Pastor akiri Yesu alikua mwislam lakini muyahudi...tizama

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • Muhathara uliyofanyika..... Tana River County.

ความคิดเห็น • 254

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed8241 4 ปีที่แล้ว +5

    Hahaha haha I love u mazinge sababu ya allah

  • @immaibra1734
    @immaibra1734 5 ปีที่แล้ว +21

    Masha Allah naomb uje tz umtafute murtadi hamza issa anatukashfu san waislam umpe alimu.

  • @BALL_OF_JOY
    @BALL_OF_JOY 5 ปีที่แล้ว +26

    Takbiir,, alahu akbar alahu akbar alahu akbar
    Islam is real religion, I proud to be Muslim ☪

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 ปีที่แล้ว +11

    Masha Allah mungu awajaalie kila la heri masheikh wetu

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 3 ปีที่แล้ว

    Mazinge unatisha kijana, mashaallah Allah azidi kukuweka ili uupeleke uislam mbele.
    Takbiiiiir
    Allahu akbar

  • @alwaladinswalihualwaladins4724
    @alwaladinswalihualwaladins4724 5 ปีที่แล้ว +23

    MaashaAllah Sheikh Suleiman Mazinge Mungu akupe umri mrefu mwafanya kazi walizofanya manabii kulingania watu kuingia katika dini ya haqi kwa kutumia Qur an tukufu na ata kutumia hiyo biblia yao maana wanaonekana hawasomi kitabu chao kiufaswaha wao ni kuskiza mapastor wao tu hawana la kuuliza wakiwa kanisani ni danganya toto tu hakuna Ibada wanafanya ni kuimba tu na wanatoa sadaka kutajirisha mapastor hawajui yaani wanamasikio hawasikii na wanamacho hawaoni huu ni Mtihani wallahi kwa kila aliezaliwa ndani ya Uislaam tuseme Alhdulillah na kulingania wasiokua waislaam ni kazi kubwa sana kusimama barabarani kufikisha kalima ya Allah ni Ujira mkubwa sana Allah awape umri mrefu mashekhe zetu wazidi kulingania dini ya Allah Aaaaaaamin.

    • @protucekimario8199
      @protucekimario8199 5 ปีที่แล้ว

      Ona sasa huyo sheikh wanachagua mtu gan wote hao hamna Wa maana hamna anaejua pande zote

    • @wemarogar3667
      @wemarogar3667 5 ปีที่แล้ว

      Pole San ten San Na San

    • @letssee204tuone2
      @letssee204tuone2 5 ปีที่แล้ว +1

      Yesu ndie njia na uzima^^^°°°

    • @AaAa-kr9nb
      @AaAa-kr9nb 5 ปีที่แล้ว

      swadakta njia ya haki ni uislam

  • @mohamedissack8053
    @mohamedissack8053 5 ปีที่แล้ว +2

    Mazinge undugu yangu nakupenda sana mungu hakuhifadi Masha Allah nyi nyi wote

    • @kitkatpleasesubscribe6720
      @kitkatpleasesubscribe6720 5 ปีที่แล้ว

      Mohamed Issack,
      My dear brother *PLEASE* you must also watch my very important videos in my *Playlists*

  • @malikiakimwera9524
    @malikiakimwera9524 5 ปีที่แล้ว +10

    Mashaallah mashAallah shekhe mazinge

  • @kingungengombari9159
    @kingungengombari9159 5 ปีที่แล้ว +19

    Mashaallah hongeren sana masheikh zetu! !!Allah awape umri mrefu mzid kusambaza ujumbe wa Allah

  • @nuwayakubu5337
    @nuwayakubu5337 5 ปีที่แล้ว +11

    Ukiwa na elimu raha xana aisee nmeelewa k2 apo nduguzangu tafteni elimu .hutobabaika .l proud to be muslm

  • @zakariamohaz6965
    @zakariamohaz6965 3 ปีที่แล้ว +2

    Takbirrrrr

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah mashekhe wetu Allah awalipekherii

  • @nancysakwa2810
    @nancysakwa2810 4 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu ajuae kwa hakika mungu nipe maisha marefu yenye manufaa ili niweze kujua njia ya haki ya kuuona ufalme wa mbinguni

  • @chelseaxoxo1106
    @chelseaxoxo1106 5 ปีที่แล้ว +12

    Allhamdulillah Sasa makafiri hawana njia

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 3 ปีที่แล้ว

    Big up mashekhe wetu mollah awalinde na awalipe yaliyo mazuri zaid mashaallah

  • @mwanakombokalamu7009
    @mwanakombokalamu7009 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah Allah awape umri mrefu mashekh wetu🙏🙏🙏

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 ปีที่แล้ว

    Hakika mungu akupe umri mrefu shekh Suleiman mazinge kutoka Kenya, hakika kazi mzuri na ujira wake kwa mola mtukufu pekee kwa ajili ya kaz hii mungu kajaalia majembe mawili Shekh Suleiman mazinge from Kenya na shekh Habib Othman mazinge in tz allah awajaze kheri nyingi saana kwa kazi mzuri.

