LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มี.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 105

  • @Srene0225
    @Srene0225 3 หลายเดือนก่อน +10

    Mambo ya kuzingatia kabla ya kusema ndio;-
    1. Tambua thamani yako
    2. Usiseme ndio kwa kinywa chako mahali ambapo moyo wako unasema hapana
    3. Usikimbizane na rika(peer pressure),nenda kwa speed yako mwenyewe,usifanye haraka
    4. Usiruhusu hisia zako ziharibu maisha yako
    NB:'Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima'

  • @lestutamdota715
    @lestutamdota715 3 หลายเดือนก่อน +16

    Ni kweli kabisa .Baada ya kuachwa na mtu nilikuwa nampenda nilipoteza mwelekeo kabisa wa maisha sikuwa natumaini tena. Nashukuru mungu nilibahatika kupata ebook yako ya Jinsi ya kupona na maumivu ya kuhisi ulikuwa mwanzo wa kubadilisha mtanzamo . Yalikuwa si maumivu ya kimapenzi tu nilikuwa namaumivu ya toka utotoni maisha niliyoyaishi lakini pia maumivu ya kunyanyaswa kazini . Shukrani sana 🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน +4

      Hongera sana kwa kufanikiwa kusimama tena🙏

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hicho kitabu kinapatikana wapi

    • @eliastanda9825
      @eliastanda9825 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi ni muhanga wa mapenzi nilipata maumivu ya moyo mpk yakatokea kabisa physically Yan nyama za juu ya moyo zilikua zinauma sana ni kama moyo ulikua umejaa ni maumivu yasiyoelezeka nikaenda hospitali ila bado nikawa na maumivu hayo ila nilitafuta tafuta video za Joël nilikuta video moja inasema usinganganie mtu anayetaka kuondoka maisha mwako ilinitia sana moyo na kuinuka na maumivu yapo ila so kama mwanzo na pia nilinunua e book nikawa Bize na kujisomea saiv nashukuru Mungu sana nimebalikiwa maisha yanaenda so kama mwanzo ila yanaenda kwa namna yake ya kipekee nafurahia uwepo wangu apa duniani ushauli wangu kwako bro usiache hii kitu unaokoa watu wengi sana❤❤❤❤

    • @elishamwalongo3010
      @elishamwalongo3010 3 หลายเดือนก่อน

      @@joelnanauka ''????'

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli 💯 Mtupu haya mapenzi ndio yameleta vita Duniani hata mahali tunafanya kazi,ukichunguza unapata hata chuki vitina watu wanakufsnyia hata kazini unapata chanzo ni, mapenzi true chain..........................

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kama huna Imani na Mungu usiingie kabisa kwenye mapenzi ni hatari mno 😢

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa unaweza kufa imenikuta😢

  • @user-fu5wi1ez7e
    @user-fu5wi1ez7e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana kaka sikutarajia kama nitakuja kupata haya mafunzo kwa sababu sitaki maumivu niliyoyapataga mpaka ikafikia uamuzi nikataka nishindwe kufanya mtihani wangu wa mwisho😢😢😭😭

  • @user-fo8pd3cx9h
    @user-fo8pd3cx9h 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umetisha sana asante.ukweli mtupu. 4:01

  • @fedrickmwinuka1656
    @fedrickmwinuka1656 3 หลายเดือนก่อน +2

    Selection ya mpenzi kwenye maisha ya Binadamu yanasehem kubwa san

  • @VickyKijazi
    @VickyKijazi 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli moyo ni mdanganyifu, Mungu atusaidie nguvu za kuulinda. Barikiwa mwalm Mungu akutunze tuendelee kupona!

