UKIELEWA MFUMO HUU UTAOMBA CHOCHOTE NA WEWE UTAPATA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ธ.ค. 2019

ความคิดเห็น • 285

  • @atinaminzani1372
    @atinaminzani1372 4 ปีที่แล้ว +23

    Hakika yupo Mungu sina lugha ya kumshukuru amenitendea muujiza wa namna ya pekee wakati wa ombi nimepona tatizo liliolokuiwa linanisumbua.

  • @bridgitkola5341
    @bridgitkola5341 ปีที่แล้ว +5

    Nakataa kwa maisha yangu KUWA mtu WA kidini Bali nageuka na KUWA mtu WA kikristo, this message is so strong I have never met such a gospel be blessed Mch David Mbaga 😇😇😇😇🙏🙏🙏we love your teaching as one brother in christ from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 ปีที่แล้ว +17

    Umkumbuke Dada yangu eewe mungu wangu katika ndoa yake , asante baba yangu. From Qatar be blessed pastor

    • @evoski3
      @evoski3 4 ปีที่แล้ว +1

      Hi Selfa, do you attend Qatar SDA church service? I'm in Qatar myself so I thought I would ask since you are also in Qatar. Obviously now our services are through Zoom due to the virus pandemic. Happy Sabbath.

  • @christerkilamlilo7013
    @christerkilamlilo7013 4 ปีที่แล้ว +6

    Asante Baba Mchungaji nimefunguliwa maumivu ya miguu kwa kuangalia mahubiri kwa njia ya simu. Natamani kati ya watoto wangu angalau mmoja wapo awe mtumishi wa Mungu kama wewe. Hakika nabatikiwa sana

  • @samwelojwang3043
    @samwelojwang3043 4 ปีที่แล้ว +18

    Unanibariki nikiwa Nairobi Kenya ubarikiwe sana mchungaji

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 3 ปีที่แล้ว +3

    Ameeeeen pastor Mungu anatujali sana watoto wake kuna mama alikwenda kuvunja muwa kwenye shamba la mother in law wake kumbe shamba lilikuwa limekingwa na dawa za kiganga malaika wakamzuia kweli siyo machale yetu ni Mungu be blessed pastor from Nairobi Kenya

  • @mainepraygod3142
    @mainepraygod3142 4 ปีที่แล้ว +5

    Nashukuru Mungu nimeona Muujiza katika maisha yangu siku ya leo baada ya kulisikia somo hili....hakika Mungu anataka mtu mwenye IMANI juu yake, tuamini MUNGU anashughulika na sisi

  • @yohanakitinde8113
    @yohanakitinde8113 4 ปีที่แล้ว +38

    Kuna magumu nilikua nayapitia kazin kwangu, lakin sabato moja pastor uliendesha maombi pale dodoma kati, Mungu alitenda, uliamuru tuandike kwenye karatasi, nilimuandika supervisor wang, baada ya muda wa siku kadhaa alirudishwa nchini kwao. Na mambo mpaka sasa ni shwari.
    Hakika Mungu kazini

  • @marcellyimo283
    @marcellyimo283 3 ปีที่แล้ว +2

    hii ni madhabahu Mungu anahitaji nijifunze kwako naelewa na kufunguliwa sanaa.barikiwa najiunganisha na Imani yako nami nitaipata Imani kuu kama yakool

  • @emaesthermuchiri7995
    @emaesthermuchiri7995 4 ปีที่แล้ว +9

    Hallelujah pastor...napenda vile,.unavyo chambua biblia,.maana hapo kila mtu.,anakuelewa hallelujah

  • @eddahnyongesa1119
    @eddahnyongesa1119 4 ปีที่แล้ว +4

    Napenda sana mahubiri yako mungu akubariki sana pastor mmbaga uzidi kuhubiri neno la mungu

  • @MaryWilson-vg2mm
    @MaryWilson-vg2mm 3 ปีที่แล้ว +5

    Wewe ni zaid ya mwalimu,mungu aendelee kukutia nguvu

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina barikiwa zaidi pastor nabarikiwa nikiwa Oman Muscat jina la bwana lihimidiwe 🙏

  • @mussayebete8919
    @mussayebete8919 4 ปีที่แล้ว +5

    Pastor Mungu mkuu mm nimesikia hili somo leo lakini Mungu kaniponya nilikuwa na maumivu mbavuni na kifua ila yameisha hakika Mungu ni mwenye kuhimidiwa milele

  • @upendobaina2171
    @upendobaina2171 3 หลายเดือนก่อน

    Nabarikiwa Sana na mafundisho yako mch Mungu akuzidishie siku za kuishi Ili nawale wanaokuwa wasikie habar njema unazotufundisha. AMEN

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen Ubarikiwe Pastor unapotubariki na Maombi Mungu azidi kukupa nguvu na kibali.

