Kwann hamuweki full in youtube sasa mnataka wote hata kama tupo mbali tuwe tunakuja kuangali dar mulianza vizur sasa mmeanza kuboa tu mana mala ya kwanza hatakama nilikuwa bz mda huo nikipata mda lazima nitaangalia mana nitaikuta tu youtube bongo sijui mkoje kila kitu lazima mubaki nyuma bola musiwe live but bada ya siku moja iweke yote youtube Ndiomana kenya wanaenda mbali kwasababu hata watu wakipita youtube watakutana na vipindi vyao viko full kabisa sasa bongo daa kila kitu tupo nyuma hata kama tupo mbali but tunapenda kusapotiana ila nyie mnatuvjnja moyo guys mana mm najua mngekuwa mnaweka vipindi full kabisa mngeona vingekuwa vinafikisha hata more one million in youtube sasa nyie mnatuwekea sekunde au hiyo chekatu imekuwa ya watu wa dar tu ambao wanaweza kuja dar kipindi mmeanza na wasafi au hata kabla na wasafi vipindi vilikuwa vinapatikana youtube but now sijui nani kawashauli
Sifa moja nzuri ya leonard atumii nguvu kuchekesha watu washikaji😂😂
Nyie kenge mtaniua kwa kucheka mbwa nyie😅😅😅 😂😂😂 huwiiiiiiiiiii mbavu zangu jamani 😅😂
😂😂😂😂😂😆Nawapenda Mno kwakweli 😂❤️🌹
Mutakuja kutuvunja mbavu😂😂😂
Atari sana awa kijana au basi sio atari tena😂😂
Alivyoanza Leonardo nikajua ameua ila ailivyokuja Ndaro nikaona ameua inshort wotee wapo vizurii🤣🤣🤣🤣
Sahihi wako vzur saana
Sisi wengine tupo mbar na tunapenda kazi zao muwe mnachia full youtube
Waambie maana awaelewi
😂😂ndalu chizii😂😂
Chemistry ya Ndaro na leonardo ipo poa sana🔥
Kiongoz nakukubali San vp
Full video lini?
😂😂😂
😅😅😅😅
Acha nivunje mbavu mamae 😅😅😅😅
Leonardo anaigaswang zang
Na nyie mnalinga siku hizi
Hahhahaha aseee
🎉🎉
Ndaro dawa yake ni LEONARDO tu
Mnajua sana
😂😂😂😂😂🙌🙌
Eeeeeee
Mnafeli
Mnaboaaaaaaaa weka full bhn au Kama vp muweke hata dakk5 bs ss nyie mnaweka sekunde tuh Kama show ya kuku
Kwann hamuweki full in youtube sasa mnataka wote hata kama tupo mbali tuwe tunakuja kuangali dar mulianza vizur sasa mmeanza kuboa tu mana mala ya kwanza hatakama nilikuwa bz mda huo nikipata mda lazima nitaangalia mana nitaikuta tu youtube bongo sijui mkoje kila kitu lazima mubaki nyuma bola musiwe live but bada ya siku moja iweke yote youtube
Ndiomana kenya wanaenda mbali kwasababu hata watu wakipita youtube watakutana na vipindi vyao viko full kabisa sasa bongo daa kila kitu tupo nyuma hata kama tupo mbali but tunapenda kusapotiana ila nyie mnatuvjnja moyo guys mana mm najua mngekuwa mnaweka vipindi full kabisa mngeona vingekuwa vinafikisha hata more one million in youtube sasa nyie mnatuwekea sekunde au hiyo chekatu imekuwa ya watu wa dar tu ambao wanaweza kuja dar kipindi mmeanza na wasafi au hata kabla na wasafi vipindi vilikuwa vinapatikana youtube but now sijui nani kawashauli
Wasafi tv
ndaro vs leonardo ❤❤❤❤
Post Hivi Yote
😂😂😂
😂😂😂😂😂