Maeneo Sita (6) Ya Kuzingatia Katika Kujenga Nidhamu - Joel Nanauka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 533

  • @edwinzacharia3501
    @edwinzacharia3501 4 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU akubariki saana, umekuwa mwalimu wangu tangu nikujue, na tatizo langu kubwa nidhamu inapungua, unakuta napanga jambo au lengo lkn nidhamu ya kufanya jambo ilo kwa mwendelezo inapungua. Ila leo nimeamua kuanza upya katika mambo ambayo nimekosea kufanikiwa. MUNGU akubariki saana

  • @lomeombata3985
    @lomeombata3985 5 ปีที่แล้ว +15

    Nimefurahi saaana hili somo na ntakuwa naludia Mara nyingi video ili kila ntakachofanya nifanye kwa vitendo elimu tunayopata hata vyuoni haifundishwi na unatufundisha bila malipo mungu amekuleta kwa namna ya tofauti elimu ya kujitambua ni ya msingi saaana kuliko hata elimu ya darasani asante saaana nanauka

    • @fofomohammed6253
      @fofomohammed6253 5 ปีที่แล้ว +1

      That's true

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +2

      lomeo mbata Ahsante kwa kuwa mfuatiliaji mzuri na kufanyia kazi.Nakutakia mafanikio Makubwa zaidi 2019

    • @lomeombata3985
      @lomeombata3985 5 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka amina

    • @bedaphidelis7769
      @bedaphidelis7769 5 ปีที่แล้ว

      Kutimiza malengo kwa wakati

  • @stellahsanga8214
    @stellahsanga8214 5 ปีที่แล้ว +5

    Mh asante san kaka kwa hili somo jmn yani mimi hapo vitu vyote ulivovitaja vinanihusu kuzingatia 1-6 sana ....you can help me to ascape from those things ..... GOD bless you my Brother . sijui nikuite Doc Joeli maan sio kwa sindano hizi

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork 5 ปีที่แล้ว +37

    Mambo ya msingi sana haya kaka. Asante kwa kuitumikia vyema jamii yetu. #Powerful

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +4

      Ezden Jumanne Ahsante sana Ezden,pamoja sana

    • @aishaothman4418
      @aishaothman4418 5 ปีที่แล้ว

      asante Nataka nianze namuda

    • @noeljailo7651
      @noeljailo7651 5 ปีที่แล้ว +1

      kaka nakuona tena uku basi WOTE NI FAMILIA MOJA

    • @shaffihsiraji3141
      @shaffihsiraji3141 3 หลายเดือนก่อน

      Kaka Ezden nyie watu ndo mnatubadilisha sana kutoka Maisha mabaya kwenda mazuri🙏

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 5 ปีที่แล้ว +1

    Nidhamu ya muda ni muhimu sana kuanza nayo. Time is everthing, zingine zitafuata baada tu ya kupangilia muda wangu vizuri. Knowledge is power God bless u

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      zuhura Abdilah safi sana tafuta pia video niliyoelezea vitu vinavyoiba Muda wako

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 5 ปีที่แล้ว +1

    asante sana kwa somo zuri. nidhamu ya mda imenigusa sana inabidi nichukuwe hatua

  • @joshuadavid3377
    @joshuadavid3377 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana Joel wish siku moja tutaonana maisha yangu sasa yanabadilika kila siku, your my mentor.

  • @carrencatherine2018
    @carrencatherine2018 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante Kaka joel kwa elimu yako inayonitia nguvu naimani unanitengeneza kua bora zaid ya hapa nilipo ,muda marafik Na midham ya fedha naendelea kuvifanyia kaz

  • @paulina.baynit7970
    @paulina.baynit7970 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kaka kwa mafundisho mazuri sana. Mungu azidi kukubariki na kukuepusha na mabaya yote.

