Shukran sana Ma Sheikh Wetu Kwa Daawah,Allah awabariki.Yani Msiba Mkubwa huu Postor anakataa Christmas na Valentine.Ya Allah tuongoze Mema In Shaa Allah.
@@jumajaffary9698 halo,, dini yangu in yesu kristo, soma hili fungi, yohana 14:6. Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man cometh unto the Father, but by me........ Kumfuata Yesu na kuamini jina LA Yesu ndie dini ya kweli... Kando na Yesu dini zote ulimweguni nizakutunga
Kwa bibilia 'mfuasi ua anae fuata dini' ile ya YESU KRISTO, anapewa jina "MKRISTO". Kwa hivyo jina la YESU ndilo lina tumika kama msingi Wa dini. Soma matendo ya mitume ( ACTS ) 11:26,, Kwa ufupi inasema..( wanafunzi au wafuasi waliitwa WAKRISTO )... Jina lake MASIHI YESU KRISTO ni dini.....ukiwa na swali nyingine uliza,,, Na Ubarikiwe mwenzangu na Yesu..
Maashallah...Yaani hilo benchi la Masheikh wa KIISLAM nikiliangalia naona ni VYUMA Vyote’ Yaani ni Sub za KIBABA....!..hakuna muhadhiri wa kikristo hapo atakaewakabili labda wakawalete MAPAROKO na MAKASISI na PAPA waje TUWASILIMISHE..! Safi sana MASHEIKH wetu leo wakristo wanaikana KRISMASS ‘ bado kuna wengine wanasherehekea na mtazidi kuona ukweli...! ..Mpaka mjue Ukristo Sio dini ya MUNGU...!
So what if Jesus is the way , does Ndacha follow Jesus? By prostrating,taking ablution before praying,wearing thobe,washing both sides instead of using tissues or cement papers?
Hizo Aya alizo piga sheikh Suleiman ni sonami imezoa kila kitu amewafilisi wamebaki wao na huo mfuko wa chupa ya maji iko mbele Yao jahazi imewajia ya shinda ya nabii nuh hawataki nao ni uislamu wachungaji watanyeshewa sana..
Tusichukulie ushabiki, tusome na tuelewe yaliyokusudiwa ktk vitabu hapo ndipo tutakapopata ukweli. Yafaa tuelimike kwanza kisha tubadilike, tusifate tu kwa kuwa wazee wetu walikuwa upande gani na sisi tuwe ivo ivo. Ushauri wangu kwako jaribu na kusomeshwa qur ani utaujua ukweli.
Tatizo makristo yanakalilishwa , ,wapi kma ushabiki wa mpira vile na mm siwezi muabudu binadamu eti yesu mungu wapi andiko ziokoeni nafasi zenu na moto jitahidini kusoma din gani binadam mwenzio anakusamehe dhambi loooo
KILA SIKU NINASEMA, NA NITAENDELEA KUSEMA YAKUWA HAKUNA MKRISTO ANAYEWEZA KUWASHINDA WAISLAMU KWA HOJA JUU YA ELIMU YA KITABU AU VITABU VYA MWENYEZI MUNGU.
Ibrahim nchiyako hairuhusu debate za dini,wanaruhusu kina diomond wakatangaze ngono Kwa kutumia condom.Kama vile Tabora walipokwenda kule kwenye chuo cha utalii.uliona alivoungwa mkono na serikali,lkn muhadhara Kama huu hawautaki
Hajashidwa.....muda ndio hajapata kukanusha maelezo ya uogo ulio tangulia. Hajawaishidwa na hoja dogo Kama iyo, na sidhani _ Ndacha kushidwa na hoja yoyote ya kiislam Wala dini yoyote ile.
Hawa waislam hawana hoja kabisa.....Allah ataingiza unyayo wake jehanam...na ataingia baada ya wafuasi wake wote kuingia...njooni kwa Yesu waislam bado anawapenda
Tumsifu YESU watumishi,ikiwa mashehe Ni waislam?tusome(1samwel 5yote..halafu(1samwel 6:4-5)(6:18)Ina maana nyie mungu wenu dagoni?na hao panya watano wa dhahabu mnahisiana nao kivipi,ikiwa mashehe wote waislamu??
