JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Huyu kijana😭😭,da!mamake alihangaika saana ila mpaka amekufa dunia,dunia,dunia,x3 Mungu awalipe wote waliiwaumiza familia hii,da,babaake Mungu akupe nguvu,kiatu chako kigumu akivyaliki kwa mtu mwingine,
Wewe baba wewe kwanini kumfanyia mtoto wa mwenzako hiyo?Mungu atakulaani wewe mzee sanga wewe mchaga unaroho mbaya sana..Mungu mlaani huyu baba nimeumia sana..mdogo wangu rudi shule na Mungu atakuinuwa
Mm najiuliza sana kama mtu kapewa mimba na ni mwanafunzi kwa nini anafungwa moja tu wanatakiwa wafungwe wote ili na hao watoto wa kike watulie maana na wao hawasikii
Hyo Askari Mpelelezi alitakiwa akamatwe Mara Moja. Semi Hii Nchi bado sana. Wizara ya Mambo ya Ndani inajidhalilisha kwa hili,Jeshi la Polisi pia linajidhalilisha
Leo kijana yupo uraiani yaani hapa nawaza vipi kuhusu wazazi wa yule binti wanaiangaliaje hii familia ya huyu kijana pamoja na majirani wote ila hata hii serikali yetu kwa kukurupuka ndio wenyewe.
Jamani vijana kuna kitu cha kujifunza hapa...mzazi ni mzazi,nani kama nzazi. Mungu awabariki wazazi wote wenye mapenzi kwa watoto wao🙏🙏 huyu baba wa kijana,amempanbania sana kijana wake
Hii ni laana kwa hao wazazi. Siwaombei mabaya ila Mungu ni wa haki. Sio vyema, ila angalau ingekuwa ni watoto walisingiziana wao kwa wao. Ila wazazi kumshawishi mtoto, hiyo gharama yake ni kubwa sana. Inabidi aangalie jinsi ya kutengeneza, na hao maaskari pia wanalo. Hakimu labda awe hajua. Hao wote vizazi vyao vitateseka sana. Mungu ni Mungu wa haki
Asee 😣😖 Natamani hao askari wangejulilkana, wachukuliwe hatua. Halafu unamkamataje mtu bila kujieleza wewe ni nani? Yani askari hao hawana ufahamu wa kazi yao, huko ni kujenga uoga kwa wananchi wanaotakiwa kulindwa nao.
Ndomana unambiwa ukiskia mtu kafanya jambo la kustajabsha usijngze kushabkia kumuuwa kumdhuru wala kumchukia mtu uyo kabla hujathbsha ukweli utakuja mwaga damu isyo na hatia na kwa Mungu hutasamehewa
Huyu mjinga maria wapelekwe wote na huyo mbwa wake magereza wote au walipe huyu kijana milion30 kwakuwahurumia maana masikini au wakatumikie hicho kifungo miaka 60
Yaani kwa mimi,kwa kua nimetoka jela na hali ya kua nimefungwa kwa kusingiziwa.Lazma niwauwe mmoja wapo,eidha baba wa huyo binti au huyo jirani kimbelembele,lazma niwafyeke na panga,ili nikafungwe sasa kwa kua nimefanya kosa wallah.Hayo ni maamuzi yangu.
Jeshi la Polisi linanuka Rushwa sana. Hii kesi hata Polisi wameshiriki,Hivyo ilipaswa hao Askari kukamatwa. Pia nadhan kuna haja ya kulivunja jeshi la Polisi na kuliunda Upya. Liundwe na Watu wasomi na wenye Akili Timamu
Lakini Tanzania nchi yangu tuna ushamba na uonezi sana watu wengi wako jela kwa ujinga na upuuzi Kama huu mtu anakaa jela miaka yote hiyo Kwa nini mtoto alipozaliwa asipimwe DNA huo ni ushamba sana na unyanyasaji unamuhukumu mtu miaka 60 bila kua hata na uhakika Kama mimba yake na wakati wanawake wengi wa Tanzania hawajui baba za watoto wao ni ujinga Kabisaaaa
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Pole sana mdogo wangu , msamehe huyo msichana na endelea na plan zako za maisha
Hongerani sana global tv mumechangia sana kuachiwa uyo jamaa
Huyu kijana😭😭,da!mamake alihangaika saana ila mpaka amekufa dunia,dunia,dunia,x3 Mungu awalipe wote waliiwaumiza familia hii,da,babaake Mungu akupe nguvu,kiatu chako kigumu akivyaliki kwa mtu mwingine,
Pole sana mdogo wangu Glory to God 🙏🙏
Dah mungu ni mwema dogo karibu kwenye familia ya mama ako mwanga tupo pamoja.
