LIVE: RC MAKONDA ANAZUNGUMZA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA LONGIDO - ARUSHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2024
  • ‪@millardayoTZA‬

ความคิดเห็น • 34

  • @abdallahmahsen4091
    @abdallahmahsen4091 28 วันที่ผ่านมา +5

    Mh. Makonda mungu akubariki sana ,, neno 1 kali sana ,, 1:59:19 ,, kwa maana yakwamba hapa kuna tochi badala ya kuwa na Taa ,, kwa maana ya kwamba ushakaa chini na kutafakari ,, kuwa Unafahmu kila kitu kinachoendelea katika kikao chako NAMANGA ,, mungu akubariki sana !

  • @issayasanaree1319
    @issayasanaree1319 28 วันที่ผ่านมา +10

    Me nakubali kila kiongozi ana mazuri yake na mabaya yake lakin pale anapo patia alau tumpongeze kusema ukweli makonda jwa sasa ndie kiongozi namba 1 tanzania anaye upiga mwingii

    • @paulnaingo6860
      @paulnaingo6860 28 วันที่ผ่านมา

      Kuna waziri wa aridhi nae yupo 🔥🔥🔥

  • @leahkabura4271
    @leahkabura4271 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenye shibe hamjui mwenye njaa! Mh Makonda Mungu akutunze

  • @MyMercy84
    @MyMercy84 26 วันที่ผ่านมา

    Engineer nimemkubali..anaelezea vizuri

  • @devotatarimo8141
    @devotatarimo8141 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nampongeza huyo Mwl. Pili nampa pongezi huyo engineer anajua kufafanua vzr hongera dada.

  • @churicharles7978
    @churicharles7978 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda Kati ya viongozi na wew upo unafaa kuwa kiongozi daima

  • @JustineZepha
    @JustineZepha 28 วันที่ผ่านมา +3

    Makonda oyeeeeeee

  • @janetymusa610
    @janetymusa610 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kwakweli tunaumia sana wilaya ya longido bili ya maji Iko juu unit nishilingi 1800 ukipiga kwa mwezi ni hela nyingi sana tunaomba tu mtudaidie kupunguza bili hio nikubwa sana

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549 27 วันที่ผ่านมา +1

    Dawani kajivua mwenyekiti kajivua kazi wanayo

  • @bakarimajaliwa247
    @bakarimajaliwa247 28 วันที่ผ่านมา +1

    watumishi wana dharau sana

  • @user-vf9qw4fb2e
    @user-vf9qw4fb2e 26 วันที่ผ่านมา

    Makonda nikiongozi bora

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ongela mkuu wamkoa makonda ongela ras

  • @ladslausngole2063
    @ladslausngole2063 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ana kitu huyu kijana

  • @Mohamed-kx2ij
    @Mohamed-kx2ij 28 วันที่ผ่านมา +1

    Engineer uwezo mdogo kichwani, sijui chuo gani na ajira amepataje?

  • @Mendietadiamante7971
    @Mendietadiamante7971 28 วันที่ผ่านมา +4

    Fedha zinazotolewa kwaajili ya miradi haziakisi gharama halisi za ujenzi muda mwingine Kwani utofauti wa bei za materials kwa maeneo mbalimbali unatofautiana, vilevile Geography factor kama anayosema engineer(ya bonde la ufa) inaweza kusababisha gharama kuwa tofauti kwani foundation inakua tofauti na maeneo mengine.Mh anachofanya ni kudictate maongezi.

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat6773 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ila mkuu wa shule 😢

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 28 วันที่ผ่านมา +2

    Kiongozi Bora Sana, hongera sana tata Makonda

  • @jessmassw1205
    @jessmassw1205 28 วันที่ผ่านมา +1

    Karbu tena Namanga

  • @user-bp9rb3id3f
    @user-bp9rb3id3f 28 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa atawanyoosha 😂😂😂😂

  • @smartboytz4724
    @smartboytz4724 28 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂makonda nihatali

  • @goodluckBuretta
    @goodluckBuretta 28 วันที่ผ่านมา

    mambo ya miradi on fire

  • @MwanahamisSaid-bt1xf
    @MwanahamisSaid-bt1xf 26 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😅🎉

  • @neemasanare3474
    @neemasanare3474 26 วันที่ผ่านมา

    Huyu anaemwelekeza 😂

  • @JumaKipingu
    @JumaKipingu 28 วันที่ผ่านมา

    Gresi umenizarau sana

  • @rajanyoussuph1513
    @rajanyoussuph1513 28 วันที่ผ่านมา +1

    duh, jamaa anabana

  • @Mohamed-kx2ij
    @Mohamed-kx2ij 28 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa wilaya hafai

  • @jessmassw1205
    @jessmassw1205 28 วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @amoskahindi7256
    @amoskahindi7256 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani vita ya DR GWAJIMA ilisha?

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 27 วันที่ผ่านมา

      Zamani sana baada ya Jamaa kutoka ukuu wa mkoa wa Dar

  • @denisngowi8572
    @denisngowi8572 27 วันที่ผ่านมา

    uyooo jamaaa mtu sana

  • @amirabdallah6984
    @amirabdallah6984 27 วันที่ผ่านมา

    Wapewe nafas watu wajieleze

  • @JumaKipingu
    @JumaKipingu 28 วันที่ผ่านมา

    😂