Waroma wamewafznyiya micezo wandani makafiri wanabakiwanatembeyatembeya katika bibilia tu kuliko kutafuta kweli nabibiliya haiaminiki mbaka inawaambiya wazifikutafuta kweli yani wakiwanajiteteya wabakikatika ucafu tu kamamutu ameeama mumatope njo ukirisu wanamuonyesha kosa na analibakindani kwakiburi
Ndacha anatetea mshahara huyu anajua ukweli ni uislamu manake hata mwalimu wake Paul nduthi aliona amedanganya watu vyakutosha mwisho akasilimu baada ya mda kafa kwa kuekewa sumu
Wallah Ndacha napotosha wakiristo na vile hawasomag wanaamwona mkwel..Subhanallah Subhanallah mashekhe wetu mcchoke Inshaallah
Penda sana shekhe mazinge mdogo 😆😆❤❤❤❤wakiristo wanaisoma kimya kimya mkono kwa mkono mpaka jannatull-firidaus from dubai
M.a nampenda huyu sheikh mazinge sana mungu ampe maisha marefu
Love sheikh Suleiman Fadhil ❤ from Lusaka Zambia 🇿🇲
Jazakalluh kheir
Message well delivered
Ubariwe sana mwalimu ndacha
Shukran sheikh mazinge mpatie dozi ndacha anaumwa na kichwa cha kichaa
Mashaallah mashekh wetu huwa nafurahi Sana Allah awaongoze na kila la kheri
BarakAllah Fiykum Masheikh wote
ماشاء الله
Mashekhe wetu
Mashekh wetu mashaa Allah nawapenda kwa ajili ya Allah
Mwisho wake ata silimu huyo ndacha coz ana piga takbiiir mashaallah nakutoa Salam alaikum kila wakati In shaa Allah Allah atamuongoza
msalimie @ustadh salim wanyoike tafadhali...my best friend.
Allah awape afya masheikh wote munaotoa daawah kila mahali awakinge na shari kwani muna fungu lenu kwa Allah in shallah ni kazi kubwa munayo fanyaa
manshaaa Allah sheikh yahya ni nawasalamia Asc wr wbk
Shukran sana Ma Sheikh Wetu Kwa Daawah,Allah awabariki.Yani Msiba Mkubwa huu Postor anakataa Christmas na Valentine.Ya Allah tuongoze Mema In Shaa Allah.
Mwenyezi mungu wape salama ma shekhe wetu Amiin
masha Allah, may God protect our christian brothers and sisters.
Ameen thuma Ameen and lead them to the right way of Islam
sheikh naOmba mukuji garissa tumewamisa sanaa
Mashaallah dini ya haki uwisilamu , takbir
Manshaallah AllAh waupe masheq yetu umri mrefu
Mazinge ameshindaku Funja hoja ya ndacha akajiunidia winbo ni aibu kuba sana
Shukran sheikhe suleiman
Inalilahi huyu bado kidogo atasilim mazinge wapeni yahaya mangu awape kheri 🙏🤝
Yesu ndie njia,, ili tupokee uzima Wa milele,
Huo ndio Ukweli,watakaa mwisho wa siku watakubali ukweli ulio wazi
Yesu ni jina sio dini... Dini yenu ni dini gani?
@@jumajaffary9698 halo,, dini yangu in yesu kristo, soma hili fungi, yohana 14:6. Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man cometh unto the Father, but by me........ Kumfuata Yesu na kuamini jina LA Yesu ndie dini ya kweli... Kando na Yesu dini zote ulimweguni nizakutunga
@@kevinapollo2906 hakusema yy ni dini,kasema yy ni njia,
Kwa bibilia 'mfuasi ua anae fuata dini' ile ya YESU KRISTO, anapewa jina "MKRISTO". Kwa hivyo jina la YESU ndilo lina tumika kama msingi Wa dini. Soma matendo ya mitume ( ACTS ) 11:26,, Kwa ufupi inasema..( wanafunzi au wafuasi waliitwa WAKRISTO )... Jina lake MASIHI YESU KRISTO ni dini.....ukiwa na swali nyingine uliza,,, Na Ubarikiwe mwenzangu na Yesu..
Mashaallah
Mashaa-Allah
Maashallah...Yaani hilo benchi la Masheikh wa KIISLAM nikiliangalia naona ni VYUMA Vyote’ Yaani ni Sub za KIBABA....!..hakuna muhadhiri wa kikristo hapo atakaewakabili labda wakawalete MAPAROKO na MAKASISI na PAPA waje TUWASILIMISHE..!
