KULA 'APPLE' BAADA YA NUSU SAA- PROF. JANABI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 71

  • @MkundeMtui
    @MkundeMtui 21 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
    Umetusaidia wengi kwaushauri wako

  • @ibnhassanbakar4706
    @ibnhassanbakar4706 2 หลายเดือนก่อน +16

    Asante sana prof kwa jitihada zako kuhakikisha afya za wananchi. Tunakushukuru sana kwa elimu yako na nasaha zako, allah akulinde. Wale wote wanaokejeli elimu yako, kwa kuandika ujumbe mchafu, mungu awasamehe na awakinge na maradhi wabaki kuwa na afya njema. Sisi tuliokuwa na maradhi au tunauguza ndugu na jamaa tunaelewa umuhimu wako sana. Mungu akubariki. Amiin

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 2 วันที่ผ่านมา

    Asantee prfs Jannab❤❤🎉🎉

  • @stonetown578
    @stonetown578 2 หลายเดือนก่อน +2

    Masha'Allah, Allah akufanyie wepesi uzidi kutuelimisha.

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 2 หลายเดือนก่อน +4

    Allah atakulipa Dr wanao kudharau watkauja kujua bàdae usijali tusaidie 🙏

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ahsante sana

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 6 วันที่ผ่านมา

    Epo ni buku mzee soda kwapesa ipi na kipato cha Mtanzania

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 หลายเดือนก่อน +3

    Hayo yote yanawezekana kwa jamii ya watu wanakula wanacho taka, si kwa wale wanaokula wanacho pata.!!!

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 2 หลายเดือนก่อน +6

    Doctor,sio Five apples a day! Bali ni: an apple a day,keeps the doctor away! Point of correction. Sorry!

  • @noela86rogers
    @noela86rogers 2 หลายเดือนก่อน +5

    Prof Na wew pia angalia iyo afya yako Labda umeshakua underweight

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 2 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu Dr ukiendelea kufuatilia utakufa mapema Bora kuishi maisha ya babu zetu walikula kila kitu na waliishi siku nyingi

    • @vanessastafford6426
      @vanessastafford6426 2 หลายเดือนก่อน +3

      inabidi utembee na ifanye kazi ngumu kama za babu zetu na ule michemsho, babu zetu walikuwa hawali vyakula vya kukaanga, kuku wa kisasa na nyama zenye dawa.

    • @kelvinfussi5210
      @kelvinfussi5210 2 หลายเดือนก่อน +2

      Babu zetu walipeleka pesa umbali mrefu sana kwa miguu. Wewe unatumia mpesa tigo pesa kuzituma umbali mref.

    • @omarmustafa2022
      @omarmustafa2022 2 หลายเดือนก่อน +2

      Babu zetu hawakula chips kuku, soda na vyakula vyote vya kemikali walikula kula asili

    • @euniestherwilliam1513
      @euniestherwilliam1513 หลายเดือนก่อน +1

      Hufi.
      Yaani kwa masomo yake naendelea vizuri sana

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 หลายเดือนก่อน

    Huko vijini wananchi wanajua hayo. Matunda! Wacha kukonfuse watu. Wacha wale walivyonavyo! Hiyo ni elimu baguzi, ya wenye hela tu. Waambie mwenye ubuyu haya, mwenye uji haya, mwenye nyama choma haya, mwenye ugali wa Tumtemeke haya, acha ubaguzi weee Professa!!

    • @nicholausmahenge8247
      @nicholausmahenge8247 หลายเดือนก่อน

      Sasa anaishi kijiji mpaka afundishe ya kijijini pili wa kijijini wameingia online saa ngapi kwanza hata hawamjui janabi wewe fata unayoona ni ya muhimu kwako usioona ya muhimu acha

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 หลายเดือนก่อน

      Hapa hapa tuu mjini 2000 ya Apple analolisema ni mlo wa siku kwa mtu dagaa 500 mafuta 300 unga sijui ngapi hapo leo anazungumzia Apple wanakula wenye nazo.watu wana ugua sio wanapenda ni maisha magumu ya kula hovyo.chai ndio chakula kikuu kwa mwananchi wa hali ya chini nyie acheni tu muogopeni Mungu wee kama unacho pia mshukuru Mungu Elimu zingine niza baadhi ya watu sio za kila Mtanzania.

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 หลายเดือนก่อน

      Halafu vijijini wanakula vyakula vya asili hawafikirii sana soda na keki​@@nicholausmahenge8247

  • @saliminikitete4417
    @saliminikitete4417 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo amnatu nimuongo sana

  • @SebastianNgimba
    @SebastianNgimba หลายเดือนก่อน

    mkimsikiliza sana huyu kwa maisha ya Tanzania mtakufa na vidonda vya tumbo,unapofundishwa darasani ili ufaulu vizur muangalie mwalimu vile alivyo ndio ufanye anavosema,ishini maisha ya kitanzania tu tiba tosha,maana nikimuangaliga huyu jamaa na vile anasema haaaa siwezi fanya yeye anasema

  • @kayungilojuma7361
    @kayungilojuma7361 หลายเดือนก่อน +1

    Umeuna hata Rais wetu

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dactor mwenyewe anaonekana kua afya yake ni 9/100

