MWILI wa MAREHEMU STAR wa ARUSHA ULIOTEKWA na MKENYA, MAHAKAMA YAAMURU UKABIDHIWE kwa MKEWE wa NDOA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 206

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +3

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 ปีที่แล้ว +25

    Asanten vyombo vya habari kwa kupaaza sauti sasa serekali kazi kwenu haki ya huyu mama ipatikane

  • @revinaraphael5220
    @revinaraphael5220 ปีที่แล้ว +23

    Mungu tunae mtumikia sio wa viwango vya chini tuna mtumkkia Mungu wa viwango vya juuu anafanya njia pasipo na njia Ameen

    • @janejane8923
      @janejane8923 ปีที่แล้ว +1

      Barikiwa dear ni mungu afanyi mchezo

    • @awezayesu1779
      @awezayesu1779 ปีที่แล้ว

      Na uyu Mungu pia anajidai kuwa ni mume wa wajane na papa wa yatima👏

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 ปีที่แล้ว +22

    Nakupenda muandishi Msomi Allah akuzidishie maana bila ya hii habari kuipazia sauti huyu dada angedhulumiwa haki yake

  • @Marjeby
    @Marjeby ปีที่แล้ว +3

    We jamaa unajua sana aiseee ondoka hapo Global unachelewa we sio wakutangaza online tv washukuru tu kwa muda wote mliokuwa pamoja tembea bro muda wako ndio huu

  • @WachajiWaForo
    @WachajiWaForo ปีที่แล้ว +1

    Hatimae haki imetendeka. Alhamdulilah. Hivi vimada vikishaiba waume zetu hujiona wana haki kuliko sisi wana ndoa. Watabakia tu kuwa vimada na sisi wake halali. Hata MMungu yupo pamoja nasi atatusimamia.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 ปีที่แล้ว +15

    Umenitoa machozi wewe Dada kweli umepitia sana mitihani mikubwa pole sana

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 ปีที่แล้ว +4

    Amen Amen naikawe hivyo. Asante Mungu mtetezi wa wajane halali. Hati ya nyumba ifuate hao wandugu wamrudishie huyu dada hati ya nyumbaa!!! Kisha ajitokeze mtaalam wa macho akutibu macho yaone tena! Mungu ni mwema sana.

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 ปีที่แล้ว +6

    Serekalini Mungu awabariki kwa kuitenda haki kwa uyu mjane na wanae, Mungu usimuache uyu mjene mpk hapewe na hati yake ili maisha ya watoto yasiyumbe🙏🙏🙏🙏🙏

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 ปีที่แล้ว +8

    Leo naipongez serikal endeleen kump saport huy mjane

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 ปีที่แล้ว +8

    Hivo vyombo vya habari vikitumika vizur vinasaidia sna kuwezesha watu kupata haki. Hongera Kolumbaz

  • @rosemalle3600
    @rosemalle3600 ปีที่แล้ว

    Nawashukuru mawakili na mahakama kuwatetea mjane na yatima,Mungu Ni Mwema kila wakati

  • @niselanyakato6885
    @niselanyakato6885 ปีที่แล้ว +9

    Hamna kinachoshindikana kwa mungu 👏👏

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 ปีที่แล้ว +2

    Asante Mungu mahakama za Arusha ziko vizuri mno hutenda haki siku zote.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 ปีที่แล้ว +4

    Ashukururiwe mungu 🙏🙏dada kapata haki ya kumzika mumewe lile lichangu limeona ht aibu kuja mahakamani ☹️☹️☹️

  • @gesyogongi5659
    @gesyogongi5659 ปีที่แล้ว +15

    Haki ya sheria kwa watanzania,ni superb. Ingukua kule Kwetu Kenya, hongo ingetembea kwa jaji na hi Kevin ingeamliwa vingine. Heko kwenu TZ. Heshima sana , na mbarikiwe sana sasa. Endeleeni kuwa walinda wanyonge, kama huyu dada.

