Ndaro na Steve kma mnaona hii comment tafadhal nawaomba hii combination yenu iendelee hivi,km ikivunjika sio mm tu nitakuwa disappointed bali na wengne pia itawaathiri.🙏 Kma unaona comb ni fire gonga like 🔥👍
Ila wew ndaro daaah mungu akupe maisha marefu mungu aliumba mapenzi yana waumiza vijana wengi ka amua kutuletea kipaji chako ili kiwatoe watu stress mungu akupganie kwenye kaz yako kama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣 Kope jike
Ndaro na Steve kma mnaona hii comment tafadhal nawaomba hii combination yenu iendelee hivi,km ikivunjika sio mm tu nitakuwa disappointed bali na wengne pia itawaathiri.🙏
Kma unaona comb ni fire gonga like 🔥👍
Hao jamaa wanaweza
❤kiukwer
napend kaziyenu
Kama wamkubali ndaro nipe like basi
Jaman huyo mgang
Nawakubari sana
@@AminaJuma-eo8tvyou want me tow😊
Collabo ya Ndaro na Steve ni hatari
❤❤❤❤nawakubal sana
Daaaah kama unawakubali Hawa jamaaa gonga like hapaaa za kutoshaa
Wa kwanza leo wapi like zangu kwa ndaro na Steve 😅😅
Jamani wanaomkubali ndaro mjeshi like hapa
❤❤❤
Huyu jamaa mganga ako sawa. Ameigiza vizuri. One love from +254 🇰🇪 Kenya
Ila wew ndaro daaah mungu akupe maisha marefu mungu aliumba mapenzi yana waumiza vijana wengi ka amua kutuletea kipaji chako ili kiwatoe watu stress mungu akupganie kwenye kaz yako kama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣 Kope jike
Sitivu mungu akupe maisha malefu
Mmeua kambiiiiiii jaman
Mbona Ndaro hatoe viato kwa muganga. Ugandans gather🇺🇬 ❤
namba 1 trending on u tube na hii ndaro imeenda❤❤🎉🎉
Wakwanza mimi Leo like zangu jamani please Ata mbili Nita furahi Sana
Mbon nadallo ai dallodiki
Hiv kwann makampuni makubwa Dstv na Azam tv hawaoni madini haya hii combination ya ndaro na steve ni moto sana
Sana
Sana tyu nimeielewa
mimi ni Congo courage ndaro n'a Steve 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪♥️
mimi ni mu Congo courage ndaro n'a Steve 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪
😂😂😂😂kutowana kafara imekua ngumu sana😂😂love from 🇧🇮
Yaani ndaro ime nipasuwa na cheko kwa leo mwanangu i follow you from congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ndaro na steve jamani wanachekesha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Soldier I am among the first people today🎉🎉
I came from the Congo❤
Cjawahi kuomb like kwenu ila naomb like 150 t kwaleo
Aki nyinyi nikiwafwatilia siku yangu inaishaka bila stress 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤🇧🇮
Kazi zuriiiii stive kam kenya
Hahaha Steve yuko very seriously 😂😂😂
Ndani ya sekunde 30 tu za mwanzo nishacheka balaaa😂
Mimi nae😅😅😅😅😅
ila hawa machizi wakikutana huwa nacheka kabla sijaiyona hata movie yenyewe😂😂😂
HUU MZIGO NIMEUELEWA SANA BIG UP 🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥👍
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mtatuuwa kwa kicheko
ila ndaro ndy uchezee kibuyu cha mganga😅😅😂
Atageuzwa kuku🤣🤣🤣
Kama mnawakubar ndaro na stive gonga rike apo❤
❤❤❤❤😂
Patric
😂😂😂😂😂 nampenda ndaro ananifurahisha😂😂
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Yaani ni saa 9:12 usiku nacheka kwa sauti 😂😂😂😂😂🤣. aisee Steve na Ndaro mtaniua
Ndaro hem tupishe kidogo 😅😅😅😅😅😅😅🎉🎉❤❤
kaka ndaro ehh na steve mnauwaaaah ile mbayaa
Namba 1 hapaaa
😂😂😂😂 mganga bhn et mnautaka 😂😂😂😂🙌🙌
😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Ndaro na Steve na wakubali sana tu nimecheka mupaka base 😂😂😂
Big director from Congo Germain M
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas ndaroooooooooooo
Great content
Ndaro bila ya stevu hawezi kunoga
Mwene wachu umeua bro
Gute
Ndaro tupishe kidogo tuongeee 😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Hatari Sana 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunao mkubali stive like zesu apa👍👍
Nawakubali sn
😅😅😅😅😅😅 Sema hawa wasenge wanakimbiza san kibongo bongo hakuna😅😅😅😅 mamaee!