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 ปีที่แล้ว +19

    Mahubiri ya pastor David ni kama shule. Najifunzanga mapya kwa kila somo.. Sikuwa najua malaika wana kazi tofauti nimejua Leo.. Mungu akubariki

  • @waridayangadamu174
    @waridayangadamu174 3 ปีที่แล้ว +3

    Amina david mmbaga naitwa christina nipo mwanza magu nilikuwa na shida ya magoti yamepona ,mimi nimesikiliza leo 19 november 2020 mungu akuzidishie amen

  • @marrymwashinga2170
    @marrymwashinga2170 3 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe mchungaji kwa mahubili mazuri,hakika yanatusogeza karibu na mungu.

  • @kishai6284
    @kishai6284 3 ปีที่แล้ว +2

    kama watu tungerudia rudia kuangalia hili somo Hakika mengi yangetendeka katika dunia hii. Woga, Hofu na wasiwasi katika maisha vingeisha. Pr.Mmbaga barikiwa mno.

  • @janetkistaojanetkistao9080
    @janetkistaojanetkistao9080 4 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akubariki mtumishi naamini mwanangu amepona kwa jina la yesu

  • @josephmatunda1109
    @josephmatunda1109 4 ปีที่แล้ว +8

    Am really blessed by your sermons , they give me hope .

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 6 หลายเดือนก่อน

    Umefanya Mungu aniongezee Imani na Roho Mtakatifu kuniongezea Karama za Roho. Wengi wamepona kwa huduma yangu toka nianze kukusikiliza. Namtukuza Mungu kwa ajili Yako.

  • @calvinmusa8505
    @calvinmusa8505 4 ปีที่แล้ว +3

    Nabarikiwa sana na mahubiri na mafundisho yako makuu. Mungu aendelee kukubariki mtu wa Mungu. Niko na Ombi la kipekee. Naendelea kufuata haya mahubiri na naamini Mungu atatenda makuu. Nitarudi kuja kushuhudia. Amina!

    • @calvinmusa8505
      @calvinmusa8505 9 หลายเดือนก่อน

      Mungu alijibu hili ombi. Mungu aendelee kukubariki

  • @bayroneboniphace289
    @bayroneboniphace289 3 ปีที่แล้ว +3

    Nakuxhukur mchungaji maan somo hili limekuw Kama mwalim kwangu

  • @angel-y
    @angel-y 4 ปีที่แล้ว +9

    Amen. I have been blessed very much, God bless you too Pastor more so for your selfless giving.

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina mtumishi wa MUNGU umeninjenga kwa imani imani ni kila kitu imani ni uti wa mwanadam nakubuka mtoto wangu alisumbuliwa na mafupa yakimuhuma anankucha mikono na mingu watu walisema amerongwa wengi wakisema ana majini wengine wakisema ameambukizwa uo ungonjwa na rafiki yake mtoto mwezake nikimpeleka sipitali na picha kupingwa hakua na ungonjwa ila akihaza iyo shida analia kwa uchungu na kumbuka siku moja walim wali mshanga na kuniambia hawajawai ona mtoto kama yeye akiwa na ungonjwa kama uo ni mchukue mtoto nikae nae hadii hapone mimi sikuwai amini mwanangu ni mngonjwa hata kama nilimuona na watu kushuhudia na kushawishiwa niede kwa wanganga mimi sikuwai amani ungonjwa wa mtoto wangu naka mblili na mtoto wangu umuona mwaka mara moja kwa um ali niliko wa kanzi mchungani nilimuombea mwanagu kwa imani saii amepona kabisa wale walio nishudia ungonjwa wake wa hajabu wananishuhudia uponaji juu yake kwa imani mwangu alipona na nilikua mbali maombi na imani hakika ndio sila yetu🙏🙏🙏🙏

