawaida.
Kama uko nje kuna biashara mnapeleka au mnafuata sawa lakin kama ni kambi bongo
Huyu mwamba hakosei kuongea na anaipenda Simba mno
Nadhani morogoro bigwa pana faaa sana karibuni moro town
Kikubwa tuna itaji team bola na kikosi kipana
Fanyeni yote ila Jobe lin mnampa senki you
Tumewazoea matapeli wetu
Simba nguvu moja
Simba damudamu
Wabaki tu hapo Mo arena. Kwani wamepajenga kwa ajili ya nn? Kwann waingie gharama wakati hostel zenu zipo. Haya bhna kama ni kwa ajili ya upigaji kazi kwenu.
Tubaki bongo tuandae bonanza tualike tim mbili au tatu za nje tuache kutumia gharama kubwa baadae hizo gharama zinawekwa kwenye mapato na matumizi
Binafsi napendekeza simba ikaweke kambi lushoto, kuna mazingira mazuri yenye utulivu na hali yake ya hewa ni nzuri kwa ajili ya kuandaa timu itakayoweza kushindana kwenye hali ya hewa yoyote
Tumefanya kampeni nchi nzima tususe kununua jezi mpaka mangungu na bodi yake wajiuzulu
Uache ujinga wa kusifu sifu mambo kupita kiasi halafu yote unayoyasifu yanakuwa hasi hatutami tena
Mh Ally Nakutabiria kuja kuwa kiongozi Mkubwa hapo Baadae
Pre season nje hauna tija zaidi ya hasara tu. Mlishakwenda sana na kutunia gharama kubwa ila mwisho ni hasara tu na pesa na matokeo ya timu. Fanyeni hapa hapa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏
Jamani jamani mangungu atoke hatumtaki akibaki jezi hatununui pia kola za jezi mbaya
Mangungu asibaki tunachotaka usajiri bora sio bora usajili tunahitaji
Mipango iyo anapnga nani😂😂😂😂na tuko kwenye mgogoro na mangungu
Jezy mtanunua wenyewe msimu huu🐕🦺🐕🦺🐕🦺
Atujii uwanjani mpaka mangungu atoe nyooo nyinyi
Simba nguvu moja, tushikamane
Hakuna haja ya kupeleka team nje, kwanini uingie gharama kisha mtu anasema anapata hasara, ni upuuzi wa hali ya juu.
Utapeli tuu wabaki bongo maf faida
😂Ahmed jembe letu tuko pamoja
Hakuna mnachokisema hapo na kikatimia.
Juma mgunda apewe timu