  • @kelvinmamuya902
    @kelvinmamuya902 2 ปีที่แล้ว +1

    marafiki ndio watu wameweza kunirudisha nyumaa be blessed bro video is awesome

  • @lilianmongate9827
    @lilianmongate9827 5 ปีที่แล้ว +1

    Mr Joel, huwa unanibariki Sana kwa makala zako. Mungu azidi kukuinua na kukupa ufahamu zaidi

  • @alakhy9448
    @alakhy9448 5 ปีที่แล้ว +6

    Kaka joel mimi baada ya kuskiliza clip zako nimebadilika sana,mwanzo nilikuwa na ndoto za kuwa docta jambo ambalo lilinifanya nipende sana PCB shuleni,lakini kutokana na kuogopeshwa na wenzangu physics miliacha,baada ya kumaliza shule licha ya kuwa nilipata four,Bioligy na chemistry nikafaulu kwa wastani ambao naruhusiwa kwenda nursing ila ajabu na bahati mbaya niliacha physics,basi mission ikafeli,kumbe ningekuwa na uwezo wa kwenda nursing na baadae kujiendeleza zaidi nifikie ndoto zangu ila tatizo ilikuwa physics niliacha.
    Ni zaidi ya miaka mitano tokea nimemaliza form four na sikujiendeleza
    Lakini baada ya kumfatilia huyu mtaalamu nanauka nimejikuta narudia ndoto yangu ambayo nilikuwa nayo na nimekuwa mtu tofauti kabisa,na hapa ninapozungumza nimefanya yafuatayo.
    .wiki ijayo naenda kununua mtihani wa kidato cha nne na kituo cha mtihani,naanza kusoma PHYSICS NA CHEMISTRY ILI NIPATE CREDIT za kwenda advance nikasome PCB na nina hakika NAWEEZA.
    Nikimaliza advance nina amini 100% ntafaulu vizuriii kwa sababu ntakuwa nasoma kwa uchungu na then nitaenda chuo kusomea doctor .
    Miaka minne mbeleni kaka joel nitaleta ushuhuda juu ya hiki ninachokisema,namtegemea Mumgu lakini nina juhudi na pia ninapenda na kuwa na molari na ninachokifanya.
    Kusomea malengo yako ukubwani kuna raha sana kwa sababu unajua unachokitafuta.
    Nashkuru sana kaka JOEL NANAUKA.
    UPDATE : ikiwa leo ni tarehe 28 mwezi wa 7 mwaka 2021 miaka miwili baada ya kuweka hiyo comment hapo juu.
    Sasa hivi ninamaliza mwaka wa kwanza kusoma clinical medicine bado miaka miwili.
    Nilisharudia mtihani na nikafaulu vizuri na nikaomba chuo diploma nimekubaliwa na sasa nasoma.
    Nina hakika nitafika malengo yangu ya kuwa daktari aliyespecialize kabisa katika utaalamu fulani.

  • @asantendosi3787
    @asantendosi3787 5 ปีที่แล้ว +3

    Thank you broo Joel, umenifundisha kufanya self-evaluatio. Na nilichojifunza kikubwa ni kuwa "My net friend is my net worth " nadhani eneo la kushughulikia sana kwangu kwa wakati huu ni eneo la marafiki.

    • @nasrashabani4699
      @nasrashabani4699 5 ปีที่แล้ว

      natakiwa kuwa makini na muda

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Asante Ndosi safi sana,anza kulifanyia kazi mapema kabisa ni kuchelewa

    • @sephaniamsongole7801
      @sephaniamsongole7801 2 ปีที่แล้ว

      Kaka nashukulu Sana umenibadilisha sAna

  • @jameskulwa6530
    @jameskulwa6530 2 ปีที่แล้ว +1

    Thank you joel, nilikua na changamoto juu ya displine ya muda na vipaumbele now i know what to do

  • @daudintambala3896
    @daudintambala3896 5 ปีที่แล้ว +1

    Sir joel "nitangulize shukurani kwako kwa elimu ulionipa saiv naweza jisimamia mwenyewe na kuna marengo niliwek na nimefanikisha ila kuna vitu sjaviweza sijui nashindwa nn "1:bajeti 2:nidhamu ya fedha na3:muda ila hili naliweza maana niweza kujali muda " shauri hapa joel

  • @ibzanruheta
    @ibzanruheta 5 ปีที่แล้ว +2

    Nice teachings, ahsante bro masomo yako yananifundisha sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Ibzan Ruheta nashukuru sana,pamoja

  • @joshuajastin5763
    @joshuajastin5763 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimeshukuru kwakweli kaka
    Ungonjwa wangu ni kwenye nindam ya vipaombele
    Na matumizi ya muda nachukia sana kuzikosa hiz kakaangu
    Ubarikiwe saana kwa kuniongezea thamani

