MADHARA YA ROHO ZA UZINZI ZINAA NA UASHERATI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2022
- Karibu tujifunze BIBLIA pamoja. Neno la Mungu ni taa na mwanga wa njia zetu hivyo karibu tujifunze namna ya kuitumia hiyo taa vizuri na kuielewa vizuri. Neno la MUNGU lisilo goshiwa
.
Tunapatikana Dar es Salaam, Tabata Kinyerezi
Kwa mawasiliano na sadaka :- +255762664498
Aaa Mungu akubariki nmepata kit kipya na Cha kunivusha
Amen pastor wanaume kama nyie tunawatafuta lkn hawaonekani,, mama apo anajisikia vizuri sana anajivunia kuwa nawe
Amen Amen mafundisho ya uzima haya vzuri kwa vijana Sisi ndoa ucha Mungu Yusufu alikimbia tuikimbie Zinaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥....
Amen Pastor.
amen
Ameeen 🙏
Mungu akuzidishie nguvu mtumishi
Amen
Ni kweli mtumishi wa mungu
Amen 👃👃
Amen 🙏
Dhambi ni zambi Mtumishi ubarikiwe ni vema kusema ukweli na kulionya kanisa na kulifundisha kanisa kukaa na kuenenda ktk usafi Mimi nakuunga mkono ubarikiwe
Mungu akuinue
Barikiwa Mtumishi
Ni hatari sana
Hongera kaka.
Kama una ufunuo Mungu amekupa wewe juu ya jambo hili wewe lifundishe usitafute kudharau watumishi kana kwamba wao sI wa Mungu ila wewe Jana kwamba hawajui kufundisha ila wewe.Kumbuka Mungu anaweza kukupa neema hii haimaanishi wote wawe kama wewe,huyu japewa hiki na huyu hiki.Usimdharau mwingine maana wote mumewejwa na Mungu.
Kwa nini nyinyi watumishi mnapenda kudharauriana?Kila anayefundisha kwenye mitandao lazima aseme wachungaji wenzie Mungu hafurahishwi na hayo.
Jifunzeni kwa wengine,Kuna watumishi wanatembea kwenye ufunuo waliopewa na Mungu tu,mkajifunze kwako.
Hii spirit unafanya kazi sana sasa hivi katika ulimwengu wa Roho na mwili
Amen