Wewe baba wewe kwanini kumfanyia mtoto wa mwenzako hiyo?Mungu atakulaani wewe mzee sanga wewe mchaga unaroho mbaya sana..Mungu mlaani huyu baba nimeumia sana..mdogo wangu rudi shule na Mungu atakuinuwa
Kuna jambo nyuma ya hii 2 family's but mungu ajalala hongera umetoka pambana jitafutie siku yatawarudia
Pole mdogo wangu Mungu mwema kila jema kwako litapata muafaka Wasamehe waliokukosea sana.
Daaaah hii kitu almanusra inikute mwaka huu mungu atuepushe na watoto waongo
Huyo maria na wazazi wake walitaka kumkatisha ndoto mtoto wa watu, ila Asikari wetu acheni rushwa muwe na huruma
Pole Sana tumaini .. hapa cha kujifunza chonde chonde epuka kusaini bila kusoma unachosainishwaa😭😭
Ukikataa kusign wanakupa mateso mpaka ukubali watu wengi sana wameishia gerezani na ulemavu wa kudumu kutoka chumba cha mahojiano ya polisi.
@@seneu.2128😢😢
Kijana wawatu mtanashati jamani alikua anapotelea jela bila hatia 😢😢 Asante mungu
Jaman jela wapo wengi waliofungwa bila ya hatia yaani Mungu atahukumu kesho dah
Tena wengi
Baada ya hapo uyu mwanamke alomsingizia mwenzake mlifanyaje maana kesi kama hii iliwahi kunikuta mpk leo nmepoteza ndoto zangu zote kwa kusingiziwa tu
Mm najiuliza sana kama mtu kapewa mimba na ni mwanafunzi kwa nini anafungwa moja tu wanatakiwa wafungwe wote ili na hao watoto wa kike watulie maana na wao hawasikii
Mzee huyo aombe Rehema Kwa Mungu pamoja na aliokula nao njama, la sivyo vizazi vyao watalia mbele ya safari
Im bursting into tears😭😭
Pole sana,,wapo wengi sana waliofungwa Kwa kutokuwa na hatia ila mungu hachelewi Wala hawahi kutenda muujiza dahh ila inasikitisha sana
Mungu ndye mwenye haki kijana kashukulu Mungu kwa kutoa sadaka
Pole mdogo wangu hakika mungu ni mwema ametenda
Pole sana baba mungu mungu yupamoja nawe
Kusaini bila kujuwa 😢😢 mm waniuwe tu we tulibishana na mwarabu sikusaini wee
Serikali na viongozi wetu mrudisheni shule kijana wa watu atimize malengo yake
Kuna watu wana roho mbaya sana loh ! Ila mungu mkubwa
Hapo somo kubwa askari inabid watambue kuwa Kuna maisha baada ya uaskar
This is bless this is magic we thank god welcome our home boy
Msaidie kupata haki yake please globo
Hyo Askari Mpelelezi alitakiwa akamatwe Mara Moja. Semi Hii Nchi bado sana. Wizara ya Mambo ya Ndani inajidhalilisha kwa hili,Jeshi la Polisi pia linajidhalilisha
Ingepigwa faini kubwa hio familia ikakoma na wengine wapate funzo
😢😢 lengo ni kumkatisha ndoto zake mtt wawatu, muachieni MUNGU atawalipia akuna ubaya usirudi
Dunia haina Amani 😭😭😭😭
Bwana Yesu, nguruma, usiponguruma haya yataendelea
so sad k😢kwakwelifungua Kes ya madai ulipwe Na huyo Baba kukaa jela miaka 5bila kosa
Umaskini mbaya sana, pata picha kuna wanyonge wangapi gerezani
Daaah pole sana kaka
Inauma sana hii 😮😮
Poleni saana kwakweli so naikumbuka hii taarifa
Inasikitisha sana 😢 Pole sana. I hope serikali itamsaidia huyu kijana kimaisha! Sad!
