MaashaAllah Sheikh Suleiman Mazinge Mungu akupe umri mrefu mwafanya kazi walizofanya manabii kulingania watu kuingia katika dini ya haqi kwa kutumia Qur an tukufu na ata kutumia hiyo biblia yao maana wanaonekana hawasomi kitabu chao kiufaswaha wao ni kuskiza mapastor wao tu hawana la kuuliza wakiwa kanisani ni danganya toto tu hakuna Ibada wanafanya ni kuimba tu na wanatoa sadaka kutajirisha mapastor hawajui yaani wanamasikio hawasikii na wanamacho hawaoni huu ni Mtihani wallahi kwa kila aliezaliwa ndani ya Uislaam tuseme Alhdulillah na kulingania wasiokua waislaam ni kazi kubwa sana kusimama barabarani kufikisha kalima ya Allah ni Ujira mkubwa sana Allah awape umri mrefu mashekhe zetu wazidi kulingania dini ya Allah Aaaaaaamin.
Hakika mungu akupe umri mrefu shekh Suleiman mazinge kutoka Kenya, hakika kazi mzuri na ujira wake kwa mola mtukufu pekee kwa ajili ya kaz hii mungu kajaalia majembe mawili Shekh Suleiman mazinge from Kenya na shekh Habib Othman mazinge in tz allah awajaze kheri nyingi saana kwa kazi mzuri.
Takbiri Allahu Akibaru nawaoneya sana huruma wakristo yani ht bibiliya yao wanayo iyamini hamna kitu dini ya kweli bwana ni uwiislamu ndiyo Ambao ukifanya Amali njema ndiyo unaenda kuingiya peponi dini nyingine tupa ktk moto MKALI wa jahannama ila wa kwetu ss usiya waislam kwamba dini ya haki ni kiislam ukienda kuunguwa kesho kwa Alla huna dini utailaumu nafsi yako lakini ukweli umeambiwa ila tegemeya unacho lima na ndiyo unacho vuna
Asante Yarabby Mola wangu kuniumba mimi muisilam jamani mana hawa watu ni vichwa ngumu sana jamani kwanini wanawadanganya hao mapasta wao wanapiga zao pesa nyie mnatoka bure juweni ukweli nyie dunia imefika mwisho nyie mashekh wetu wanajitahidi kuwaokoweni hamsikii jamani dah
Na mm najivunia kuwa mkristo ... Namwamin Yesu nampnda yesu maan amenifundish kunyenyekea Na sio kupigan vita ... Vita vyte anapigan yey Na sio vya damu Na nyama bali n ktk ulimwengu wa roho... I love u Jesus forever
@@thenextmvp8568 bro usijali ww muombe Mungu sana akuonyeshe njia ya haki... mimi sikukatazi kuwa mkiristo lakini hii ishu ya kusema yesu ni bwana ni katika makosa makubwa sana mnayoyafanya.
Ndio mana Nabii issa atashuka kwa ivi anavotajwa sana duniani. Mara makafir wamwite Mungu wengine mwana wa Mungu, Allah Akbar mashekh Allah awape nguvu kuelimisha amin
Taqbiiiiirr.. kwa hakika uislamu ni dini iliyokamilika na kitabu chake ni kitukufu na hakina mashaka. tazama biblia ilivyo na mashaka ktk maandiko yke, mzungu kabadili maandiko lkn bdo kashndwa kuisafsha bible. wakristo kakaeni chin msome bible vzr
Mashallah na ahsante sana kwani ulimwengu wa sahv hiyi unayofanya ndo jihadi inayotakiwa kwani hoja unazojenga kupitia vitabu ndo vinawasilisha baadhi ya hao wasiojielewa mpaka sasa...Mungu akupe nguvu na maisha ww pamona na wahadhir wengine ili kusudi muweze kupambana kwa upande huu wa uhadhir na kuweza kuwasalimisha ndugu zetu hawa wasiokua waislamu na moto wa jahannam.."Mutapoinusuru dini ya Allah naye atakunusuruni na itathibitisha mambo yenu" na ndo maana anaendelea kuwasapot juu ya hili na wala msirudi nyuma...sisi tunaplay sehem nyngn za usilamu kama vile kusomesha
Mashaa Allah, Al hamdulilah ala neematil Islam, vipi naweza toa mchango wangu kwa kusaidia hii daawa , kama muko na M pesa tafadhalini naomba namba, nawapenda kwa ajili y Allah
Afadhali hao wanajitahidi kuja kujibu na kuuliza lakini wachungaji na maaskofu hawathubutu kusogea wakapoteza ajira maana watashindwa kujibu aibu itakuwa kubwa wao na washabiki wao
Kweli kuna watu wana tishahata maandiko yao wana yapinga yesu alikuwa aki ingia msikitini kama ilivyo kuwa destuli yake lakini hawataki wana bisha duu kweli kazi ipo
Nduguzangu, msifanye mambo ya Mungu kuwa mzaha. Sio mambo za kuchekesha watu bali ni ukweli wa Mungu. Ukiwazuia wale wanaotafuta ukweli kwa kutumia uwongo ama vichekesho, hukumu utakungojea wewe. Mda unayoyoma na mwisho wa dunia unakaribia. Mungu anawafuasi wake kila mahali na wanasikia sauti yake anapoita. Wako uisilamuni, kwa wakristo, kwa wayaudi, waindi (na kadhalika..) na Roho wake Mtakatifu anafanya kazi ya kufunua ukweli. Mwito ukija kutoka kwa Mwenyezi Mungu, hawa wafuasi wake wataitikia kutota kila kabila. Lakini waongo watafuata bwana wao ambaye ni ibilisi , yule shetani ambaye ni mwongo kutokea kitambo.
