Asante sana prof kwa jitihada zako kuhakikisha afya za wananchi. Tunakushukuru sana kwa elimu yako na nasaha zako, allah akulinde. Wale wote wanaokejeli elimu yako, kwa kuandika ujumbe mchafu, mungu awasamehe na awakinge na maradhi wabaki kuwa na afya njema. Sisi tuliokuwa na maradhi au tunauguza ndugu na jamaa tunaelewa umuhimu wako sana. Mungu akubariki. Amiin
inabidi utembee na ifanye kazi ngumu kama za babu zetu na ule michemsho, babu zetu walikuwa hawali vyakula vya kukaanga, kuku wa kisasa na nyama zenye dawa.
Huko vijini wananchi wanajua hayo. Matunda! Wacha kukonfuse watu. Wacha wale walivyonavyo! Hiyo ni elimu baguzi, ya wenye hela tu. Waambie mwenye ubuyu haya, mwenye uji haya, mwenye nyama choma haya, mwenye ugali wa Tumtemeke haya, acha ubaguzi weee Professa!!
Sasa anaishi kijiji mpaka afundishe ya kijijini pili wa kijijini wameingia online saa ngapi kwanza hata hawamjui janabi wewe fata unayoona ni ya muhimu kwako usioona ya muhimu acha
Hapa hapa tuu mjini 2000 ya Apple analolisema ni mlo wa siku kwa mtu dagaa 500 mafuta 300 unga sijui ngapi hapo leo anazungumzia Apple wanakula wenye nazo.watu wana ugua sio wanapenda ni maisha magumu ya kula hovyo.chai ndio chakula kikuu kwa mwananchi wa hali ya chini nyie acheni tu muogopeni Mungu wee kama unacho pia mshukuru Mungu Elimu zingine niza baadhi ya watu sio za kila Mtanzania.
mkimsikiliza sana huyu kwa maisha ya Tanzania mtakufa na vidonda vya tumbo,unapofundishwa darasani ili ufaulu vizur muangalie mwalimu vile alivyo ndio ufanye anavosema,ishini maisha ya kitanzania tu tiba tosha,maana nikimuangaliga huyu jamaa na vile anasema haaaa siwezi fanya yeye anasema
Wanafki utawajua ndo kama huyu hivi afya za watanzania we ndo unaziongoza jua Kuna mungu na wewe ni kama sisimizi tu kila kitu mjuaji wewe watu tuna kula nyama tunakula ugali kila siku asubuhi uji mchana ugali usiku ugali na tupo shwali hayo ni matatizo ya mtu binafsi tu usi singizie wanga
Ila binadamu aisee huyu Msomi kakosea nn badala ya ss tumshukuru kwa kutupa elimu? Au mnamwenea vivu? Nenda na ww ukasome na uwe Prof.tusikie utakachotushauri juu ya afya zetu.
@@ManswetKimario Watu wa zamani wali ishi maisha marefu na afya zao bora! Kwani walisoma vyuo gani? Mwamini MUNGU tu, zamila yako itaku ongoza kwa kila kitu.
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
Umetusaidia wengi kwaushauri wako
Asante sana prof kwa jitihada zako kuhakikisha afya za wananchi. Tunakushukuru sana kwa elimu yako na nasaha zako, allah akulinde. Wale wote wanaokejeli elimu yako, kwa kuandika ujumbe mchafu, mungu awasamehe na awakinge na maradhi wabaki kuwa na afya njema. Sisi tuliokuwa na maradhi au tunauguza ndugu na jamaa tunaelewa umuhimu wako sana. Mungu akubariki. Amiin
Asantee prfs Jannab❤❤🎉🎉
Masha'Allah, Allah akufanyie wepesi uzidi kutuelimisha.
Allah atakulipa Dr wanao kudharau watkauja kujua bàdae usijali tusaidie 🙏
Ahsante sana
Epo ni buku mzee soda kwapesa ipi na kipato cha Mtanzania
Hayo yote yanawezekana kwa jamii ya watu wanakula wanacho taka, si kwa wale wanaokula wanacho pata.!!!
Doctor,sio Five apples a day! Bali ni: an apple a day,keeps the doctor away! Point of correction. Sorry!
Prof Na wew pia angalia iyo afya yako Labda umeshakua underweight
Huyu Dr ukiendelea kufuatilia utakufa mapema Bora kuishi maisha ya babu zetu walikula kila kitu na waliishi siku nyingi
inabidi utembee na ifanye kazi ngumu kama za babu zetu na ule michemsho, babu zetu walikuwa hawali vyakula vya kukaanga, kuku wa kisasa na nyama zenye dawa.
Babu zetu walipeleka pesa umbali mrefu sana kwa miguu. Wewe unatumia mpesa tigo pesa kuzituma umbali mref.
Babu zetu hawakula chips kuku, soda na vyakula vyote vya kemikali walikula kula asili
Hufi.
