MADHARA YA ROHO ZA UZINZI ZINAA NA UASHERATI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2022
  • Karibu tujifunze BIBLIA pamoja. Neno la Mungu ni taa na mwanga wa njia zetu hivyo karibu tujifunze namna ya kuitumia hiyo taa vizuri na kuielewa vizuri. Neno la MUNGU lisilo goshiwa
    .
    Tunapatikana Dar es Salaam, Tabata Kinyerezi
    Kwa mawasiliano na sadaka :- +255762664498

ความคิดเห็น • 19

  • @agnesnzali5724
    @agnesnzali5724 4 หลายเดือนก่อน

    Aaa Mungu akubariki nmepata kit kipya na Cha kunivusha

  • @magrethdamiano6305
    @magrethdamiano6305 9 หลายเดือนก่อน +1

    Amen pastor wanaume kama nyie tunawatafuta lkn hawaonekani,, mama apo anajisikia vizuri sana anajivunia kuwa nawe

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 9 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen mafundisho ya uzima haya vzuri kwa vijana Sisi ndoa ucha Mungu Yusufu alikimbia tuikimbie Zinaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥....

  • @claudiamzava7640
    @claudiamzava7640 3 หลายเดือนก่อน

    Amen Pastor.

  • @collinslyimo448
    @collinslyimo448 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen 🙏

  • @hamisingumbi998
    @hamisingumbi998 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie nguvu mtumishi

  • @mosesnnko5591
    @mosesnnko5591 9 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @theodosiamushi5411
    @theodosiamushi5411 8 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli mtumishi wa mungu

  • @user-lc3km8ry6m
    @user-lc3km8ry6m 9 หลายเดือนก่อน

    Amen 👃👃

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @apostlepaul4522
    @apostlepaul4522 3 หลายเดือนก่อน

    Dhambi ni zambi Mtumishi ubarikiwe ni vema kusema ukweli na kulionya kanisa na kulifundisha kanisa kukaa na kuenenda ktk usafi Mimi nakuunga mkono ubarikiwe

  • @MeshackAngel-kc2gc
    @MeshackAngel-kc2gc 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuinue

  • @annasilaa6578
    @annasilaa6578 9 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa Mtumishi

  • @user-xc1dv8dc9n
    @user-xc1dv8dc9n 11 หลายเดือนก่อน

    Ni hatari sana

  • @aaroneu07
    @aaroneu07 ปีที่แล้ว

    Hongera kaka.

  • @magrethmwakifuna9792
    @magrethmwakifuna9792 8 หลายเดือนก่อน

    Kama una ufunuo Mungu amekupa wewe juu ya jambo hili wewe lifundishe usitafute kudharau watumishi kana kwamba wao sI wa Mungu ila wewe Jana kwamba hawajui kufundisha ila wewe.Kumbuka Mungu anaweza kukupa neema hii haimaanishi wote wawe kama wewe,huyu japewa hiki na huyu hiki.Usimdharau mwingine maana wote mumewejwa na Mungu.
    Kwa nini nyinyi watumishi mnapenda kudharauriana?Kila anayefundisha kwenye mitandao lazima aseme wachungaji wenzie Mungu hafurahishwi na hayo.
    Jifunzeni kwa wengine,Kuna watumishi wanatembea kwenye ufunuo waliopewa na Mungu tu,mkajifunze kwako.

  • @esterlyimo1935
    @esterlyimo1935 ปีที่แล้ว

    Hii spirit unafanya kazi sana sasa hivi katika ulimwengu wa Roho na mwili

  • @mediatz8537
    @mediatz8537 11 หลายเดือนก่อน

    Amen