Amina pastor kwa somo la kutukumbusha udhaifu wetu kiroho,Mungu na atusaidie kuwa na roho ya kuhurumia na kusaidia walio na hitaji kwa wakati unaofaa,amina
Mama yangu ni mgonjwa wa akili lakini aliwahi kunshangaza kwa kutoa sadaka yake kanisani,, mim ni nan hata nijiinue juu ya utoaj ooh Yesu asante kwa somo lmenisaidia sn!!
Amen,Mungu atusaidie na atuongoze kwani tumekuwa tukifanya makosa kwenye utowaji wetu wa sadaka. Hakika nimebarikiwa na somo hili Pastor Mungu akubariki
Amina asante Mungu azidi kukutumia sana.Mwenyezi uniongoze niweze kutoa kwa roho na kweli niondolee ugumu Yesu wangu amina
Barikiwa sana pastor Mungu akazidi kukuzidisha
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU, MUNGU azidi kukumiminia mafuta yake tupate kupona
Asante sana, Mungu wambinguni akubariki.
Eee Yesu kristo tuwezeshe namoyo wa utowaji🙏🙏
Amen
Amina pastor kwa somo la kutukumbusha udhaifu wetu kiroho,Mungu na atusaidie kuwa na roho ya kuhurumia na kusaidia walio na hitaji kwa wakati unaofaa,amina
Amen,ni hayo mambo yanaendelea hapa kenya,watu wengi sana wanatoa mchango kwa wale wamekufa lakini hawasaidii mtu akiwa mgonjwa,ubarikiwe mtumishi
Thank you Lord,thank you Lord, thank you Lord, that's my talents.nashukuru mungu kwa karama uliye nipea 👏
Mama yangu ni mgonjwa wa akili lakini aliwahi kunshangaza kwa kutoa sadaka yake kanisani,, mim ni nan hata nijiinue juu ya utoaj ooh Yesu asante kwa somo lmenisaidia sn!!
Amen pastor nimekupata vizuri sana..eee Mungu niumbie moyo safi wa kusaidia mayatima,wajane na maskini..Amen
Amen
Amen,Mungu atusaidie na atuongoze kwani tumekuwa tukifanya makosa kwenye utowaji wetu wa sadaka. Hakika nimebarikiwa na somo hili Pastor Mungu akubariki
Ubarikiwe mtumishi Mungu aendelee kukutumia
Point kabisa barikiwa sn
Asante Mchungaji wangu .Bwana. Mungu awe nasi. Amen
Amina pasita ubarikiwe
Asante Kwa Fundisho zuri tunapotoa zaka na sadaka tuondoe viburi ndani yetu kwanza ili Mungu azipe kibali machoni pake zipate thawabu.
Asante sana baba kwa somo zuri. Mungu aendelee kuwa nasi, tutende kadiri ya mapenzi yake!
Amen asanti sana pastor God bless you 👏👏
Amina Nashukuru Mungu kwa neno hili ubarikiwe sana pastor👏👏
God bless you I like your preachings
Amen. Pastor Mungu akubariki na akutimishie haja za moyo wako uendelee kutufunza.
Ansante sana kwa mahubiri mazuri sana,yanatujenga
Amen Asante kwakunielewsha
Asante sana Mchungaji kwa somo zuri
BE BLESSED PASTOR.
Ahsante kwa somo nzuri amen
Be blessed pastor
Amina pastor
ubarikiwe san mtumishi wa Mungu
Amen pasta aksante kwa somo
Barikiwa sana Pastor
Asante pst unajemga imani yangu sana
Ameen
good insight
Amen
Hallelujah
Mungu wangu wewe wajua ata sina cha kusema
Amen
Somo zuri Pr
Amina
We ni nabii na si feki kama wengine
Mungu atukuzwe
Mungu ni Mkuu
Huu ni ujumbe mzito , ukitafakari kiroho cyo wa kupuuzia
BWANA YESU ASIFIWE, samahani naomba kujua kama nataka kutoa sadaka kwa ajili ya kusapoti Mahubiri tv nitoe kwenye namba gani?
Nmeomba namna ya kujiunga kwanjia telegram pls
Bwana awe pamoja nawe
Utoaji ni moyo,pale moyo wako ulipo ndipo hazina yako itakapokuwepo
Barikiwa mtumishi tupo nyuma yako tunakuombea
Barikiwa sana Pastor kwa ajili ya mafundisho yako hakika
Pr nisaidie hapo kwenye zaka ni asilimia 10 au 20
10 zaka iliyobakia sadaka
Amen pasta aksante kwa somo
Amen
Amen,