Watumishi wa Mungu asanteni kwa mafundisho haya mie namshukuru Mungu kwa masomo haya naomba Mungu anisaidie nami nibebe Bango la uamsho na kanisa familia watu wajue na kugeuka..hongera sana familia ya Mungu
Bwana Yesu asifiwe wana wa Mungu. MUNGU ainuliwe zaidi na zaidi kwa kulilejesha kanisa lake , kanisa la familia. Kwa kuwafuatilia hivyo yivo, nasikia fulaha moyoni kiasi kwamba unadhani nimeketi pamoja na nyie papo hapo. Mbarikiwe sana na Bwana kwa kazi njema mnaoifanya. Amen amen Litukuzwe Jina la BWANA WETU , YESU KRISTO.
Atukuzwe Bwana wa Majeshi Neno hili ni kweli na Akika na kweli maana mimi Danieli nilipokuwa sayuni mlima wa Mungu kuna siku Bwana alinambia kuwa kuanzia leo TENGWA ndio Baba yako Namtukuza sana Mungu.
Watumishi wa Mungu asanteni kwa mafundisho haya mie namshukuru Mungu kwa masomo haya naomba Mungu anisaidie nami nibebe Bango la uamsho na kanisa familia watu wajue na kugeuka..hongera sana familia ya Mungu
Amen watumishi wa BWANA
Mungu awatunze sana tupo pamoja
Msukumo mkubwa sana
Atukuzwe mungu wetu
Bwana Yesu asifiwe wana wa Mungu. MUNGU ainuliwe zaidi na zaidi kwa kulilejesha kanisa lake , kanisa la familia. Kwa kuwafuatilia hivyo yivo, nasikia fulaha moyoni kiasi kwamba unadhani nimeketi pamoja na nyie papo hapo. Mbarikiwe sana na Bwana kwa kazi njema mnaoifanya. Amen amen Litukuzwe Jina la BWANA WETU , YESU KRISTO.
Atukuzwe Bwana wa Majeshi Neno hili ni kweli na Akika na kweli maana mimi Danieli nilipokuwa sayuni mlima wa Mungu kuna siku Bwana alinambia kuwa kuanzia leo TENGWA ndio Baba yako Namtukuza sana Mungu.