Yaani kwa masomo yake naendelea vizuri sana
Huko vijini wananchi wanajua hayo. Matunda! Wacha kukonfuse watu. Wacha wale walivyonavyo! Hiyo ni elimu baguzi, ya wenye hela tu. Waambie mwenye ubuyu haya, mwenye uji haya, mwenye nyama choma haya, mwenye ugali wa Tumtemeke haya, acha ubaguzi weee Professa!!
Sasa anaishi kijiji mpaka afundishe ya kijijini pili wa kijijini wameingia online saa ngapi kwanza hata hawamjui janabi wewe fata unayoona ni ya muhimu kwako usioona ya muhimu acha
Hapa hapa tuu mjini 2000 ya Apple analolisema ni mlo wa siku kwa mtu dagaa 500 mafuta 300 unga sijui ngapi hapo leo anazungumzia Apple wanakula wenye nazo.watu wana ugua sio wanapenda ni maisha magumu ya kula hovyo.chai ndio chakula kikuu kwa mwananchi wa hali ya chini nyie acheni tu muogopeni Mungu wee kama unacho pia mshukuru Mungu Elimu zingine niza baadhi ya watu sio za kila Mtanzania.
Halafu vijijini wanakula vyakula vya asili hawafikirii sana soda na keki@@nicholausmahenge8247
Uyo amnatu nimuongo sana
mkimsikiliza sana huyu kwa maisha ya Tanzania mtakufa na vidonda vya tumbo,unapofundishwa darasani ili ufaulu vizur muangalie mwalimu vile alivyo ndio ufanye anavosema,ishini maisha ya kitanzania tu tiba tosha,maana nikimuangaliga huyu jamaa na vile anasema haaaa siwezi fanya yeye anasema
Umeuna hata Rais wetu
Dactor mwenyewe anaonekana kua afya yake ni 9/100
MBONA HUYU JAMAA AFYA YAKE NI MBOVU SANA
Wanafki utawajua ndo kama huyu hivi afya za watanzania we ndo unaziongoza jua Kuna mungu na wewe ni kama sisimizi tu kila kitu mjuaji wewe watu tuna kula nyama tunakula ugali kila siku asubuhi uji mchana ugali usiku ugali na tupo shwali hayo ni matatizo ya mtu binafsi tu usi singizie wanga
Akili ndogo haziwezi kuwaza mambo makubwa, pole sana
Ujinga mzigo
Ila binadamu aisee huyu Msomi kakosea nn badala ya ss tumshukuru kwa kutupa elimu? Au mnamwenea vivu? Nenda na ww ukasome na uwe Prof.tusikie utakachotushauri juu ya afya zetu.
@@ManswetKimario Watu wa zamani wali ishi maisha marefu na afya zao bora! Kwani walisoma vyuo gani? Mwamini MUNGU tu, zamila yako itaku ongoza kwa kila kitu.
Wewe ni Maskini wa fikra na elimu ,,takataka
Namuelewa sana dokta ila ukumuangalia mwenyewe kama anaumwa kumbe ndio anarinda mwili wake
Heee huo ndo mwili
Afya yake inatisha mshike Yesu.maana yetu yako.mkononi.wa Mungu
Ushaur wa kiafya ni mzur wanainch msizarau na kumbeza
UELEWA NA ELIMU YA HIKI KIFAA NI QUESTIONABLE PER SE...ANA WENGE LINAMTAFUNA....
Watu wameaminishwa kua mnene ndo afaya yenyewe doctor ni mwembamba wanasema afya yake ni dhaifu😂
kanyori ka nzehe beh.utakufa kibudu sikuyako yaja.
Tumbafu...
WEWE MWENYEWE UNAONYESHA DHAIFU MGONJWA
Mbona yeye mwenyewe anaonekana afya yake mgogoro!!!
Profesa amekuwa mkaka kijana kabisa
Wew nae huna lolote unatuchosha huna lolote
ANGALIA CHOGO LAKE UAJI, KENGE WEWE MNYARWANDA
😢😢😢😢😢😢😢😢 I
UYU MZEE NDIO ANAYEONGOZA MAUAJI YA VIONGOZI BAADA YA TUKIO LA MAKONDA KABADILIKA ANAJIFANYA ANAPROGRAM YAKE YA AFYA YUNAMUJUA MAKONDA YUPO WAPI?
Kweli Umekasirika kaka
Duuu
Utakapoitwa ukatoe ushahidi, ndipo utakapoanza kuhara
@boniphace1 😂😂😂😂😂
Vipi, amemfufua?
Kwanini usimshauli Bashe
HUYU MZEE SIKU YA MWISHO ALIKUWA NA MAKONDA HUYU MZEE ALIUSIKA KUMUUA JPM
Njoo na wewe akuue
Prophesor Janama wewe ni muua makonda yupo wapi?
Utoto mwingi
Hahaha hahaha
We mwenyewe afya yako imechoka alafu unatwambia sisi fala nini
Acheni kauli zisizoeleweka