PAUL MAKONDA: HISTORIA YAKE/NILIBEBA MCHANGA/UKWELI WA JINA LA MAKONDA/ELIMU NA UTAJILI WAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ส.ค. 2024
  • #DULLYSANTZ#SANTZMEDIA#paulmakonda
    FUATILIA HISTORIA YA PAULMAKONDA ELIMU YAKE NA NYOTA NA UTAJILI WAKE
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 72

  • @pauloipanga7881
    @pauloipanga7881 3 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ni aina ya viongozi kama sokoine na nyerere mungu ampe maisha marefu huyu mwamba

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 10 หลายเดือนก่อน +7

    Nampe nda Makonda Eewe mwenyezi Mungu mpe wazfa mkubwa serikalin

  • @richardburengengwa6998
    @richardburengengwa6998 8 หลายเดือนก่อน +13

    Siku moja uyu mzee mweshimiwa atakuwa RAIS wainchi ya Tanzania mimi siyo Tanzania alakini nakuaga namfatilia sana, MUNGU akuwezeshe mzee

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  8 หลายเดือนก่อน +4

      👊👊👊

    • @richardzakaria8669
      @richardzakaria8669 3 หลายเดือนก่อน +4

      Siku moja atakuja kuwa rais makonda Mungu atupe uhai

  • @user-bq9me7st6z
    @user-bq9me7st6z 4 หลายเดือนก่อน +6

    Nakupenda bure makonda

  • @janechengula1733
    @janechengula1733 17 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda mungu akuvushe hata mimi unaniuma sanaa mungu akumbuke kazi yako akuponyee

  • @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
    @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye 10 วันที่ผ่านมา +1

    mie siyo nabii inshaallah Paul makonda atakuwa Rais siku zijazo

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 6 หลายเดือนก่อน +1

    MWENYEZI MUNGU SUBHAANAHU WATA'ALA AMWONGOZE KATIKA MAJUKUMU YAKE ,AAMIIN YAA RABBAL 'ALAAMIIN.

  • @sarahkingunza1516
    @sarahkingunza1516 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera makonda Mungu akutunze akupe uhodari zaid

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 หลายเดือนก่อน +1

      Usiache kutufuatilia SAN TZ MEDIA

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 6 หลายเดือนก่อน

      Historian hii ya Makonda sijui kama iko sawa 1998 alitakiwa awe kidato cha pili lakini yeye alikuwa tayari amemali shahada ya awali na ameanza kufanya vibarua?Nina mdogo wangu wa umri kama wake 1998 alikuwa kidato cha pili umri wake ulikuwa miaka 16 yeye makonda alikuwa anasoma sekondari na wakati huo anachimba shahada ya kwanza chuo kikuu basis ndiyo maana anamwakilisha Rais wetu kama mnavyomwona ni MTU pekee katika nchi hii na Africa kwa ujumla

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtani wangu ongera sana.Kumbe ni mwanangu wa kwanza ndio maana nakupenda sana.❤❤❤👍👍By Mngoni .

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      🤝👍

  • @asanthlewanga3941
    @asanthlewanga3941 22 วันที่ผ่านมา +2

    Kwanini mnasoma historia yake au amefariki mnatuficha jamani mimi naumia sana

  • @AlliyHamisi-z4k
    @AlliyHamisi-z4k 20 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani makonda mungu akuvushe kwenye atali

  • @Paulo-j1v
    @Paulo-j1v 15 วันที่ผ่านมา +1

    Yani daaa mungu yu nawe

  • @ekkymumba8566
    @ekkymumba8566 ปีที่แล้ว +3

    Awe kasoma hajasoma mie nampenda hivyo hivyo💯💯✅️

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  ปีที่แล้ว +1

      😂😂 umetisha sana,ila usiache kutazama SAN TZ MEDIA

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nampenda makonda na ukoo wake wote mwaaa😍

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 หลายเดือนก่อน +1

      Usiache kutufuatilia Neema mengi mazuli yanakuja

  • @benjaminbill6727
    @benjaminbill6727 ปีที่แล้ว +4

    Huyu Jamaa nampenda buree 💯💯

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  ปีที่แล้ว +2

      Vzr Endelea kuufuatilia SAN TZ MEDIA

  • @user-mg6gt9hk9o
    @user-mg6gt9hk9o 21 วันที่ผ่านมา +2

    Jaman jamn mtuweke wazi yuko wapi Rc makonda? Nanikwanini mnatusomea historia fupi ya mkuu wetu wa mkoa?????