  • @angellajoseph1964
    @angellajoseph1964 4 ปีที่แล้ว +1

    amen pastor namwamini mungu atanisaidia kwa kila jambo lijalo mbele yangu na kuniponya na kuniepushia kabisa magonjwa yote balikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @richardndikumana7938
    @richardndikumana7938 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen,asante sana mchunganji nimebarikiwa MUNGU awenanyi

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 9 หลายเดือนก่อน

    Ameer pasita kwa mafundisho manzur ubarikiwe sana

  • @happymasisi1530
    @happymasisi1530 4 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa saana na mahubiri yako barikiwa saana

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 ปีที่แล้ว +7

    pastor kila siku unanifanya niwe nachungulia TH-cam kuangalia kama tayari umeweka somo hakika ww ni best pastor mahubiri ni mazuri mno unaaina ya ufundishaji ambao ni wachungaji wachache ambao wanao

  • @HolloKibishi-nt5ui
    @HolloKibishi-nt5ui 5 หลายเดือนก่อน

    Me piah naamini Bwana ameniponya kwa zababu najiskia mwili uko salama kabisa Mungu jina lako lihidimiwe mille na nipone daima

  • @maryaoko5027
    @maryaoko5027 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen.....hakika mahubiri yananikuza kiroho sana.....MUNGU AZIDI KUKUWEKA MTUMISHI

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 4 หลายเดือนก่อน

    Aminaa ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho

  • @pheobejacob6009
    @pheobejacob6009 3 ปีที่แล้ว +2

    nashukuru sana nabarikiwa nikiwa taveta kenya

  • @rehemahanti5800
    @rehemahanti5800 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameen ..biblia inatosha jaman mambo ya mafuta ya upako ....tuwaachie wenye UKIRO.. Yaani upungufu wa kinga rohoni.

  • @esthernashipai
    @esthernashipai ปีที่แล้ว

    Neno la Mungu kila siku Lina ujumbe mpya....Barikiwa mtumishi,so blessed 🙏

  • @gwamakamsyanogwamakamsyani7846
    @gwamakamsyanogwamakamsyani7846 3 ปีที่แล้ว +1

    Asanteeeh paster mafundisho yako vizuri

  • @violetmageto7134
    @violetmageto7134 4 ปีที่แล้ว +6

    Pastor hili somo limeniguza mnoo hadi machozi yamenitoka ubarikiwe Sana na Mungu azidi kukuvunulia makuu

  • @josephinesanita4904
    @josephinesanita4904 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 wazungu walifanya Ile kitu, nabarikiwa sana na mahubiri haya mungu akubariki sana pastor David

  • @mariamujackson5223
    @mariamujackson5223 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mbaga

  • @lucciepuccietuccie3028
    @lucciepuccietuccie3028 4 ปีที่แล้ว +6

    Ubarikiwe sana mtumishi wamungu

  • @evaristerwagasore3668
    @evaristerwagasore3668 3 ปีที่แล้ว +1

    Umenisaidia sana nikiwa Rwanda Mungu akubariki sana

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 3 ปีที่แล้ว +2

    Ni kweli pastor hata Mimi alininyamazia kimya baadaye ndipo anajibu

  • @shishshikoh4979
    @shishshikoh4979 4 ปีที่แล้ว +7

    Pastor, nimekuwa naumwa na Koo vibaya Sana...lakini baada tu ya maombi nimesikia maumivu yametoweka....sijui nishukuru vipi...nalia tu ..ubarikiwe sana

  • @GesainaNyamisegere-ff4ok
    @GesainaNyamisegere-ff4ok ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa mtumishi wa mungu,samahani naomba mungu akupe kibari siku Moja ufike mara

  • @jacksonprojestus397
    @jacksonprojestus397 4 ปีที่แล้ว +3

    Because of your humility, God's words are settled in your mind

  • @emmanuelpaulo2772
    @emmanuelpaulo2772 4 ปีที่แล้ว +1

    Muchungaji barikiwa sana masomo yako yananibsriki sana

  • @dericsonkeya6234
    @dericsonkeya6234 3 ปีที่แล้ว

    Mchungaji nabarikiwa sanaa mungu mwenyewe akujalie baraka na hakufunulie makuu bwanawe nabarikiwa sanaa kutoka kenya Nairobi

