NDOTO ZINAZOLETA AIBU MAISHANI MWAKO // Pastor Innocent Mashauri
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2024
- Zaburi 44:15
Mchana kutwa fedheha yangu i mbele yangu, Na aibu imeufunika uso wangu
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Kwa damu ya Yesu najitenga na dhambi za Babu zangu bibi zangu mama zangu. Naomba unitenge na Rahana zote nilizotamkiwa. Naomba rehema kwenye maisha YANGU na uchumi wangu maisha YANGU NK. Napokea kufunguliwa. Aminaaa
Anza na mimi Yesu ❤ anza na mimi BWANA
amen nakuomba bwana mungu wangu winguse nafsi yangu winguse nafsi ya watoto wangu katika maombi ya siku ya leo ameeen
Ee Mungu naomba uniondoleee aibu kwa jina la Yesu
Mungu naomba niondolee Roho ya aibu
Najiunganisha na madhabahu kuundoa aibu
Mungu wangu naomba uniondolee roho za aibu kwangu na kwa mme na mtoto wangu Jean na familia ya baba yangu na familia ya wakwe zangu na ndugu wa mme wangu na ndugu zangu pia ameen mungu wangu 😢
Amen Asante bwana najitenganisha na madhabahu ya kichawi.uganga.mapepu.majini.usherati.uzinzi.nayo yote siyo yakumbuka ambayo Yako kwa kifamilia yetu damu yayesu initenganishe nakizazi ca ibilisi katika jilayesu imanwel Asante bwana❤❤❤ yesu
Ee Yesu naomba uniondolee roho ya aibu
Asante Mungu wangu maana hutaacha niaibike
Amen naondoa aibu kwenye maisha yangu juu ya uchumi wangu 😭😭😭mungu nahangaika tena Sana sina maendeleo na pambana lakini mungu wangu nimechoka siwezi pekee yangu ondoa aibu hii mbele yangu nikumbuke niko hapa madhabahuni mwako 🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾nirehemu mwana wa daudi 🧎🧎🧎🧎😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Yesu naomba niondolee vizuizi vilivyo mbele yangu
Nakataa rohoo ya aibu kwenye family yangu na kwangu kwajina la Yesu🙏🏼
Eee Mungu uujuwaye moyo wangu ninakataa aibu roho ya uchungu majuto na kupata shida katima mahusiano haya yote yashindwe kwa jina la Yesu 😭😭🙏
Nikumbuke Baba mambo IME nipitiliya,magonjwa n'a ndowa yangu ambayo umepata vitæ Siku zote mbingu nikumbuke
NAJITENGANISHA NA ROHO YA AIBU KTK JINA LA YESU KRISTO,,, BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU,,, AMEN 🙏🙏
Nakataa aibu kwangu na familia yangu kwa jina la yesu
Kwa mamlaka ya damu ya Yesu aibu yangu naiondoke. Mungu niokoe
Kwajina la yesu nalivua vazi la aibu kwenye familia yangu
kwa damu ya yesu navunja laana ya aibu ndani yamaisha yangu na ndani ya family yate Oh mungu nisaidie Mungu wangu I hope utanisaidia ujawai kuniangusha mungu wangu🙏🙏🙏🙏
Amen Amen jambo kama hivyo ipo katika maisha yetu ya binadamu
Mungu naomba uniondolee laana juu ya familia yetu yote naomba uniondolee aibu zote juu yangu, wadogo zangu, dada zangu nakizazi changu
Kwa mamlaka ya damu ya Yesu,navunja laana na aibu zote ambazo adui alizipanda katika familia yetu....kama ambavyo neno lako linasema Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa, na likang'olewe Leo hii🙏🙏
Amen Kila pando ambalo halikupandwa na baba..nalingoa Kwa damu ya yesu kristo mwana wa Mungu aliye hai... Navunja laana zote za ukoo ,,navua vazi lolote la aibu nililovishwa Kwa njia ya ndoto katika jina la yesu na Kwa damu ya yesu sitateswa tena na ndoto za aibu Kwa jina la yesu na Kwa damu ya yesu nakataa kuaibika Kwa njia yoyote Ile katika jina la yesu... ameeeeeeen
Amen Mtumishi nabarikiw sana na huduma ya siri za biblia🙏🙏
Eee mungu wangu Mumba mbingu Na nshi ,naomba unique kila vazi Baya nililolivaa ama kuvalishwa kupitia ndoto katika Maisha yangu natumia damu YA yesu kuharibu Na kufuta kila laana ktk Jina la yesu Kristo🙏
Jehovah, Baba yetu h uishie milele niondolee aibu.
Mtumishi wa Mungu naomba uniombee Mungu anibandilishie maisha ya kudharauluwa na kuonewa katika kazi.
