Umenihimarisha sana kiroho ambwene, namjua yesu amenishindia safari zangu zote bila kushindwa. Mungu ajaniacha . Uwepo wa mungu una nguvu na huyo ndiyo mungu . Uwepo wa mungu unafurahisha haijalishi upo wapi ,unafanya nini mungu ni mungu ukiwa naye utamshangaa anavyokutumia. Amaizing.
Amen,, Kaka ambwene... MUNGU huyu aishiye milele azidi kukupa hekima zaidi na zaidi na miwsho ufike kwake mbinguni. Hongera Sana kaka, majibu yako yananitia moyo na kuzidi kuwa na matumaini makubwa. Stay blessed more
mungu akutunze sana kaka mara ya kwanza nilikuona kwenye mkutano wa new life kiwila nilifurahia huduma yako nakupenda penda kiukweli kaka yangu ambwene
Heshima ya mrefu imesababishwa na mfupi... Jaribu Lipo ili MUNGU ajiinue kupitia hilo. .. Hakika mashairi ya ambwene yanahitaji hekima kuyaelewa ......be blessed brother
Ameni Mungu akubariki saaana mtumishi wa Mungu.Waimbaji wa nyimbo za injili wasisahau wanamuimbia Mungu aliye hai.Kimavazi kitabia mnawapa watu maswali sana.
Ni mtu wa nyumbani kwangu , anakipaji cha kufika, kufua, na nihasibu. Mungu azidi kuiinua karama iliyo ndani yako na akufanikishe Katika masanja .....watangazaji kwa umbea mpunguzeee.... Mke ni ni zawadi kutoka kwa Mungu... Ameen tumekubalika na Mungu..
Huyu mtangazaji amemboa mtumishi ila amejitaidi kumwelimisha... maswali hayaendani na mtu anayeulizwa...watangazaji tulieni kwenye kazi, kuna tofauti ya kumhoji ebitoke na ambwene
#Ambwene nakuombea mkono wa Mungu aliye hai uwe nawe daima ila USIUIGE ULIMWENGU KAKA, MAANA WATUMISHI WA MUNGU WENGINE WAMEKENGEUKA NA KUMUACHA MUNGU.
Huu wimbo mwanangu anaweza kuusikia siku nzima mbila kuchoka kweli umetubariki nyumba nzima namanisha familia nzima barikiwa mm pamoja na nyumba yangu yote tunakuombea abwene barikiwa sana sana
Mwambie huyo hajui watu wanakotokea ni wapi?Pengine hakuzaliwa mjini wala kijijini,labda alizaliwa shimoni maana haelewi hata maana ya Elimu kulingana na miaka inavyokwenda
Ahsante nimakuelewa sana ambwene
Mtangazaji.. Hapana! Nadhani hujaijua kazi yako, unahitaji kujipanga vizuri. Ambwene kakupa majibu mazuri sana ingawa maswali yako hayana mpango.
Majibu ya mazuri mtumishi tena ya kiMungu barikiwa sana ndg
barikiwa mtumishi
Akili nyingi sanaaa huyu jamaa.....! Hawa ndo tunasema ni kioo cha jamii, barikiwa sana Ambwene......
Hana akili nyangi Ila nguvu ya ROHO MTAKATIFU
Umenihimarisha sana kiroho ambwene, namjua yesu amenishindia safari zangu zote bila kushindwa. Mungu ajaniacha . Uwepo wa mungu una nguvu na huyo ndiyo mungu . Uwepo wa mungu unafurahisha haijalishi upo wapi ,unafanya nini mungu ni mungu ukiwa naye utamshangaa anavyokutumia. Amaizing.
Nakupenda, napenda nyimbo zako pia, mungu akuinue
Vrement j'aime tes chanson mon frére a bwene
Tukikotoka Bwana mbali sana hapa tulipofika wewe wajua ... Huu wimbo wako kaka Ambwene hunibariki sana Mungu aendelee kukupa neema
Uko vizuri na kazi zako pia mtumishi
Amen,, Kaka ambwene...
MUNGU huyu aishiye milele azidi kukupa hekima zaidi na zaidi na miwsho ufike kwake mbinguni. Hongera Sana kaka, majibu yako yananitia moyo na kuzidi kuwa na matumaini makubwa. Stay blessed more
mungu akutunze sana kaka mara ya kwanza nilikuona kwenye mkutano wa new life kiwila nilifurahia huduma yako nakupenda penda kiukweli kaka yangu ambwene
TUNAIMBA NYIMBO ZA INJILI bonge la message Kaka
Heshima ya mrefu imesababishwa na mfupi...
Jaribu Lipo ili MUNGU ajiinue kupitia hilo. ..
Hakika mashairi ya ambwene yanahitaji hekima kuyaelewa ......be blessed brother
God is incredible He is doing better we believe that we shall go further 🙏🙏🙏
Mzee wa mashairi Magumu ila wenye akili ma hekima hutambua na kuelewa.... Mungu Akutunze bro
Nakupenda sana kaka Ambwene, pia msimamo wako wa kiroho ni mzuri
umenisemea maneno yote niliyotaka kumwambia kaka Ambwene
Namkubali sana ambwene yupo tofauti ya wenzake mungu azidi kukutumia
barikiwa sana kaka unajibu vizur sana kwa hekima kiutumishi kabisa
Nakupenda sana ambwene mumgu akupe maisha marefu unaakili sana mjomba
Amen brother stay blessed, for sure unanibariki kwa nyimbo zako
safi sana ameniona nyimbo zako zinanibariki sana kyala akutule
Asantee kwa majibu Mtumishi.
Ameni Mungu akubariki saaana mtumishi wa Mungu.Waimbaji wa nyimbo za injili wasisahau wanamuimbia Mungu aliye hai.Kimavazi kitabia mnawapa watu maswali sana.
hongera san
Mungu azidi kukulinda katika maisha yako ninakuelewa sana kaka yangu.
Amen namtukuza Mungu kupitia wewe mtumishi
Mmh maswali yako hayana mvuto we kaka dah nimekufatilia sana asee badilika
Barikiwa Sawa dear kaka
Nyimbo zako hunipeleka rohoni. Nakupenda sana. Mungu azidi kukuzididhia hekima
Amen
Amin tusisahau miiko asante sana
big up Ambwene usiye na wivu. mnyakyusa Org
mungu akubariki sana kwa kazi ya mungu
God bless you Ambwene, nyimbo zako zinanibariki sana.
Amen
u are blessed bro for sure kila nisikilizapo nyimbo zako sibakigi kama nilivyokuwa...Bwana azidi kukuinua zaidi
Safi saaaanaaa kakaaangu MUNGU akutunzeeee
Amina ambwene
Amen kwa kutufariji
Mungu akutie nguvu mtumishi
We gudluck ndy anakutosha ..
Safi sana kaka ubarikiwe
Kaka Abwene kweli upo vzr sana. Mungu aendelee kukutumia.
Safiii sana
Mungu akubariki sanaa broh, nyimbo zako zina mafunzo makubwa sanaa
Tangu Majaribu ni Mtaji Wewe ni wa baraka kwetu,
Mungu akubari sana Ambwene.
Nakupenda sana bro mungu azidi kukuinua zaidi
uko vzr sanaaa mtumishi coz umaarufu haujakulewesha. washauri waimbaji wa kike waache ulimbukeni wasiige mitindo ya duniani
Una majibu ya kitumishi Ambwene, keep humbling
Hongera kaka ambwene kwa nyimbo zenye ujumbe mzuri
Kabisa
Love so much kaka mungu azd
Ahsante sana kkngu MUNGU wetu akusaidie zaidi nikivunjika moyo wanifariji kkngu sana....
Ubarikiwr
Namkubar sana kaka ambwene since tunasoma pamoja tia mungu haendelee kukuinua katika huduma
mtangazaji tulia kwenye kazi vizuri;jiongeze namna ya kuuliza maswali
Huyu kaka ni mtumishi wa kwel wa mungu
Napenda Sana nyimbo zako wanao weka madansa wanaharb sana
Ubarikiwe Ambwene
ambwene mungu akubariki sana kwa nyimbo zake nazipenda sana
Jassone Jasper
unajibu vizuri kaka
Mungu aendelee kukutia nguvu na moyo mkuu wa kuendelea kulitangaza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji
MUNGU akuinuwe zaidi
Ni mtu wa nyumbani kwangu , anakipaji cha kufika, kufua, na nihasibu. Mungu azidi kuiinua karama iliyo ndani yako na akufanikishe Katika masanja
.....watangazaji kwa umbea mpunguzeee.... Mke ni ni zawadi kutoka kwa Mungu...
Ameen tumekubalika na Mungu..
ukumbukwe milele
Mungu akusimamie
Hongela Kwa kumweshim Mungu
Hii topic jameni. Yaani raha zenu ni kuchunguza wake wa wenzio jameni. Sio kwa ubaya, nimeuliza tu
Mwandishi ongea kwa hekima. Umsifu Mungu.
We mzeee wa hekima ahsate kwa maneno mazuri sana yamejaa hekima
Hongera zako MTU WA mungu .
Nyimbo za ambwene anabaliki sana na anagu maisha ya watu
Huyu mtangazaji amemboa mtumishi ila amejitaidi kumwelimisha... maswali hayaendani na mtu anayeulizwa...watangazaji tulieni kwenye kazi, kuna tofauti ya kumhoji ebitoke na ambwene
Nimeipenda hiyo kueni na miiko waimbaji tambueni muziki mnaoufanya
Nakupenda kaka abwene
Anaakili sana
Mungu akuinue zaidi ....nyimbo zako zina nitia Moyo sana
kaka mungu azid kukutia nguvu.nyimbo zako zinatia moyo sana sana
Nakukubali sana
Kaka Rudi chuoni please interview haifanywi hivyo ndugu
Nabarikiwaga sana na nyimbo zako brother
Host. Bado hajui kazi yake
Hua nataman saa hata awe kka angu kbca lov broo ambwene
Safi sana bro
Abwene is very bright very bright
Nyimbo zako zimenibariki!!keep it up!!
Mi sipendi maswali ya huyu host wa hii tv ana mapepe sana
Dear Masanja , mtangazaji hana ladha
Mtangazaji Jaribu kuwa mtulivu na maswali unayouliza jaribu kuyausianisha na mazingira.
Unaongea na Mwimbaji unaleta habari za ng'ombe kweli
Nick huyu mtangazaji nahisi hajielewi,,
Nakupenda sanaaaa nyimbo zako zinanibariki sanaaaaa misuri ya imani Mungu akupe maisha marefu
Mtangazaji huna maneno ya kuuliza jinga ww
nzuri sana mungu akubariki
#Ambwene nakuombea mkono wa Mungu aliye hai uwe nawe daima ila USIUIGE ULIMWENGU KAKA, MAANA WATUMISHI WA MUNGU WENGINE WAMEKENGEUKA NA KUMUACHA MUNGU.
Mtangazaji,najalibu kukushauri unapoongea n mwimbaji mkubwa uwe mtulivu aisee!!.
mtangazaj 00000.0000% hujui kabisa kutangaza hujui kabisa tena masanja fukuza hyo ,,bradha kasome aseee .unahoji hovyohovyo .mara mziki ,,Mara ng'ombe aseee 000% .
Nyimbo zako zinatia moyo kaka songa mbele
00009%%%%%
Eliza Mpole wew mwenyew hujui hata kuandika vizur halafu unamhukumu mwezako😂😂😂, cheki ulivyoandika brother { bradha }???
Yaani 00000000000
Na barikiwa sana na kaka Ambwene
Kaka Ambwene songa mbele Neema ya MUNGU ikupandishe juu zaidi
Ahs kwa majibu mazuri kka Ambwene.Mtangazaji punguza wenge cool wakati wakuuliza maswali
Napendanga sana mashairi zako kaka ambwene mwaswongwe
nakupenda sana abwene
amekuweza ulivyo mmbea😅😅😅😅amekukwepa vizuriii
Napenda sana nyimbo zako zinanitia nguvu mno ubarikiwe
Safi
Unayimba vizuri sana kaka yetu Mungu ukuongoze vizuri
Huu wimbo mwanangu anaweza kuusikia siku nzima mbila kuchoka kweli umetubariki nyumba nzima namanisha familia nzima barikiwa mm pamoja na nyumba yangu yote tunakuombea abwene barikiwa sana sana
Ubarikiwe kaka
Mtumishi ubarikiwe sana
Mwambie huyo hajui watu wanakotokea ni wapi?Pengine hakuzaliwa mjini wala kijijini,labda alizaliwa shimoni maana haelewi hata maana ya Elimu kulingana na miaka inavyokwenda
Mtumishi Ambwene una upeo mkubwa,dakika chache nilizokusikiliza nimevuna mambo mengi chanya....Kunta...Kinte.
Unaweza kutangaza lekebisha matatizo madogo madogo pia uwe na Subira pindi unapo uliza swali
Huyu mtangazaji jaman! Mbona haeleweki kama hajitambui hivi au mnasemaje?
John Kananika ....yaani yupo kama punguani kichwani anaboa
Anayeulizwa ni mwerevu kuliko muulizaji, hahahaa