Safi sana MASHEIKH wetu leo wakristo wanaikana KRISMASS ‘ bado kuna wengine wanasherehekea na mtazidi kuona ukweli...!
..Mpaka mjue Ukristo Sio dini ya MUNGU...!
Mazinge 😂😂😂😂😂wakristo wanazikwa na nini😳😂😂😂😂😂😂
ManshaAllah sheikh lkni camera ndio mbaya, zingatieni tafadhali
Huyu Ndacha mbona anajidanganya anasema Mtume Muhammad (saw) Je Yesu ndio alianzisha Ukristo?
Mungu awaongoze wakristo wote
MashaAllah
So what if Jesus is the way , does Ndacha follow Jesus? By prostrating,taking ablution before praying,wearing thobe,washing both sides instead of using tissues or cement papers?
Hizo Aya alizo piga sheikh Suleiman ni sonami imezoa kila kitu amewafilisi wamebaki wao na huo mfuko wa chupa ya maji iko mbele Yao jahazi imewajia ya shinda ya nabii nuh hawataki nao ni uislamu wachungaji watanyeshewa sana..
Sheikh Mazinge kiboko ya wachungaji 😊
😆😆😆😆😆😆😆mbavu zangu maziiiiiiiinge hatari sana
Machali na madem😲😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙄
Mashallah mazinge
Masha Allah Masha Allah ndio mana nika acha ukristo Uislam ndio njia ya kweli.
MashaAllah. Saida bae mungu akuongoze
Hahahahaaaaa unatumia uongo njia ya shetani kuwadanganya watu eti umeuacha Ukiristo ufuate dini ya mtume alierogwa
Maa Shaa Allah.
mashalla allah awaogeze kwakila jambo lenye kheir in shallah
saida allah akuzidishie imani yakislam inshallah
Yesu ni mzuri kweli, bila yeye hakuna jipya waislamu okokeni mtaenda jehanam msipo mkubali huyu mwanaume Yesu
Yesu ni mwisla ila nyie mnaoenda kanisani
Inauma ee
Tusichukulie ushabiki, tusome na tuelewe yaliyokusudiwa ktk vitabu hapo ndipo tutakapopata ukweli. Yafaa tuelimike kwanza kisha tubadilike, tusifate tu kwa kuwa wazee wetu walikuwa upande gani na sisi tuwe ivo ivo. Ushauri wangu kwako jaribu na kusomeshwa qur ani utaujua ukweli.
Tatizo makristo yanakalilishwa , ,wapi kma ushabiki wa mpira vile na mm siwezi muabudu binadamu eti yesu mungu wapi andiko ziokoeni nafasi zenu na moto jitahidini kusoma din gani binadam mwenzio anakusamehe dhambi loooo
Unehitaji kufunzwa Qur'ani ndo utajua ipi dini ya haki ngojeni mkifika huko Aghera Yesu ataenda kuwaambia nn
And most important praying in mosques and not using benches, chairs and desks for praying
AllAhu Akbar
Alhamdhulillah 🤲
Haji elewi ndacha hana macho
KILA SIKU NINASEMA, NA NITAENDELEA KUSEMA YAKUWA HAKUNA MKRISTO ANAYEWEZA KUWASHINDA WAISLAMU KWA HOJA JUU YA ELIMU YA KITABU AU VITABU VYA MWENYEZI MUNGU.
Asalamu Aleikum sheikh nyinyi mua mnakuwa wapi???
Plies njooni Tanzania
Ibrahim nchiyako hairuhusu debate za dini,wanaruhusu kina diomond wakatangaze ngono Kwa kutumia condom.Kama vile Tabora walipokwenda kule kwenye chuo cha utalii.uliona alivoungwa mkono na serikali,lkn muhadhara Kama huu hawautaki
Khatib Hijja Hanna tatizo
Tanzania imepiga marufuku mijadala kama hii haipo tena
Uislam raha yani
Masking Ndachi.Anashindagwa kila wakati.Sia SILIMU TUU.
Yaani fujo zote za hawa mapaste kisha wamemkubali Mungu mmoja leo.
Waaaaw! What a mawaidha kabisaaaaaaaa
Kweli mfa maji haachi kutapa tapa Ndacha kasome bibilia vizuri
Alithathalika wapi???
Mashallah ukristo ni upagani kabisa
Si ninyi mashehe ndo wenye majini
Wacristo hawawezi kua namajini?we vip?
