POWERFULL WORDS. Nguvu ya kusaidia wengine huongeza marambili nguvu ya kujituma kwako kwani itakuingia moyoni na akili kwamba wapo wengi watakao hitaji msaada wako na kukupa nafasi ya kushukuru kwa hapo ulipo. Kitu pekee tunachosahau ni kwamba Kila unayekutana naye analo la kukufunza mbali na vile ambavyo unamtazama. nimejifunza mengi sana, Dima kuna wazungumzaji wengi ambao nimewahi kuwasikia, kama unakumbuka nilishwahi kukueleza mara ya kwanza kabisa kabla hata kitabu cha TIMIZA MALENGO Hakija toka, kulipokuwa kwenye promotion, kwamba wazungumzaji wengi au wajasilia mali wengi, wanafundisha sio yake wanayoishi au kuyafanya ndio maana wengi wakisoma kazi zao hakuna mabadiliko, but tangu nilipoanza kukufuatilia nikakubali kwamba sasa yupo mzungumzaji Tanzania
The biggest enemy that is killing my dream is Myself ! There is always a potential but we are afraid to fail and learn ! I must step out of my Comfort zone! !! Thank you Hon.Joel 🙏🏿🙏🏿🙏🏿💕
Vizuri Sana Kila kitu kinawezekana endapo wewe mwenyewe ukiamua Jambo la kwanza la kufanya motivation speaker unae mjua ili akupe muongozo Jambo la pili ni kusoma vitabu vinavyo husiana na motivation speaker Na jambo la tatu ni kununua course mtandaoni zinazo husiana motivation speaker
Cube!!!! Kibaha sec school, umenikumbusha maisha ya Mapisi na kila kitu pale kibaha sec school!!!! God bless you, Wakati nipo pale kibaha sec school nliwahi kuugua na Sina hata sent moja, rafiki angu mmoja alinisadia pocket money yake ikaisha na akawatafuta na wengne
iyo ni kweli kuna wengi tunajidhalau wenyewe ndo maana wengi tunakufa na malengo yetu bila hata kuyanusa na wengi tunavipaji ila hatuvinoi vipaji vyetu ndo maana havitusaidii kufikia malengo ila naamini wengi tutafanikiwa kupitia wewe na mafundisho yako
Asante xn kwa ujumbe mzuri kaka Joel lakn unaongea sana kizungu kwa mama yangu pale kasulu anashindwa kuelewa kizungu kinachukua nafasi kubwa mbaya zaid unapofika kwenye point unaongea xn kizungu
daaaah nime anza kukufatilia na hakika nikifatisha vyema masomo unayo tufunza wallah nitafika palenapo taka fika shukulan my brother 🙏🙏🙏 ume nifungua mengi
Safi sana kaka kwa kweli umebarikiwa na huna hiana kutowa kwa hicho ulicho barikiwa na mungu. Mungu atazidi kua na ww na pia akuzidishie kipato cha halali ili uweze kuendesha familia yako.
Joel umesoma kibaha mwaka gani.? Nadhani nitakua nakufahamu maana mimi sio tuu nimesoma kibaha bali natokea kibaha. Nimesikiliza hii speach imenifundiasha mambo mengi sana. Thank you brother. I would like to meet you when I come back home. Cheers
Nashukuru sana kwenye video nimejifunza hizo hatua But it's very powerful Na miongoni mwa kitu cha thamani zaidi nilicho jifunza ni kwamba ili ufanikiwe katika kila nyanja Lazima uhitaji mtu wa kuku'coach kwa mfano Life coach mfano Nanauka Online business coach mfano Dr.said said Relationship coach mfano Chris mauki Spiritual coach mfano...... Health coach mfano ......... n.k Ahsante
Ooooooooooh yes this is so good to start my day.first i want to thankyou for motivatin us ..u have no idea how u have helped me to become the person iam today m fearless and doin my purpose..this is best channel ever it has enabled me to change my mind...have been employed for years but through listenin to i have realised i was doin the wrong work i have learnt alot from this tv and m a changed gal...ooh team joel let us meet at the top..may God bless u
Kaka nimeanza kufanya ujasiriamali kwa bahati mbaya nikapata hasara kweny biashara yangu real be honestly nilvunjika moyo lakini kupitia video yako naamini ninaweza na kuna engi nimejifunza. Stay blessed brother.
Duuuuh #kakaJoel!!... Sio tu kupata mafunzo mazuri....Lakin pia unauzungumzaji ambao hata kama nilikua busy lazima nitulie kusikiliza.... Nafikiri ni uwezo wa kipekee aliokupa Mungu na Kuna Mbegu umeipanda kwangu...Thank you so much!!