  • @karryh5338
    @karryh5338 5 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh maneno yako mazuri yenye manufaa lakini mnafeli tu pale mnapo jumuika na wanawake mola wetu mlezi ametukataza baraka Allahu fiykum akhwani

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia5929 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah mafundisho mazuri sana, jazakallah ustadhi mazinge

  • @mohammadalfani8004
    @mohammadalfani8004 3 ปีที่แล้ว

    Jazakah Allah sheikh mazinge Mungu kupe umri

  • @omarshariff8266
    @omarshariff8266 5 ปีที่แล้ว +14

    allah akupe umri mwema na afya

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 4 ปีที่แล้ว +2

    11:29 mathayo (jitien nira yangu na mjifunze kwangu kwa kuwa mimi ni mpole na muislam wa moyo)

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 4 ปีที่แล้ว +1

    Mazinge kiboko yao mashaallah wape🤣🤣🤣🙏

  • @princessafrash8757
    @princessafrash8757 3 ปีที่แล้ว

    تكبير الله أكبر٫ Masha Allah najivunia kua muislamu wallah

  • @siwajibufarida3428
    @siwajibufarida3428 5 ปีที่แล้ว +14

    Mazinge kiboko

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 5 ปีที่แล้ว

    Takbiri Allahu Akibaru nawaoneya sana huruma wakristo yani ht bibiliya yao wanayo iyamini hamna kitu dini ya kweli bwana ni uwiislamu ndiyo Ambao ukifanya Amali njema ndiyo unaenda kuingiya peponi dini nyingine tupa ktk moto MKALI wa jahannama ila wa kwetu ss usiya waislam kwamba dini ya haki ni kiislam ukienda kuunguwa kesho kwa Alla huna dini utailaumu nafsi yako lakini ukweli umeambiwa ila tegemeya unacho lima na ndiyo unacho vuna

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 5 ปีที่แล้ว +8

    Baaraka llahu fiikum

  • @behewameja5058
    @behewameja5058 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante Yarabby Mola wangu kuniumba mimi muisilam jamani mana hawa watu ni vichwa ngumu sana jamani kwanini wanawadanganya hao mapasta wao wanapiga zao pesa nyie mnatoka bure juweni ukweli nyie dunia imefika mwisho nyie mashekh wetu wanajitahidi kuwaokoweni hamsikii jamani dah

    • @wemarogar3667
      @wemarogar3667 5 ปีที่แล้ว

      Na mm najivunia kuwa mkristo ... Namwamin Yesu nampnda yesu maan amenifundish kunyenyekea Na sio kupigan vita ... Vita vyte anapigan yey Na sio vya damu Na nyama bali n ktk ulimwengu wa roho... I love u Jesus forever

  • @harmxooz0701
    @harmxooz0701 4 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah, Endelea kueneza Dini Sheykh Allah Atakunusuru

  • @salimmohamed694
    @salimmohamed694 5 ปีที่แล้ว +8

    Subhannallah wakristo wanapotea yarab waokoe watu wako hawa😢😢😢😢

    • @thenextmvp8568
      @thenextmvp8568 5 ปีที่แล้ว

      Salim Mohamed yaani aesilamu mnatabu sana nyie

    • @salimmohamed694
      @salimmohamed694 5 ปีที่แล้ว

      @@thenextmvp8568 bro usijali ww muombe Mungu sana akuonyeshe njia ya haki... mimi sikukatazi kuwa mkiristo lakini hii ishu ya kusema yesu ni bwana ni katika makosa makubwa sana mnayoyafanya.