@@nicksonimsuya5044, Ahsante ndugu Msuya, ni wakati wa kuhubiri ukweli. Mwenyenzi Mungu hapendi yeyote kungamika bali uchaguzi ni wetu binadamu: Kumwamini ama kumkataa. Siku za mwisho kutakuwa na waubiri wa uongo na wakweli. Maombi yetu ni watu wote wabarikiwe na wale wanaodanganya wajue ukweli .
Waislam munadanganya watu apa muko munaceka mko n'a fulaha , kwa ju munaleta mutu asiye babawa asiye juwa ukweli , lakini mumuite pastori ndacha ABA elimishe. Waislam unashikamana na majini sijiya kwenda kwa mungu ni fini yashetani inakuja kupoteza watu, inapeleka motoni.
Nani anajua Biblia katika wakristo maana mnadhani kuwa kuna aya zaidi ya hizo wakristo wote hamna utaratibu wa kusoma maana mnaishi kwa maneno ya utashi wa wachungaji tu
Hawa wakristo wanapotea kweli emu waulizeni hao mpadri wakwambieni huo ukweli kama ukristo ni dini ya biashara wakishafanikiwa bc hao wako na maslahi zaidi nyinyi hmjui tu
Yesu ndio njia kweli na uzima ayo mengine yapo ndani ya YESU yaniii wewe shehe uokoke kwamaana ukimwamini YESU umeokoka niwokovu uache kudanganya watu wasimfate YESU kwamaa yeye ndio alama ya kiama na siku iyo yamwisho niyeye atakuja tena mjue wanaomwamini YESU wapo rohoni nasio mwilini nao waaminio wanamwabudu Mungu katika roho nakweli kupitia YESU kristo.
KIUKWELI HAPO MAZINGE NAKUPONGEZA MAANA VITABU UNAVYO KICHWANI USHAURI WANGU WANDUGU KILA AGANO LIMETOKA SEHEMU SAHIHIII HSASAAA (1)BIBLIA (2)Q.AN. KAZI KWETU SISI KUZISHIKA AMRI ZA MUNGU NA KUZIIISHI HUKU TUKIFAHAMU VITABU VYOTE VIWILI VIMETOKA KWAKE MAAANA HAKUNA HATA KIMOJA AMBACHO HAKIUTUKUZI UKUUU BALI TU KWA WALE WAPINGA IMANI WALIOOONGEZA MISTARI YAO ILI HALI WAKIFAHAMU FIKA WANAWABATILISHA WANA WA MUNGU KIAKILI NA KUWACHANGANYA . DINI ZOTE NI ZA HAKI.😙😘😗😍
Kama yey hajui kwa nin wasingetoka wanaojua ili watetee hoja... Msipende kubisha kwa kuwa mmezoea hivyo kutoka kwa wazazi wenu na mafunzo kutoka kanisani. Hizo crush zote Sheikh anazitoa kwenye biblle na sio kwenye qur'aan. Someni mujue na ulizeni mpate kujua ukweli, msikubali kupelekwapelekwa tu.