5 years ago when I was 17 yrs nilisikiliza hii video mara kadhaa nikiwa nauza juice kwa kutembeza .... Leo Nina ofisi yangu dodoma nikiwa na 23 yrs ubarikiwe sana
Thanks Mr Joel, I wish your going to be the best mentor in east Africa , but what ican Say's that keep up, sharpen your mind for you follows and teach the wishers who's out of dar , see me at the top, good evening all of you
Gundua unaweza kufanya Nini, hakuna mtu aliyezaliwa bila uwezo wowote,Kila mtu ana kusudi lake,haupo duniani kizembe.kila mtu ana uwezo mkubwa Sana,tumia muda wako kuwekeza kwa ajili ya kipaji chako.ongeza na kuuboresha uwezo wako ulinao.heshima kwako Joel Nanauka.Naitwa Hosea.
Antony has motivated me since nikiwa Tusiime high school....... I am a motivational speaker i will meet you guys one day...... I do it in schools i inspire students 😋😋😋😋this speech has changed me i have to work for my goals.......I'm good at story telling woooow
Very talented person wonderful........ Deep Ideas I think there is a some thing to do in our universités..... Hiki ni kitu ambacho tunatakiwa kufundusha vijana wetu....... Am sure we Will change
Honestly speaking mwaka 2019 I started listening many many of you works and their very unique and helpful,one thing I would like to tell you if there is people to who should watch this is Sisi vijana ,most of youth wamerelax sana ,fear to do what we mostly love we ends up coping others idea mwishon tunafeli kwasababu we are doing what is not for us but were leaving into others dream Congrats to you, am learning a lot from your words
So powerful words,it change my thinking upside down,inside out and starting thinking afresh. This is all I wanted before the end of my season on planing and goal setting Thank you Joel Arther,there was a catch in your words👍👌
Great brother. Continue to focus on telling people your real stories rather than telling people someone's story. People will change their life through your story. Congratulations.
daaah! broo katika siku nimetetemeka kwa point zako leo nime bebemeka maana sio kutetemeka khaaa na darasa langu la saba nimejikuta kama mimi ni chuo kikuu! asante..
Nimefrahi kuusikia haya Namba kushiriki na wadau wangu maana yapo yaliyotugusa kiundani. Niombe next time jaribu kumove na tumia mic ambayo unatembea nayo ukiwa umeivaa napende the way unatoa body language ila umezuiwa na izo mic na vimeza. Ni mawazo yangu lakini
POWERFULL WORDS. Nguvu ya kusaidia wengine huongeza marambili nguvu ya kujituma kwako kwani itakuingia moyoni na akili kwamba wapo wengi watakao hitaji msaada wako na kukupa nafasi ya kushukuru kwa hapo ulipo. Kitu pekee tunachosahau ni kwamba Kila unayekutana naye analo la kukufunza mbali na vile ambavyo unamtazama. nimejifunza mengi sana, Dima kuna wazungumzaji wengi ambao nimewahi kuwasikia, kama unakumbuka nilishwahi kukueleza mara ya kwanza kabisa kabla hata kitabu cha TIMIZA MALENGO Hakija toka, kulipokuwa kwenye promotion, kwamba wazungumzaji wengi au wajasilia mali wengi, wanafundisha sio yake wanayoishi au kuyafanya ndio maana wengi wakisoma kazi zao hakuna mabadiliko, but tangu nilipoanza kukufuatilia nikakubali kwamba sasa yupo mzungumzaji Tanzania
thanks
Unaweza!
Nafurai
Thanks
🎉
l0
Kaka this is deep, deep very deep!!!
The biggest enemy that is killing my dream is Myself !
There is always a potential but we are afraid to fail and learn !