  • @pandoemmanuel2051
    @pandoemmanuel2051 4 ปีที่แล้ว +2

    Joel umetuvusha watu wengi sana. Keep this up for the benefit of swahili listener all over the world. Barikiwa.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 ปีที่แล้ว

      Pando Emmanuel Ameen kaka,endeela kuniombea kaka🙏🏻

  • @aishamipiko4364
    @aishamipiko4364 5 ปีที่แล้ว

    thanks sana Mr.Joel eneo la marafiki ndilo nitaanza nalo

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 3 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni Joel wewe sasa ndo mwalimu wangu muhimu sana katija maisha!!! Mimi nipo chuo kikuu lakini naona kabisa elimu ninayopata hapa ni nzuri sana na haipatikani mashuleni!! Nimeipenda na ninafanyia kazi Mungu azidi kukubariki
    Mimi nimependa nidhamu ya malengo .lkn kiukweli zote ni muhimu sana naweza kusema ni vizuri kuwa nazo zote kwasababu zina husiana sana

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 4 ปีที่แล้ว +1

    Salute Mzee,huliyosema nimeyasikia na nikweli kabisa ,Shida yangu Mimi nimekuwa mtu wa huruma sana na hicho naona nikama kinanifanya nistaki ktk maendereo nifanyeje?
    Lakini yote hulioyazungumza kiukweli nimshukuru Mungu niliyafaamu kabla kutokana na mapito niliyo pitia.

  • @farmpridetz8974
    @farmpridetz8974 5 ปีที่แล้ว +5

    Aiseee hili moja kati ya masomo bora kabisa kwenye mwanzo wa mwaka huu” i wish kila mtu angeskiza

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      EntertainmentVevo safi sana naamini Kila atakayesikiliza litamfaa

  • @sirlemsontv9201
    @sirlemsontv9201 5 ปีที่แล้ว +1

    Hakika kaka Joel Mungu akuzidishie baraka... Maana masomo yako mazuri...

  • @juliekagine5486
    @juliekagine5486 ปีที่แล้ว

    Thanks brother Joel,umenifundisha vizur

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 ปีที่แล้ว

    Asantee sana nimejifunza somo zuri marafiki wanarudisha nyumaa na wanarokho za wivuu

  • @GIFTJOHN-ko3qj
    @GIFTJOHN-ko3qj 22 วันที่ผ่านมา

    Natamani kuwa bora zaidi katika nidhamu ya Fedha na kipaumbele

  • @rollahngimbwa6978
    @rollahngimbwa6978 ปีที่แล้ว

    Hkk kaka Joel point zote nitazizingatia kbsa.
    Be blessed more yamkin najifunza mengi pitia kwako .

  • @agreyminja9412
    @agreyminja9412 2 ปีที่แล้ว +1

    Somo zuri sana Kaka katika swala zima la muda kwakweli nahitaji msaada mkubwa sana

  • @hmutabuzi4438
    @hmutabuzi4438 5 ปีที่แล้ว +2

    points zote ni logical kabisa na wakati mwingine zinategemeana. ntajifunza zaidi kadri ninavyoendelea kupata dondo hasa bullet ya 4 (Self development). Its so inspiring you know! hongera Ndg. Nanauka. Quotation "education will make a leaving but self development will make your fortune, Jim Lone" impact fully in daily life.

    • @mariamnestory6715
      @mariamnestory6715 2 ปีที่แล้ว

      Nashukuru kwa mafundisho yako naitaji kitabu chako nipo kigoma

    • @mariamnestory6715
      @mariamnestory6715 2 ปีที่แล้ว

      Naitaji malengo yakutunza pesa pamoja na marafik maana mm sinabaati marafiki asante

  • @mussaameir5230
    @mussaameir5230 3 ปีที่แล้ว

    kwa kweli ndugu Joel mimi nimefarajika sana na malengo uliofundisha na kwa kweli mimi ninaona kwa upende wangu nilikuwa nikifanya makoso sana kwani nilikuwa sina malengo ya kuweze kuchagua marafiki wenye tija na mmm na vile vile nilikuwa sina nidhamu katika matumizi yangu lakini kwa kweli sasa nimejifunza. ahsante sana . Mungu akupe upeo zaidi ya zaidi