  • @mariammagawi4166
    @mariammagawi4166 3 ปีที่แล้ว +1

    Pastor unanibariki Sana Mungu wambinguni aendelee kutupingani naomba umuombee binti was Dadangu ambae anasumbu nanguvu za giza anadaikwamba anafuatwa na wachawi usiku wakatimwingine anasikia halufu ya damu

  • @asmitacatering8660
    @asmitacatering8660 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 ปีที่แล้ว +4

    Pastor wewe nakupenda Sana unanibariki Sana

  • @mgassazefrini8511
    @mgassazefrini8511 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu amubariki Sana na Ni vyema tukutane makao ya milele maana mafunzo yako yanatujenga kirohoo

  • @raelbosibori7131
    @raelbosibori7131 ปีที่แล้ว

    Thank pastor umeniinua kiroho mungu akubariki nilikuwa na changamoto mingi kubitia mahubiri tv niko salama nashukuru mungu sana be blessed

  • @evancemwakyusa2617
    @evancemwakyusa2617 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji Ubarikiwe kwa mafundisho. Ni mlemavu carpal yangu imekatika nahitaji kupata Mpya sina 900000= kwa imani nitapata ingawa Sina Kati.

  • @mn9484
    @mn9484 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina ni vizuri kurudia Masomo maana najifunza kila siku kitu kipya. Mungu awabariki wote mnaotazama somo hili Amina.

  • @bettygesare5948
    @bettygesare5948 ปีที่แล้ว

    God bless you all pr Mmbaga thanks plz pray for me to be healed at back

  • @jacklineathoo9667
    @jacklineathoo9667 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen mtumishi wa Mungu

  • @princessmunii2530
    @princessmunii2530 4 ปีที่แล้ว +2

    You are so genius pastor nimekombolewa mimi

  • @bossladyjv3828
    @bossladyjv3828 ปีที่แล้ว

    Naomba roho ya ukimwi iondoke kwangu kwa jina la Yesu kristo

  • @steliakyteisiehello6096
    @steliakyteisiehello6096 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen Amen baba Barikiwa sana

  • @danielnshokano7693
    @danielnshokano7693 ปีที่แล้ว

    Mcungaji minafataka mahubiri yako huwa na barikiwa sana kwahiyo MUNGU naazidi kulinda

  • @jeniyamo74
    @jeniyamo74 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sana Pr Mwenyezi aendelee kukubariki

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante umenigusha sana kwamahubiri yaleo Barikiwa sana pastor, ninaomba niwenaimani naombanga nipate pesa ninunue ata viti katika kanisa langu sijapata Kwai mani nitapata Amina

  • @marymachete9152
    @marymachete9152 3 ปีที่แล้ว +1

    Asenta kwa mafundishi apostle amen

  • @witnessfredrick555
    @witnessfredrick555 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukubariki Mchungaji

  • @abigaelwamuyu5759
    @abigaelwamuyu5759 2 ปีที่แล้ว +2

    You have blessed my family

  • @barakaungenge939
    @barakaungenge939 4 ปีที่แล้ว +4

    Hakika barikiwa

  • @user-hy9hh1zg4y
    @user-hy9hh1zg4y 5 หลายเดือนก่อน

    I appreciate you pastor...be blessed

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 ปีที่แล้ว +1

    Pastor mm nimevumbua dhahabu,tumeng'ang'ania live sana kumbe hazina ya kutosha ipo nyakati zilizopita.🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

  • @jameslushinge
    @jameslushinge ปีที่แล้ว

    Bwana akubariki saana mtumishi

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923
    @hondenisonmagufulinyabaro3923 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa imani baba mzazi atapona,,,,,,ndoa yangu ina matatizo was divorced nikao tena,,sijui ndilo suluhu?? Later mother to my child anaitaji turudiane!! Nashindwa sasa!!! Naomba Mungu anionyeshe

  • @aumamadina7100
    @aumamadina7100 18 วันที่ผ่านมา

    Nimepona pastor Asante Asante sana 🙏

  • @RosetteFessa
    @RosetteFessa 2 หลายเดือนก่อน

    Pasteur ubarikiwe

  • @francisyandu1256
    @francisyandu1256 ปีที่แล้ว

    Am really appreciate you from your preach that's truth 🙏🙏🙏

  • @hapynestitus9369
    @hapynestitus9369 3 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji naomba niweke kwenye maombi mme wangu awe msabato siku moja asimame na kumkiri bwana na mwokozi wake na ndoa yangu naomba uniombee

