ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Hongera sana .Hii inatia MOYO🥂 KILIMO KWANZA 🥂Parachichi 🥑🥑 🥑 🥂 WAKULIMA 🥑🥑🥑NJOMBE 🇹🇿
Hongera sana mkulima...
Ni mbolea gani bora kwa miparachichi ili iweze kutoa mazao bora
Naomba mawasiliano nimependa Sana juhudi zako mafunzo yako natumaini Sana kupata shamba huko njombe
Nimeipenda
Hongera sana je Miche nitazipata vipi mi Niko Zanzibar
Kwa hali ya hewa ya Zanzibar sidhani kama yatasitawi vizuri
Mbolea inawekwa marangapi kwa mwaka
Maswali sio mazuri Mzee ana ujuzi mwingi
Mzee nampata vizuri nikweli mkulima mkubwa sana wa parachich hapo kijijini anapata pesa nying sana
Watanzania wenzangu mimi nimekwama mtaji wa kilimo naomba mnichangie japo nipate kianzio kidogo nitashukuru 🙏
Cha kupeewa huez kukuza Anza na ulicho nacho
Hali ya mvua iko je hapo?
safi sana nitauuliza mkurugenzi nikutembeleee
jichanganye uchukue mkkopo ulime uone
Wew ogopa wenzako wanapiga hela mzee
ira kwa muli 30 kwa mwezi iyo siyo kweri
Nani kasema mwezi 😅😅
Karibuu
Tunaomba no za huyo mzee
Hebu fungamdomo ruto ataku pandishia ushuru
Milion 30 mnaijua nyie?
Na wewe Dhahabu ya kijani unaijua wewe
Nampenda kujua Je hiyo inatokana na miti ya kuunganisha (grafting)? Unapokata nusu futi unabaki mti Gani?
Uongo
Yuajuamilioni huyu
Hongera sana .Hii inatia MOYO🥂 KILIMO KWANZA 🥂Parachichi 🥑🥑 🥑 🥂 WAKULIMA 🥑🥑🥑NJOMBE 🇹🇿
Hongera sana mkulima...
Ni mbolea gani bora kwa miparachichi ili iweze kutoa mazao bora
Naomba mawasiliano nimependa Sana juhudi zako mafunzo yako natumaini Sana kupata shamba huko njombe
Nimeipenda
Hongera sana je Miche nitazipata vipi mi Niko Zanzibar
Kwa hali ya hewa ya Zanzibar sidhani kama yatasitawi vizuri
Mbolea inawekwa marangapi kwa mwaka
Maswali sio mazuri Mzee ana ujuzi mwingi
Mzee nampata vizuri nikweli mkulima mkubwa sana wa parachich hapo kijijini anapata pesa nying sana
Watanzania wenzangu mimi nimekwama mtaji wa kilimo naomba mnichangie japo nipate kianzio kidogo nitashukuru 🙏
Cha kupeewa huez kukuza Anza na ulicho nacho
Hali ya mvua iko je hapo?
safi sana nitauuliza mkurugenzi nikutembeleee
jichanganye uchukue mkkopo ulime uone
Wew ogopa wenzako wanapiga hela mzee
ira kwa muli 30 kwa mwezi iyo siyo kweri
Nani kasema mwezi 😅😅
Karibuu
Tunaomba no za huyo mzee
Hebu fungamdomo ruto ataku pandishia ushuru
Milion 30 mnaijua nyie?
Na wewe Dhahabu ya kijani unaijua wewe
Nampenda kujua Je hiyo inatokana na miti ya kuunganisha (grafting)? Unapokata nusu futi unabaki mti Gani?
Uongo
Yuajuamilioni huyu