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii50 5 ปีที่แล้ว +2

    Ukweli ni kwamba kama ingekuwa nimeambiwa nimebakiza siku moja ya kuishi ningeutumia muda kwa nguvu zangu zote na kujutia mambo ambayo sikuyafanya ktk muda niliokuwa nao kuliko niliyoyafanya.. Somo hili ni adhim limegusa maeneo mengi ktk maisha.. Mungu akuzidishie

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Omary Shafii ni vizuri umejua mapema Omary,ni Muda sasa wa kuanza kutumia kila sekunde yako vizuri

  • @successmbizo3209
    @successmbizo3209 5 ปีที่แล้ว +10

    1,Malengo, 2.muda, 3.vipaumbele, 4.kujifunza, 5.fedha 6.marafiki

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +2

      Mbizo Supanova 👏👏👏

  • @janicekim9767
    @janicekim9767 5 ปีที่แล้ว +2

    Kweli kaka unatu inspired sana mungu azidi kukupa nguvu tunufaike na matunda yako

  • @jumaseif9894
    @jumaseif9894 5 ปีที่แล้ว +5

    toka nianza kukufatilia na miez minne sasa lakn na mabsdiliko makubwa sana tena sana,shukran nanauka,kuwa na nidham ya fedha ni msing sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Juma Seif safi sana Juma Nafurahia kusikia hivyo kwa kweli

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 5 ปีที่แล้ว +1

    Umetisha kaka yangu umenifanya niwe mtu wakubana pesa ndugu sasa hivi niko poa sana asee mungu akubariki sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Hilary Godfrey 💪💪💪

  • @faridaiddy6015
    @faridaiddy6015 5 ปีที่แล้ว

    nidhamu ya muda na kueka malengo ni nidhamu kubwa sana kwani huwezi tumia muda vzuri ikiwa hujajua unataka kufika wapi... thank you bro Joel I learn something... u are my inspiration.

  • @lemsnyigu4699
    @lemsnyigu4699 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa ujumbe mzur Nina shida kwenye nidham ya fedha na marafiki

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe8941 5 ปีที่แล้ว +1

    Hakika nahitaji mabadiliko makubwa ktk utendaji wangu. Asante sana.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Beatrice Mapembe 👏👏👏

  • @veromkami3831
    @veromkami3831 3 ปีที่แล้ว

    Nakufatilia sana na kujifunza sahii nashukuru sana mungu akuobariki kwa kazi nzuri

  • @godhopeuiso
    @godhopeuiso 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana ndugu yangu kila leo napata kuwa mpya kwa mafundisho sahihi. Mungu akubariki kaka... Endelea kutumegea mafundisho mteule.

  • @NeemaMsanga-wg9je
    @NeemaMsanga-wg9je ปีที่แล้ว

    Ahsante saaana kwa mafundisho yako. Nitayafanyia KAZI.

  • @happycostack6963
    @happycostack6963 5 ปีที่แล้ว

    Asante mwanangu sikuwa najua chochote kuusu mpangilio WA Maisha Mungu akubaliki ssna

  • @josiahjoas8526
    @josiahjoas8526 5 ปีที่แล้ว +1

    Pastor Joel, Praise Jesus Christ.. I love the lessons you teach us. Nimeanza kuweka malengo na kuwekeza(nidhamu ya fedha) ahsante kwa elimu,

    • @shau78
      @shau78 5 ปีที่แล้ว

      Joel sio pastor. Is he?

  • @swalehabubakar7661
    @swalehabubakar7661 5 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sana imenisaidia

  • @mohamedmakungu1609
    @mohamedmakungu1609 4 ปีที่แล้ว

    Mimi binafsi ya na Sita muhimu sana

  • @gloryolomi7
    @gloryolomi7 5 ปีที่แล้ว +2

    Asee haya madini sana kaka Joel. Asante kwa kunifunza. Video imeisha haraka haraka. Vile nilitamani niendelee kuskiza😀😀

  • @gerraldndelwa4808
    @gerraldndelwa4808 5 ปีที่แล้ว +1

    Nidhamu ya kujifunza,na nidhamu ya pesa ni changamoto kwangu ,be blessed bro nimepona nw

  • @florachanga6983
    @florachanga6983 5 ปีที่แล้ว

    Nidhamu ya muda hapa ndo naona ni mhimu sana kwangu kuaza nayo Asante kaka

  • @silatango5975
    @silatango5975 5 ปีที่แล้ว +1

    Unabarikiwa upeo kaka, nimefatilia sana speech zako.