  • @user-ts4jr7ok1e
    @user-ts4jr7ok1e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sanaa uishi miaka mingi sanaa

  • @righitkileo
    @righitkileo 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤Joel Nanauka.❤❤❤Nakupenda sana❤unajua kufundisha❤Aisee Munqu akupe muda mrefu hapa dunian❤❤❤❤❤❤❤

  • @carolinekalume934
    @carolinekalume934 3 หลายเดือนก่อน +6

    Jamani nilikuwa nasubiri hii episode kwa hamu! Asante Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Hongera naaamini umejifunza

  • @DevothaJohnMagessa
    @DevothaJohnMagessa 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka nimejifunza sana juu somo hili,yaan umegusa maisha yangu ninayopitia kwa kipindi hiki..ubarikiwe sana

  • @gloriatoya72
    @gloriatoya72 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili

  • @LakinaneMuna
    @LakinaneMuna 3 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana Brother Joel hakika nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 2 หลายเดือนก่อน

    Mr..top...haki ... doze yako...iko.. .sawa .... asante sana

  • @user-lj4pz4pv8o
    @user-lj4pz4pv8o 3 หลายเดือนก่อน

    Muungu akubariki sana mkuu wangu mungu akupe nguvu zaidi

  • @tarsisiamwalongo6819
    @tarsisiamwalongo6819 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mno mtumishi ,japo hapo kwenye kumshirikisha mtu ni nje na mzazi au hata mzazi tu anatosha mshirikisha

  • @Elishanabagingisemvayle-ob4cm
    @Elishanabagingisemvayle-ob4cm 27 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe Sana daima, ningeli penda sana nipata kuzungumza nawe kwenye WhatsApp kama itakupendeza lakini.

  • @user-bi7hz1mu7p
    @user-bi7hz1mu7p 3 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks bro.. your biggest fan froma fb salma said.❤

  • @rosadamassawe8019
    @rosadamassawe8019 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana kaka Joel, hakuna kitu naogopa kama kusema ndio nikiwa sina uhakika. Yesu aendelee kukutunza.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Amen Rosada, ni kweli inahitaji muda🙏

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mwalimu.penzi nikitu kinacho kufanya uinuke ama uanghamiye amaubaki kiwete

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 3 หลายเดือนก่อน

    Daaah episode hii nzuri sana

  • @KelendoLaizer-yf8jy
    @KelendoLaizer-yf8jy 3 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa somo ubarikiwe

  • @KasimBadi
    @KasimBadi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you brother JOEL

  • @Tonga994
    @Tonga994 2 หลายเดือนก่อน

    Ahsante kwa Elimu hii kaka

  • @naomitheobald125
    @naomitheobald125 3 หลายเดือนก่อน

    Be blessed brother J.nanauka

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 3 หลายเดือนก่อน +1

    Somo🙌🔥👏🏆

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hayaa ni zaidi ya maarifa

  • @user-jx7nr7ll3x
    @user-jx7nr7ll3x 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki my Brother❤

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Ameen Ameeen

    • @user-ms3gw9if4h
      @user-ms3gw9if4h 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu akutunze na baraka zake ziwe juu yako Milele Amina

  • @user-zf1sp9ez4v
    @user-zf1sp9ez4v 3 หลายเดือนก่อน

    Expensive pain bro😢 shukran kaka we from far😢😢😢😢

  • @user-qv3eo5pb3g
    @user-qv3eo5pb3g 3 หลายเดือนก่อน

    Shukran joel ❤❤❤

  • @EMMANUELJOELLUHERA-lh6um
    @EMMANUELJOELLUHERA-lh6um 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe san

  • @user-er2if3dl9d
    @user-er2if3dl9d 2 หลายเดือนก่อน

    Kweriii aise mapenzi hayana utani kabsa usisemee kwamba natembea naye tu basi baadaye inaweza kuktuse kabsa yan,,

  • @peacennko2003
    @peacennko2003 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nondo hizi ✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨

  • @fawziyahassan5714
    @fawziyahassan5714 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Kaka JOEL

  • @user-sp1ig8ul2s
    @user-sp1ig8ul2s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nanauka kwenye line

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 3 หลายเดือนก่อน

    Shukrani kaka ❤❤

  • @user-gz1cd6kn5j
    @user-gz1cd6kn5j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amna kitu kigumu kama kupata mwenza sahihi kuishi ndoto zako na kupata rafiki sahihi

  • @isacksolomon5309
    @isacksolomon5309 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mwlm.