    • @ezabiashefatia1274
      @ezabiashefatia1274 5 ปีที่แล้ว

      wanakudanganyeni uislamu umeanza miaka zaidi ya 475 baada ya Yesu

    • @salimmohamed694
      @salimmohamed694 5 ปีที่แล้ว

      @@ezabiashefatia1274 kaombewe basi utolewe majini utoe na sadaqa akale mchungaji afu usubili miujiza kwa jina la yesu. Sijui yesu gani

  • @suhaybabeid3115
    @suhaybabeid3115 3 ปีที่แล้ว +1

    Am proud to be Muslim boy mashallah

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 5 ปีที่แล้ว

    Ndio mana Nabii issa atashuka kwa ivi anavotajwa sana duniani. Mara makafir wamwite Mungu wengine mwana wa Mungu, Allah Akbar mashekh Allah awape nguvu kuelimisha amin

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 5 ปีที่แล้ว +14

    mashaAllah

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 5 ปีที่แล้ว +8

    Masha Allah ya shekhe mazinge

  • @ashaboke8849
    @ashaboke8849 5 ปีที่แล้ว +4

    Maasha Allah sheikh

  • @legrandmsangi9789
    @legrandmsangi9789 5 ปีที่แล้ว +7

    Taqbiiiiirr.. kwa hakika uislamu ni dini iliyokamilika na kitabu chake ni kitukufu na hakina mashaka. tazama biblia ilivyo na mashaka ktk maandiko yke, mzungu kabadili maandiko lkn bdo kashndwa kuisafsha bible. wakristo kakaeni chin msome bible vzr

  • @نوراخمسالوي
    @نوراخمسالوي 5 ปีที่แล้ว +3

    ما شاء الله تبارك الله شيخ سليمان

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 5 ปีที่แล้ว +5

    daa jina halikupotea mazinge kweli allah akupe umri mrefu afya njema

  • @kautharcadey3562
    @kautharcadey3562 2 ปีที่แล้ว

    Mash ALLAH bless you

  • @waridiwaridi7147
    @waridiwaridi7147 5 ปีที่แล้ว +4

    Masha allah mashekhe wetu

  • @rajabmahmoud4032
    @rajabmahmoud4032 5 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh wangu mm nina bible ya kiswahili shida yangu kujua majina ya vitabu kwa kiingereza .naomba msaada

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 5 ปีที่แล้ว

    Mashallah na ahsante sana kwani ulimwengu wa sahv hiyi unayofanya ndo jihadi inayotakiwa kwani hoja unazojenga kupitia vitabu ndo vinawasilisha baadhi ya hao wasiojielewa mpaka sasa...Mungu akupe nguvu na maisha ww pamona na wahadhir wengine ili kusudi muweze kupambana kwa upande huu wa uhadhir na kuweza kuwasalimisha ndugu zetu hawa wasiokua waislamu na moto wa jahannam.."Mutapoinusuru dini ya Allah naye atakunusuruni na itathibitisha mambo yenu" na ndo maana anaendelea kuwasapot juu ya hili na wala msirudi nyuma...sisi tunaplay sehem nyngn za usilamu kama vile kusomesha

  • @rehemaahamadiahmadi566
    @rehemaahamadiahmadi566 5 ปีที่แล้ว +7

    Twashukuru waislamu wote dunia kwa neema hii ya kua waislamu na twawaombea wasio waislamu waijue haki

    • @letssee204tuone2
      @letssee204tuone2 5 ปีที่แล้ว +1

      Rehema Ahamadi Ahmadi Jesus is way the truth and life

    • @wemarogar3667
      @wemarogar3667 5 ปีที่แล้ว

      Sio kosa lenu ... Ni kukosa maarifa

  • @fatmamudathir3038
    @fatmamudathir3038 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa Allah, Al hamdulilah ala neematil Islam, vipi naweza toa mchango wangu kwa kusaidia hii daawa , kama muko na M pesa tafadhalini naomba namba, nawapenda kwa ajili y Allah

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  5 ปีที่แล้ว

      Waalykum Salam ukhty wasiliana nasi kupitia hii no +254720900181

    • @lugabakanyawela3105
      @lugabakanyawela3105 5 ปีที่แล้ว

      Fatma Mudathir Danganya Wapagani waislam wote sisi tulio na Mwanaume Yesu tunakula raha ndani yake

  • @ramaguzo7209
    @ramaguzo7209 4 ปีที่แล้ว +1

    Takbiriiih

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah Akbar,Maa Shaa Allah,

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 7 หลายเดือนก่อน

    Ma sha Allah tabaraka llah

  • @alimakame9224
    @alimakame9224 5 ปีที่แล้ว +1

    tuk pa1 shekh

  • @majaliwahamad4053
    @majaliwahamad4053 5 ปีที่แล้ว +6

    Sauti inavuma sana inasumbua kdgo asanteni muko vizri

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  5 ปีที่แล้ว

      Tutarekebisha katika kanda nyengine

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 3 ปีที่แล้ว

    Ilove you shekhe wewe dar mollah akulipe khery

  • @eastafrica6858
    @eastafrica6858 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah mazinge

