Imani ya kikristo imejengwa katika nguzo mkuu tatu 1.Utatu mtakatifu, Mungu baba, Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu 2.Yesu alikufa msalabani Kwa ajili yetu 3.Yesu alifufuka siku ya tatu na ameketi Mkono wa kuume, Yuu hai Leo Kama mtu anakanusha Moja kati ya haya anabadikika na kuwa sio mkristo ndio maaana waislamu haya yoote wanayakanusha.
Unakumbuka Kuna mahala Yesu alisema Mimi na baba tu umoja.....ni vizuri tujifunze hili fundisho walimu wengi kipindi Cha nyuma walishindwa kuliweka vizuri......tutafakalini kabla hatujajibu
Ukweli ni kwamba katika kutafsiri uungu wa Mungu kumekuwa na changamoto kubwa mnoo,na hapo ndio shetan alipopata nafasi ya kujiinua na kuabudiwa na watu,ila yesu mwenyewe alitupatia uzima wa milele ktk mathayo16:15-18,yohana 17:3,1kornt8:6
Nafsi zinakaaje kwenye viti, Mungu ni mmoja ila anatenda kazi kwa kupitia hizo nafsi. Neno ndio Yesu. Hapa tatizo ni tafsiri tuu. Roho mtakatifu sio kiumbe ni nafsi na ipo mioyoni mwetu wala haiko sehemu ingine ama yupo mbinguni amekaa. Anachanganya vitu
Sauti ikatoka mbinguni ikisema :huyu ni mwana wangu mpendwa wagu,... Yesu akaomba akisema :eh baba niodolehe kikombe hiki wala sikama nitakavyo,.... Q- sauti ilikua ya nani? -baba ni nani?
UME BUGI BRO, HUNA ELIMU JU YA UTATU, HAPO UMEDANGANYA WASIYO JUWA MAANDIKO.NAWAENEA HURUMA WASHIRIKA WAKO. KWA UJUMLA UME JIVIKA VAZI LA KONDOO!!! BRO!!
Mungu ni mmj kweli., ila mungu alijifunua kama baba mwana na roho mtakatifu, hatusemi kuna mungu wa wa3 ila Mungu mmoja katika utatu mtakatifu.. utatu mtakatifu ndio unatengeneza Mungu
Bwana yesu atukuzwe najiungamanisha na Ibadan ya Leo na yesu anifunguwe familia yangu
Imani ya kikristo imejengwa katika nguzo mkuu tatu
1.Utatu mtakatifu, Mungu baba, Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu
2.Yesu alikufa msalabani Kwa ajili yetu
3.Yesu alifufuka siku ya tatu na ameketi Mkono wa kuume, Yuu hai Leo
Kama mtu anakanusha Moja kati ya haya anabadikika na kuwa sio mkristo ndio maaana waislamu haya yoote wanayakanusha.
Andiko
Unakumbuka Kuna mahala Yesu alisema Mimi na baba tu umoja.....ni vizuri tujifunze hili fundisho walimu wengi kipindi Cha nyuma walishindwa kuliweka vizuri......tutafakalini kabla hatujajibu
@@sammganga6865
Isaya 6:20👇
Kama hujuwi Maandiko usichangie au kuanzisha mada utamkosea Mungu
This is powerful
Yesu ni binaadamu kazaliwa kalelewa anakula anaenda chooni vipi awe mungu akili haikubali
Bado mtazidi kuelewa kuwa Mungu ni mmoja.
Siku nyingi tunajua Mungu ni mmoja tu.
Hapo sawa kuhani
Ukweli ni kwamba katika kutafsiri uungu wa Mungu kumekuwa na changamoto kubwa mnoo,na hapo ndio shetan alipopata nafasi ya kujiinua na kuabudiwa na watu,ila yesu mwenyewe alitupatia uzima wa milele ktk mathayo16:15-18,yohana 17:3,1kornt8:6
Nafsi zinakaaje kwenye viti, Mungu ni mmoja ila anatenda kazi kwa kupitia hizo nafsi. Neno ndio Yesu. Hapa tatizo ni tafsiri tuu. Roho mtakatifu sio kiumbe ni nafsi na ipo mioyoni mwetu wala haiko sehemu ingine ama yupo mbinguni amekaa. Anachanganya vitu
Sauti ikatoka mbinguni ikisema :huyu ni mwana wangu mpendwa wagu,...
Yesu akaomba akisema :eh baba niodolehe kikombe hiki wala sikama nitakavyo,....
Q- sauti ilikua ya nani?
-baba ni nani?
Nilikuwa nakuona haupo sahihi kumbe upo sawa sawa na neno
Shida iko wapi mbona vitu viko wazi Mungu bba ni muumba mbingu na nchi Mungu mwana ambaye ni Yesu roho mtakatifu ambazo ni nafsi zetu wanadam
Amen ya radi❤❤
Huo ni ukweli mtupu umeongea mtumishi
1+1+1=1 hii ni somo la hesabu mbovu halija wahi kutokea katika historia ya dunia hii tangu dunia hii umbwe.
Kwanini umejumlisha hauja zidisha😂
Sisi tunasoma neno la MUNGU wadanganye hao unaowachukulia sadako zayo wapotoshe tu.soma 1 yohana.5:8 ila kama unabibilia yako wafundishe ujuwa wewe.
Umeanguka
Uu ni ukwel mkubal au mkatae
Dah alafu anachukua Kijiji kweli maarifa ni muhimu
Huu ukweli unafanya wengine tukatengwa kwa muda mrefu sana na makanisa mengi sana yanaupinga
Ukweli upi mtumishi?
Hiyo nimitazamo yako mhubili,
ni kweli umesema
Sasa km unasema anaye hikalia icho kiti ni yesu kristo sasa mungu anakaha kiti cha wapi kwani uko mbinguni kuna viti vingapi ? 🤣🤣🤣
UME BUGI BRO, HUNA ELIMU JU YA UTATU, HAPO UMEDANGANYA WASIYO JUWA MAANDIKO.NAWAENEA HURUMA WASHIRIKA WAKO. KWA UJUMLA UME JIVIKA VAZI LA KONDOO!!! BRO!!
ALLAH ni mmoja tu rafiki elewa
Mchungaji yupo sahihi Mungu ni mmoja tu
Hamsomi bible wandugu mmejawa na mapokeo tu
Wewe ndo huelewi,Biblia ipo wazi kabisa Mungu ni moja tu.
Mungu ni mmj kweli., ila mungu alijifunua kama baba mwana na roho mtakatifu, hatusemi kuna mungu wa wa3 ila Mungu mmoja katika utatu mtakatifu.. utatu mtakatifu ndio unatengeneza Mungu