Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Jambo jingine ndugu makonda Kuna watu weusi wengi kutoka Sehemu mbalimbali duniani Wapo walioamua kurudi afrika Kama kwao asilia watu hawa tusiwachukulie Kama wageni wengi wao wanajiona wanyonge Kama wanabaguliwa naomba serikali iwaraisishie Mambo yao
@@GabrielSky64 ni hiviii viongozi wengi hawafanyi kazi kwa wito kama mkuu wetu wa mkoa tokea akiwa dar alifanya vizuri lakini haohao wakubwa wakamfanya hakuna
HILI LA KULA RUSHWA HATUWEZI KUILAMU SERIKALI PEKEE,WAPIGA JI WAPO KILA SEHEMU km vile:SERIKALINI,WANASHERIA,MAFUNDI UJENZI,BARA×2,UHAMIAJI,VYAMA VYOTE VYA SIASA,NGO'S n.k,KOTE HUKO KUMEJAA WEZI NA WAPIGAJI,TUJITATHMINI UPYA
Msiache kumpa sifa yake alipeleka Mkoa Arusha ndio mwenye jicho kali lakuona aende Arusha na amempa madaraka wala hamuingilii katika utendaji wake hivyo Rais Samia ndio Kiongozi bora anajuwa namna yakupanga safu yake musisifie tu bila kumtanguliza Mh.Rais.
Jiulizeni kwa nini upinzani hawapendi na hapongezi viongozi walioko ccm wanaoshughurikia kero za wananchi na haswa wanaowajibisha matajiri na mabeberu!!?
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Asante afisa uhamiaji
Uko Sawa kabisa 👏🏽
My next President❤
nikiangalia clip zako bro..nahic namuangalia mzee magufuli barikiwa sana
Huyu police ni police haswa
Ni shuja na sio muoga❤❤❤
Nimependa sana namna unavyo shugurikia changamoto
Afisa uhamiaji nimekuelewa sanaa,
Hii Lugha ya KUMCHANA maitumia vibaya, bora mngesema KUMSANUA
Good approach RC
Makonda utakua raips wa nchi hii siku si nyingi trust maneno yangu allah akuweke akulinde akupe nguvu zaidi
Ndomana wageni wengi wana ogopa ku invest tanzania 😢
Nawakubali sana kwa kutupa habari Ila hicho kichwa cha habari hakikupaswa kuwekwa hivyo huyo nI afisa uhamiaji na sio askari wa uhamiaji
Dah bongo shida sana
SaaNNNAAAAA
Hatari
Jambo jingine ndugu makonda
Kuna watu weusi wengi kutoka
Sehemu mbalimbali duniani
Wapo walioamua kurudi afrika
Kama kwao asilia watu hawa tusiwachukulie
Kama wageni wengi wao wanajiona wanyonge
Kama wanabaguliwa naomba serikali iwaraisishie
Mambo yao
Haja mchana anampatia taarifa zenye mantiki kiufuatiliajji
🎉🎉
Mwanasheria aliyeingia mkataba usio sawa hana wa kumuwajibisha? Tunalalamika kwa Nini?
Mheshimiwa Rais hapa hajakosea kumpa nafasi hii makonda, ila mimi nilipenda angebaki kuwa mwenezi Taifa.
Arusha itengwe tu iwe Nchi ya kujitegemea. Tuhamie huko wote. Coz hii Nchi Kila mtu angekua ni tajiri ila shida wengi wanakandamizw na kukosa haki
@@GabrielSky64 ni hiviii viongozi wengi hawafanyi kazi kwa wito kama mkuu wetu wa mkoa tokea akiwa dar alifanya vizuri lakini haohao wakubwa wakamfanya hakuna
HILI LA KULA RUSHWA HATUWEZI KUILAMU SERIKALI PEKEE,WAPIGA JI WAPO KILA SEHEMU km vile:SERIKALINI,WANASHERIA,MAFUNDI UJENZI,BARA×2,UHAMIAJI,VYAMA VYOTE VYA SIASA,NGO'S n.k,KOTE HUKO KUMEJAA WEZI NA WAPIGAJI,TUJITATHMINI UPYA
Jitahid kuongea kwa nidham na ya point ili uendelee kuwa mkombozi wentu wa wanyonge na mwisho uwe Rais wa Tanzania
Mwamba akibaki arusha miaka 10 . Itakuwa imenyooka na itapiga hatua kweli
Msiache kumpa sifa yake alipeleka Mkoa Arusha ndio mwenye jicho kali lakuona aende Arusha na amempa madaraka wala hamuingilii katika utendaji wake hivyo Rais Samia ndio Kiongozi bora anajuwa namna yakupanga safu yake musisifie tu bila kumtanguliza Mh.Rais.
Jiulizeni kwa nini upinzani hawapendi na hapongezi viongozi walioko ccm wanaoshughurikia kero za wananchi na haswa wanaowajibisha matajiri na mabeberu!!?
Yaani hao wapinzani haswa chadema cku wakipata Madara Tanzania imekwesha maana tutakuwa tunaongozwa na wasanii wa bongo fleva
Chadema ndo kabisaa watajikusanyia ela kwanza@@HellenSulle-m7t
@@HellenSulle-m7t kweli tuna majuha wengi sana
Kumbe na wewe ulishaona hii kitu?