MAISHA YA ALIYE SILIMU | RIPOTI HORIZON | ONLY ON HORIZONTV KENYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 213

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 2 ปีที่แล้ว +6

    Mashaa Allah may Allah ease your life in Islam. You are welcome sister in a true faith of worshiping one true God

  • @JB_media0001
    @JB_media0001 3 ปีที่แล้ว +11

    I'm a revert. The journey is not easy but nina yaqini Allah ataniruzuku na kuwarahisishia wote.

    • @fatmashamlal7968
      @fatmashamlal7968 3 ปีที่แล้ว

      Aameen may Allah make it easy for you and all the other reverts

    • @JB_media0001
      @JB_media0001 2 ปีที่แล้ว

      @@fatmashamlal7968 Amin thuma Amin

    • @malikdodo5190
      @malikdodo5190 2 ปีที่แล้ว

      Inshaaa Allah

    • @aminamalilo6605
      @aminamalilo6605 ปีที่แล้ว

      Aamin aamin

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 ปีที่แล้ว +1

    Maashaallah ni sawa l. Lakini"support"ni muhimu. Oh God bless them,Amin

  • @nadiakarata8984
    @nadiakarata8984 2 ปีที่แล้ว +8

    Sapoti ni ndogo kwa watu wenye kusilimu, ki elimu na kiiuchumi hatuwapi msaada. Matokeo yake wengi hurudi katika dini zao au hukata tamaa.

    • @mswakisaid2320
      @mswakisaid2320 หลายเดือนก่อน

      Siyo sababu ya msingi hiyo.
      Kila mmoja ana lengo lake,kama lako litakuwa la kudumu,na Uislamu wako utakuwa wa kudumu mpaka kufa kwako.

  • @shannunbash712
    @shannunbash712 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sanaa mungu atawapa kila la kheri

  • @babamkude81
    @babamkude81 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @thomasoloka3550
    @thomasoloka3550 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Allah awazidishia Noor

  • @babyzuchu3866
    @babyzuchu3866 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @babyzuchu3866
    @babyzuchu3866 ปีที่แล้ว +1

    ALLAH awaongoze inshaallah

  • @somoeismail9665
    @somoeismail9665 4 ปีที่แล้ว +1

    Maashallah nimependa sana Inshaallah Allah awalipe khery zaidi mbeleni

  • @yassirMohammed-jq7vg
    @yassirMohammed-jq7vg ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 2 ปีที่แล้ว

    Masha allah Allah atuongoze ktk njia ilionyooka hakika uislam ndio Dini ya kweli na ya hakki

  • @yassinmashautymashaury2734
    @yassinmashautymashaury2734 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalah Allah awalipe WOTE wanaowapokea na kuwapa maelekezo mazuri walioijua haki na kusilimu.

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy ปีที่แล้ว +1

    Namshukuru mungu maana wengi wanao silimu wana sema uislam ni dini ya kweli ,ila wanao acha uislam wanasema wametokewa na yesu,lakin hata shetan hujitokeza kwa nuru.wakorintho2,11:14

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 ปีที่แล้ว +1

    Manshallah

  • @hassanwenger4590
    @hassanwenger4590 4 ปีที่แล้ว +4

    Weka pay bill no.atleast mwenye anataka awape push

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 ปีที่แล้ว +3

    Manshallah ❤❤

  • @rayhanrashid3928
    @rayhanrashid3928 3 ปีที่แล้ว +2

    Maashaa Allah Tabarakallah..

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin yarabalialamiin,nakutakia kila lakheir amiin

  • @nasraissa4219
    @nasraissa4219 3 ปีที่แล้ว +2

    Ma Sha Allah

  • @akhuumpweche.7935
    @akhuumpweche.7935 3 ปีที่แล้ว +3

    Maa shaa Allah 🥰

  • @harounahaji7578
    @harounahaji7578 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezimungu atawalipa musichoke

  • @ashagrace3333
    @ashagrace3333 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah ni mependa,Allah Akbar.

