Bwana Yesu asifiwe mtumishi me nimekuwaa naota nakimbizwa na ng'ombe mara kwa mara,na pia naota sana Niko primary na Sina utulivu darasani,nilipo soma kitabu chako Cha ndoton kilinisaidia sana na naomba ila nilipo OTA nimeanza kutulia darasani nikawa nakimbizwa kwa mawe na msichana niliyesoma nae sekondari ananifukuza darasani,naomba msaada mana ndoton hizi ujirudia sana,Mungu akubariki sana
Naitwa jacky na habari za ndoto hizo naota sana nisaidie nina miaka 27 kila nikitaka kuolewa juhudi hizo zinaishia njiani kama mala yamwisho nimempata mwanaume tumeishi nae mwaka mmoja tu natukapata mtoto wakiume mmoja huyo mwanaume naye kaishia kupata ajali nakufa
Mwalimu mm nikiota nyoka mkubwa sana kavunja duka langu na aliyemtuma ni jirani yangu ,baada ya hapo uchumi wangu umevurugika sana ,leo nimeota nimengatwa na nyoka meno mawili
Mwl naomba uniombee niliamka usiku. Nikaenda choooni. Mara narudi nikashutuka nyoka. Kumwamgalia sikumwona. Kweli sikuomba.nimekaaa wiki Moja . Mungu kanikushusha Ile nyoka ndo nikaomba. Nikangoa na kuaribu.
Mie mara kwa mara mtumishi naota mahali ambapo nilihama muda mrefu naota nimerudi kule kila.wakati nifanyaje ili nisiite maana nikiota mambo yanaanza kuwa hovyo tu
Duuuuh!! Omba toba Kwaajili ya chochote kilichofungua Mlango huyo nyoka akakaa hapo tumbn, Afu anzaa kuachilia Damu ya Yesu kumuondoa, jitahd kuombea sana hiyo ndoto, Maan baaada ya MUDA UTAAANZA KUSUMBULIWA NA MATATIZO YA TUMBO, ukishindwa kuomba mwenyew Mtafut mtumish mweny Nguv za Mungu akusaidie kuomb usiipotezee hiyo ndt
Ni miaka 4 iliyopita na kweli nasumbuliwa sana na tumbo kila nikienda hospital wanasema ni UTI na Taifod na kila mwez naenda hospital nameza dawa zikiisha linaanza kuuma tena
Duuh! Pole aisee Mtumish, Hilo tumbo sio La ugonjwa wa kawaida Kam wanavyosema Uti, Mi nikushaur kam unaweza kufunga na kuomba, Na maombi yako yakilenga Toba Na Damu ya Yesu, Na kuamuru kila rojo iliyo kaa kweny Tumbo lako ikuachie, Basi baada ya Muda Utafunguliwa na utakua mzima kabisa
Hongera sana hapo ulikuwa adui.Mimi nilitoka kwa rafiki jioni,kagixa kanaingia,nkawa Nakimbia wamama wawili wakanistopisha ucje cha2,yule mama mmoja akarudi dukani kwake kuchukua panga,mimi nkachukua jiwe kubwa km kichwa changu,nkamlenga Nyoka cha2 kichwani paa akaviviringisha,nkachukua jingine paa,aka2lia ana hacra,mama wa duka akalikata kichwa likafa,hii ni life,Unene wake unakaribia nguxo ya umeme,urefu nusu nguxo,mkichwa wa nyoka 2kausokomexa kwenye shimo la mchwa pana sn.Kila alopita hakuna aloamini km cc wamama 3 ndo 2meuwa lile joka,ucku nikiwa ucngixini ktk ndoto,akanijia akanijia joka lile lile,likaniulixa kwa nn umeniua?? Sasa nakuuwa wewe,nami nkaliambia joka hutaniuwa,ntakuuwa mimi ktk jina la Yesu,nkachukua gongo nkalipiga kichwani nkaliuwa.Nkastuka ucngixini moyo ukawa unadunda sn,Nkafunga safari kwenda Arusha kumwelexea Mch.Mch akaniambia lile likitoka kuximu,kwa nguvu ya Mungu nkalishinda.Ukiwa karibu na Mungu utaepuka mengi ya ibilic.
