Niliwahi teseka kwenye ndoa miaka 8 ila nilikua naogopa kutoka pale nikihisi siwezi ishi bila yeye niliamua kuondoka nina miaka 14 nanina mtukuza Mungu maisha yanaendelea
Baada ya kudumu ktk ndoa miaka 16 mumewangu alinisaliti nilipitia maumivu makali sana nilijiona sina thamani kabisa,mungu wa ajabu nikapata connection ya kazi dubai niliacha vyote na kundoka,maisha yangu amebadilika sana mara kumi ya vile nilivyokuwa na mume,wito wangu tusiogope kubadilisha maisha yetu
Somotime nyumba tunazoishi au sehemu tunazofanyia kazi zinakuwa zimeziba riziki zetu mfano mimi nafanya kazi huu mwaka wa sita hakuna chochote nilichokifanya kila ninachokifanya hakifanikiwa na hata pesa ninayoipata inaisha pasipo kuiona nilichoifanyia katika hili kaka Joel naomba unisaidie
Asante joel,clip hii imenifungua macho! Niliumia sana baada ya mme wangu kufanya mabadiliko ya kuniacha na kutafuta mwanamk mwingine,namshukur sana leo,nimeweza kujua uwezo wangu kuwa bila yeye maisha yanaendelea! Kweli mabadiliko yana gharama! Lakini yana fursa mzuri kwangu na kwake,niligundua akuwai kuona dhamani yangu,mabadiliko haya yametoa nafasi kwetu kila mtu kujua dhamani yake, nimepat nguvu mpya nipo sawa na maisha yanaendelea,Namshukur sana kwa mabadiliko aliyoyafanya❤❤
Nashkuru Mungu nilikuwa nafanya kazi baada ya kuingia mgogoro na boss wangu kwa muda mrefu niliamua kuacha kazi na nikapata ujasiri wa kuanzisha biashara yangu ya bakery. Kweli kumbe majaribu ni mtaji, Ile kazi ilikuwa inasababisha nighairishe Kila siku swala la kujiajiri binafsi baada ya ugomvi ule nilijikuta sina option lazima niondoke.
Maam kaka wengi wetu tunateseka na tabia kuna tabia tunashindwa kuibadilisha ili tubadilike kimaisha lakini tunashindwa mm nimebadilika nimeanza na mpemzi mwaka uu nimeona mapenzi yananipotezea mda kwa wakati uumda ukifika nitaendelea kwaio tujifunze kubadilikia aisee!! ❤mungu akusaidie kaka🙏
Ahsante sana kaka yangu kwa kunitia moyo nafanya kazi za ndani nadharaulika na kunyanyasika sana naishi maisha ambayo hayana uhuru naogopa kufanya maamuzi nahofia familia yangu najihofia mimi menyewe, ahsante kaka Joel maneno yananipa nguvu na ujasiri
Nikweli Mr joel mm nilikua sithaminiwi kabisa njumbani lakini nilipo amua kubadilika nakwenda sehemu nyingine thamani yangu ikapatikana nashkulu sana🎉 mungu akubaliki
Nina mpenzi anaependa kuwasiliana na wanawake wake waliopita na inaniumiza anajua sipendi lakini anafanya hivyo na mbaya zaidi sms zao ni za mapenzi zaidi uku akidai ananipenda na hao wengine niwakupita tuu , nifanyaje?
Niliwahi teseka kwenye ndoa miaka 8 ila nilikua naogopa kutoka pale nikihisi siwezi ishi bila yeye niliamua kuondoka nina miaka 14 nanina mtukuza Mungu maisha yanaendelea
Ubarikiwe sana kaka masomo yako yananijenga sana kak
Inabidi watu walitambua na kuacha kujichelewesha wawe jasiri na kufanya mabadiliko.Acha kujichelewesha.Fanya maamuzi magumu.Jiamini!!!!!
Baada ya kudumu ktk ndoa miaka 16 mumewangu alinisaliti nilipitia maumivu makali sana nilijiona sina thamani kabisa,mungu wa ajabu nikapata connection ya kazi dubai niliacha vyote na kundoka,maisha yangu amebadilika sana mara kumi ya vile nilivyokuwa na mume,wito wangu tusiogope kubadilisha maisha yetu
Hongera sana dear
Hongera...Asant
I need your connection niondoke kwenye hii kadhia hapa nchini
Yaani kupewa tuzo kweli unastaili make uko kwenye ukweli ktk maisha yanatikea good .
