Kaka ninakushukulu Sana nimekuwa nikifatilia Sana toka Mwaka Jana .. kiukwel nimeinuka Sana kichumi Mwaka Huu 2024 Mwezi wapili nilipata hasala Zaid Ya Milion 20 nikapoteza na Nyumba .. ila Namshukulu MUNGU Kwa Saiv sijihisi kupoteza nimejenga na Biashal Yangu imesimama Ndani ya miez 8 .. Nataman Siku Moja tuonane Hakika Ninaamani Sana Na Niliachilia Nanikapambna upya
Habari ya (asubuhi, mchana na jioni )ikitegemea unasoma comment hii mda gani, Pitia Video yangu itakayokufanya uone upande wa pili wa sarafu ya fedha nilifafanya siri ulizofichwa kuhusu mafanikio. Siku njema
Hii ni elimu ambayo uwezi kuipata shuleni ❤ nipeni like zangu
Kaka asante
Utamu wa maneno huongeza elimu.
Kenya watching be blessed bro.
Allah akuzidishiye ujuzi
Kaka ninakushukulu Sana nimekuwa nikifatilia Sana toka Mwaka Jana .. kiukwel nimeinuka Sana kichumi Mwaka Huu 2024 Mwezi wapili nilipata hasala Zaid Ya Milion 20 nikapoteza na Nyumba .. ila Namshukulu MUNGU Kwa Saiv sijihisi kupoteza nimejenga na Biashal Yangu imesimama Ndani ya miez 8 .. Nataman Siku Moja tuonane Hakika Ninaamani Sana Na Niliachilia Nanikapambna upya
Joel unaimani kubwa sana
Huna baya kaka🙌🙌
Asante sana bro Umgeni fundisha bro ❤😢
Sio mbaya leo nimekuwa wa 4 naomben like ata 4 tu
Video
Vudeo
Huu upumbavu hatuutaki apa like kaombe uko kwenye miziki
Nadhani umepotea njia.😂
Huku tunafanya personal development sio hayo mambo ya likes ... that's poor mindset
kweli kaka malengo muhimi
🙏🏿🙏🏿🙏🏿✍️✍️
Asante Sana coach Joel 🙏
Kaka mungu Akulinde maan kila siku najifunxa kitu kpy
AMEN SANA Nashukuru 🎉🎉❤❤
Ni kweli kabisaa kaka yangu
Be blessed kaka joeli. Kila siku najifunza kitu kipya 🙏🏽
Nimeongeza tena maarifa
Asante sana
Nakukubali sn kaka
Ubarikiwe kwa madini unayotupa
Shukrani
Nakukubari Sana Kaka Joel
Nadhani ungekuwa na unatoa jumbe za sauti pia
Huwa anatuma kwenye grup la WhatsApp
Fact kak I remember that😂😊
Asante 🎉🎉🙏🇨🇩
Asante kaka Joel
Kitabu nitapataje nipo mkoa wa songwe
Yes
Sioni tairi kwenye screen mkuu
Nataka baadhi ya vitabu nipo Arusha namba ya sm plz
Kaka Joel hiyo graph ya life balance mbona hujatuonyesha me cjaona unavofanya
Aisee wewe mtu unaelimisha mpaka raha!
Habari ya (asubuhi, mchana na jioni )ikitegemea unasoma comment hii mda gani, Pitia Video yangu itakayokufanya uone upande wa pili wa sarafu ya fedha nilifafanya siri ulizofichwa kuhusu mafanikio. Siku njema