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 ปีที่แล้ว +1

    Afadhali hao wanajitahidi kuja kujibu na kuuliza lakini wachungaji na maaskofu hawathubutu kusogea wakapoteza ajira maana watashindwa kujibu aibu itakuwa kubwa wao na washabiki wao

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 ปีที่แล้ว

    Kweli kuna watu wana tishahata maandiko yao wana yapinga yesu alikuwa aki ingia msikitini kama ilivyo kuwa destuli yake lakini hawataki wana bisha duu kweli kazi ipo

  • @allyhamisi4709
    @allyhamisi4709 5 ปีที่แล้ว +1

    Allah akulind suleman mazinge

  • @henryosoro7696
    @henryosoro7696 4 ปีที่แล้ว

    Waislamu Yesu anakupenda wacha upizani..Yesu yuko

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 5 ปีที่แล้ว +5

    mazinge ww umerithi ukorofi wa mazinge mwenzio ubalikiwe sana Jina halikupotea

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 4 ปีที่แล้ว +1

    Nyakat2(7;3) wakatazama watu waesrael woote....wakasujudu kifulifuli

  • @khadarbarkadle6798
    @khadarbarkadle6798 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashaalh my muslims brothers🇸🇴🇸🇴🇸🇴

  • @siwajibufarida3428
    @siwajibufarida3428 5 ปีที่แล้ว +5

    Ma shaa Allah

  • @ayshaali3577
    @ayshaali3577 5 ปีที่แล้ว +9

    laa lla hailla ullwah muhammadan rasuru ullwah

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 4 ปีที่แล้ว +1

    Mechekaa miee hahaaa

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 ปีที่แล้ว +8

    Hahaha kiboko mazinge Allah akuongoze

    • @edwardmamuya8066
      @edwardmamuya8066 5 ปีที่แล้ว

      Uchanga wa kujua maandiko unasumbua. Maana ya Damu ya Yesu siyo hiyo.

  • @sakinayusuf5072
    @sakinayusuf5072 5 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahhhaha shekhe umeuwa twawaombea

  • @samwelmanasse5724
    @samwelmanasse5724 5 ปีที่แล้ว +1

    Nduguzangu, msifanye mambo ya Mungu kuwa mzaha. Sio mambo za kuchekesha watu bali ni ukweli wa Mungu.
    Ukiwazuia wale wanaotafuta ukweli kwa kutumia uwongo ama vichekesho, hukumu utakungojea wewe. Mda unayoyoma na mwisho wa dunia unakaribia. Mungu anawafuasi wake kila mahali na wanasikia sauti yake anapoita.
    Wako uisilamuni, kwa wakristo, kwa wayaudi, waindi (na kadhalika..) na Roho wake Mtakatifu anafanya kazi ya kufunua ukweli. Mwito ukija kutoka kwa Mwenyezi Mungu, hawa wafuasi wake wataitikia kutota kila kabila. Lakini waongo watafuata bwana wao ambaye ni ibilisi , yule shetani ambaye ni mwongo kutokea kitambo.

    • @nicksonimsuya5044
      @nicksonimsuya5044 5 ปีที่แล้ว

      samwel manasse hayo majibizano yenu niya mwilini wala siyarohoni mwayachunguza maandiko mkifikiri mnauzima ndani yake

    • @nicksonimsuya5044
      @nicksonimsuya5044 5 ปีที่แล้ว

      We we mazinge nipepo mchafu unawapotosha watu unayachunguza maandiko ukidhani unauzima ndani yake

    • @samwelmanasse5724
      @samwelmanasse5724 5 ปีที่แล้ว

      @@nicksonimsuya5044, Ahsante ndugu Msuya, ni wakati wa kuhubiri ukweli. Mwenyenzi Mungu hapendi yeyote kungamika bali uchaguzi ni wetu binadamu: Kumwamini ama kumkataa.
      Siku za mwisho kutakuwa na waubiri wa uongo na wakweli. Maombi yetu ni watu wote wabarikiwe na wale wanaodanganya wajue ukweli .