Allah awalipe kheri inshallah
😭😭😭😭😭 duuuuuuu inaumizaaa
Inauma sana usikute mamaake kafa kwa msongo wa mawazo
LAZIMA,HUSICHEZE kabisa mama na mtoto wake WA kiume,wanatupenda sana mama ZETU,kuliko hata baba,huyo mama msongo WA mawazo
Amina Yesu hashindwi na chochote
Pole sana
Nimeikumbuka hii jaman Mungu ni mwema katoka
Amina mapenzi n hisia na km hazipo ata utembee uchi mbele yake utajichosha
Pole sn mungu yupo na ww
Leo kijana yupo uraiani yaani hapa nawaza vipi kuhusu wazazi wa yule binti wanaiangaliaje hii familia ya huyu kijana pamoja na majirani wote ila hata hii serikali yetu kwa kukurupuka ndio wenyewe.
Pole sana mdogo wangu😭
Daah inasikitisha sana Pole sana ila Mungu wetu alali wala asinzii
dah pole sanaaa
Hapo nimeelewa. Kuyamaliza kinyumbani. Mda wote wa mahusiano
Jamani vijana kuna kitu cha kujifunza hapa...mzazi ni mzazi,nani kama nzazi.
Mungu awabariki wazazi wote wenye mapenzi kwa watoto wao🙏🙏 huyu baba wa kijana,amempanbania sana kijana wake
Hii Dunia Acha Tu Nilikuwa nayasikia tu lkn hata mm niliyaona mahakamani aisee yan hakuna Haki 😢😢😢😢
Jesus Jesus thank you for this guy❤❤❤❤❤
Kweli bongo bado huonevu bado upo mtu wakukumiwa miaka 60 Aiwezekani kusikilizwa chemba cort 🙆♂️🇹🇿
Kwaalifa hii inaonesha vyombo vyetu haviwez kutafuta ushahid wakutosha pak inatokea mahaka inahukum mmtu wakat kumbe ni masingizio selikal niyakwaza kuwajibika kumpa mtu kosa asilo nalo pil wazaz wamtoto walio mlazimisha mtoto wao kisema uongo afya ya saikolojia yahuyu kijana hawajuwi wameihalibu paka Sasa
Hii ni laana kwa hao wazazi. Siwaombei mabaya ila Mungu ni wa haki. Sio vyema, ila angalau ingekuwa ni watoto walisingiziana wao kwa wao. Ila wazazi kumshawishi mtoto, hiyo gharama yake ni kubwa sana. Inabidi aangalie jinsi ya kutengeneza, na hao maaskari pia wanalo. Hakimu labda awe hajua. Hao wote vizazi vyao vitateseka sana. Mungu ni Mungu wa haki
Hivi na hili suala nalo tunahitaji mzungu aje atufundishe kwamba inabidi kabla ya kumfunga mtu inabidi mimba ipimwe kwanza?
Polesana
Asee 😣😖 Natamani hao askari wangejulilkana, wachukuliwe hatua. Halafu unamkamataje mtu bila kujieleza wewe ni nani? Yani askari hao hawana ufahamu wa kazi yao, huko ni kujenga uoga kwa wananchi wanaotakiwa kulindwa nao.
Hongera kijana dunia ndiyo hii
Aisee M/MUNGU mwema pambana na maisha
Naamini waliohuskika na hili serikali imesikia tunasubiri majibu kama serikali maana mnatuambia serikali yetu lnaongozwa kwa sheria na haki.
Ndomana unambiwa ukiskia mtu kafanya jambo la kustajabsha usijngze kushabkia kumuuwa kumdhuru wala kumchukia mtu uyo kabla hujathbsha ukweli utakuja mwaga damu isyo na hatia na kwa Mungu hutasamehewa
Iv Tz mtu akpotezewa mda iv jera bila hatia hawez kudai fdia???
