JINSI YA KUONGEA NA MUNGU KAMA RAFIKI - Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- JINSI YA KUONGEA NA MUNGU KAMA RAFIKI - Innocent Morris
Katika somo hili utajifunza vitu vingi sana vitavyokusaidia katika mahusiano yako na Mungu. Somo hili ni maalum kwa ajili ya kujifunza jinsi ya kujenga mahusiano yako na Mungu.
Ubarikiwe sana.
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
#holyspiritconnect #innocentmorris
Ee. YESU nipe neema ya kuwa Rafiki yako siku zote za maisha yangu nikuelezee mambo yangu yote maana wewe ni Rafiki mzuri katika maisha yangu
Ameen ameeen
Amen
Ee Yesu ,bwana wangu ,nataka uwe rafiki yangu kweli ili unisaidie katika maisha yangu siku zote,nakupenda bwana wangu Yesu Kristo.
Mungu wa mbinguni akutunze na kukuinua zaidi somo lako limenibariki sanaaa Naomba Roho Mtakatifu anisaidie kuujenga urafiki na YESU
Mungu nipe neema ya kuwa Rafiki yako.
Amina mtumishi wangu ee mungu naomba baraka juu ya maisha yangu najikabidhisha mikononi mwako
Barikiwa mtumishi kwa mafundisho mazuri tunahuishwa kila siku
Asante kwa ujumbe huu Mungu nijalie neema niwe rafiki yako
Napenda sana kuwa lafiki wa yesu maana alinilipia deni la dhambi
Amina mtumishi nimependa sana somo hili limenibariki sana!
Nayakubali mafundisho yako mchungaji Mungu akulinde uendelee kutufundisha tunayostili kuyafanya,Mungu akubariki
Ubarikiwe sana mutumishi
Ee Yesu rafiki yangu mpenzi, nakukaribisha
Thank you Almighty Lord for this blessing of getting to know you through your servant 🙏🏽Asante sana Yesu mwana wa Mungu aliye hai
Eeh Bwana yesu ninaomba kuanzia leo ww uwe rafiki yangu Baba uniongoze vyema
Asante Yesu rafiki wa Karibu
Asante Roho mtakatifu kwa kunifundisha kwa lugha nyepesi na rahisii.. YESU kuanzia sasa mimi ni rafiki yako nipokee
Asante sana kwasababu sikukuwa na juwa Kama Nina pwasa kumwambia Mungu mambo yangu , Nime shukuru sana kwamafundisho yako.
Mtumishi nimempokea Bwana Yesu kwa moyo wangu
Hakika umenisaidi zaidinaitaji kuwa rafiki wa yesu na yesu awe rafiki yangu wakunijurisha siku zote zamaisha yangu
Asante yesu asante sn ww ni rafk mwema
Asante mtumixhi mungu akubaliki umenifnza kitu kizuri kuanzia sasa yesu ni lafiki yangu mzuri nampenda sana
Nimempokeya bwana yesu
Asante BWANA YESU wewe ni rafiki yangu siku zote Ninapenda sana Rafiki wa Moyo wangu naomba ukae kwangu nami ndani yako milele
Ee Rafiki yangu kipenzi changu wa maisha yangu nitakupenda siku zangu zote za maisha yangu ninaomba ukawe nami daima milele na milele 🙏🏿🧎
Asante sana mtumishi wa mungu na mungu akuinue zaidi umenijenga kiroho
God bless you 🙏👏god is my friend
Amina Amina
Nimekupenda bure Mungu awe nawe katika kila jambo
Amen And Amen Yesu ni rafiki wa kweli
Bwana yesu tembea nasi. Kaa Nami uniongoze katika maisha Yangu yote ameen
😢Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
Mtumishi wa Mungu Asante sana kwa mafundisho mazuri.
Mungu akuongezee siku nyingi za kuishi ili kwa kinywa chako mtumishi tuzidi kupata maarifa ya ki mungu Amen
Amina
Naomba Yesu uwe rafiki wa kweli kwenye maisha yangu nakuamini sana kwamba wew ni rafiki wa pekee kwangu🙏🙏
Yesu rafiki yangu mzuri
Pastor ahsante Sana kwa somo zuri
Kutana na maitaji yangu masaaa haya eeeeh mungu wangu
Ee Jehova nakusihi uwe rafiki yangu daima na milele Amen.
MTUMISHI ASANTE SANA
🙏🙏🙏
Amina kubwa mtumish mungu azidi kkbariki, na kuendelea kkpa maarifa zaidi ili tuzizi kuelimishwa. 5:22
Bwana YESU naomba uwe Rafiki yangu wa kweli ktk maisha yangu na uzao wangu.
Amen and Amen 🙏
Mungu akutunze nakuombea katka jna la YESU ❤❤❤
Asante Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana
Ubarikiwe pastor umenifungua
Yesu naenda na wewe
Mtumishi nimempokea bwana yesu
Amen
Mimi nataka kujua unapatikana wapi haya ndiyo mafundishooo
Mungu akubariki sana
Nimtoe wapi rafiki wa kweli kama Yesu Eeeh Roho mtakatifu naomba unifanye 1 kati ya rafiki zako nakupenda 🙏❤️🎉
Ameen ameeen
Amina amina amina kweli kweli umenivusha umeniongezea hatua kwenye safari yangu ya imani ktk Kristo yesu umenigusa ndani ya kilindi cha moyo wangu asilimia kubwa nashindwa kuelezea hisia kwa kadiri nilivyoguswa na somo hili zuri mno❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤.ahsante bwana mungu ktk kristo,pia imeandikwa japo sipo nanyi lakini nipo nanyi kiroho naamini nimeeleweka vyema ktk kristo yesu.