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 5 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana kwakuniongezea ujuzi,nitafanyia kazi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Josée Faida Butu Ameen nashukuru sana

  • @apostlejohnamani.8661
    @apostlejohnamani.8661 2 ปีที่แล้ว

    Ama kweli Mungu akubariki sana kaka...kwa elimu muhimu namna hii..

  • @mygodisgreaterabraham6841
    @mygodisgreaterabraham6841 5 ปีที่แล้ว +7

    kweli kaka, nimekuelewa, marafiki waliniponza sana mwaka Jana, ila tangu nianze kukusikiliza nimewaacha nasonga mbele, barikiwa sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      MYGODISGREATER Abraham safi sana 👏👏👏

    • @swaumuabdalaha1521
      @swaumuabdalaha1521 5 ปีที่แล้ว

      Mungu akupe maisha mlefu zaidi

  • @emmanuelnyengella4839
    @emmanuelnyengella4839 4 ปีที่แล้ว +1

    Nidhamu ya Kujifunza, nafikiri kwangu hii ni ya muhimu zaidi kwa sababu ni kupitia nidhamu hii nimekutana na somo hili leo...katika Kujifunza unajua wapi unakosea na wapi upaboreshe

  • @silatango5975
    @silatango5975 5 ปีที่แล้ว

    Kweli tujiwekeze kusoma vitabu tuongeze maarifa... Ahsante Nanauka..

  • @leonidaskalumuna8350
    @leonidaskalumuna8350 5 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana,Shida yangu sina rafiki yoyote,wale ambao natamani wawe ni marafki ni watu ambao wapo busy sana kukutana nao ni vigumu.Lakini naendelea vzr na mafundisho yako.

  • @veronicacharles4527
    @veronicacharles4527 5 ปีที่แล้ว +2

    50,30,20 hii mbinu imenisaidia sana mwana jana 😍

  • @annahchristian8645
    @annahchristian8645 4 ปีที่แล้ว

    Nakushukulu sana umebadlsha maisha yangu kutokana na semina zako

  • @dianahcheropngaina9496
    @dianahcheropngaina9496 2 ปีที่แล้ว

    Iam very proud of u afrucan conitinent we need people genious like u 20/05/2022

  • @29WavesTV
    @29WavesTV 4 ปีที่แล้ว +1

    Nidhamu ya kwanza na pia ya mwisho Asante sana.Mimi ni mpeenzi mkubwa sana ya kazi zako.please let see each other at the top

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 5 ปีที่แล้ว +1

    Uyo umeongea number 6 imenigusa sana kabisa mimi ni mtu mmojapo naongeaga na watu sana afu najisahau na mwisho haohao ndiwo wananihusudu .pls nashindwaga kujiziwia kuongea na watu up a nikipata mafunzo yakujuwa kujifunza kuwa Suriesly tashkuru

  • @donardmussa3263
    @donardmussa3263 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa sana kaka kwangu mim nidhamu ya muda imekuwa ikinisumbua sana, naahidi ntalifanyia kazi kuanzia sasa.

  • @s.simponda138
    @s.simponda138 5 ปีที่แล้ว +4

    Ahsante sana mm nahitaji kitabu chako.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      spriano simponda wasiliana na 0756094875 utakipata

    • @antigonimathew5090
      @antigonimathew5090 5 ปีที่แล้ว

      @@joelnanaukaelimu unayonipa siwezi kukulipa ila mungu atakulipa zaidi..

  • @martinmaami5853
    @martinmaami5853 5 ปีที่แล้ว

    Nimefurahia sana sana mafundisho yako,naomba nisaidie juu ya nidhamu ya fedha na marafiki

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa masomo mazuri,Mungu akubariki sana .

  • @canny255
    @canny255 5 ปีที่แล้ว +11

    Ahsante Sana Mr. JN! Since knowing you, everyday in every way I'm getting better and better!! See you at the top

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +3

      Paul James so happy to hear about that 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

    • @emmywanungu2137
      @emmywanungu2137 5 ปีที่แล้ว

      Joel Nanauka kwakweli nidham zote maana nimegundua sina nidham hata moja ya kieleweka. Asante sana na utusaidie zaidi hata ushauri wa inbox

    • @scolasticakilosa5775
      @scolasticakilosa5775 3 ปีที่แล้ว

      Nithamu na muda

  • @merykabogo7636
    @merykabogo7636 4 ปีที่แล้ว

    Kaka Joel Mungu akubaliki xnaaa kwanii tnajifunzaa mengi xnaaa kutka kwako ,hakika Mungu azidii kukulindaaa Kaka Joel!!!