Somotime nyumba tunazoishi au sehemu tunazofanyia kazi zinakuwa zimeziba riziki zetu mfano mimi nafanya kazi huu mwaka wa sita hakuna chochote nilichokifanya kila ninachokifanya hakifanikiwa na hata pesa ninayoipata inaisha pasipo kuiona nilichoifanyia katika hili kaka Joel naomba unisaidie
Pole sana mwana wa Mungu! Lakn nikuombe tu ukumbuke kutoa fungu la kumi Kwa Mungu aliye hai, kama hufanyag hivyo
Nondo tupu kaka!! Yaan yote uliyoyaongea ni kweli tupu
Ni kweli na Mimi pia napata changamoto iyo
Kwenye hili moja Toa zaka, then chukua kitabu cha Joel nanauka kinaitwa money formula kitakusaidia Sana, I mean utabadirika na utashangaa imekuwaje
Asante joel,clip hii imenifungua macho! Niliumia sana baada ya mme wangu kufanya mabadiliko ya kuniacha na kutafuta mwanamk mwingine,namshukur sana leo,nimeweza kujua uwezo wangu kuwa bila yeye maisha yanaendelea! Kweli mabadiliko yana gharama! Lakini yana fursa mzuri kwangu na kwake,niligundua akuwai kuona dhamani yangu,mabadiliko haya yametoa nafasi kwetu kila mtu kujua dhamani yake, nimepat nguvu mpya nipo sawa na maisha yanaendelea,Namshukur sana kwa mabadiliko aliyoyafanya❤❤
Hapa kaka umenigusa moja kwa moja yan daaah😢😢😢 Mungu akubariki sana nafanya mabadiliko now
Nashkuru Mungu nilikuwa nafanya kazi baada ya kuingia mgogoro na boss wangu kwa muda mrefu niliamua kuacha kazi na nikapata ujasiri wa kuanzisha biashara yangu ya bakery. Kweli kumbe majaribu ni mtaji, Ile kazi ilikuwa inasababisha nighairishe Kila siku swala la kujiajiri binafsi baada ya ugomvi ule nilijikuta sina option lazima niondoke.
Hongera dada mwanahid..
Hongera sana
@@LeilaMjaka
Shukran
@@stumaiayubu9747 shukran
Mungu azidi kukutumia bro
Maam kaka wengi wetu tunateseka na tabia kuna tabia tunashindwa kuibadilisha ili tubadilike kimaisha lakini tunashindwa mm nimebadilika nimeanza na mpemzi mwaka uu nimeona mapenzi yananipotezea mda kwa wakati uumda ukifika nitaendelea kwaio tujifunze kubadilikia aisee!! ❤mungu akusaidie kaka🙏
Joel ur the best man in this generation 🙏🏼
Kaka joel wewe ni mentor dahh yani unaniguasa mulemule kila nikiangalia video zako yan unazid kunipa hamsa na elimu zaidii
Ahsante sana kaka yangu kwa kunitia moyo nafanya kazi za ndani nadharaulika na kunyanyasika sana naishi maisha ambayo hayana uhuru naogopa kufanya maamuzi nahofia familia yangu najihofia mimi menyewe, ahsante kaka Joel maneno yananipa nguvu na ujasiri
Mimi pia mungu atusaidie
Ondoma
Hii inanihusu nahitaji kuondoka maeneo ninayofanyia kazi
Mungu akubariki
Mungu anibariki
asee kaka nakushukulu sana umeniludsha kwenye msital mungu akusimamie natuzo zakutosha uchukuwe
Mume /mke wanauawa sana maono ya wenzao.Inabidi kufanya maamuzi magumu.
Point ya maana sana asante kaka joel mungu akulinde 🙏
Hili somo linanihusu mimi nahitaji kubadilika natakiwa kuchukua hatua sana🙏🙏😢
Asantee kaka Kwa kazi nzuri na iliyobeba utukufu wa mungu, maana watu wengi tunaangamia Kwa kukosa maarifa, tunamshukuru mungu Kwa ajiri Yako🙏🙏
Joel kwa kweli nimekua nikuota mara kwa mara kabla sijakufahamu . Aise unanifundisha vizuli , pya nakuelewa sana . Mungu akuongezee furaha
Ahsante sana kaka Joel barikiwa sana ❤
Hakika nimejifunza kitu kikubwa sana kaka joel mungu akubariki zaid ❤❤
Barikiwa sana kwa Elimu bora inayoitoa. Mungu aendelee kukutumia
Nipo tayari kujiunga na MENTROSHIP kaka Joël Nanauka
Mungu akubariki sana kaka kiukweli unanibariki kila siku ❤❤
❤
Asante xana coach wngu nimejifunza kitu
Nashukulu bro Joel ntachukua hatua kubadilika
Nikweli Mr joel mm nilikua sithaminiwi kabisa njumbani lakini nilipo amua kubadilika nakwenda sehemu nyingine thamani yangu ikapatikana nashkulu sana🎉 mungu akubaliki
Shukurani xana... coach wetu...kw...kuendelea...kutufungua....barikiwa..xana.
Mungu atusaidiee🙏🏻🙏🏻
Asante sana
Shukran sana mkufunzi kwa hakika napata vingi Mungu azidi kukubaliki na kukupa kibali zaidi
Mungu akubariki sana
Asante sana kaka joel but sauti ipoo chini
Nakufatilia live kaka joel
Napokea hii ❤ kwa ajili ya kaka @joel😅
Unawezaje kujisajili
Ubarikiwe Sana
Well said,this is so powerful.
Blessed
Asante Sana nabalikiwa
Ahsante sana
Asante Sana kaka
Nice joel❤❤❤❤
Hongeraa
🙏❤️
Joel, hv anayezipandisha hz video anasikiliza kweli usikivu wa sauti yako na ya bg?
Kaka Ubalikiwe umenifungua macho naujasili hii coment na video itakua ushuhuda
Kaka joel nataman mabadiliko
Nina mpenzi anaependa kuwasiliana na wanawake wake waliopita na inaniumiza anajua sipendi lakini anafanya hivyo na mbaya zaidi sms zao ni za mapenzi zaidi uku akidai ananipenda na hao wengine niwakupita tuu , nifanyaje?