Ndaro ingefaa saana ungetumia ngoma yangu ya mganga 02 ❤❤❤
Ndaro anachezea vibuyu dah😂😂😂
Haiswiiii😂😂😂😂nyota ya kuvulia dagaaaa😅😊😂😂😂
Eti jaivaa❤❤❤
Mganga umetusha sio kwa m@shrti ayo 😂😂😅😅😂😢😢
Roho ngumu kweli kweli amekopwa 😂😂😂😂
Mbona mnaarasi mnganga Bana
Tukampekenyue kobe😁😁😁😙 steve🙌🙌
Haaaaahaaaa
Wana acheni ushamba wa kuomba like
Nomaaaa sana ndaro by Steve mweus
Yaaaaaani nimecheka kipumbafu 😂😂😂😂😂
Hahahahahahah...eti ndaro tupishe kidogo
Ndaro na Steve ni combination nyengne hatari sana kwa comedy😂😂😂
Gud from englandro
Nimecheka 😂😂😂 mko na raha ndaro na Steve
Hii tunaweza fika moja😂🙌
😂😂😂😂😂hawa jamaa wanatisha saan
Hahaha namba Moja leo❤
Steve noma sana anataka utajiri sharti la kuua mwenzake limekuwa rahisi😂😂😂😂
Daro mimi kutoka Congo nakupenda ❤❤
😂😂😂😂😂😂😂 ndaro huoni kama hajasoma yupo kilingeni
Hizo like mnapata hela kwani😂
😅😅😅😅
Unyama sana ndaro mjeshi kikofia😂😂
Ndaro de best 🎉
😂😂😂😂😂😂 jamani Steve na ndaro nyie 😂😂😂
Nakubarii steve ndaro 😂😂😂
😅😂😂😂😂😂😂 nimeipenda
Mko bomba nawakubali nawapenda kaz NZuri
Steve wewe mwisho na ndaro😂😂😂😂😂😂🎉
Ndaro na Steve NI noma wazee nimecheka sana
Ila hawa watu😂😂😂😂😂😂😂jamn nawapendaaaaaa
Acheni ushamba huo wa kulomba like😢😢, Steve nakuona
Nwapenda sana
Nawakubali sana timu Steve na ndaro
Stevu anataka kumtoa mwenzie 😂😂
Nakukubali xan Steve umalaya 2 kuoga anhaaa
Sina mbavu mwendo wa kucheka
Ila ndaro na stive mnafurasha unajinyoosha kwa mganga
Wewe Mganga usichoelewa ni Nini?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 nawa penda sana kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Steve uleteya mugaga mukewako kwamungaga unawina wenye minakuku Bali sana
Kumpekenyua kobe ndaro anaweza😂😂😂munautaka semeni MDIO😂😂😂ndaro tupishe kdg tuongee na mganga 😂😂😂😂ila Steve bhana ssa mbn unampiga mganga kibao🤣🤣🤣🤣
Nacheka sana
Hii movie naitazama kila siku nasikia raha na stress zaisha kabisa
Nina wafwata 5/5 in DRC
Ndaro n steve ur just a vibe ......umpekenyue kobe😂😂😂
😂😂😂 nzur sana jamani hongereni
Ndaro weye 😂😂😂😂😂😂
Noma sanaaaaa
Nice kaz
CLAM KIVU DRCongo 🇨🇩 daro msamehe
Jamanie wadau wote wa stive ngegeni like
Mweusi Family 👪 ❤️ 💙 ♥️ 💕 💓
Ndaro forever
Daaaah nimeipenda 😂yaan hawaaa 😊
😂😂😂 eti unaweza kumpekenyua Kobe
vilimushinda ndomana yupo hapa stev ni moto like za stev hapa
Ndaro munatisha aisee😂😂😂
Karibu nicheke 😂😂😂😂😂😅
Namukubali sana ndaro.
Mmetisha kuliko zote Leo ndaro na Steve 😂😂😂😂😂😂😂
Ndaro nenda kwa mpemba ukanywe kahawa Steve akuwahishe hukooooo😂😂😂😂