@@eliamugini8494 mm nakushauri chunguza yesu katokea wapi sio kwa wazungu hajavaa suti na katokea nchi za kiarabu na mana bii hamna na bii alie toka wazungu na aliabudu kama wailam hajenga kanisa paulo alijenga na kuwadanganya kula damu na mikate
Hahaha haha I love u mazinge sababu ya allah
Masha Allah naomb uje tz umtafute murtadi hamza issa anatukashfu san waislam umpe alimu.
Takbiir,, alahu akbar alahu akbar alahu akbar
Islam is real religion, I proud to be Muslim ☪
Mashallah may Allah give you Taqwa
Shekh yahya takbir Allahuakbar
Masha Allah mungu awajaalie kila la heri masheikh wetu
Mazinge unatisha kijana, mashaallah Allah azidi kukuweka ili uupeleke uislam mbele.
Takbiiiiir
Allahu akbar
MaashaAllah Sheikh Suleiman Mazinge Mungu akupe umri mrefu mwafanya kazi walizofanya manabii kulingania watu kuingia katika dini ya haqi kwa kutumia Qur an tukufu na ata kutumia hiyo biblia yao maana wanaonekana hawasomi kitabu chao kiufaswaha wao ni kuskiza mapastor wao tu hawana la kuuliza wakiwa kanisani ni danganya toto tu hakuna Ibada wanafanya ni kuimba tu na wanatoa sadaka kutajirisha mapastor hawajui yaani wanamasikio hawasikii na wanamacho hawaoni huu ni Mtihani wallahi kwa kila aliezaliwa ndani ya Uislaam tuseme Alhdulillah na kulingania wasiokua waislaam ni kazi kubwa sana kusimama barabarani kufikisha kalima ya Allah ni Ujira mkubwa sana Allah awape umri mrefu mashekhe zetu wazidi kulingania dini ya Allah Aaaaaaamin.
Ona sasa huyo sheikh wanachagua mtu gan wote hao hamna Wa maana hamna anaejua pande zote
Pole San ten San Na San
Yesu ndie njia na uzima^^^°°°
swadakta njia ya haki ni uislam
Mazinge undugu yangu nakupenda sana mungu hakuhifadi Masha Allah nyi nyi wote
Mohamed Issack,
My dear brother *PLEASE* you must also watch my very important videos in my *Playlists*
Mashaallah mashAallah shekhe mazinge
Mashaallah hongeren sana masheikh zetu! !!Allah awape umri mrefu mzid kusambaza ujumbe wa Allah
Amin
Ukiwa na elimu raha xana aisee nmeelewa k2 apo nduguzangu tafteni elimu .hutobabaika .l proud to be muslm
Takbirrrrr
Mashaallah mashekhe wetu Allah awalipekherii
Mwenyezi mungu ajuae kwa hakika mungu nipe maisha marefu yenye manufaa ili niweze kujua njia ya haki ya kuuona ufalme wa mbinguni
Allhamdulillah Sasa makafiri hawana njia
Big up mashekhe wetu mollah awalinde na awalipe yaliyo mazuri zaid mashaallah
Mashallah Allah awape umri mrefu mashekh wetu🙏🙏🙏
Hakika mungu akupe umri mrefu shekh Suleiman mazinge kutoka Kenya, hakika kazi mzuri na ujira wake kwa mola mtukufu pekee kwa ajili ya kaz hii mungu kajaalia majembe mawili Shekh Suleiman mazinge from Kenya na shekh Habib Othman mazinge in tz allah awajaze kheri nyingi saana kwa kazi mzuri.