Asante Baba unanikuza sana Mungu akutunze wewe na mama Diana na huduma ya mana
Ila uyu mzee ni wamoto sana, yaani i tafsir imenibamba sana ❤❤❤
mwezi mungu aendelee kuku jalia afya njema uzid kutufundisha na kutuonesha makuu ya bwana wet yes kristo
Jamani tunaomba video nzima ya hili kongamano 😢 naihitaji sana 🙏
Mungu wa mbinguni aukumbuke utumishi wako baba huwa unanibariki sana.Natamani siku moja nikuelezee ndoto zangu unisaidie
Bwana Yesu asifiwe mtumishi me nimekuwaa naota nakimbizwa na ng'ombe mara kwa mara,na pia naota sana Niko primary na Sina utulivu darasani,nilipo soma kitabu chako Cha ndoton kilinisaidia sana na naomba ila nilipo OTA nimeanza kutulia darasani nikawa nakimbizwa kwa mawe na msichana niliyesoma nae sekondari ananifukuza darasani,naomba msaada mana ndoton hizi ujirudia sana,Mungu akubariki sana
Bwana Yesu asifiwe. Mimi nimeota nyoka anagonga mlango anataka kuingia ndani, nikajitahidi mpaka nikamzuia asiingie kisha nikamuua.
Ohoo my Lord ahsante kww mafunuo haya
Amen
Amina mtumishi najifunza!ni jana tu nimeota nyoka kaingia kwenye nyumba yetu
Mwalimu naomba nami unikumbuke, niombee kwa mungu shamba langu lizae maana mwaka jana nilipata hasar mungu anisaidie na kuniinua.
Amen
❤ nawapenda katika Kristo mbarkiwe saana mtumishi
I receive I receive I receive
Amen Baba Mungu akutuze
Jehovah nifundishe kuomba jinsi ipasavyo
Mungu akubariki mwalimu ili uzidi kutufundisha
Asante mtumishi
Amina ❤
Mungu akubariki mtumishi
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Amen
Tusaidie mtumishi wa Mungu.
Mungu akubalik
Amen sana mtumishi
Amen baba
amen
Naomba no za mchungaji jaman
Ameni 🙏
Naitwa jacky na habari za ndoto hizo naota sana nisaidie nina miaka 27 kila nikitaka kuolewa juhudi hizo zinaishia njiani kama mala yamwisho nimempata mwanaume tumeishi nae mwaka mmoja tu natukapata mtoto wakiume mmoja huyo mwanaume naye kaishia kupata ajali nakufa
Ameen
Shallom mm nimewah kuota nyoka ameingia sehem zangu za siri na hakutoka tena mara 2 kabisaa😢😢😢nn maana yke 😢
Maana yake unaishi na adui,,hasa eneo la mahusiano
Amen 🙏
Ameeen
Mwalimu mm nikiota nyoka mkubwa sana kavunja duka langu na aliyemtuma ni jirani yangu ,baada ya hapo uchumi wangu umevurugika sana ,leo nimeota nimengatwa na nyoka meno mawili
Omba tena kwa maombi ya mnyororo wa kufunga usipo angalia uko pabaya sana
Amen Babà 🥰
Nisaidie mtumishi
Mwl naomba uniombee niliamka usiku. Nikaenda choooni. Mara narudi nikashutuka nyoka. Kumwamgalia sikumwona. Kweli sikuomba.nimekaaa wiki Moja . Mungu kanikushusha Ile nyoka ndo nikaomba. Nikangoa na kuaribu.
Mm nimemuona kabisa ndn mwangu wakijan tena chooni
jesus❤
🙏🙏asntee mungu,unanipenda na kuniongoza vema,..Amen
Namb namb ya mtumish mwakaseg jmn
Amen Amen
Mimi naota kila siku nifanye nini kujua tafsiri au niwe muombaji nitaambiwa maana yake? Ni ndoto za kila aina nisaidiwe mtumishi.