Ewe Mwenyezi Mungu ninakuomba uwe Rafiki yangu wa kweli katika jina la Yesu Kristo Amen Amen 🙏 🙏 Amen Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 and Ameeeeen
Ameen ameeen
Ee rafiki yangu,
Mamayangu
Babayangu
Baba wayatima nijaze imani
Nibariki na unisaidie nikumbuke baba naharibu mno nimechoka
Ahsante Bwana YESU kwa kunipenda hata ukaruhusu nisikie na kujifunza somo hili zuri
Sawa mtumwa wa kristo nimekuelewa
Asante mtumishi kwa neno la kujenga mahusianona Yesu ambaye ni rafiki wa kweli.Mungu niwezeshe Nitshill kama neno linavyonena nwe rafiki wa kweli wa Bwana Yesu ,Amena.
Ameen ameeen
Hivi kusema ukwer watumishi wote wa Mungu wangekua watufundisha yalio sahihi kama haya kwer tungefika mbinguni bila kuchoka sana ubarikiw sana Mtu wa Mungu kwer ningejua uliko nikukununulia ka soda basi maana umeufariji moyo wangu ni yesu ameongea kupitia wew❤
Ee Mungu wangu naomba uwe rafiki yangu wa karibu sana uwe mwandani wangu wa karibu sana ,
Ee YESU nipe Neema ya kuwa Rafiki yangu siku zote.
Ameen ameeen
Asante YESU
Nakupenda Yesu na uniongoze ili nipate kuongeya na wewe kama rafiki maishani mwangu.
Mungu nifanye kuwa rafiki yako wa karibu I love you Jesus
Ameen ameeen
Amen Mchungaji, barikiwa sana kwa ujumbe huu wa mafunzo ya kutujenga kwa maisha yetu ya kiroho!!
🙏🙏🙏
Nimeshuku sana Leo juu nimejua vile utakuwa rafiki yangu ya kweli nimeshuru sana kutoka Leo mpaka siku sote za maisha yangu ,yesu utakuwa rafiki wangu 🙏🙏🙏
Very true God is a good friend 🙏🙏🙏🙏
Yes na penda uwe rafikiya yangu wa kweli , Amen 🙏🏾
Ameen ameeen
Nakupenda yesu wewe rafiki wa kweli, natamani nikupende zaidi na nikijue nikumimbilie na nidumu ktk pendo lako😊
Amen amen amen 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Ameen ameeen
🙏🙏🙏
Ameen ameeen
Amina MUNGU akubariki mtumishi kwa kweli nimepata kitu
Ameen ameeen
Amina, barikiw
Mungu wa mbinguni naomba unifanye kuwa rafiki yako wa milele
Mungu nipe NEEMA ya kuwa rafiki na wewe
Ameen ameeen
Hakika bwana yesu wewe ni rafiki mwema naomba nikuelezee mambo Yangu Leo. Nakupenda yesu
Yesu wambinguni wewe ndo rafiki wa kweri na familia yangu kazi yangu Amen
Ameen ameeen
Ee Mungu ninakuamini sana,naomba uwe rafiki yangu milele
Amen ,,,,Yesu nifanye kuwa rafiki wa maisha yang yote
❤Naomba unifanye kuwa Rafiki wa karibu nawe Yesu
Ameen ameeen
Amina AMINA NAOMBA KUKUJUA ZAIDI YESU
Ameen ameeen
Amen Amen 🙏🙏
Bwana Yesu nifanye niwe rafiki wako wa karibu
Ameen
Bwana yesu nifanye Mimi kuwa rafiki yako Mimi na watoto wangu
Eeh mungu naomba uwe rafiki wangu wakaribu tena sana niwe nakuambia siri ya moyo wangu yote
Ameen ameeen
Amen Amen Amen Asante Yesu kwa Neno hill
Ameen ameeen
Naomba nifanye kuwa rafiki wa Karibu nawe Mungu❤
Ameen ameeen
Barikiwa mtumishi ,Yesu ni rafiki yangu
Amen, nimependa hii barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Ameen ameeen
Ubarikiwe pia
Amen, hili somo limenijia wakati muafaka
Asante Yesu kwa kuwa wewew ni rafiki wa kweli
Yesu Kristo wewe ni rafiki wangu wa kweli.
Halleluya halleluya rafiki wa kweli n yes tu
Ameen ameeen
Mtumishi nimempokea bwana yesu katika maisha yangu yote
Amen eemungu nisaidie naunipe kiu ya kukujua wewe ili niwe Rafiki uako
Amen 🙏
Namupenda yesu kiuwa rafiki yangukila siku yamaisha yangu
Uwe kila kitu kwangu Ee YESU wangu. Nisikufiche jambo lolote kwa kuwa uu rafiki mwema
Ameen ameeen
Amee
🙏🙏🙏
Naomba emanuel akawe rafiki wa yesu
Yesu ameundwa kaka hajawahi kuwepo huo ni uzushi wa Waandishi Yer 8:8
Rafiki mwema siku zote
Mimi naitaji maombi naniwe karibu na Mungu awe rafiki yangu milele🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Bwana yesu nisaitie nikue rafiki yako sikuzote
Ameen ameeen