I must step out of my Comfort zone! !! Thank you Hon.Joel 🙏🏿🙏🏿🙏🏿💕
dah!! hii hakika ni passion yako🙌
Mungu akutunze ndugu yangu,, unafanya kwa kiwango cha juu sana..! A man of de impact ( a strong effect)
Haijawahi kutokea kuskiza vipindi vyoko Joel nikamwagika machozi kama leo Wallah nimelia imenigusa in my heart
Nataka niwe motivation speaker nifanyee mambo gani
Vizuri Sana
Kila kitu kinawezekana endapo wewe mwenyewe ukiamua
Jambo la kwanza la kufanya motivation speaker unae mjua ili akupe muongozo
Jambo la pili ni kusoma vitabu vinavyo husiana na motivation speaker
Na jambo la tatu ni kununua course mtandaoni zinazo husiana motivation speaker
Cube!!!! Kibaha sec school, umenikumbusha maisha ya Mapisi na kila kitu pale kibaha sec school!!!! God bless you, Wakati nipo pale kibaha sec school nliwahi kuugua na Sina hata sent moja, rafiki angu mmoja alinisadia pocket money yake ikaisha na akawatafuta na wengne
Nanauka MUNGU AKUPE HAJA YA MOYO WAKO ,KWA JINSI UNAVYOTUPA VITU VIZURI VYA MAISHA, BE BLESSED JOEL
iyo ni kweli kuna wengi tunajidhalau wenyewe ndo maana wengi tunakufa na malengo yetu bila hata kuyanusa na wengi tunavipaji ila hatuvinoi vipaji vyetu ndo maana havitusaidii kufikia malengo
ila naamini wengi tutafanikiwa kupitia wewe na mafundisho yako
Mungu akubariki sana maneno yako yananipa nguvu ya kufanya mambo kwa kujiamini sana
sitakata tamaa be blessed more
Daaa!!! Teacher hapa ulitema madini mwanzo mwisho unaongea vitu hadi nahisi upo mbele yangu Kaka, "GOD BLESS YOU MY TEACHER OF MY LIFE"
Asante xn kwa ujumbe mzuri kaka Joel lakn unaongea sana kizungu kwa mama yangu pale kasulu anashindwa kuelewa kizungu kinachukua nafasi kubwa mbaya zaid unapofika kwenye point unaongea xn kizungu
Aky nimekupenda bure kwa maneno mataaaano sana ya kutia mtu moyo wallai thanks so much and god bless u
daaaah nime anza kukufatilia na hakika nikifatisha vyema masomo unayo tufunza wallah nitafika palenapo taka fika shukulan my brother 🙏🙏🙏 ume nifungua mengi
Safi sana kaka kwa kweli umebarikiwa na huna hiana kutowa kwa hicho ulicho barikiwa na mungu. Mungu atazidi kua na ww na pia akuzidishie kipato cha halali ili uweze kuendesha familia yako.
OMG..asante kaka, nimechelewa kusikiliza hii lakin umenisaidia kwa kiwango ambacho hakielezeki, asante
Mungu akubaliki kwa kazi njema ya kuelimisha jamiiii iliyopotea
You are making me Joel. One day I will invite you in my graduation of the classes you are teaching me.
Nimejikuta asilimia 90 ya ulichokizungumza kinanigusa! Hongera sana kwa kipaji ulichonacho
Nice fact kaka God bless more brother Dodoma Tanzania
JNanauka,huko vzr usikate TAMAA songa mbele,UMETUHAMASISHA SAANA😍
Joel umesoma kibaha mwaka gani.? Nadhani nitakua nakufahamu maana mimi sio tuu nimesoma kibaha bali natokea kibaha.
Nimesikiliza hii speach imenifundiasha mambo mengi sana.
Thank you brother. I would like to meet you when I come back home. Cheers
Kaka nakuelewa saana ipo siku nitatoa ushuhuda kwaajiri yako
MUNGU akutunze
Jamani hayaa madinii hatarii sanaaa,big up my brother joel nanauka kwa kuzidi kuniongezea maarifaa kila cku mungu azidi kukipa power.
Kaka upo vzur sana unanipa nguvu ya kutafta zaidi na zaidi
Asante kaka Joel kwa somo zuri umenigusa sana kwenye mwaliko wako ulionyesha vitu ambavyo watu hawakutarajia,
Mr joeli uko vizuri sana sema punguza vingereza maana wengine hatujui kwaiyo tunaitaji tuerewe mwanzo wakipindi hadi mwisho wakipind
Mohammed Yassin umejuaje
Haaaa
Nashukuru sana kwenye video nimejifunza hizo hatua
But it's very powerful
Na miongoni mwa kitu cha thamani zaidi nilicho jifunza ni kwamba ili ufanikiwe katika kila nyanja
Lazima uhitaji mtu wa kuku'coach kwa mfano
Life coach mfano Nanauka
Online business coach mfano Dr.said said
Relationship coach mfano Chris mauki
Spiritual coach mfano......
Health coach mfano ......... n.k
Ahsante
Maneno yako yanapiga Kama mawimbi ufukweni kwa samaki anayekaribia kukata tamaa.Kongole Sana Mkuu.