Sheikh maneno yako mazuri yenye manufaa lakini mnafeli tu pale mnapo jumuika na wanawake mola wetu mlezi ametukataza baraka Allahu fiykum akhwani
Khaaaa sasa wakasome wp
Mashallah mafundisho mazuri sana, jazakallah ustadhi mazinge
Jazakah Allah sheikh mazinge Mungu kupe umri
allah akupe umri mwema na afya
11:29 mathayo (jitien nira yangu na mjifunze kwangu kwa kuwa mimi ni mpole na muislam wa moyo)
Mazinge kiboko yao mashaallah wape🤣🤣🤣🙏
تكبير الله أكبر٫ Masha Allah najivunia kua muislamu wallah
Mazinge kiboko
Takbiri Allahu Akibaru nawaoneya sana huruma wakristo yani ht bibiliya yao wanayo iyamini hamna kitu dini ya kweli bwana ni uwiislamu ndiyo Ambao ukifanya Amali njema ndiyo unaenda kuingiya peponi dini nyingine tupa ktk moto MKALI wa jahannama ila wa kwetu ss usiya waislam kwamba dini ya haki ni kiislam ukienda kuunguwa kesho kwa Alla huna dini utailaumu nafsi yako lakini ukweli umeambiwa ila tegemeya unacho lima na ndiyo unacho vuna
Baaraka llahu fiikum
Asante Yarabby Mola wangu kuniumba mimi muisilam jamani mana hawa watu ni vichwa ngumu sana jamani kwanini wanawadanganya hao mapasta wao wanapiga zao pesa nyie mnatoka bure juweni ukweli nyie dunia imefika mwisho nyie mashekh wetu wanajitahidi kuwaokoweni hamsikii jamani dah
Na mm najivunia kuwa mkristo ... Namwamin Yesu nampnda yesu maan amenifundish kunyenyekea Na sio kupigan vita ... Vita vyte anapigan yey Na sio vya damu Na nyama bali n ktk ulimwengu wa roho... I love u Jesus forever
Masha Allah, Endelea kueneza Dini Sheykh Allah Atakunusuru
Allahuma Amin
Subhannallah wakristo wanapotea yarab waokoe watu wako hawa😢😢😢😢
Salim Mohamed yaani aesilamu mnatabu sana nyie
@@thenextmvp8568 bro usijali ww muombe Mungu sana akuonyeshe njia ya haki... mimi sikukatazi kuwa mkiristo lakini hii ishu ya kusema yesu ni bwana ni katika makosa makubwa sana mnayoyafanya.
wanakudanganyeni uislamu umeanza miaka zaidi ya 475 baada ya Yesu
@@ezabiashefatia1274 kaombewe basi utolewe majini utoe na sadaqa akale mchungaji afu usubili miujiza kwa jina la yesu. Sijui yesu gani
Am proud to be Muslim boy mashallah
Ndio mana Nabii issa atashuka kwa ivi anavotajwa sana duniani. Mara makafir wamwite Mungu wengine mwana wa Mungu, Allah Akbar mashekh Allah awape nguvu kuelimisha amin
mashaAllah
Masha Allah ya shekhe mazinge
Maasha Allah sheikh
Taqbiiiiirr.. kwa hakika uislamu ni dini iliyokamilika na kitabu chake ni kitukufu na hakina mashaka. tazama biblia ilivyo na mashaka ktk maandiko yke, mzungu kabadili maandiko lkn bdo kashndwa kuisafsha bible. wakristo kakaeni chin msome bible vzr
ما شاء الله تبارك الله شيخ سليمان
daa jina halikupotea mazinge kweli allah akupe umri mrefu afya njema
Amiin
Mash ALLAH bless you
Masha allah mashekhe wetu
Sheikh wangu mm nina bible ya kiswahili shida yangu kujua majina ya vitabu kwa kiingereza .naomba msaada
Mashallah na ahsante sana kwani ulimwengu wa sahv hiyi unayofanya ndo jihadi inayotakiwa kwani hoja unazojenga kupitia vitabu ndo vinawasilisha baadhi ya hao wasiojielewa mpaka sasa...Mungu akupe nguvu na maisha ww pamona na wahadhir wengine ili kusudi muweze kupambana kwa upande huu wa uhadhir na kuweza kuwasalimisha ndugu zetu hawa wasiokua waislamu na moto wa jahannam.."Mutapoinusuru dini ya Allah naye atakunusuruni na itathibitisha mambo yenu" na ndo maana anaendelea kuwasapot juu ya hili na wala msirudi nyuma...sisi tunaplay sehem nyngn za usilamu kama vile kusomesha