Amina
Mchungj tupe namba zako tafazali
amen
Mie mara kwa mara mtumishi naota mahali ambapo nilihama muda mrefu naota nimerudi kule kila.wakati nifanyaje ili nisiite maana nikiota mambo yanaanza kuwa hovyo tu
Nina shida sana nahitaji mawasiliano ya Mwali mwakasege
Baba naomba maombi
Nimepata kitu nukikuamwajiriwa miaka 8 imepita sasa lakini naota nikiwa na yule boss. Tunahesabu ela hii inamanisha boss ananipiga ela nini
Wewe ni Baba unanilea japo sijawahi hata kukaa karibu na wewe zaidi ya kukuona madhabahuni
Niliota nyoka anaishia kutoka ndani paka wawili waksmla sikufuatilia😅😊
Tunaomba somo lote huduma ya mana
Imenikita ili jambo😢
Tunaomba semina nzima baba
Kwanza nimecheka kweny kukimbia
mtt wng mm anakimbia mpk ktandan uyo nyoka anamfuata na anamkimbiza
Niliota baba nimengatwa na nyoka
Baba namie niliota ndoto nyoka kalala tumboni kwangu nyoka wa blauni
Duuuuh!! Omba toba Kwaajili ya chochote kilichofungua Mlango huyo nyoka akakaa hapo tumbn, Afu anzaa kuachilia Damu ya Yesu kumuondoa, jitahd kuombea sana hiyo ndoto, Maan baaada ya MUDA UTAAANZA KUSUMBULIWA NA MATATIZO YA TUMBO, ukishindwa kuomba mwenyew Mtafut mtumish mweny Nguv za Mungu akusaidie kuomb usiipotezee hiyo ndt
Ni miaka 4 iliyopita na kweli nasumbuliwa sana na tumbo kila nikienda hospital wanasema ni UTI na Taifod na kila mwez naenda hospital nameza dawa zikiisha linaanza kuuma tena
Kuna Mtumishi wa Huduma ya Mana Mwanza huwa naenda
Duuh! Pole aisee Mtumish, Hilo tumbo sio La ugonjwa wa kawaida Kam wanavyosema Uti, Mi nikushaur kam unaweza kufunga na kuomba, Na maombi yako yakilenga Toba Na Damu ya Yesu, Na kuamuru kila rojo iliyo kaa kweny Tumbo lako ikuachie, Basi baada ya Muda Utafunguliwa na utakua mzima kabisa
mwanang anaota anakimbizwa na nyoka
Mie niliota nyoka kaniuma lakini nikamlalia kifuani na yeye huyo nyoka akafa
Hongera sana hapo ulikuwa adui.Mimi nilitoka kwa rafiki jioni,kagixa kanaingia,nkawa Nakimbia wamama wawili wakanistopisha ucje cha2,yule mama mmoja akarudi dukani kwake kuchukua panga,mimi nkachukua jiwe kubwa km kichwa changu,nkamlenga Nyoka cha2 kichwani paa akaviviringisha,nkachukua jingine paa,aka2lia ana hacra,mama wa duka akalikata kichwa likafa,hii ni life,Unene wake unakaribia nguxo ya umeme,urefu nusu nguxo,mkichwa wa nyoka 2kausokomexa kwenye shimo la mchwa pana sn.Kila alopita hakuna aloamini km cc wamama 3 ndo 2meuwa lile joka,ucku nikiwa ucngixini ktk ndoto,akanijia akanijia joka lile lile,likaniulixa kwa nn umeniua?? Sasa nakuuwa wewe,nami nkaliambia joka hutaniuwa,ntakuuwa mimi ktk jina la Yesu,nkachukua gongo nkalipiga kichwani nkaliuwa.Nkastuka ucngixini moyo ukawa unadunda sn,Nkafunga safari kwenda Arusha kumwelexea Mch.Mch akaniambia lile likitoka kuximu,kwa nguvu ya Mungu nkalishinda.Ukiwa karibu na Mungu utaepuka mengi ya ibilic.
@@yukundapeter8200 duuuu hongera Sana ulishinda hiyo Vita
Amen
Amen
AMEN 🙏.
Ameni
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amina Mtumishi nikumbuke ktk Maombi wakati mwingine nashindwa kuomba
Pole Mungu Akutetee