It's my first time to know you Mr innocent mashauri,,, I appreciate your work sir especially kwenye simulizi zako,,, it's real your talent god may take care of you in all your doings,,,,
Mambo yote yanayo jidhihirisha mwilini yalianzia rohoni. Wapi ambapo utaenda ujifiche Roho Mtakatifu awe hakuoni? Kumbuka Roho Mtakatifu anaishi ndani yetu tuliobatizwa kwa Roho. Roho Mtakatifu ni Roho wa Mungu, ni kitu gani mwanadamu anaweza kumficha Mungu? Hakiko. Unahangaika na wanadamu wasikuoene badala ya kuwa na hofu ya Mungu. Amelaaniwa yeye amtumainiye/amtegemeaye mwanadamu.
It's my first time to know you Mr innocent mashauri,,, I appreciate your work sir especially kwenye simulizi zako,,, it's real your talent god may take care of you in all your doings,,,,
Ameeen
Alafu, sisi ambao tupo Burundi itakuwaje, ili tusaidiwe Kwa Hilo DARASA ?
Mambo yote yanayo jidhihirisha mwilini yalianzia rohoni. Wapi ambapo utaenda ujifiche Roho Mtakatifu awe hakuoni? Kumbuka Roho Mtakatifu anaishi ndani yetu tuliobatizwa kwa Roho. Roho Mtakatifu ni Roho wa Mungu, ni kitu gani mwanadamu anaweza kumficha Mungu? Hakiko. Unahangaika na wanadamu wasikuoene badala ya kuwa na hofu ya Mungu. Amelaaniwa yeye amtumainiye/amtegemeaye mwanadamu.