  • @FatmaFatmA-qk3zl
    @FatmaFatmA-qk3zl 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah mashallah mashallah

  • @goodlucktobarakamolleto9432
    @goodlucktobarakamolleto9432 3 ปีที่แล้ว +2

    MASAHA ALLAH ❤️❤️

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 ปีที่แล้ว +1

    Wallahi nehema kubwa,

  • @dullyvidully7798
    @dullyvidully7798 5 ปีที่แล้ว +3

    Allah atawafanyia wepesi inshaallah

    • @mohammedmoshe6622
      @mohammedmoshe6622 4 ปีที่แล้ว

      AMEEN!

    • @akhuumpweche.7935
      @akhuumpweche.7935 3 ปีที่แล้ว

      Aameeeen rabill allahmeen 🤲

    • @josephmwakalobo7104
      @josephmwakalobo7104 2 ปีที่แล้ว

      Kama uisilama ndio njia ya mbinguni hio mbingu Mimi siitaka kabisa Yesu kristo ni njia kweli na Uzima Hilo tu

  • @wambuasmartoutfits8010
    @wambuasmartoutfits8010 4 ปีที่แล้ว

    Manshanllah mwenyezi mungu awalipe katika hilo kunakitu nimejifunza ila ndugu mtangazaji jitaidi kifisir wengi hawajui kingereza

  • @abdulkarimnzalalila7632
    @abdulkarimnzalalila7632 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi namshukuru Allah swt niliposilimu mwaka 1987 sikutengwa na wazazi wangu wala ndugu zangu

  • @salimomary1922
    @salimomary1922 2 ปีที่แล้ว

    Masha Allah Allah amesha zungumza muslim hatoacha kupigwa vita

  • @salumkaisi4907
    @salumkaisi4907 4 ปีที่แล้ว +1

    Maka Jon tambua uislam auitaji watu Bali watu ndiyo wanaitaji uislam tambua usilolijua litakusumbua nandiyo Mana wengi ktk waliomdhiaki yesu nikwasababu ya kiburi Chao hawakutaka kusikiliza mafundisho yake na hata wewe nihivyohivyo hujui Kama yesu nimuislam hujui unadai kuwa unamfuata yesu hivi wewe na muislam nan anaefuata yesu

  • @yassinmashautymashaury2734
    @yassinmashautymashaury2734 4 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu pia anajua upagani. Hana hasara kwa maamuzi ya yeyote. Tumia akili yako vizuri kiumbe MDOGO Tena mdhaifu unayetumia pumzi ya Allah. Mwz Mungu lazima atatuadhibu sisi na si Wadudu na Wanyama. Sababu ni moja tu. Nayo ni akili. Tumia akkli yako vizuri.

    • @mohamedishemtuhu8305
      @mohamedishemtuhu8305 2 ปีที่แล้ว

      Huyo Alie slimy kwajili ya mumeo bado hajaslimu namshauri aslimu kwajili ya mwenyezmungu sio watt Wala mume

  • @hamadimadisa9346
    @hamadimadisa9346 2 ปีที่แล้ว

    Dada, Uslamu una mitihani mingi

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 4 ปีที่แล้ว +1

    I have never ever met with anyone who changed to be a Muslim kwa sababu roho ni kwa sababu ya vitu vya duniani kaa vile qur'una inavyo Sema. Sasa wao wanafwata, nguo vyakula, kwa sababu ya family only but come to a musilim who change to a christen they have a good testimony it gives you strength to be in Christian but musilam it things life but musilam to Christians there knew the truth. This is the difference.

    • @Lky589
      @Lky589 3 ปีที่แล้ว

      Mbona wakoloni ulileta vyakula na wakavitoa kwa wale wanao BATIZWA TU.

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 ปีที่แล้ว

    Allah awepamoja nanyi naukupeni nguvu

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว

    Ambao hamjabahatika kuwa Waislamu (Wapagani/Makafiri ktk Kivuli Cha Ukristo na Biblia)mtambue kuwa kuwalingania muwe Waislamu(muwache Ukafuri na Upagani) hiyo ni wajibu/lazima kwetu sisi Waislam, tukishawalingania mnahiyari Kusilimu (kuamini Mungu Allah ni mmoja na wakuabudiwa ni Allah pekee) au mnahiyari ya kubaki na huo Upagani na Ukafuri wenu. Siku ya Hukmu/Siku ya Kiama susu (Waislamu) tutakuwa hatuna lawama coz ujumbe tumeshawafikishia.