Ooooooooooh yes this is so good to start my day.first i want to thankyou for motivatin us ..u have no idea how u have helped me to become the person iam today m fearless and doin my purpose..this is best channel ever it has enabled me to change my mind...have been employed for years but through listenin to i have realised i was doin the wrong work i have learnt alot from this tv and m a changed gal...ooh team joel let us meet at the top..may God bless u
Wao sikujuwa hii mambo bt sifi moyo mwalimu mzuri mungu akubariki na kuepushe na shari nmejifunza mno mengi
safi sana nimejifunza vitu vingi leo kupitia somo lako
Hiii speech Ina nguvu ya kumbadilisha mtu endapo atatekelza what spoken ♥️🙏🧠
Kaka nimeanza kufanya ujasiriamali kwa bahati mbaya nikapata hasara kweny biashara yangu real be honestly nilvunjika moyo lakini kupitia video yako naamini ninaweza na kuna engi nimejifunza. Stay blessed brother.
Hapo penye tofauti kati ya WISHES na GOALS nimepata kitu muhimu mno! Stay blessed brother Joel.
Joel nakufatilia sana na ujawah kuniangusha asante sana
Joel ndugu yangu ujumbe umeshiba mno, nitausikiliza tena na tena na tena, naomba nijue kitabu cha malengo nakipata wapi kesho asubuhi mapema
Duuuuh #kakaJoel!!... Sio tu kupata mafunzo mazuri....Lakin pia unauzungumzaji ambao hata kama nilikua busy lazima nitulie kusikiliza.... Nafikiri ni uwezo wa kipekee aliokupa Mungu na Kuna Mbegu umeipanda kwangu...Thank you so much!!
Tanzania vs lesotho
Deus Denis Uko Lesotho Deus?
My friend nimepata mtu ambaye ameniambia ukweli na ni wewe keep it up man of God
This is the Best speech,
A transforming speech,
The one to immerse and bathe myself in.
Thank you sir!
Safi sana, yaani nimechukua muda mfupi na kweli umeshusha madini!
Thank you so much, may God bless your work brother!
MUNGU akupe maisha marefu uishi miaka mingi kaka joel, BARIKIWA SANAA
Napata hamasa sana nikiangalia mafundisho yako.
Mwenyez Mungu akujalie daima
Thanks much dear brother nimebadilika zaidi ubarikiwe Sana.
I can't wait to subscribe I need more of this wisdom ❤❤😍😍
baba unanibariki sana one day I will reveal this to the world ... thank you ...
Asante sana kaka joel nimejifunza mengi leo hii ubarikiwe sana kaka joel Amiin
Gd
unafundisha vizuri Sana Ila kingereza kingi wakati unafundisha wenye Elim nawasio naelim mungu akubariki
good good naacha kuwaangalia wadangaji ngoja nipate maarifa Mungu akubariki
Mashallah wallah ALLAH gives jannat Firdausi... Be thanks a lot for learns big profit and target.. For ho to start in my life.
Am glad l come across this channel, very educative, watching from Oman, jamaani unazungumza Kama marehemu Kanumba
Nafurahia masomo yako sana brother,keep it.
Brother Joel
For sure you have finished this presentation is marvellous, umetisha kaka hatari
Five things so strong
Be blessed so much brother
5 years ago when I was 17 yrs nilisikiliza hii video mara kadhaa nikiwa nauza juice kwa kutembeza ....
Leo Nina ofisi yangu dodoma nikiwa na 23 yrs ubarikiwe sana
Asante sana ju nilikuwa mnyonge lkn niliposkia mafunzo yako nikapata nguvu mpya
asante kwa ujumbe mzuri
Mashaallah M/mungu Akuongezee Ufahamu.Shukrani.
😥😥😥nilikua na huzun Sana ila umenisaidia kusimama tena mungu akutie nguvu
Yàani wewe kaka.Mungu akubariki sana
Nimegundua Mungu hawezi kufunua siri kwa mtu mchoyo utoaji wako pia umekufikisha hapo
Amen Mungu akubariki Sana kaka Mungu akubariki Sana wow God bless you
Wonderful message! Watching from Stuttgart Germany
Thanks Mr Joel, I wish your going to be the best mentor in east Africa , but what ican Say's that keep up, sharpen your mind for you follows and teach the wishers who's out of dar , see me at the top, good evening all of you
2019 nimependa sana mafundisho yako we we ni mwalimu ubarikiwe "god" bless you.
"descover your life purpose"
Amen,Amen, Amen.
