Nakataa kwa maisha yangu KUWA mtu WA kidini Bali nageuka na KUWA mtu WA kikristo, this message is so strong I have never met such a gospel be blessed Mch David Mbaga 😇😇😇😇🙏🙏🙏we love your teaching as one brother in christ from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hi Selfa, do you attend Qatar SDA church service? I'm in Qatar myself so I thought I would ask since you are also in Qatar. Obviously now our services are through Zoom due to the virus pandemic. Happy Sabbath.
Asante Baba Mchungaji nimefunguliwa maumivu ya miguu kwa kuangalia mahubiri kwa njia ya simu. Natamani kati ya watoto wangu angalau mmoja wapo awe mtumishi wa Mungu kama wewe. Hakika nabatikiwa sana
Ameeeeen pastor Mungu anatujali sana watoto wake kuna mama alikwenda kuvunja muwa kwenye shamba la mother in law wake kumbe shamba lilikuwa limekingwa na dawa za kiganga malaika wakamzuia kweli siyo machale yetu ni Mungu be blessed pastor from Nairobi Kenya
Nashukuru Mungu nimeona Muujiza katika maisha yangu siku ya leo baada ya kulisikia somo hili....hakika Mungu anataka mtu mwenye IMANI juu yake, tuamini MUNGU anashughulika na sisi
Kuna magumu nilikua nayapitia kazin kwangu, lakin sabato moja pastor uliendesha maombi pale dodoma kati, Mungu alitenda, uliamuru tuandike kwenye karatasi, nilimuandika supervisor wang, baada ya muda wa siku kadhaa alirudishwa nchini kwao. Na mambo mpaka sasa ni shwari. Hakika Mungu kazini
hii ni madhabahu Mungu anahitaji nijifunze kwako naelewa na kufunguliwa sanaa.barikiwa najiunganisha na Imani yako nami nitaipata Imani kuu kama yakool
Pastor Mungu mkuu mm nimesikia hili somo leo lakini Mungu kaniponya nilikuwa na maumivu mbavuni na kifua ila yameisha hakika Mungu ni mwenye kuhimidiwa milele
Amina david mmbaga naitwa christina nipo mwanza magu nilikuwa na shida ya magoti yamepona ,mimi nimesikiliza leo 19 november 2020 mungu akuzidishie amen
kama watu tungerudia rudia kuangalia hili somo Hakika mengi yangetendeka katika dunia hii. Woga, Hofu na wasiwasi katika maisha vingeisha. Pr.Mmbaga barikiwa mno.
Umefanya Mungu aniongezee Imani na Roho Mtakatifu kuniongezea Karama za Roho. Wengi wamepona kwa huduma yangu toka nianze kukusikiliza. Namtukuza Mungu kwa ajili Yako.
Nabarikiwa sana na mahubiri na mafundisho yako makuu. Mungu aendelee kukubariki mtu wa Mungu. Niko na Ombi la kipekee. Naendelea kufuata haya mahubiri na naamini Mungu atatenda makuu. Nitarudi kuja kushuhudia. Amina!