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 ปีที่แล้ว

      MUNGU AJIFUNUE KWAKE AMJUE KRISTO NA KUWA MFUASI WA KRISTO

  • @edwardmarro978
    @edwardmarro978 4 ปีที่แล้ว +15

    Mibaraka ninayopata kupitia mahubiri tv hakika ni mkono wa BWANA pekee

  • @evelynmachora3848
    @evelynmachora3848 2 ปีที่แล้ว

    Haya!!!sikujua malaika Wana kazi tofautitofauti,barikiwa pastor

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 ปีที่แล้ว +1

    I am glad to stop here wonderful preaching pastor God bless you❤

  • @moiseesrael1849
    @moiseesrael1849 3 ปีที่แล้ว

    Nasema asante kwa somo hili( limekuwa baraka kwangu) yaani hapana bahati katika kazi ya Mungu( ni malaika ndio wanatumika!!

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 4 ปีที่แล้ว +5

    Nabarikiwa sana mahubiri haya

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว +1

      AMEN

    • @billionairetz256
      @billionairetz256 4 ปีที่แล้ว +1

      Natamani siku moja ufundishe somo la Zaka maana naona hatufanyi sawa sawa na Biblia

    • @davidmisiwa4622
      @davidmisiwa4622 4 ปีที่แล้ว +1

      @@billionairetz256 mbona Alisha fundisha sana, ukiwa ni mfuatiliaji Wa kila somo analo post somo LA zaka na sadaka alisha fundisha,,

    • @davidmisiwa4622
      @davidmisiwa4622 4 ปีที่แล้ว

      @@billionairetz256 mbona Alisha fundisha sana, ukiwa ni mfuatiliaji Wa kila somo analo post somo LA zaka na sadaka alisha fundisha,,

    • @joyceomolo8749
      @joyceomolo8749 4 ปีที่แล้ว

      Masomo haya yanabariki sana. Mungu aendelee kukutumia kutubariki

  • @gelitemahimbo6076
    @gelitemahimbo6076 4 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa sana

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 6 หลายเดือนก่อน

    Be blessed mtumishi

  • @mamalevinalevina5820
    @mamalevinalevina5820 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana pasta unanifungua

  • @miraclegospel3527
    @miraclegospel3527 ปีที่แล้ว

    God bless you for sucher wonder full sermon Amen

  • @danielpaul9296
    @danielpaul9296 4 ปีที่แล้ว +3

    Amina pr

  • @georgemerere6097
    @georgemerere6097 4 ปีที่แล้ว +2

    Mch Mungu akubaliki sanaaaaaaaaa

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 4 ปีที่แล้ว

    Pastor Asante kwa mafundisho mazr. Naomba nikuulize je wewe uliwahi kuita Moto angalao cheche tuu. Motoooo

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer6120 4 ปีที่แล้ว +1

    PR, mungu akuriki kwa kutubariki,kunibariki

  • @claudinebatamuriza7804
    @claudinebatamuriza7804 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen 🙏 God bless you pastor

  • @catherinekihengu2420
    @catherinekihengu2420 ปีที่แล้ว

    Amina Pastor Mungu akubariki

  • @thomaspetro311
    @thomaspetro311 4 ปีที่แล้ว +4

    Amen

  • @marrymwashinga2170
    @marrymwashinga2170 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana pastor

  • @mkatitheeventplanner6594
    @mkatitheeventplanner6594 4 ปีที่แล้ว +5

    Naitwa Amina kutoka kahama nahitaji msaada wako sana pastor David Mmbaga nilikuwa Rc nimebahatika kuijua sabato miezi mitatu sasa I need a serious help pastor mungu akuongoze 0762252388
    0654153855

  • @amozmwaz1494
    @amozmwaz1494 ปีที่แล้ว

    Amen nimebarikiwa sana mutumishi

  • @fatumachagudadui7369
    @fatumachagudadui7369 4 ปีที่แล้ว +3

    Hakika Lazima ninganganie Mungu wangu anijibu

  • @thomaselvis-mg7sr
    @thomaselvis-mg7sr ปีที่แล้ว

    Unanibariki sana mchungaji

  • @JohnNdunya
    @JohnNdunya ปีที่แล้ว

    God bless u man of God

  • @user-op3zq1vs5c
    @user-op3zq1vs5c ปีที่แล้ว

    Asante mtumishi barikiwa sana