😢😢😢😢😢 tunaonewa sana police changamoto
Jamani na majirani wote wamekusanyika wanaupendo sana,Mungu awabariki
Ni kwa uweza wa mwenyez mungu tu
Pole ndugu ya dunia ni mengi
Mungu ni mwema
Pole sana kijana
Hii ndio Tanzania nchi yangu mimi
Huyo askari alaaniwe na upelelezi unaweza ukamtaja huyo police
Kwani sheria inasemaje kwamtu alie mzingizia mwenzie jamani uyu kaka apate haki yake
Mungu asante kwa yote
Tabia ya askari.kukmata watu bila kufuata taratibu tutakuja kuuwana. Wanaviherehere sana.
Hii😢
Watu wengi wanafungwa bila hatia ila mungu nimwema zaidi
True but wenye hatia wako huru
Huyu mjinga maria wapelekwe wote na huyo mbwa wake magereza wote au walipe huyu kijana milion30 kwakuwahurumia maana masikini au wakatumikie hicho kifungo miaka 60
part2?
AKI TUZIDISHE DUA KWA WATOTO WETU WA KIUME JAMAN HII FAMILIA WALIOMUONGOPEA KESI HUYU JAMAA MUNGU ITAWAHUKUMI NA ISISAMEHEWE 😢😢😢
Nimefurahi jamani kumuona japo simjui
Yaani kwa mimi,kwa kua nimetoka jela na hali ya kua nimefungwa kwa kusingiziwa.Lazma niwauwe mmoja wapo,eidha baba wa huyo binti au huyo jirani kimbelembele,lazma niwafyeke na panga,ili nikafungwe sasa kwa kua nimefanya kosa wallah.Hayo ni maamuzi yangu.
Afisa upelekezi aliye usika afukuzwe kazi si vema kumfunga mtoto wa mtu bila kosa miaka 60 ili afie gerezani
Tunahitaji serikali mpya na bora zaidi ya hii iliyopo
Mtihani jamani kwa nini binaadamu tunapenda kuwakandamiza watoto wa wezetu
Yani maria na wazazi wake wafugwe. nafaini watowe
Wangekua ulaya lazima wangelipa kumsingizia mtu hivi pole
Asee 😣😖
INABIDI NCHI YA TANZANIA IFUNDISHE WANANCHI KWENYE TV KUHUSU SHERIA ZA NCHI ESPECIALLY UKIWA POLICE NA MAHAKAMANI.
nimefurahi sana
Dunia hii dahhh halafu mtu akichukua panga akienda kuua anaitwa muuaji inaumiza bhana
Jeshi la Polisi linanuka Rushwa sana. Hii kesi hata Polisi wameshiriki,Hivyo ilipaswa hao Askari kukamatwa. Pia nadhan kuna haja ya kulivunja jeshi la Polisi na kuliunda Upya. Liundwe na Watu wasomi na wenye Akili Timamu
Siameshajifunguwaa wakapime DNA ikisema hapana aiseh wachukuliwe hatuaa kali
Hao pata wapo site😅😅
Ila jmn Mambo mengine acheni tu
Sasa mbona ukumu ilikua kubwa mno miaka 60 Duuh pole san wakulipe
Asante Mungu huyu kijana katoka daaah
Huyo asKali mpelelezi nae akamatwe
Miaka 60yrs du ni mingi
Lakini Tanzania nchi yangu tuna ushamba na uonezi sana watu wengi wako jela kwa ujinga na upuuzi Kama huu mtu anakaa jela miaka yote hiyo Kwa nini mtoto alipozaliwa asipimwe DNA huo ni ushamba sana na unyanyasaji unamuhukumu mtu miaka 60 bila kua hata na uhakika Kama mimba yake na wakati wanawake wengi wa Tanzania hawajui baba za watoto wao ni ujinga Kabisaaaa
kwanza inatakiwa tujiulize hao polisi wanaofanya huu uchunguzi wapo maana kama wapo mpaka leo wangekuwa wameishamjua kigogo😅😅😅