  • @francentinda9221
    @francentinda9221 5 ปีที่แล้ว

    Nakushur kk kwa elim yako naimani itatusaidia ktka maisha yet kama tutazingatia

  • @anethmajura
    @anethmajura ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana brother Joel unansaidia sana ubarikiwe

  • @daudimwabulambo4240
    @daudimwabulambo4240 5 ปีที่แล้ว

    Mmmh... Bro uko vzr saan hapa nimejifunza nidham ya marafik wasio na maan kweny maisha yang

  • @eliezermtokoma2057
    @eliezermtokoma2057 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante... Hakika nimepata vingi hasa vipaumbele na marafiki kwangu ilikuwa changamoto zaidi ila sasa nimeelewa. Asnte kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Eliezer Mtokoma 💪💪💪 Nasubiria Habari njema kutoka kwako

    • @eliezermtokoma2057
      @eliezermtokoma2057 5 ปีที่แล้ว

      Usijal wewe utakuwa sehem ya ushuhuda wangu kaka Joel.

  • @shebahchannel1138
    @shebahchannel1138 4 ปีที่แล้ว

    Aseeeee nilikuwa wapi Mimi ila sijachelewa Sana,nmekuelewa bro Joel naamka Sasa.

  • @adamkibavu5746
    @adamkibavu5746 4 ปีที่แล้ว

    Asante Sana kaka,, umenisaidia Sana kujitambua natakiwa niweje,, natangaza kubadilika kuanzia sasa naanza na nidhamu ya muda√ then marafiki√

  • @bensonynchimbi1039
    @bensonynchimbi1039 4 ปีที่แล้ว

    Asante kwaushauriwako nimejifunza kitu sasa

  • @babalois7240
    @babalois7240 5 ปีที่แล้ว +1

    Duuu 3% tu wanaoweka malengo,8% ndio wanaofuatilia malengo mpaka mwisho wa mwaka #TIMIZA_MALENGO I have it.
    1.MALENGO 2.MUDA 3.VIPAUMBELE 4.KUJIFUNZA 5. FEDHA 6.FRIENDS
    #LEADER_IS_A_READER
    Powerful #Sir

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Justine Mrope 👏👏👏

  • @kissmwalabu2452
    @kissmwalabu2452 4 ปีที่แล้ว

    dah mada nzuri sana me nimependa nidhamj ya fedha na kuweka malengo

  • @claraprosper8642
    @claraprosper8642 5 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja na mafundisho mazuri kaka.Umependeza sana.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Clara Prosper nashukuru sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @mwajumamwishehe3423
    @mwajumamwishehe3423 5 ปีที่แล้ว +2

    Kuongeza nguvu kwenye malifa na malafiki Yani wengi majanga tu Asante kaka kwa somo zuli 🙏🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Mwajuma Mwishehe 👏👏👏👏

  • @Risefelix
    @Risefelix 4 ปีที่แล้ว

    Nafikiri au kwauhakika kama ningekuwa natoa uprofessor au doctrine yaheshima ningekupa but siwezi ila nakupa uprofessor katika kutusaidia sisi vijana katika kutupa relevant education katika maeneo muhimu ya maisha nasema ASANTE SANA kunasiku nikifanikiwa takukumbusha kuwa huu ni mchango wako

  • @jacksonkinange4605
    @jacksonkinange4605 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana unafungua mengi

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 5 ปีที่แล้ว +2

    Hili somo ni zr Sana nimekuelewa Kaka Joel shukran

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      rahemah Rahemah nashukuru,pamoja sana

  • @emanuelsulle6122
    @emanuelsulle6122 5 ปีที่แล้ว

    Asante kwa kutupa elimu nzuri

  • @babalois7240
    @babalois7240 5 ปีที่แล้ว +1

    Hakika haya ni madini yasiyopungua ubora,Kila ukiyasikiliza unasikia nguvu za kusonga mbele... You nail it bro every sentence. #BBlcdSir