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 2 หลายเดือนก่อน +2

    MBONA HUYU JAMAA AFYA YAKE NI MBOVU SANA

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 หลายเดือนก่อน +5

    Wanafki utawajua ndo kama huyu hivi afya za watanzania we ndo unaziongoza jua Kuna mungu na wewe ni kama sisimizi tu kila kitu mjuaji wewe watu tuna kula nyama tunakula ugali kila siku asubuhi uji mchana ugali usiku ugali na tupo shwali hayo ni matatizo ya mtu binafsi tu usi singizie wanga

    • @issaisandeko6217
      @issaisandeko6217 2 หลายเดือนก่อน +6

      Akili ndogo haziwezi kuwaza mambo makubwa, pole sana

    • @mootelahamongus633
      @mootelahamongus633 2 หลายเดือนก่อน +5

      Ujinga mzigo

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario 2 หลายเดือนก่อน +4

      Ila binadamu aisee huyu Msomi kakosea nn badala ya ss tumshukuru kwa kutupa elimu? Au mnamwenea vivu? Nenda na ww ukasome na uwe Prof.tusikie utakachotushauri juu ya afya zetu.

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@ManswetKimario Watu wa zamani wali ishi maisha marefu na afya zao bora! Kwani walisoma vyuo gani? Mwamini MUNGU tu, zamila yako itaku ongoza kwa kila kitu.

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe ni Maskini wa fikra na elimu ,,takataka

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 หลายเดือนก่อน +1

    Namuelewa sana dokta ila ukumuangalia mwenyewe kama anaumwa kumbe ndio anarinda mwili wake

    • @edwinmtuka736
      @edwinmtuka736 2 หลายเดือนก่อน

      Heee huo ndo mwili

    • @AmenMushi-j2j
      @AmenMushi-j2j 2 หลายเดือนก่อน

      Afya yake inatisha mshike Yesu.maana yetu yako.mkononi.wa Mungu

  • @bosssalum1037
    @bosssalum1037 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ushaur wa kiafya ni mzur wanainch msizarau na kumbeza

  • @bogate156
    @bogate156 2 หลายเดือนก่อน

    UELEWA NA ELIMU YA HIKI KIFAA NI QUESTIONABLE PER SE...ANA WENGE LINAMTAFUNA....

  • @omarmustafa2022
    @omarmustafa2022 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wameaminishwa kua mnene ndo afaya yenyewe doctor ni mwembamba wanasema afya yake ni dhaifu😂

  • @AffectionateHat-qp2my
    @AffectionateHat-qp2my 2 หลายเดือนก่อน +1

    kanyori ka nzehe beh.utakufa kibudu sikuyako yaja.

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 หลายเดือนก่อน

    WEWE MWENYEWE UNAONYESHA DHAIFU MGONJWA

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 หลายเดือนก่อน

    Mbona yeye mwenyewe anaonekana afya yake mgogoro!!!

  • @delphina7153
    @delphina7153 หลายเดือนก่อน

    Profesa amekuwa mkaka kijana kabisa

  • @kayungilojuma7361
    @kayungilojuma7361 หลายเดือนก่อน

    Wew nae huna lolote unatuchosha huna lolote

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 หลายเดือนก่อน

    ANGALIA CHOGO LAKE UAJI, KENGE WEWE MNYARWANDA

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢😢😢 I

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 หลายเดือนก่อน

    UYU MZEE NDIO ANAYEONGOZA MAUAJI YA VIONGOZI BAADA YA TUKIO LA MAKONDA KABADILIKA ANAJIFANYA ANAPROGRAM YAKE YA AFYA YUNAMUJUA MAKONDA YUPO WAPI?

    • @boniphace1
      @boniphace1 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli Umekasirika kaka

    • @EdithaMartin-t4t
      @EdithaMartin-t4t 2 หลายเดือนก่อน

      Duuu

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 2 หลายเดือนก่อน +1

      Utakapoitwa ukatoe ushahidi, ndipo utakapoanza kuhara

    • @EsterKindoli
      @EsterKindoli 2 หลายเดือนก่อน

      ​@boniphace1 😂😂😂😂😂

    • @omariayubu1149
      @omariayubu1149 หลายเดือนก่อน

      Vipi, amemfufua?

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanini usimshauli Bashe

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 หลายเดือนก่อน +1

    HUYU MZEE SIKU YA MWISHO ALIKUWA NA MAKONDA HUYU MZEE ALIUSIKA KUMUUA JPM

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 2 หลายเดือนก่อน +1

      Njoo na wewe akuue

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 หลายเดือนก่อน +1

    Prophesor Janama wewe ni muua makonda yupo wapi?

    • @Jackson-Novat
      @Jackson-Novat 2 หลายเดือนก่อน

      Utoto mwingi

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 2 หลายเดือนก่อน

    Hahaha hahaha

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 2 หลายเดือนก่อน +3

    We mwenyewe afya yako imechoka alafu unatwambia sisi fala nini

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 2 หลายเดือนก่อน +1

      Acheni kauli zisizoeleweka