  • @user-yt5ue4vj5b
    @user-yt5ue4vj5b 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nahis kuwa rahisi uyu jamaa😊

  • @LaurenceSanga-ft7ou
    @LaurenceSanga-ft7ou 14 วันที่ผ่านมา +1

    Hata mm nataka sana awe lais wa tz ila asiwanyanyase wapinzan

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 ปีที่แล้ว +3

    Tumekumiss ukuu wa mkoa Dar 💯

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  ปีที่แล้ว +1

      👊👊👊💌

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 10 หลายเดือนก่อน

    Asante mtangazaji kwa kutuhabarisha,tupe na viongozi wengine.Makonda hoyoooo

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 หลายเดือนก่อน

      Endelea kutufuatilia Amina ahsante kwakuwa nasi karibu sana

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kizuli hakidumu😂😂😂😂😂😂

  • @songeza
    @songeza 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kwan kusoma nn kasoma kweli sawa yuki wapi???? Elezeni mmechukua moyo jama wanavyochukuliwa watoto kutolewa vungo nae katolewa viungo achilieni mabaki azikwe kwa heshima zake. Daaaah inauma jamani inauma mtoto wa mwenzenu mmmmh hatari

  • @AshuraMsangi-dl7ry
    @AshuraMsangi-dl7ry 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera kaka yetu makonda mungu akutunze na kukulinda katika uongezi wako. Malaika wa mungu wakutunze

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 หลายเดือนก่อน

      Endelea kufuatilia SAN TZ MEDIA pia usiache kubonyeza batani nyekundu iliyoandikwa subscribe

    • @user-zd3ds6vt7u
      @user-zd3ds6vt7u 9 หลายเดือนก่อน

      Wasukuma hawanaga mbamba sababu niwasemakweli hawanatamaa hawatakidhuluma maana wahurumasana

  • @PeterJackson-kk3by
    @PeterJackson-kk3by 16 วันที่ผ่านมา +1

    Twambiani yuko wapi?

  • @AnnalukasMartine
    @AnnalukasMartine 15 วันที่ผ่านมา +1

    Yu wapi kamanda wetu imn

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mmmh! Hii historia inamaana gani? au inamaanisha nini?! mbona inanichanganya😅😅😅😅

  • @costantineelisante8587
    @costantineelisante8587 หลายเดือนก่อน +1

    Muguampe Maishamarefu bab yet po kristian makonda

  • @ShilaEliasi
    @ShilaEliasi 20 วันที่ผ่านมา +1

    Yup wapi

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 ปีที่แล้ว +1

    Naomba no.ya Poul Makonda tafadhari

  • @user-qu1mq2ik2e
    @user-qu1mq2ik2e 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watu hutoka mbali but God's time is the best

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika!!!?

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 2 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU mwema akutunze mwanangu

  • @KidawaRashid26
    @KidawaRashid26 6 วันที่ผ่านมา +1

    Tutaandamana

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 หลายเดือนก่อน +1

    Inasaidia nini Historia hii kama binadamu wote wana historia za aina zao na ni zao ?

  • @jonsondsflosa5619
    @jonsondsflosa5619 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna baadhi ya vijiji wanajua bado raixi nyerere.

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wasukuma inaonyesha ndo nguzo ya nchi hii

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i หลายเดือนก่อน

      Si utani ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @jonsondsflosa5619
    @jonsondsflosa5619 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jaman tuache mahixtoria hixtoria haya tufunduxhane jinxigani ya utaftaji wa pexa nyingi mahixtoria haya wara hayatujengi cho,chote

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 หลายเดือนก่อน +2

      Swala lako zuri tunakuahidi kulifanyia kazi Johnson

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kachoma mkaa Mbezi Luis??!!! Mtu ana digrii halafu achimbe mchanga miaka ile ya zamani?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani kuchimba mkaa ni nini??

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@SantzmediaMkaa huchomwa misituni na Mbezi Luis ni jijini Dar hakuna misitu ya kuchoma mkaa. Mchanga wala hakuchimba kwani miaka ile ukimaliza digrii kazi nje nje. Fake news

  • @CostaAntino
    @CostaAntino 21 วันที่ผ่านมา +1

    Tupeukweli isiwe ya magufuli

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu amalize chuo kikuu halafu achome mkaa na kazi za ajabu miaka ile???!!! Hizi habari zina mashaka .Ina maana Mhe Gwajima alimzingizia mengineyo?

  • @prospergirimwa7120
    @prospergirimwa7120 21 วันที่ผ่านมา +1

    Achauongo mjinga wewe,makonda hakuwahi soma chuo kikuu mwanza .
    Makonda amesoma chuo cha uvuvi nyegezi na dipoloma yake alichukua mbegani bagamoyo kozi ya taaluma ya samki baadae ndo akaenda arusha kutafuta digrii .

  • @FarajaelibarikiLaunoni
    @FarajaelibarikiLaunoni 17 วันที่ผ่านมา +1

    Iyo storia yako no ya uwongo kabisa

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 ปีที่แล้ว +3

    Vyeti feki hivyo acha kutudanganya.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058
    @mutalemwamarcelventure.mae2058 9 หลายเดือนก่อน

    Kwani wanachuo na Wana siasa Wanapatahaje hizo pesa ijapokua hawajawai Fanya kazi siku nyingi jamanii twambiheni na çc

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 4 หลายเดือนก่อน +1

    Habari zingine ni feki

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hata mm nataman kuwa mwanasiasa kama ww

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe kanjanja wahead unatuletea utopolo tupu

  • @kivyerabanduka1854
    @kivyerabanduka1854 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huu uongo

  • @jonsondsflosa5619
    @jonsondsflosa5619 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hii nchi nimaxkini burudani za nn