    • @jescalaurent6242
      @jescalaurent6242 2 ปีที่แล้ว

      Wala hatuna haja na hiyo njia yenu YESU anatutosha

  • @marympochela7903
    @marympochela7903 หลายเดือนก่อน

    Kila goti litapigwa,na kila jicho litamwona

  • @zayfahmi5130
    @zayfahmi5130 4 ปีที่แล้ว +1

    Nyinyi mume kazana na yesu atarud hakuta rudi yesu mpaka kiama naipo siku mtatamani kusilim lakin naiwe na hiyo siku utatamanani upewe siku moja
    t yakutubu lakini haita patikana.Wewe endelea kuvaa min skert nakuunganisha manywele katika kichwa chako ipo siku utataman hayo yote usinge fanya wewe endelea kuwa kwa yesu naujue yesu hakuja nadin yakichristo achen kusema yesu ni mungu na ilihali yeye mwenyewe hayajui msitudanganye na kitab chauwongo.Uliona wap mtu anamuomba mungu bblia imetiywa kw kikwapa

    • @janetkahada5206
      @janetkahada5206 4 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli unasoma qur'una ama uwa unasikiza tu mafundisho kwa kweli mukisoma tu qur'una mbila kutengemia kusikia tu mutaokoka kwa bahati mbaya nyinyi ni wa kuambiwa tu poleni

  • @SobaMMuhu
    @SobaMMuhu 3 ปีที่แล้ว +1

    Wamama wengi huslimu sababu ya marafiki au bwana zao ila c kwa hoja

    • @engineerjuma9876
      @engineerjuma9876 4 หลายเดือนก่อน

      Cha msingi wamerudi kwa mola wao mlezi, mtu umeumbwa na umepewa pumzi lakini uhai wako wote hujawahi mshukuru muumba wako aliyekupa puumzi huo ni msiba mzito

  • @mussafrancophonetours1356
    @mussafrancophonetours1356 ปีที่แล้ว

    Mfano wa Issa nikama nikama nabii adam

  • @abdiibra4264
    @abdiibra4264 5 ปีที่แล้ว +1

    Mama jaribu kuwa na paybill

  • @ritanget9174
    @ritanget9174 4 ปีที่แล้ว +6

    Yesu peke yake ndie njia kweli na uzima wa milele mtu hafiki Kwa mungu bila kupitia Kwa Yesu zingine zote ni rasha rasha

    • @saadkuziwa9323
      @saadkuziwa9323 4 ปีที่แล้ว

      UMEKARIRISHWA,HUNA UJUALO WEWE JAAHIL,KWANZA UNATOKA HUKU.

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 4 ปีที่แล้ว

      HATA MUHAMMAD. SAW. NI NJIA.kila mtume ni njia. Msikilise Mtume.saw. kapata ufunuo anasema. QUR-ANI 43:61" NA KWAKWELI YEYE NABII ISSA NI ALAMA YA KIYAMA KINAANZA KUKARIBIA TUSIKIFANYIE SHAKKA NA NIFUATANI HII NDIO NJIA ILIONYOOKA " kwaio yesu ni alama ya kiama kinakaribia kisha Mtume.saw.. akasema. NIFUATENI HII NDIO NJIA ILIONYOOKA. kwaio tumfate Mtume Muhammad. SAW. Ndio njia ilionyooka ya kuelekea bustanini peponiii. Weye baki na ukafiri yesu njia. Nyie tatizo lenu hamjaambiwa kama saivi Rais wa Tanzania ni Magufuli sasa. Bado mnafkiri rais nyerere tu mpaka leo kumbe yupo mwengine saivi sio nyerere tenaa. Ndio yupo MTUME MUHAMMAD. SAW. Saivi hayupo Yesu acheni ulimbukeni huoo

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 ปีที่แล้ว

      @@hilalhilal8400 Muhammad ni njia ya kwenda wapi?mtu yuko kaburini ana ngoja Yesu aje kumfufua ndio una sema ni njia pengine ya kwenda makah lakini sio ya mbinguni.fungukeni macho waislamu Yesu anawapenda