Amina mtumishi wa MUNGU umeninjenga kwa imani imani ni kila kitu imani ni uti wa mwanadam nakubuka mtoto wangu alisumbuliwa na mafupa yakimuhuma anankucha mikono na mingu watu walisema amerongwa wengi wakisema ana majini wengine wakisema ameambukizwa uo ungonjwa na rafiki yake mtoto mwezake nikimpeleka sipitali na picha kupingwa hakua na ungonjwa ila akihaza iyo shida analia kwa uchungu na kumbuka siku moja walim wali mshanga na kuniambia hawajawai ona mtoto kama yeye akiwa na ungonjwa kama uo ni mchukue mtoto nikae nae hadii hapone mimi sikuwai amini mwanangu ni mngonjwa hata kama nilimuona na watu kushuhudia na kushawishiwa niede kwa wanganga mimi sikuwai amani ungonjwa wa mtoto wangu naka mblili na mtoto wangu umuona mwaka mara moja kwa um ali niliko wa kanzi mchungani nilimuombea mwanagu kwa imani saii amepona kabisa wale walio nishudia ungonjwa wake wa hajabu wananishuhudia uponaji juu yake kwa imani mwangu alipona na nilikua mbali maombi na imani hakika ndio sila yetu🙏🙏🙏🙏
amen pastor namwamini mungu atanisaidia kwa kila jambo lijalo mbele yangu na kuniponya na kuniepushia kabisa magonjwa yote balikiwa sana mtumishi wa mungu
pastor kila siku unanifanya niwe nachungulia TH-cam kuangalia kama tayari umeweka somo hakika ww ni best pastor mahubiri ni mazuri mno unaaina ya ufundishaji ambao ni wachungaji wachache ambao wanao
Pastor, nimekuwa naumwa na Koo vibaya Sana...lakini baada tu ya maombi nimesikia maumivu yametoweka....sijui nishukuru vipi...nalia tu ..ubarikiwe sana
Pastor unanibariki Sana Mungu wambinguni aendelee kutupingani naomba umuombee binti was Dadangu ambae anasumbu nanguvu za giza anadaikwamba anafuatwa na wachawi usiku wakatimwingine anasikia halufu ya damu
Asante umenigusha sana kwamahubiri yaleo Barikiwa sana pastor, ninaomba niwenaimani naombanga nipate pesa ninunue ata viti katika kanisa langu sijapata Kwai mani nitapata Amina
Kwa imani baba mzazi atapona,,,,,,ndoa yangu ina matatizo was divorced nikao tena,,sijui ndilo suluhu?? Later mother to my child anaitaji turudiane!! Nashindwa sasa!!! Naomba Mungu anionyeshe
Naitwa Amina kutoka kahama nahitaji msaada wako sana pastor David Mmbaga nilikuwa Rc nimebahatika kuijua sabato miezi mitatu sasa I need a serious help pastor mungu akuongoze 0762252388 0654153855
Hakika yupo Mungu sina lugha ya kumshukuru amenitendea muujiza wa namna ya pekee wakati wa ombi nimepona tatizo liliolokuiwa linanisumbua.
Nakataa kwa maisha yangu KUWA mtu WA kidini Bali nageuka na KUWA mtu WA kikristo, this message is so strong I have never met such a gospel be blessed Mch David Mbaga 😇😇😇😇🙏🙏🙏we love your teaching as one brother in christ from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umkumbuke Dada yangu eewe mungu wangu katika ndoa yake , asante baba yangu. From Qatar be blessed pastor
Hi Selfa, do you attend Qatar SDA church service? I'm in Qatar myself so I thought I would ask since you are also in Qatar. Obviously now our services are through Zoom due to the virus pandemic. Happy Sabbath.
Asante Baba Mchungaji nimefunguliwa maumivu ya miguu kwa kuangalia mahubiri kwa njia ya simu. Natamani kati ya watoto wangu angalau mmoja wapo awe mtumishi wa Mungu kama wewe. Hakika nabatikiwa sana
Unanibariki nikiwa Nairobi Kenya ubarikiwe sana mchungaji
Amen amen
Ameeeeen pastor Mungu anatujali sana watoto wake kuna mama alikwenda kuvunja muwa kwenye shamba la mother in law wake kumbe shamba lilikuwa limekingwa na dawa za kiganga malaika wakamzuia kweli siyo machale yetu ni Mungu be blessed pastor from Nairobi Kenya
Nashukuru Mungu nimeona Muujiza katika maisha yangu siku ya leo baada ya kulisikia somo hili....hakika Mungu anataka mtu mwenye IMANI juu yake, tuamini MUNGU anashughulika na sisi
Kuna magumu nilikua nayapitia kazin kwangu, lakin sabato moja pastor uliendesha maombi pale dodoma kati, Mungu alitenda, uliamuru tuandike kwenye karatasi, nilimuandika supervisor wang, baada ya muda wa siku kadhaa alirudishwa nchini kwao. Na mambo mpaka sasa ni shwari.
Hakika Mungu kazini
Amina!! Mimi pia natumai niponyoke minyororo ya shetani kazini ka ww! Nipate sabato niabudu!
Asante BWANA WANGU ATUKUZWE ..MI Nicolas kiboye
Aminaa Aminaa MUNGU ni mwema
Hedalu
Hedalu
hii ni madhabahu Mungu anahitaji nijifunze kwako naelewa na kufunguliwa sanaa.barikiwa najiunganisha na Imani yako nami nitaipata Imani kuu kama yakool
Amen
Hallelujah pastor...napenda vile,.unavyo chambua biblia,.maana hapo kila mtu.,anakuelewa hallelujah
Napenda sana mahubiri yako mungu akubariki sana pastor mmbaga uzidi kuhubiri neno la mungu
Wewe ni zaid ya mwalimu,mungu aendelee kukutia nguvu
Amina barikiwa zaidi pastor nabarikiwa nikiwa Oman Muscat jina la bwana lihimidiwe 🙏
Pastor Mungu mkuu mm nimesikia hili somo leo lakini Mungu kaniponya nilikuwa na maumivu mbavuni na kifua ila yameisha hakika Mungu ni mwenye kuhimidiwa milele
Wow!! Amen
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako mch Mungu akuzidishie siku za kuishi Ili nawale wanaokuwa wasikie habar njema unazotufundisha. AMEN
Amen Ubarikiwe Pastor unapotubariki na Maombi Mungu azidi kukupa nguvu na kibali.
Mahubiri ya pastor David ni kama shule. Najifunzanga mapya kwa kila somo.. Sikuwa najua malaika wana kazi tofauti nimejua Leo.. Mungu akubariki
Amina david mmbaga naitwa christina nipo mwanza magu nilikuwa na shida ya magoti yamepona ,mimi nimesikiliza leo 19 november 2020 mungu akuzidishie amen
Wow!! Mungu akubariki saaana
@@MahubiriPrMmbaga ameeeen
Ubarikiwe mchungaji kwa mahubili mazuri,hakika yanatusogeza karibu na mungu.
kama watu tungerudia rudia kuangalia hili somo Hakika mengi yangetendeka katika dunia hii. Woga, Hofu na wasiwasi katika maisha vingeisha. Pr.Mmbaga barikiwa mno.
Mungu akubariki mtumishi naamini mwanangu amepona kwa jina la yesu
Am really blessed by your sermons , they give me hope .
Umefanya Mungu aniongezee Imani na Roho Mtakatifu kuniongezea Karama za Roho. Wengi wamepona kwa huduma yangu toka nianze kukusikiliza. Namtukuza Mungu kwa ajili Yako.
Nabarikiwa sana na mahubiri na mafundisho yako makuu. Mungu aendelee kukubariki mtu wa Mungu. Niko na Ombi la kipekee. Naendelea kufuata haya mahubiri na naamini Mungu atatenda makuu. Nitarudi kuja kushuhudia. Amina!
Mungu alijibu hili ombi. Mungu aendelee kukubariki
Nakuxhukur mchungaji maan somo hili limekuw Kama mwalim kwangu
Amen. I have been blessed very much, God bless you too Pastor more so for your selfless giving.