    • @anzojadassu8455
      @anzojadassu8455 2 ปีที่แล้ว

      Naanza na nidhamu kwenye marafik, nafata nidhamu kwenye Muda, halafu nidhamu kwenye vipaumbele, Ila nidhamu kwenye malengo, fedha na kujifunza nilishaanza bila kujijua Kama najiwekea nidhamu. Kauzembe kalikuwa kidogo sana lakin kwenye marafik, Muda na vipaumbele ndio sizingatii

  • @januaryneville4578
    @januaryneville4578 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana ndugu

  • @ibrahimAhmed-zq5hj
    @ibrahimAhmed-zq5hj 3 ปีที่แล้ว

    Mungu hakupe maisha mrefu ndugu

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana kwa Elimu nzuri kaka hii ni jambo nimeanza kulifanyia kazi mwaka huu naamini miaka 5 ijayo nitakuwa mbali kimaisha kwa kujiwekea malengo

  • @rehemanicemgeni1308
    @rehemanicemgeni1308 5 ปีที่แล้ว +2

    Kujiepushana na malafiki Ambo hawana mtazamo wa maisha ya mbele

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Safi sanaaa 👏👏👏

  • @naomykenee7051
    @naomykenee7051 3 ปีที่แล้ว

    Nimehudumiwa sana nahitaji kujenga nidhamu zote sita kwa usahihi kabisa!

  • @eng.anoldkishumu3080
    @eng.anoldkishumu3080 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante bwana Joel kwa clip nzuri.
    Kitabu chako cha 'Timiza malengo yako' ni kuzuri sana, tayari nimeishakisoma sijatoka bure.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      ANOLD KISHUMU safi sanaaaa

    • @eng.anoldkishumu3080
      @eng.anoldkishumu3080 5 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka kaka joel mimi nina ndoto ya kuwa mfanyabiashara mkubwa, hebu nishauri kitabu cha kusoma kati ya ulivyoandika au vya waandishi wengine.

  • @marcopeter4091
    @marcopeter4091 ปีที่แล้ว

    Asante Mwalimu wangu

  • @hamzamzakiru364
    @hamzamzakiru364 4 ปีที่แล้ว

    Thanks bro mungu akubariki sana

  • @Teacher-Yasilini
    @Teacher-Yasilini 4 ปีที่แล้ว +1

    Umenibadilishaaa sanaaa

  • @rehemasijila3219
    @rehemasijila3219 4 ปีที่แล้ว

    Marafiki ndy shida kubwa katika kuharibu malengo yko,wanataka ufate taratibu zao ukikataa unaambiwa una maringo pia unajidai.

  • @MwanahamisiIsmail-w5y
    @MwanahamisiIsmail-w5y 9 หลายเดือนก่อน

    Be blessed kaka Joel Ilike ue work much

  • @emmanuelmsengi6920
    @emmanuelmsengi6920 5 ปีที่แล้ว +4

    Nimejifunza kitu #be_blessed

  • @victoriatety4650
    @victoriatety4650 5 ปีที่แล้ว +2

    Mr.joel mungu akuinue zaidi na zaid......nidhamu ya fedha na marafiki imenigusa sana

    • @fofomohammed6253
      @fofomohammed6253 5 ปีที่แล้ว

      Mimi pia nipo hapa kwenye nidhamu yafedha namarafiki tusaidie

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Victoria tety hongera kwa kugundua maeneo ya kufanyia kazi,anza mara moja bila kuchelewa

  • @MosesFikiriIbrahimu
    @MosesFikiriIbrahimu หลายเดือนก่อน

    AMEN NASHUKURU ❤❤🎉

  • @anethmkawe5391
    @anethmkawe5391 4 ปีที่แล้ว

    nashukuru bro joe ubarikiwe sana

  • @pandoemmanuel2051
    @pandoemmanuel2051 4 ปีที่แล้ว +1

    I have been really following up your presentation.....!

  • @watumnjangu8312
    @watumnjangu8312 5 ปีที่แล้ว +2

    To me the last point has been the most important point. God bless you.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Watum Guillame Amen,am grateful

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 ปีที่แล้ว

    Marafiki na matumizi ya pesa your the best nanauka I hope kwa kukusikiliza nitapiga hatua inshallah, ubarikiwe 🤝