Mchungaji, hapa ongeza nondo kwenye hili somo. Ili kuweka mambo sawa. Hata madhehebu mengine wanaamini hivyo Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu. Ni Mungu mmoja ktk nafsi tatu. Sioni tofauti. Labda neno Utatu mtakatifu hapo ndo kunatofauti.
Barikiwa sana sababu umenikamilishia neno roho aliweza ndani yangu sikuzote naomba hivyo kabisa ao n'a amini kuwa ni MUNGU mwenyewe alikuja duniani🙏🙏🙏🙏
zamani za ujinga tuliabudu miungu mitatu tofauti, Mungu Baba, Mungu mwana,na Mungu roho, lkn sasa tumejua Mungu ni mmoja na kiti cha enzi ni kimoja tu.
Mtumishi wa, Mungu, najifunza Nina swali watatu.1yohana5:8 Mungu Ni mmoja,lakini Yesu mwenyewe ndiye ametamka,mkabatizwe kwa Jina la Baba,mwana na Roho,mtakatifu. (2)Na Yesu mbinguni amekaa kuume kwa Mungu baba.
Nalishindana nao Sana na wachungaji wanaochanganya neno la Mungu na theology,hapo ndipo wanapokosea.wanamwacha ROHO MTAKATIFU ambaye ndio chuo cha neno la kristo wao wanakimbizana kwenye vyuo.neno NI MUNGU na Mungu NI Roho sasa unamuhitaji ROHO MTAKATIFU ili umjue Mungu
Ulikufa Mwili wa Yesu,Roho haifi, Pia uwezo wa Mungu ni tofauti na Mwanadamu,Mungu ambaye ni Yesu Kristo anaweza kuongea na watu wote duniani Kwa muda mmoja na hapo hapo Mbinguni anaonekana na hapo hapo kwenye kiti Cha enzi Yupo,anauwezo wa kujigawanya kote akaonekana.
Hata wanaojitengenezea miungu wanajua uwezo wa munguwao japo hawawezi kukiri kama amewaumba kwavile wamemtengeneza wenyewe .sasa ukisoma vzr injili 4 hutoona kristo AKISEMA Mimi YESU maana alijinyenyekeza Sana .yohana akasema tazama mwanakondoo wa Mungu aichukuae dhambi ya ulimwengu. Pia utaona mara nyingi Mungu aliongea na WANAFUNZI kuhusu kitakacho mpata mwanae kwakutumia kunywa Cha mwanae. Imempasa mwana wa Adam kwenda....Kisha kuuawa...
Lakini all in all hongera sana mtumishi Upo vizuri Mungu wa Mbinguni akupiganie akujaze Roho mtakatifu wa kweli ktk Jina La Yesu Kristo.
Asa weweeeeeee 😢.....
Mchungaji, hapa ongeza nondo kwenye hili somo. Ili kuweka mambo sawa. Hata madhehebu mengine wanaamini hivyo Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu. Ni Mungu mmoja ktk nafsi tatu. Sioni tofauti. Labda neno Utatu mtakatifu hapo ndo kunatofauti.
Nikweli mtumishi
Mtumishi umeenda chaka huyo ni yesu co mungu ns hata akiwa mungu co nafsi amerithi jina ndio inasema ni chapa ya mungu inabidi urud chuo
Amen mtumishi wa BWANA
Amina mtumishi kweli Yesu ni Mungu
Wakweli na uzima wa milele 1Yohana 5:20
Barikiwa sana sababu umenikamilishia neno roho aliweza ndani yangu sikuzote naomba hivyo kabisa ao n'a amini kuwa ni MUNGU mwenyewe alikuja duniani🙏🙏🙏🙏
AMEN mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
AMEEN, BARIKIWA MTUMISHI. NAFURAHIA KUSIKIA MAHUBIRI YAKO
Amina mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana
Amen pastor Asante kwa kutubariki na neno la Roho Mtakatifu.
Nimependa sana hii. Nimeelewa. Aneth kutoka Ujerumani
Amen
Safi ,unagusa sehemu ambazo wanaosema wameamini wameongezewa maandiko na wanawaamni wachungaji japo hayapo kabisa
😂😂😂
zamani za ujinga tuliabudu miungu mitatu tofauti, Mungu Baba, Mungu mwana,na Mungu roho, lkn sasa tumejua Mungu ni mmoja na kiti cha enzi ni kimoja tu.
Ubarikiwe sana mwana wa Mungu
Amina Shujaa wa Bwana wetu YESU KRISTO
Mtumishi wa, Mungu, najifunza Nina swali watatu.1yohana5:8 Mungu Ni mmoja,lakini Yesu mwenyewe ndiye ametamka,mkabatizwe kwa Jina la Baba,mwana na Roho,mtakatifu.
(2)Na Yesu mbinguni amekaa kuume kwa Mungu baba.
th-cam.com/video/RzxgRH7z_I8/w-d-xo.htmlsi=8EdPG91qVSaiSPyw
Sikiliza hiyo utatu upo katika utendaji sio maandishi
Nalishindana nao Sana na wachungaji wanaochanganya neno la Mungu na theology,hapo ndipo wanapokosea.wanamwacha ROHO MTAKATIFU ambaye ndio chuo cha neno la kristo wao wanakimbizana kwenye vyuo.neno NI MUNGU na Mungu NI Roho sasa unamuhitaji ROHO MTAKATIFU ili umjue Mungu
Ni kweli kabisa Shujaa wa Bwana wetu YESU KRISTO
Andiko lingine NI hili 1yohana 6-8 wanalolitumia,yaani wameshindwa kabisa kuona
Sasa mtumishi, huyu Mungu alipokufa msalabani dunia ilikuwa inaongozwa bila Mungu?
Ulikufa Mwili wa Yesu,Roho haifi, Pia uwezo wa Mungu ni tofauti na Mwanadamu,Mungu ambaye ni Yesu Kristo anaweza kuongea na watu wote duniani Kwa muda mmoja na hapo hapo Mbinguni anaonekana na hapo hapo kwenye kiti Cha enzi Yupo,anauwezo wa kujigawanya kote akaonekana.
NI HIVI KUWA HATUSEMI KUNA UTATU MTAKATIFU, NI MANENO YANAYOFANYA KUWA KUNA BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU
Hata wanaojitengenezea miungu wanajua uwezo wa munguwao japo hawawezi kukiri kama amewaumba kwavile wamemtengeneza wenyewe .sasa ukisoma vzr injili 4 hutoona kristo AKISEMA Mimi YESU maana alijinyenyekeza Sana .yohana akasema tazama mwanakondoo wa Mungu aichukuae dhambi ya ulimwengu. Pia utaona mara nyingi Mungu aliongea na WANAFUNZI kuhusu kitakacho mpata mwanae kwakutumia kunywa Cha mwanae. Imempasa mwana wa Adam kwenda....Kisha kuuawa...
@@peterkarimu00kweli kabisa hivi unaweza pata kwenye ushuhuda wa meshaki mafyeko ameelezea vizuri mnooo asante
Tunamuhitaji Mungu sana ktk mafundish