Amina mtumishi wa MUNGU umeninjenga kwa imani imani ni kila kitu imani ni uti wa mwanadam nakubuka mtoto wangu alisumbuliwa na mafupa yakimuhuma anankucha mikono na mingu watu walisema amerongwa wengi wakisema ana majini wengine wakisema ameambukizwa uo ungonjwa na rafiki yake mtoto mwezake nikimpeleka sipitali na picha kupingwa hakua na ungonjwa ila akihaza iyo shida analia kwa uchungu na kumbuka siku moja walim wali mshanga na kuniambia hawajawai ona mtoto kama yeye akiwa na ungonjwa kama uo ni mchukue mtoto nikae nae hadii hapone mimi sikuwai amini mwanangu ni mngonjwa hata kama nilimuona na watu kushuhudia na kushawishiwa niede kwa wanganga mimi sikuwai amani ungonjwa wa mtoto wangu naka mblili na mtoto wangu umuona mwaka mara moja kwa um ali niliko wa kanzi mchungani nilimuombea mwanagu kwa imani saii amepona kabisa wale walio nishudia ungonjwa wake wa hajabu wananishuhudia uponaji juu yake kwa imani mwangu alipona na nilikua mbali maombi na imani hakika ndio sila yetu🙏🙏🙏🙏
amen pastor namwamini mungu atanisaidia kwa kila jambo lijalo mbele yangu na kuniponya na kuniepushia kabisa magonjwa yote balikiwa sana mtumishi wa mungu
Amen,asante sana mchunganji nimebarikiwa MUNGU awenanyi
Ameer pasita kwa mafundisho manzur ubarikiwe sana
Nabarikiwa saana na mahubiri yako barikiwa saana
pastor kila siku unanifanya niwe nachungulia TH-cam kuangalia kama tayari umeweka somo hakika ww ni best pastor mahubiri ni mazuri mno unaaina ya ufundishaji ambao ni wachungaji wachache ambao wanao
Me piah naamini Bwana ameniponya kwa zababu najiskia mwili uko salama kabisa Mungu jina lako lihidimiwe mille na nipone daima
Amen.....hakika mahubiri yananikuza kiroho sana.....MUNGU AZIDI KUKUWEKA MTUMISHI
Aminaa ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho
nashukuru sana nabarikiwa nikiwa taveta kenya
Ameen ..biblia inatosha jaman mambo ya mafuta ya upako ....tuwaachie wenye UKIRO.. Yaani upungufu wa kinga rohoni.
Neno la Mungu kila siku Lina ujumbe mpya....Barikiwa mtumishi,so blessed 🙏
Asanteeeh paster mafundisho yako vizuri
Pastor hili somo limeniguza mnoo hadi machozi yamenitoka ubarikiwe Sana na Mungu azidi kukuvunulia makuu
Igo Bono! Mungu Ni mwema kwetu
😂😂😂😂😂 wazungu walifanya Ile kitu, nabarikiwa sana na mahubiri haya mungu akubariki sana pastor David
Ubarikiwe mbaga
Ubarikiwe sana mtumishi wamungu
Ameen
Umenisaidia sana nikiwa Rwanda Mungu akubariki sana
Ni kweli pastor hata Mimi alininyamazia kimya baadaye ndipo anajibu
Pastor, nimekuwa naumwa na Koo vibaya Sana...lakini baada tu ya maombi nimesikia maumivu yametoweka....sijui nishukuru vipi...nalia tu ..ubarikiwe sana
Amen
Pole Sana jitaidi kutoa sadaka ya shukrani
Ameen
Nimebarikiwa mtumishi wa mungu,samahani naomba mungu akupe kibari siku Moja ufike mara
Because of your humility, God's words are settled in your mind
Muchungaji barikiwa sana masomo yako yananibsriki sana
Mchungaji nabarikiwa sanaa mungu mwenyewe akujalie baraka na hakufunulie makuu bwanawe nabarikiwa sanaa kutoka kenya Nairobi
Pastor unanibariki Sana Mungu wambinguni aendelee kutupingani naomba umuombee binti was Dadangu ambae anasumbu nanguvu za giza anadaikwamba anafuatwa na wachawi usiku wakatimwingine anasikia halufu ya damu
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.
Pastor wewe nakupenda Sana unanibariki Sana
Mungu amubariki Sana na Ni vyema tukutane makao ya milele maana mafunzo yako yanatujenga kirohoo
Thank pastor umeniinua kiroho mungu akubariki nilikuwa na changamoto mingi kubitia mahubiri tv niko salama nashukuru mungu sana be blessed
Mchungaji Ubarikiwe kwa mafundisho. Ni mlemavu carpal yangu imekatika nahitaji kupata Mpya sina 900000= kwa imani nitapata ingawa Sina Kati.
Uko wapi
Amina ni vizuri kurudia Masomo maana najifunza kila siku kitu kipya. Mungu awabariki wote mnaotazama somo hili Amina.