Mungu uniondolee aibu ya umaskini Kwenye familia yangu
YESU ONDOA AIBU KWENYE FAMILIA YETU
Sio kwa uwezo wangu bali ni kwa uwezo wa roho mtakatifu Mungu niondolee hii aibu ya kutengana kwa ndoa
mtumishi was mungu Mimi usiku silali naotaga vitu ambapo sio nzuri
Niondolee aibu kwenye maisha yangu 😭🙏
Naomba niondolee aibu iliyo mbele yangu
Mungu naomba unisaide nitowe roho yaku saulika mungu nilikuwa na mausiano yangu yali aribika lakini sikujuwa sababu nini Eeeee mungu nakutumaini wewe tu naomba unitowe roho wakusauloka
Nimeota natembea Uchi mbele za watu, na ninashuka mlima mkali sana kuelekea mabondeni
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
mungu naomba uniondolee roho ya aibu
Mungu nivuwe vazi la ahibu
Shalom,Amen neno limegusa kabisa,kila wakati naota kurudi nyuma sio kwenda mbele 😢
Mungu naomba unisaifiyr
Mungu skutiye nguvu mt
Amen Asante bwana,najitenganissha na madhabahu ya kichawi,uganga,mapepo,majini,usherati uzinzi na yote nisio yakumbuka ambayo yako kwa familia yetu,damu ya yesu initenganishe Pamoja na kizazi changu chote kwa jina la yesu kiristo🙏🙏
Ee Mungu nihondolee aibu
Amen❤
Amen
AMEN
Baba nikumbuke ondoa roho ya kusaulika na aibu kwenye maisha yangu,kazini,kwenye familia yangu,ukoo wangu,kwa wazazi,dada na kaka zangu,mahusiano yangu na Evance,kwa boss wangu.,Mungu tukumbuke na sisi tuondolehe aibu kama ulivyoiondoa kwa Raheli ulipomkumbuka ukafungua tumbo lake. MWANZO 30:22--23,baba tukumbuke na sisi kwa jina la yesu kristo.Amen🙏🙏🙏
Amen and Amen 🙏🏻🙌👏🏿
Amen Amen Amen
Anza na mimi weye bwana !
Asante Bwana
Amen 🙌 🙌🙏🙏
Ameeeeen
Amen amen
Mungu wangu niondolee roho ya aibu katika maisha yangu watoto wangu familia yangu
Amen 🙏
Niondolee aibu katika familia yangu mmewang wadogozangu Yesu tunaomba utukumbuke utuondkolee aibu kwa jina la Yesu ♥
Amina
Mungu naomba niondolee roho ya aibu kwenye maisha yangu,kwa kizazi changu na familia yangu🙏
Amen ni maombi yangu MUNGU aondoe kila jambo linaloteta Aibu ktk Maisha yangu
amen naomba bwana yesu ahondowre ahimbu zangu zote ahimbu ya mangonjwa ahimbu ya kukataliwa ahimbu ya kukwama katika maisha yangu
Naomba unipe heshima Mungu wangu kwenye mahusiano yangu 😭🙏🙏
Ee bwana tuondolee aibu kwenye familia yetu mimi na ndugu zangu wote kwa jina la yesu😢😢
Yesu niondolee roho ya aibu kwenye familia yangu🙏🙏
Mungu naomba uniondolee roho ya aibu katika maisha yangu ......niondolee kila aina ya aibu inayopandwa hata ndoto yangu
Bwana Yesu naomba unirehemu npate kuingia kwenye kusudi langu nakusii ukae NAMI mkono wakono wako uwe juu yangu aibu ya madui na namaovu yasinipate, nayafuta Kwa damu yasu.
Mungu naomba uniondolee roho ya aibu kwa maisha yangu hata kaw family yetu 🤲🤲🤲
Mungu aibu yangu ni ndoa mungu nisaidie nipate mume mwema niondelee hii aibu kama ulivyoondoa kwa rahel😢😢😢😢mwanzo30:22
Nakataaa aibu kwangu na familia yangu kwa jina la YESU
Mungu naomba niondolee roho ya aibu katika maisha yangu
Emeeen nakataa aibu kwangu na familia yangu Kwa jina la yesu
MUNGU wangu wewe wanijua vyema Mungu
MUNGU NAOMBA NIONDOLEE ROHO YA AIBU🤲🤲🤲
Eee mungu niondolee roho ya aibu katika maisha yangu
Asante Baba kwa nafasi na fursa hii siyo kwa uwezo au akili zangu
Ameen Asnte yesu kwa kuniwezesha kifikabmadhabahuni😢
Asnte Mungu wangu Kwa uhai alionipa ❤
Be blessed pastor innocent and is it biblical as a christian to use salt bathing or in any like chasing demons?please advise
Mungu wangu naomba uniondolee roho za aibu kwangu na kwa mme na mtoto wangu Jean na familia ya baba yangu na familia ya wakwe zangu na ndugu wa mme wangu na ndugu zangu pia ameen mungu wangu 😢
Mungu naomba niondolee roho ya aibu
Amen amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen