Makonda ho ndio wafanyakazi kwakweli inasikitisha sana kila sekta haiwjibiki kwenye.wajibu.wake na hana mawasilano na ote ni selikari moja kama gali ya mkurugenzi imekuwa ya mtu.binafisi kweli ipo changamoto sana
Hivi inawezekana vipi kumpa mwalimu mmoja TZS BILION TATU ili ajenge shule mpya badala ya kutumia mfumo wa tendering kwa kumpa kazi tenderer? Huu mfumo huu haufai hata kidogo na utaratibu huu ni kuwaweka walimu kwenye shida tu!
MKUU WA SHULE KANICHEKESHA SANAAA 😂😂😂😂
Engineer uko vizuri sana
Nguvu kazi ni wanafunzi hakuna mafundi hapoo
Hawa walimu wakuu wengine sijui huwa wanatolewa wapi?😂 Lakin sishangai kwa sabab wanateuliwa na ofisi za serikal haohao
ENGINEER ANAJITAHIDI KUKIMBIA MASWALI 😂😂😂
Mheshimiwa mkoa😂
Why should you not .use contractor?
Makonda ho ndio wafanyakazi kwakweli inasikitisha sana kila sekta haiwjibiki kwenye.wajibu.wake na hana mawasilano na ote ni selikari moja kama gali ya mkurugenzi imekuwa ya mtu.binafisi kweli ipo changamoto sana
Huyo dada mweupe mwenye tattoo anitafute
Tunataka viongozi kamaww Tanzania Hill tupate mandeleo
Injinia anajua anaongea nini anajitahidi kwa kwl
Dada upo vizuri sana wewe ni zaidi ya injinia
Hivi inawezekana vipi kumpa mwalimu mmoja TZS BILION TATU ili ajenge shule mpya badala ya kutumia mfumo wa tendering kwa kumpa kazi tenderer? Huu mfumo huu haufai hata kidogo na utaratibu huu ni kuwaweka walimu kwenye shida tu!
Sawa mambo ya kitaalam,,,,,wanasemaga bush cutting milioni 80,hatujui maana yake
Hata kama sijasoma lakini huyu mkuu wa shule hakujipanga kwenye mhuu mkutano
Asande mkuu
Teacher dabuya kua nanizam