M
God bless you all pr Mmbaga thanks plz pray for me to be healed at back
Amen amen mtumishi wa Mungu
You are so genius pastor nimekombolewa mimi
NI KWA NEEMA TU!! 🙌
Naomba roho ya ukimwi iondoke kwangu kwa jina la Yesu kristo
Amen Amen Amen baba Barikiwa sana
Mcungaji minafataka mahubiri yako huwa na barikiwa sana kwahiyo MUNGU naazidi kulinda
Nakuelewa sana Pr Mwenyezi aendelee kukubariki
Asante umenigusha sana kwamahubiri yaleo Barikiwa sana pastor, ninaomba niwenaimani naombanga nipate pesa ninunue ata viti katika kanisa langu sijapata Kwai mani nitapata Amina
Ekiababa kwa imani utapata
Asenta kwa mafundishi apostle amen
Mungu azidi kukubariki Mchungaji
You have blessed my family
Hakika barikiwa
I appreciate you pastor...be blessed
Pastor mm nimevumbua dhahabu,tumeng'ang'ania live sana kumbe hazina ya kutosha ipo nyakati zilizopita.🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
💌💌
Bwana akubariki saana mtumishi
Kwa imani baba mzazi atapona,,,,,,ndoa yangu ina matatizo was divorced nikao tena,,sijui ndilo suluhu?? Later mother to my child anaitaji turudiane!! Nashindwa sasa!!! Naomba Mungu anionyeshe
Nimepona pastor Asante Asante sana 🙏
Pasteur ubarikiwe
Am really appreciate you from your preach that's truth 🙏🙏🙏
Mchungaji naomba niweke kwenye maombi mme wangu awe msabato siku moja asimame na kumkiri bwana na mwokozi wake na ndoa yangu naomba uniombee
MUNGU AJIFUNUE KWAKE AMJUE KRISTO NA KUWA MFUASI WA KRISTO
Mibaraka ninayopata kupitia mahubiri tv hakika ni mkono wa BWANA pekee
AMEN
Haya!!!sikujua malaika Wana kazi tofautitofauti,barikiwa pastor
I am glad to stop here wonderful preaching pastor God bless you❤
Nasema asante kwa somo hili( limekuwa baraka kwangu) yaani hapana bahati katika kazi ya Mungu( ni malaika ndio wanatumika!!
Nabarikiwa sana mahubiri haya
AMEN
Natamani siku moja ufundishe somo la Zaka maana naona hatufanyi sawa sawa na Biblia
@@billionairetz256 mbona Alisha fundisha sana, ukiwa ni mfuatiliaji Wa kila somo analo post somo LA zaka na sadaka alisha fundisha,,
@@billionairetz256 mbona Alisha fundisha sana, ukiwa ni mfuatiliaji Wa kila somo analo post somo LA zaka na sadaka alisha fundisha,,
Masomo haya yanabariki sana. Mungu aendelee kukutumia kutubariki
Nabarikiwa sana
Be blessed mtumishi
Barikiwa sana pasta unanifungua
God bless you for sucher wonder full sermon Amen
Amina pr
Mch Mungu akubaliki sanaaaaaaaaa
Pastor Asante kwa mafundisho mazr. Naomba nikuulize je wewe uliwahi kuita Moto angalao cheche tuu. Motoooo
Pasta ubarikiwa sana
PR, mungu akuriki kwa kutubariki,kunibariki
Amen 🙏 God bless you pastor
Amina Pastor Mungu akubariki
Amen
Ubarikiwe sana pastor
Naitwa Amina kutoka kahama nahitaji msaada wako sana pastor David Mmbaga nilikuwa Rc nimebahatika kuijua sabato miezi mitatu sasa I need a serious help pastor mungu akuongoze 0762252388
0654153855
Hongera sanaaa
Amen nimebarikiwa sana mutumishi
Hakika Lazima ninganganie Mungu wangu anijibu
AMEEN
Unanibariki sana mchungaji
God bless u man of God
Asante mtumishi barikiwa sana