  • @user-td8zl2jd7r
    @user-td8zl2jd7r 3 หลายเดือนก่อน

    Ahsante kwa somo

  • @user-dy6mx4yc6y
    @user-dy6mx4yc6y 3 หลายเดือนก่อน

    Sijatoka bure
    Shukran sana sana kaka Joel Allah akubariki

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Nashukuru sana sana

    • @ZubedaVicent
      @ZubedaVicent 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@joelnanaukaMm cna amani na mmewangu ambae tumezaa nae tumefunga ndoa lakin nimeishi nae bila amani mwaka1 uliopita je mm nifanyeje pastor

  • @saidalhabsi9257
    @saidalhabsi9257 3 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢 umeniponya Asante sana kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Nashukuru kwa Mrejesho 🙏

  • @everose276
    @everose276 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka sisi tuliokwisha ingia sasa na kifungo cha ndoa ndio balaa sasa jinsi ya kutoka 😊

  • @eliasmugume254
    @eliasmugume254 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki Sana tena Sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Ameen Ameen Ameen

  • @nasha_59
    @nasha_59 3 หลายเดือนก่อน

    Asant sna kwa darasan hil naomb uwek namna yakupony maumiv ya muda mref plz tlishafany makos tnatak kupiny mioyo yet ili tusj tkafany tna makos

  • @edommdende4309
    @edommdende4309 3 หลายเดือนก่อน +3

    ❤️🙏

  • @LeahLuhwavi-pd6cz
    @LeahLuhwavi-pd6cz 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Sana ujumbe huu ni mzuri Sana.🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Nashukuru sana tuendelee kujifunza

    • @ZubedaVicent
      @ZubedaVicent 3 หลายเดือนก่อน

      ​@jpoelnanauka please help me

  • @user-bq7ym3tv1h
    @user-bq7ym3tv1h 3 หลายเดือนก่อน +1

    Napitia wakati mgumu kwenye ndoa ya miezi mitano tu najuta kusema ndiyo kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน +1

      Pole sana, tafuta ushauri mapema. Unaweza kuongea na msimamizi wako au kiongozi wako wa imani kwa kuanzia

    • @user-bq7ym3tv1h
      @user-bq7ym3tv1h 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@joelnanauka ahsante kaka

  • @johnwangubo3342
    @johnwangubo3342 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka joel nimejifunza kitu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Karibu tuendelee kujifunza🙏

  • @user-jx7nr7ll3x
    @user-jx7nr7ll3x 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi mwenyewe tangu nilipokubali napitia mateso na nimepoteza thamani na kukata tamaa kabisa

    • @godlistenmangowi9328
      @godlistenmangowi9328 3 หลายเดือนก่อน

      Usikwahi kukata tamaaa!amka ufurahie tena,Wafilipi 4:4

    • @user-gz1cd6kn5j
      @user-gz1cd6kn5j 3 หลายเดือนก่อน

      Pole asee NAMI pia napitia IRA tusonge mbele

    • @janetmbwana553
      @janetmbwana553 3 หลายเดือนก่อน

      Pole sana lkn bado unayo nafasi

    • @FrancisTossy-zy2tu
      @FrancisTossy-zy2tu 3 หลายเดือนก่อน

      Pole sana

  • @Yonzomc01
    @Yonzomc01 3 หลายเดือนก่อน

    Hasante sana kaka nimejifunza kitu ambacho skuwai kujua.

