DHAMBI YA UZINZI INA ANGAMIZA FAMILIA-MWL GOODLUCK MUSHI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2021
- Mwalimu Goodluck Mushi anafundisha kupitia maandiko matakatifu juu ya dhambi ya uzinzi na uasherati inavyoadhiri familia, huduma na shughuli za kiuchumi.
anatolea mfano ROHO YA YEZEBELI (THE SPIRIT OF JEZEBEL) jinsi ilivyotingisha falme.
hadi sasa roho ya Yezebeli inaendelea kuwakumba wanadamu kwa namna mbalimbali.
endelea kufuatilia na hakika utapata kitu.
hii ni sehemu ya masomo yanayoendelea yenye kichwa
UMUHIMU WA KUOMBEA NJIA YAKO DUNIANI
KATIKA MAJIRA MAPYA
MWANZO 6:12;20:1-3,17-18
WARUMI 6:23
KUTOKA 20:14
RUMI 7:19-20
1KOR 6:18
1KOR 6:16
HESABU 25:1-3
Kwa mlio mbali karibu Subscribe ili tuungane pamoja kupitia TH-cam Channel yetu (KKKT KARIAKOO) katika ibada zetu zote #LIVE. Pia waweza kufuatilia mafundisho mafupi mafupi kupitia Instagram (@lutheran_kariakoo)
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "Moto@KKKT KARIAKOO "
• Moto@KKKTKARIAKOO
~-~~-~~~-~~-~
Ubarikiwe sana mtumish wa mung na mung atuponye na kutuokoa🙏
Hakika hili neno ni dhahiri kabisa, ubarikiwe sana mtumishi. 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏 ubarikiwa na ww na mung
Amina mtumishi Mungu atuhurumie
Barikiwa sana mafundisho mazuri
ubarikiwe sana kwa neno zuri mtumishi wa Bwana,, natamani kupata mawadiliano kwa mashauri na maombi zaidi kuhusu neno hili🙏🙏
Amen barikiwa kw neno zuri la Mungi
Somo zur Sana mtmsh, umaskini unaingiza watu kwny uzinz, kwa sababu ya kutokujua Neno, tuanzishe madhabahu ya maombi usio zimika, iwe yakupokezana maombi ili watu wapate kulielewa Neno la Bwn wakiongozwa na Roho wa BWANA.
Ameni dhambi yauzinzi ni chafu.mno sio ubaya
Jiunge na group letu leo
Ahsante mtumishi kwa msisitizo huu wa neno.
Mungu tunaomba huruma yako
Amen,ubarikiwe sana
Apaaa ndede miaka nyanya kwiiruuya kii mmbe ...Kwaash Mushi.
Mafundisho mazuri sanaa...
Amen nimepata kitu hapa.
Naomba kujua je nikizini naweza kuleta madhara kwa kumpoteza mke wangu
Hatari sana dhambi ni mzigo
Duu somo kubwa sana
Amen mtumishi ni kweli