Twashukuru waislamu wote dunia kwa neema hii ya kua waislamu na twawaombea wasio waislamu waijue haki
Rehema Ahamadi Ahmadi Jesus is way the truth and life
Sio kosa lenu ... Ni kukosa maarifa
Mashaa Allah, Al hamdulilah ala neematil Islam, vipi naweza toa mchango wangu kwa kusaidia hii daawa , kama muko na M pesa tafadhalini naomba namba, nawapenda kwa ajili y Allah
Waalykum Salam ukhty wasiliana nasi kupitia hii no +254720900181
Fatma Mudathir Danganya Wapagani waislam wote sisi tulio na Mwanaume Yesu tunakula raha ndani yake
Takbiriiih
Allah Akbar,Maa Shaa Allah,
Ma sha Allah tabaraka llah
tuk pa1 shekh
Sauti inavuma sana inasumbua kdgo asanteni muko vizri
Tutarekebisha katika kanda nyengine
Ilove you shekhe wewe dar mollah akulipe khery
Mashallah mazinge
Afadhali hao wanajitahidi kuja kujibu na kuuliza lakini wachungaji na maaskofu hawathubutu kusogea wakapoteza ajira maana watashindwa kujibu aibu itakuwa kubwa wao na washabiki wao
Kweli kuna watu wana tishahata maandiko yao wana yapinga yesu alikuwa aki ingia msikitini kama ilivyo kuwa destuli yake lakini hawataki wana bisha duu kweli kazi ipo
Allah akulind suleman mazinge
Waislamu Yesu anakupenda wacha upizani..Yesu yuko
mazinge ww umerithi ukorofi wa mazinge mwenzio ubalikiwe sana Jina halikupotea
Nyakat2(7;3) wakatazama watu waesrael woote....wakasujudu kifulifuli
Mashaalh my muslims brothers🇸🇴🇸🇴🇸🇴
Ma shaa Allah
laa lla hailla ullwah muhammadan rasuru ullwah
Mechekaa miee hahaaa
Hahaha kiboko mazinge Allah akuongoze
Uchanga wa kujua maandiko unasumbua. Maana ya Damu ya Yesu siyo hiyo.
Hahahahhhaha shekhe umeuwa twawaombea
Nduguzangu, msifanye mambo ya Mungu kuwa mzaha. Sio mambo za kuchekesha watu bali ni ukweli wa Mungu.
Ukiwazuia wale wanaotafuta ukweli kwa kutumia uwongo ama vichekesho, hukumu utakungojea wewe. Mda unayoyoma na mwisho wa dunia unakaribia. Mungu anawafuasi wake kila mahali na wanasikia sauti yake anapoita.
Wako uisilamuni, kwa wakristo, kwa wayaudi, waindi (na kadhalika..) na Roho wake Mtakatifu anafanya kazi ya kufunua ukweli. Mwito ukija kutoka kwa Mwenyezi Mungu, hawa wafuasi wake wataitikia kutota kila kabila. Lakini waongo watafuata bwana wao ambaye ni ibilisi , yule shetani ambaye ni mwongo kutokea kitambo.
samwel manasse hayo majibizano yenu niya mwilini wala siyarohoni mwayachunguza maandiko mkifikiri mnauzima ndani yake
We we mazinge nipepo mchafu unawapotosha watu unayachunguza maandiko ukidhani unauzima ndani yake
@@nicksonimsuya5044, Ahsante ndugu Msuya, ni wakati wa kuhubiri ukweli. Mwenyenzi Mungu hapendi yeyote kungamika bali uchaguzi ni wetu binadamu: Kumwamini ama kumkataa.
Siku za mwisho kutakuwa na waubiri wa uongo na wakweli. Maombi yetu ni watu wote wabarikiwe na wale wanaodanganya wajue ukweli .
Masha Allah
SUBHANAALLAH
Waislam munadanganya watu apa muko munaceka mko n'a fulaha , kwa ju munaleta mutu asiye babawa asiye juwa ukweli , lakini mumuite pastori ndacha ABA elimishe. Waislam unashikamana na majini sijiya kwenda kwa mungu ni fini yashetani inakuja kupoteza watu, inapeleka motoni.
Ww ndio unafata mafreemason mana kama yesu ni muislam je ww umefata nani paulo
Mashallah
MashAllah
Takbir
Naaaaaam
Hakuna tofauti Kati ya wakristo wa jumapili na waislam, kwani wote hawazishiki amri za Mungu!
Vipi mazinge unasema bibilia neno la Mungu halipaswi kupingwa mbona basi mnapinga uungu wa kristo na kifo chake???