Thank you so much from now ntayafanyia kazi maneno yko inshaallah ntafanikiwa kutimiza malengo yangu
Mm sina haja ya kutafuta elimu ya maisha kwengine hapa ndio kituo changu cha kujifunza
Kaka Kama una vitabu ulivyo andika kwa kiswaili niambie call 0756170000
Gundua unaweza kufanya Nini, hakuna mtu aliyezaliwa bila uwezo wowote,Kila mtu ana kusudi lake,haupo duniani kizembe.kila mtu ana uwezo mkubwa Sana,tumia muda wako kuwekeza kwa ajili ya kipaji chako.ongeza na kuuboresha uwezo wako ulinao.heshima kwako Joel Nanauka.Naitwa Hosea.
Umekuja wakati muafaka sana katika maisha haya magumu. Ahsante Kwa Elimu hii kaka
Antony has motivated me since nikiwa Tusiime high school....... I am a motivational speaker i will meet you guys one day...... I do it in schools i inspire students 😋😋😋😋this speech has changed me i have to work for my goals.......I'm good at story telling woooow
Daaaa umenigusa sana aiseeee najikuta naenda kazii narudii coz natural ya kaziii ndo ilivyonishape
May God bless you may my God continue to shower u with blessings,u your lessons r so inspiring 🙏
Av learned more from you brother Joel thanku.
I say I love your motivation. You inspired me.
ubarikiwe sana..maneno yako yana nguvu ya kufundisha na kumpa mtu uthubutu
Nimekuelewa sana kaka safi sana najifunza sana mambo toka kwako kaka asante
Asante sana Mr Joel be blessed
Asante kaka kwa somo, kitabu hicho naweza kukipata wapi cha timiza malengo yako
Very talented person wonderful........ Deep Ideas I think there is a some thing to do in our universités..... Hiki ni kitu ambacho tunatakiwa kufundusha vijana wetu....... Am sure we Will change
I am beguiled with the adorable speech I used to listen it frequently it has an impact in my life,it make me feel lively
Nice to u blo
Kaka hakika kipaji ulipewa na una kitendea haki BARIKIWA SANA
Kaka unatisha mungu akujarie
Barikiwa sana
Jaman n kwer
Honestly speaking mwaka 2019 I started listening many many of you works and their very unique and helpful,one thing I would like to tell you if there is people to who should watch this is Sisi vijana ,most of youth wamerelax sana ,fear to do what we mostly love we ends up coping others idea mwishon tunafeli kwasababu we are doing what is not for us but were leaving into others dream
Congrats to you, am learning a lot from your words
Great more brw pig up b blessed
Kumbe hata mimi ni naweza naahidi Mwenyezimungu amenipa kipaji snipe nguvu nitaonesha uwezo wangu
As longer as your, you did right things everyday, always i admire you, GOD Bless you , my Coach
GOD bless you my dear brother
Ndugu Joel Mungu akubariki Kwa elimu Nzuri.. Mungu atuwezeshe kutendea Kazi
ahsante sana kaka nimejifunza sana
Absolutely mungu akubariki sanaa
So powerful words,it change my thinking upside down,inside out and starting thinking afresh. This is all I wanted before the end of my season on planing and goal setting
Thank you Joel Arther,there was a catch in your words👍👌
Good mami Mungu akupiganie zaidi
@@edgarchristopher4393 Asante, nawe pia
This is all I wanted to hear. Thank you brother Joel.N
Great brother. Continue to focus on telling people your real stories rather than telling people someone's story. People will change their life through your story. Congratulations.
daaah! broo katika siku nimetetemeka kwa point zako leo nime bebemeka maana sio kutetemeka khaaa na darasa langu la saba nimejikuta kama mimi ni chuo kikuu! asante..
May god bless u that is gud i like it🙏
Asanteni bro una maneno yahekima mungu akubaliki
Well done young man. You're very very true. I wasted my time for a long time just because sikuwa na malengo
Thank you and god bless you for your help with me for work brother j.a.nanaruka
God bless you
Kwa kwer Nime pata kitu Mungu aenderee kuku kuza zaidi
Thank you broh god bless u for your work of telling and inspiring pple abt success
Ahsante brother nimeona faida ya kuwa na marengo
Nimefrahi kuusikia haya Namba kushiriki na wadau wangu maana yapo yaliyotugusa kiundani. Niombe next time jaribu kumove na tumia mic ambayo unatembea nayo ukiwa umeivaa napende the way unatoa body language ila umezuiwa na izo mic na vimeza. Ni mawazo yangu lakini
Nashukuru sana kwa ushauri
Daaah, ubarikiwe sana kaka yngu Joel, Mbegu ambayo Mungu ameweka ndan yako iendelee kuzaa, kizazi hata kizazi