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 หลายเดือนก่อน

      Hongera....Kila siku tunajifunza.😊

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Shukrani sana, tuendelee kujifunza🙏

  • @user-ds2em7or1w
    @user-ds2em7or1w 3 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 3 หลายเดือนก่อน +1

    All in all Don't allow your emotion to destroy your life 😂😂😂

  • @beatricemwita4380
    @beatricemwita4380 3 หลายเดือนก่อน +1

    Niliwahi kupenda mtu mpk tukapata mtoto ila hakuwahi kunijali wala kunithamini kwenye maisha yake ila mtoto akafanyika baraka na kunifungulia milango mingi sana ila mpk sasa naogopa kupenda, nimeshamsahau nalea mtoto wangu hayupo kwenye akili moyo wala maisha yangu ila sijawahi kupenda tena wala kuingia kwenye mahusiano, Ee Mungu nisaidie nipate mtu sahihi atakayenipenda Mimi na mwanangu kama nitakavyompenda yeye

    • @samwelimwanja4105
      @samwelimwanja4105 3 หลายเดือนก่อน

      Pole sana betric

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 3 หลายเดือนก่อน

      Nan wa kukupenda wew na mwanao?

    • @beatricemwita4380
      @beatricemwita4380 3 หลายเดือนก่อน

      @@priscusaugust7251 atakayenipenda dear na sio lazima sababu nimeshamchagua mwanangu kama chaguo la kwanza hivyo hata asipopatikana Haina tatizo ndugu

    • @beatricemwita4380
      @beatricemwita4380 3 หลายเดือนก่อน

      @@samwelimwanja4105 ahsante ndugu

    • @FilbertHabashi-zn1qu
      @FilbertHabashi-zn1qu 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@priscusaugust7251 Priscus August, ongeza sauti kidgo. Kiukwel kwa maisha ya sasa hakuna mtu wa kumpenda mtu na mwanae, na isitoshe mtoto atakuwa hyo kuna siku atamfata babake, so ni ngumu upate mwananume wa kuwapenda ivo. Kikubwa mtoto akifikia wakat wa kuish na baba, itakuwa rahis utafute mwanaume wa kukupenda wwe.

  • @vanessasalema6087
    @vanessasalema6087 3 หลายเดือนก่อน

    Noted.

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 3 หลายเดือนก่อน

    AHSANTE

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 3 หลายเดือนก่อน +1

    Absolutely 💯 💯 💯

  • @abdulfatahjuma3105
    @abdulfatahjuma3105 3 หลายเดือนก่อน

    More blessing

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Ameen Ameen 🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Ameenn

  • @rebeccakisale
    @rebeccakisale 3 หลายเดือนก่อน

    🙏🏾🙏🏾

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 หลายเดือนก่อน

    Uko na copy za vitabu kwa lugha ya Kiingereza?

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka Joel barikiwa zaidi, mimi maumivu ya mapenzi yalinipa changamoto ilifika kipindi nilitamani kujiua,ila kwasasa nimepona ninapambania maisha yangu,nanimeamua kujipenda mapenzi kwa sasa hayana nafasi bado natafuta naamini ipo siku nitapata mwanaume sahihi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka Joel sikuiz husem chochote kwenye komenti,,hulaik why?

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน +1

      Najitahidi ila kuna wakati nashindwa mambo yanakuwa mengi

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ila kuhusu mapenzi dah! anyway ninaujasili wa kusema mzizi wa mapenzi kwangu uling'oka tangu nikiwa na 36year mpaka sasa namshukuru Mungu nina 46 cjawahi fikili kutamani tena kitu mapenzi au mahusiano ,nimegundua kitu mapenzi bora ni wewe mwenyewe kujipenda na kujikubali ,nilisoma kwenye biblia nafikili wimbo ulio bora imeandikwa kabisa usiyachokoze mapenzi mpaka yatakapoamua yenyewe.

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 3 หลายเดือนก่อน

    Boss kuna namba umetoa napiga hupokei hata msg sijajua tatizo nini

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana 0756-094875/ 0762 31 21 71 / 0745 25 26 70

  • @paulmayombe4336
    @paulmayombe4336 3 หลายเดือนก่อน

    Mapenzi ni kama gemu flani iv jmn mtu akishajua umemp3nda ndo anaanza kukufanya anavotaka