maashaa Allah, nawajua hawa mabwana kwa muda mrefu katika mihathara za mtandaoni. Allah amewaongoza kwa ukweli, na inshaa Allah wale wote wana akili na maarifa watauona ukwli.
Takbirrrrrrrr! Kusilimu dió kwa uezo wako ni kwa nguvu Za ALLAH. Karibu ktk dini ya hakhi. Ila tu jitahidi uwarudishe ktk uislamu uliosababisha kutoka ktk uiislam
Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyeumba vitu vyote karibuni katika Uislamu kuanzia sasa nyie ni ndugu zetu katika Imani karibuni sana Dar es salaam muafundishe wasabato wanaojiita A.M.R
Hakika kweli anaeongoza ni Allah mungu awazidishie imani karibuni katika dini ya haki
Subhanallah Subhanallah..Kwel Allah humwongoza amtakae Masha Allah
Maasha Allah, Allah awasimamie katika Imani yenu, sasa muwe askari wa kweli wa Allah katika kuusambaza na kuusimamia ukweli huu.
maashaa Allah, nawajua hawa mabwana kwa muda mrefu katika mihathara za mtandaoni. Allah amewaongoza kwa ukweli, na inshaa Allah wale wote wana akili na maarifa watauona ukwli.
Takbirrrrrrrr! Kusilimu dió kwa uezo wako ni kwa nguvu Za ALLAH. Karibu ktk dini ya hakhi. Ila tu jitahidi uwarudishe ktk uislamu uliosababisha kutoka ktk uiislam
Mashallah hakika Mungu anakupenda sana pale alipo kutoa ktk ngiza kuuweka ktk nuru
Uongofu unatoka kwa Allah.Masha Allah brother Nimefurahi kukuona ndani ya uislamu.Tushikane mikono hadi peponi.Aamin.
Waislamu wenzangu anapotajwa mbora waviumbe nilazima tumswalie Kwa uwingi , hapo tutaonesha mapenzi makubwa Kwake rehma na amani zimshukie
Mashallah tabarakallah twawaombea kila la kheri ndugu zetu waislamu karibuni saaanaa katika dini yetu yakiislamu mungu atuongoze sote yaarabb
Mashallah mungu awape Moto huohuo mungu awalinde nawapongeza sana huyo ndacha anajigamba sana nakumtukana mtume mungu awaongoze yote
Dundi alishakuja arusha. Du subhanallah amesilim maashall
Sheikh yahya ningesihi be-ithnillah wajitokeze kwa muhadhara na wa approach head-on na waonyeshe haki ..... Tonawasubiri InshaAllah
ALHAMDULLILAH. ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA AMEKUJAALIA NURU. ALHAMDULLILAH THUMMA ALHAMDULLILAH.
Alhamdulillah of the gift of islam..
الله أكبر كبيرا والحمدلله كثيرا وسبحان الله بكرة و أصيلا
Ukweli unajidhihirisha Allah akbar
Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyeumba vitu vyote karibuni katika Uislamu kuanzia sasa nyie ni ndugu zetu katika Imani karibuni sana Dar es salaam muafundishe wasabato wanaojiita A.M.R
Masha Allah welcome to islam my brothers I believe u will defend islam from your heart and soul,S.yahya great work
ماشاء الله تبارك الرحمن
Alhamdhuliah Allah karim