  • @jaffarmohamed6859
    @jaffarmohamed6859 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @welezilibero7650
    @welezilibero7650 5 ปีที่แล้ว +5

    SUBHANAALLAH

  • @marcbanyankirubusa135
    @marcbanyankirubusa135 4 ปีที่แล้ว +1

    Waislam munadanganya watu apa muko munaceka mko n'a fulaha , kwa ju munaleta mutu asiye babawa asiye juwa ukweli , lakini mumuite pastori ndacha ABA elimishe. Waislam unashikamana na majini sijiya kwenda kwa mungu ni fini yashetani inakuja kupoteza watu, inapeleka motoni.

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 ปีที่แล้ว

      Ww ndio unafata mafreemason mana kama yesu ni muislam je ww umefata nani paulo

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah

  • @mohhamedmasai3911
    @mohhamedmasai3911 5 ปีที่แล้ว +1

    MashAllah

  • @athmanswaleh3860
    @athmanswaleh3860 5 ปีที่แล้ว +1

    Takbir

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 4 ปีที่แล้ว +1

    Naaaaaam

  • @semajororubabaza3399
    @semajororubabaza3399 5 ปีที่แล้ว

    Hakuna tofauti Kati ya wakristo wa jumapili na waislam, kwani wote hawazishiki amri za Mungu!

  • @ikhavi
    @ikhavi 3 ปีที่แล้ว

    Vipi mazinge unasema bibilia neno la Mungu halipaswi kupingwa mbona basi mnapinga uungu wa kristo na kifo chake???

  • @asadabdul5112
    @asadabdul5112 4 ปีที่แล้ว +1

    Uyu mazinge au

  • @jumalove2631
    @jumalove2631 5 ปีที่แล้ว +1

    Mbn unaweka nusu shkh

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 4 ปีที่แล้ว +1

    26:39(mathayo)

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 4 ปีที่แล้ว +1

    4:10(mathayo)

  • @loisekalame8893
    @loisekalame8893 5 ปีที่แล้ว +4

    Yesu ndie njia ya kweli wamwamie yataokoka

  • @rahmatumam357
    @rahmatumam357 5 ปีที่แล้ว +7

    Maskini mzee yuafa kafiri hajui chochote

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 5 ปีที่แล้ว +4

    Jamani damu hyo tena imekua mfano wa bahari kwa uwingi

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 5 ปีที่แล้ว +3

    Mpe full doss ya ust

  • @lulihassan5952
    @lulihassan5952 5 ปีที่แล้ว +1

    Nilikuwa hapo siku hiyo

  • @augustinojohn4764
    @augustinojohn4764 5 ปีที่แล้ว +2

    Mmewapata ambao hawajuhi BIBLIA vizuri

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 4 ปีที่แล้ว

      Nani anajua Biblia katika wakristo maana mnadhani kuwa kuna aya zaidi ya hizo wakristo wote hamna utaratibu wa kusoma maana mnaishi kwa maneno ya utashi wa wachungaji tu

    • @shannyjumah4211
      @shannyjumah4211 4 ปีที่แล้ว +2

      Ungeenda wewe mwenye kujua kutetea na sio kulalama u tube

  • @alisalim5158
    @alisalim5158 4 ปีที่แล้ว +1

    Mazinge wewe ni kuboko

  • @abdallayunus356
    @abdallayunus356 5 ปีที่แล้ว +2

    Hawa wakristo wanapotea kweli emu waulizeni hao mpadri wakwambieni huo ukweli kama ukristo ni dini ya biashara wakishafanikiwa bc hao wako na maslahi zaidi nyinyi hmjui tu

  • @shukurkimat2940
    @shukurkimat2940 5 ปีที่แล้ว +2

    Wewe kasome ufunuwo uone yesu akiwaandikia makanisa

  • @wariorashid61
    @wariorashid61 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakirii kuwa mwislamu damu

  • @emanuel1269
    @emanuel1269 2 ปีที่แล้ว

    Yesu ndio njia kweli na uzima ayo mengine yapo ndani ya YESU yaniii wewe shehe uokoke kwamaana ukimwamini YESU umeokoka niwokovu uache kudanganya watu wasimfate YESU kwamaa yeye ndio alama ya kiama na siku iyo yamwisho niyeye atakuja tena mjue wanaomwamini YESU wapo rohoni nasio mwilini nao waaminio wanamwabudu Mungu katika roho nakweli kupitia YESU kristo.