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 4 ปีที่แล้ว +1

      @@ritanget9174 ukisikia njia ilionyooka maana yake. NI NJIA YA KUENDA PEPONI. HUKOO BUSTANINI PEPONI. Kwanza MTUME MUHAMMAD. SAW. Hasubiri kufufuliwa na yesu. Huo ni uongo tu. Yesu hawezi fanya neno mwenyewe anategemea. BIBLIA. YOHANA. 5:30. " MIMI SIWEZI KUFANYA NENO MWENYEWE KAMA NISIKIAVYO NDIO NIHUKUMUVYO " kwaio YESU mwenyewe kishasema hawezi kufanya jambo. Mpaka awezeshwe na asikie kwa MUNGU ndio afanye. Ni sawa tu na mitume mengine. Kwaio MTUME MUHAMMAD. SAW. Anamsubiri huyo anomuezesha YESU ndio anaemuezesha MTUME MUHAMMAD. SAW. Sasa nini cha ajabu? . Kwaio yeye yesu hawezi fanya jambo vipi umsubirie yeye?. Jengine nakupa posho usirejee tena kutuambia waislamu tuende mbinguni kwasababu. BIBLIA. ISAYA. 51:6. " INUENI MACHOYENU MBINGUNI MTIZAME MACHOYENU CHINI MAANA MBINGU ZITATOEKA KAMA MOSHI " kwaio mbingu mnotegemea kwenda mmedanganywa tu na kina paulo wanakuoneni nyie wakiristo ni wapumbavu hamna akili. KWAMAANA mbingu zitayayuko na hamtokua pa kwenda ila Jahannamu motoni huko mkaunguzwe. Rita nakuhusia silimu mtoto we. Acha chuki za kijinga. YESU sisi waislamu tunampenda na tunamuamini na nimuislamu mwenzetu. Huko humpati yesu mnadanganywa tu wa andiko halipo la yesu kumpata kanisani. Yesu na waislamu wenzake hutafutwa msikitini. Yesu ni Mtume wa Mungu tu ila silolote jengine. Unasemaje utasilimu

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 4 ปีที่แล้ว

      Hemu jiulize rita. YESU anasema. NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA YESU KRISTO ULIEMTUMA " jiulize tokea uwe mkiristilo unafundishwa UZIMA WA milele kwanza umjue MUNGU WA PEKEE . je mpaka kufikia leo huyo Mungu wa pekee ushawahi kujuilishwa ninani? . Kisha . YESU alietumwa na huyo Mungu wa pekee. Yaani. Yesu ni mtume wa uyo Mungu wa pekee. Sasa nyie mnanishangaza mnavomtegemea yesu kuliko huyo Mungu wa pekee alie muumba yesu ndio maana mnateseka kwa ujunga wala hamjitambui. SASA HUYO MUNGU WA PEKEE NDIO ANASUBIRIWA NA MUHAMMAD. SAW. NA SIE SOTE. AMBAE NI ALLAH.SW. NA PIA HUYO YESU NDIO ANAMTEGEMEA HUYU MUNGU WA PEKEE. SASA UZIMA WA MILELE KABLA HUJAMJUA YESU. LAKWANZA UMJUE MUNGU WA PEKEE. KAMA HUMJUI MUNGU WA PEKEE HUWEZI PATA UZIMA WA MILELE. NA YESU ALIETUMWA. NA WATU WAMUSA ILIKUA NA MUSA ALIETUMWA. WAKATI WA ADAM NA ADAM ALIE TUMWA WAKATI WA WA MUHAMMAD NA MUHAMMAD ALIETUMWA . KWASABABU MTUME MUHAMMAD. SAW. KAJA MWISHO NDIO SOTE SIE TUMUAMINI YEYE. NA TUFATE SHERIA ALIOFUNULIWA NA HUYO MUNGU WA PEKEE. YESU ALIKUA NI KWA WANA WA IZRAILI FUNUKA KICHWA HIKO. NA MTUME MUHAMMAD. SAW. NDIO KWA WATU WOTE NA UKITAKA MAANDIKO MBONA YOPO. AU WEYE HUFATI MAANDIKO UNAFATA SHETANI?. RITA silimu na amka maana naona umelala usingizi mziito.