Leo ndacha amepatikana ss coz uwa anjifanya anjua
اللهم اهد أمة سيدنا محمد صلى الله عليه وسلم
Munalazimisha maneno hayapo hata hayatakuweko hata siku moja. Don't force things which is not there GOD have mercy on you musilima.
Mama ebu jenga hoja
Daaah,,, sahidia hawa watu Jesus
Doooh...ndrracha ni mpotofu kwwwelliii...amezowea kuwadanganya wacristo...lkn hp hana chake
Kweli ndacha hamna kitu
Wewe ni mwongo haukueka clip nzima ndacha kawapa kichapo
Hajashidwa.....muda ndio hajapata kukanusha maelezo ya uogo ulio tangulia. Hajawaishidwa na hoja dogo Kama iyo, na sidhani _ Ndacha kushidwa na hoja yoyote ya kiislam Wala dini yoyote ile.
Huwa nashangaa sana vipofu wafuasi wa marehemu mudi wanavyosapotiana!!! Kweli njia yao ni pana...
Nyie makatili kweli yani Mungu wenu mulimuua alafu mnasema damu yake ilisafisha dhambi zenu 🤣🤣🤣🤣🤣 dah kweli dunia ina mambo
Laanatullah...
Poiti hamna kaziyenu uzushi na uongo
Hawa waislam hawana hoja kabisa.....Allah ataingiza unyayo wake jehanam...na ataingia baada ya wafuasi wake wote kuingia...njooni kwa Yesu waislam bado anawapenda
Koma wewe
Ndacha ni hatari hammuezi kubalini awafundishe
Dini bila njia utaendaje mbinguni bila njia akili ya waisilamu nifupi hata mtoto mdogo ana jua bila njia hundi mahali
Hakuna MTU awezaye kujibu hoja za ndacha hapo
Shida ya waislam wapo kishabiki lkn hawapo kwenye kujua ni ipi imani ya kweli
Sio kishabik maandiko yen wenyew
Tumsifu YESU watumishi,ikiwa mashehe Ni waislam?tusome(1samwel 5yote..halafu(1samwel 6:4-5)(6:18)Ina maana nyie mungu wenu dagoni?na hao panya watano wa dhahabu mnahisiana nao kivipi,ikiwa mashehe wote waislamu??
Huyu pasta alichoroshwa Nairobi malango kubwa alafu saahi amejipeleka isiolo
Ndacha akosawa kabisa
Sheikh hapo ni wapi
Isiolo
Thanks
Wanavyo inamisha vichwa pamoja kupotosha umma?
VIP kufumba macho kuwaza yaliyopotoka
@@husseinhaidhurojr5469 😃😃😃 jawajui
Sahii uko nairobi ukitaka kuenda mombasa lazima ushike njua ndo ufike mombasa sasa waislamu njia yakwenda mbinguni ya waisilamu ni ipi
Mbinguni si mombasa
Ikiwa yesu ndiye Njia, na njia maana yake ni dini, je, huyo yesu ni dini ina maana huyo yesu ndio dini yenu
Waroma wamewafznyiya micezo wandani makafiri wanabakiwanatembeyatembeya katika bibilia tu kuliko kutafuta kweli nabibiliya haiaminiki mbaka inawaambiya wazifikutafuta kweli yani wakiwanajiteteya wabakikatika ucafu tu kamamutu ameeama mumatope njo ukirisu wanamuonyesha kosa na analibakindani kwakiburi
Ndacha mrongo na ana macho haoni ana mashikiyo hasiki kama mimi siwezi kujiumisha kichwa na huyu mtu mjinga kabisa. Yeye simkweli.
Ndacha anatetea mshahara huyu anajua ukweli ni uislamu manake hata mwalimu wake Paul nduthi aliona amedanganya watu vyakutosha mwisho akasilimu baada ya mda kafa kwa kuekewa sumu
Kafiri ndacha yuko kula pesa za viongozi Wa kisabato tu. Hana kitu huyo
Ndacha is bankrupt has nothing to present only attacks stupidly if not childish
Hahahaaaaaaaaaa(())
Hii clip haiko full shehk acha kudanganya watu eka full clip nilikua hapa isiolo acha uongo 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Wanajipa moyooo
Ndacha ni kiboko hana mfano
Walim wote walomfundisha ndacha ujinga washaclim sasa ww cjui unangoja nn
Wasilamu wote motoni
😃😃😃 Unaota Mchana
Mashallah
Mashaallah