  • @modjayd5424
    @modjayd5424 5 ปีที่แล้ว +1

    wajuze hao

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 5 ปีที่แล้ว +3

    mashaalah wakristo hawana hoja

  • @eliamugini8494
    @eliamugini8494 5 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahahahaha huyu jamaa tatizo hana roho mtakatifu

  • @haleemasulthan4894
    @haleemasulthan4894 5 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂kuwaobea

  • @emanueljosephat1605
    @emanueljosephat1605 5 ปีที่แล้ว +1

    KIUKWELI HAPO MAZINGE NAKUPONGEZA MAANA VITABU UNAVYO KICHWANI
    USHAURI WANGU WANDUGU KILA AGANO LIMETOKA SEHEMU SAHIHIII HSASAAA (1)BIBLIA
    (2)Q.AN.
    KAZI KWETU SISI KUZISHIKA AMRI ZA MUNGU NA KUZIIISHI HUKU TUKIFAHAMU VITABU VYOTE VIWILI VIMETOKA KWAKE MAAANA HAKUNA HATA KIMOJA AMBACHO HAKIUTUKUZI UKUUU
    BALI TU KWA WALE WAPINGA IMANI WALIOOONGEZA MISTARI YAO ILI HALI WAKIFAHAMU FIKA WANAWABATILISHA WANA WA MUNGU KIAKILI NA KUWACHANGANYA .
    DINI ZOTE NI ZA HAKI.😙😘😗😍

    • @jumamohamed9648
      @jumamohamed9648 5 ปีที่แล้ว

      HAPANA SIO DINI ZOTE ZA HAKI ,KUNA DINI WANAZIANZISHA WATU KWA MAPENZI YAO LAKINI MAAGIZO HAYO HAYATOKI KWA ALIYEWAUMBA .

    • @shadyaadam8919
      @shadyaadam8919 3 ปีที่แล้ว

      Dini ya haqi ni uislam tu

  • @aivanimaedard6314
    @aivanimaedard6314 5 ปีที่แล้ว +2

    Mnawakamata wasio jua maandiko mnawajaza maneno yasiyo na kitu

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 5 ปีที่แล้ว

      Aivani Maedard mashetani hao

    • @sayunkhamis9563
      @sayunkhamis9563 5 ปีที่แล้ว

      Ludini kwa Allah

    • @sayunkhamis9563
      @sayunkhamis9563 5 ปีที่แล้ว

      Mashetani ninyie msio jielewa

    • @lukmanbakari2318
      @lukmanbakari2318 4 ปีที่แล้ว +3

      Kama yey hajui kwa nin wasingetoka wanaojua ili watetee hoja... Msipende kubisha kwa kuwa mmezoea hivyo kutoka kwa wazazi wenu na mafunzo kutoka kanisani. Hizo crush zote Sheikh anazitoa kwenye biblle na sio kwenye qur'aan. Someni mujue na ulizeni mpate kujua ukweli, msikubali kupelekwapelekwa tu.

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk 18 วันที่ผ่านมา

    Mwislamu anaishi naubishi nauongo tu.

  • @eliamugini8494
    @eliamugini8494 5 ปีที่แล้ว +1

    Damu ya Yesu yatosha Without JESUS no salivation

    • @radhiyamohd3555
      @radhiyamohd3555 5 ปีที่แล้ว +1

      Damu yako haikutoshi mpaka utake ya Issa

    • @eliamugini8494
      @eliamugini8494 5 ปีที่แล้ว

      @@radhiyamohd3555 ww hapo ulipo ni kwa nguvu ya YESU tu na si vinginevyo

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 ปีที่แล้ว

      @@eliamugini8494 mm nakushauri chunguza yesu katokea wapi sio kwa wazungu hajavaa suti na katokea nchi za kiarabu na mana bii hamna na bii alie toka wazungu na aliabudu kama wailam hajenga kanisa paulo alijenga na kuwadanganya kula damu na mikate

  • @abdhillahiabeid9961
    @abdhillahiabeid9961 5 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha wanaingia hao madad jane....Allah akutangulie mazinge

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 5 ปีที่แล้ว +3

    Hiyo sio damu tena Bali na kimsima cha mafuta

    • @hanifajuma342
      @hanifajuma342 5 ปีที่แล้ว

      Ahmad Seif divai ni red wine ambayo ni pombe.

  • @bintiiomary9500
    @bintiiomary9500 5 ปีที่แล้ว +1

    🕋

  • @karryh5338
    @karryh5338 5 ปีที่แล้ว +1

    Hyu jamaa mwenye jezz ya mpira taira kweli heti petro ni mtume wa yesu .anaetoa utume ni Allah ama kiumbe this guy he's verystupid sana