Uyu mazinge au
Mbn unaweka nusu shkh
26:39(mathayo)
4:10(mathayo)
Yesu ndie njia ya kweli wamwamie yataokoka
Usikurupe ukasema yesu ni mungu
Loise Kalame hauna ujualo
Maskini mzee yuafa kafiri hajui chochote
Mungu ampe nguvu Aone nuru ya mwislamu
Kanisani wanakatazwa kuhoji
Jamani damu hyo tena imekua mfano wa bahari kwa uwingi
Ma shaa llah
Mpe full doss ya ust
Nilikuwa hapo siku hiyo
Mmewapata ambao hawajuhi BIBLIA vizuri
Nani anajua Biblia katika wakristo maana mnadhani kuwa kuna aya zaidi ya hizo wakristo wote hamna utaratibu wa kusoma maana mnaishi kwa maneno ya utashi wa wachungaji tu
Ungeenda wewe mwenye kujua kutetea na sio kulalama u tube
Mazinge wewe ni kuboko
Hawa wakristo wanapotea kweli emu waulizeni hao mpadri wakwambieni huo ukweli kama ukristo ni dini ya biashara wakishafanikiwa bc hao wako na maslahi zaidi nyinyi hmjui tu
Wewe kasome ufunuwo uone yesu akiwaandikia makanisa
Nakirii kuwa mwislamu damu
Ubarikiwe ulipo
Yesu ndio njia kweli na uzima ayo mengine yapo ndani ya YESU yaniii wewe shehe uokoke kwamaana ukimwamini YESU umeokoka niwokovu uache kudanganya watu wasimfate YESU kwamaa yeye ndio alama ya kiama na siku iyo yamwisho niyeye atakuja tena mjue wanaomwamini YESU wapo rohoni nasio mwilini nao waaminio wanamwabudu Mungu katika roho nakweli kupitia YESU kristo.
wajuze hao
mashaalah wakristo hawana hoja
Wakriso hawanaelimu ya diniyao wanayumba hatar
Hahahahahahaha huyu jamaa tatizo hana roho mtakatifu
😂😂😂😂kuwaobea
KIUKWELI HAPO MAZINGE NAKUPONGEZA MAANA VITABU UNAVYO KICHWANI
USHAURI WANGU WANDUGU KILA AGANO LIMETOKA SEHEMU SAHIHIII HSASAAA (1)BIBLIA
(2)Q.AN.
KAZI KWETU SISI KUZISHIKA AMRI ZA MUNGU NA KUZIIISHI HUKU TUKIFAHAMU VITABU VYOTE VIWILI VIMETOKA KWAKE MAAANA HAKUNA HATA KIMOJA AMBACHO HAKIUTUKUZI UKUUU
BALI TU KWA WALE WAPINGA IMANI WALIOOONGEZA MISTARI YAO ILI HALI WAKIFAHAMU FIKA WANAWABATILISHA WANA WA MUNGU KIAKILI NA KUWACHANGANYA .
DINI ZOTE NI ZA HAKI.😙😘😗😍
HAPANA SIO DINI ZOTE ZA HAKI ,KUNA DINI WANAZIANZISHA WATU KWA MAPENZI YAO LAKINI MAAGIZO HAYO HAYATOKI KWA ALIYEWAUMBA .
Dini ya haqi ni uislam tu
Mnawakamata wasio jua maandiko mnawajaza maneno yasiyo na kitu
Aivani Maedard mashetani hao
Ludini kwa Allah
Mashetani ninyie msio jielewa
Kama yey hajui kwa nin wasingetoka wanaojua ili watetee hoja... Msipende kubisha kwa kuwa mmezoea hivyo kutoka kwa wazazi wenu na mafunzo kutoka kanisani. Hizo crush zote Sheikh anazitoa kwenye biblle na sio kwenye qur'aan. Someni mujue na ulizeni mpate kujua ukweli, msikubali kupelekwapelekwa tu.
Mwislamu anaishi naubishi nauongo tu.
Damu ya Yesu yatosha Without JESUS no salivation
Damu yako haikutoshi mpaka utake ya Issa
@@radhiyamohd3555 ww hapo ulipo ni kwa nguvu ya YESU tu na si vinginevyo
@@eliamugini8494 mm nakushauri chunguza yesu katokea wapi sio kwa wazungu hajavaa suti na katokea nchi za kiarabu na mana bii hamna na bii alie toka wazungu na aliabudu kama wailam hajenga kanisa paulo alijenga na kuwadanganya kula damu na mikate
Hahaha wanaingia hao madad jane....Allah akutangulie mazinge
Abdhillahi Abeid
Salim Abdul
Hiyo sio damu tena Bali na kimsima cha mafuta
Ahmad Seif divai ni red wine ambayo ni pombe.
🕋
Hyu jamaa mwenye jezz ya mpira taira kweli heti petro ni mtume wa yesu .anaetoa utume ni Allah ama kiumbe this guy he's verystupid sana