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 4 ปีที่แล้ว

    Uwisilamu ndio dini yahaki.ukiristo nisawa na kampuni.aw tasisi ya wabinafsi ila iko siku watasilimu wote

  • @mwakajohn1819
    @mwakajohn1819 4 ปีที่แล้ว +2

    Ukijitenga na yesu kristo, hakuna ataekufatilia. Kila mtu anapotea mwenyewe atahukumiwà mwenyewe. Msukosuko unaupata ukimpokea yesu kristo. Adhabu yake ni kifo. Ndio yesu alisema sikuleta amani duniani. Wengi wamechinjwa na waislamu kwa kuwa tu wamempokea YESU KRISTO. UISLAMU NI CHINJA CHINJA.

    • @suleimanomar1096
      @suleimanomar1096 4 ปีที่แล้ว

      We brother ni chuki ukonayo.

    • @mwakajohn1819
      @mwakajohn1819 4 ปีที่แล้ว

      @@suleimanomar1096 chuki gani! Huo ndio ukweli wenyewe

    • @aliisse8422
      @aliisse8422 4 ปีที่แล้ว

      Salaam aleikum can u play give us there phone number of the lady who is in charge

    • @mwakajohn1819
      @mwakajohn1819 4 ปีที่แล้ว

      @@salumalriyamy huna lolote, umekaririshwa tu. Wenzako wanatafakari.

    • @lutulalihim1585
      @lutulalihim1585 4 ปีที่แล้ว

      Mungu mzungu yesu wewe yesu ni mtu.

  • @mwakajohn1819
    @mwakajohn1819 4 ปีที่แล้ว +2

    Bora kuwa mpagani nisie na dini kuliko kuwa muislamu.

    • @kijanahodari2080
      @kijanahodari2080 4 ปีที่แล้ว +1

      Bibilia (Yeremia 50 : 6)
      Watu wangu wamekuwa kondoo walio potea wachungaji wao wamewapoteza
      Maneno ya kafiri hayawez mtia homa mwenye dini ya kweli(muislamu) Kuwa mkiristo na upangani hakuna tofauti nyote hamuna dini kazi kukata viuno tu,Paulo ashawapeleka motoni tulieni.

    • @saadkuziwa9323
      @saadkuziwa9323 4 ปีที่แล้ว

      HATA UISLAM HAUMHITAJI MJINGA KAMA WEWE KUINGIA.

    • @khamissalum9285
      @khamissalum9285 4 ปีที่แล้ว

      Nashkuru mimi nimwisilamu kuliko Kua kafiri wakikiristo

    • @rashidjuma3457
      @rashidjuma3457 4 ปีที่แล้ว

      Ww mwaka kushalaaniwa ndio ukasema hivyo

    • @mwakajohn1819
      @mwakajohn1819 4 ปีที่แล้ว

      @@rashidjuma3457 unaonaje kila siku unamtakia rehema mtume wako mara 5. Hiyo sio laana, badala ya mtume kuwatakia rehema ninyi. Ninyi ndio mnamuombea msamaha. Ni hatari!! Bora kuwa mpagani, kuliko kubeba zigo la kumuombea mtume.

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว

    Wakristo ni Makafiri na Wapagani (Wafuasi wa Shetani/Ibirisi), hawana Dini, ibada zao wamejitungia. Ibada halali hufuata maamrisho na makatazo ya Allah.
    Wakristo hawachinji (Wanakula Vibudu), Wanaua afu eti ndo wanachinja (hawana dua ya kuchinja)!

    • @neemamalaki8512
      @neemamalaki8512 ปีที่แล้ว

      Yesu naomba ufunguwe huyu kipofu macho na ufahamu kwa kuwa anatia huruma😭😭

  • @yassirMohammed-jq7vg
    @yassirMohammed-jq7vg ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @dullyvidully7798
    @dullyvidully7798 5 ปีที่แล้ว +2

    Allah atawafanyia wepesi inshaallah

  • @batulamusa8020
    @batulamusa8020 5 ปีที่แล้ว +2

    mashaAllah

  • @eunicemureithi5804
    @eunicemureithi5804 2 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah

  • @universitylink
    @universitylink 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @knifensharper2725
    @knifensharper2725 4 ปีที่แล้ว

    Maashaallah