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 ปีที่แล้ว

      Ishu ni mwandishi kasaidia kuweka wazi kila kitu. Rushwa haina mipaka.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 ปีที่แล้ว +6

    .Mungu umejidhihirisha kuwa Baba wa yatima na Msaada Kwa wajane...iwe heri Kwa watz

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan71 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana mwandishi msomi mwenyezi mungu akupe maisha marefu zaidi hapa Duniani Mimi hukufatilia sana Asante Sana kwa moyo wako na kusaidia jamii

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 ปีที่แล้ว +9

    Safi sana na hati yake ya nyumba apewe

  • @theafricaiknow6615
    @theafricaiknow6615 ปีที่แล้ว +2

    Asante Mungu kwa hili

  • @aash4145
    @aash4145 ปีที่แล้ว +13

    Akikabidhiwa mwil wa mume wake,,, nahak ikatendeka kwa ujumla,,,, dada wawatu atakua na ahuen au kupona kabisa macho kwauwezo wa alah

  • @happygeorge4185
    @happygeorge4185 ปีที่แล้ว +9

    Mungu atusamee dunia ii kila mtu anapita jamn tuache roo mbaya

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 ปีที่แล้ว +6

    Asante mungu umemckia kilio chake mama na wanae 🙏🙏😭

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 ปีที่แล้ว +3

    Hongera Mahakama imetenda Haki kwa kumkadhi Mwili Mke Halali wa Marehemu.

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 ปีที่แล้ว +2

    Dada nenda kwa mtumishi sumbe ukitoka msibani Mungu atakuponya hayo macho

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah pole dada kila ilio haki yako utaipata

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ataponya. Huyu Dada jina la Yesu

  • @steramwanakira7183
    @steramwanakira7183 ปีที่แล้ว +3

    Fair plate on you journalist you real help and support that poor woman to get justice

  • @rukiaathuman643
    @rukiaathuman643 ปีที่แล้ว +3

    Daaahhh stress za mapenz mbaya nimelia daahh

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว +3

    Maashaallah. Safi sana

  • @rosemaryngendo7635
    @rosemaryngendo7635 ปีที่แล้ว +1

    Yaan jamn dunia hii! Mpka choz limenitoka jaman mungu akupe nguvu dada ndoa hizii

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 ปีที่แล้ว +39

    Mwandishi msomi umehusika sana kumsaidia huyu dada mumsimiamie na mumsaidie huyu mama

    • @maryamhannif897
      @maryamhannif897 ปีที่แล้ว +5

      Kweli kabisa mwandishi msomi kazi yako nzurinzuri sana

    • @dignakanje4508
      @dignakanje4508 ปีที่แล้ว +4

      Hyo mama atoe nahizo hti zamwenzie.Mwizi mkubwa hyo mume uchukue marehemu uchukue wewe nibinadamu gni,alafu mara nyingi ndugu wamwanaume niwanafiki sana.Yamenikuta ndio maana naelewa uchungu wahyo mwanke mwenzangu.Serikali yamama ikaze sheria zakina mama kwaukubwa wake.wanawake tunaonewa sana jmni hswa kwenye ykutoka kwamume.Ndugu wamume wamekuwa wanafiki wakubwa hawajali hta uzao wao.mungu akubariki sana

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 ปีที่แล้ว

      @@maryamhannif897 kwa kwel

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc ปีที่แล้ว +2

    Wow jomon nmefurah yule mkenya ni shetan yule wanawake tupendane jomon

  • @marthapeter8246
    @marthapeter8246 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 ปีที่แล้ว +2

    Congratulations Global Tv👏👏👍🏽💯 Mwenyezi Mungu Awape Nguvu 🤲 🤲 😓

  • @RebeccaMboya-g2q
    @RebeccaMboya-g2q 14 วันที่ผ่านมา

    Hivi mm najiulizaga nikwann ndugu wapo tayari kumtenga mke wa ndoa na kumkumbatia hawara wa ndugu yao jamani 😢😢😢😢😢😢

  • @mariej6962
    @mariej6962 ปีที่แล้ว +8

    Wanaume ni nyoko kweli. Haya yote ni matunda ya matendo ya marehemu.

  • @sausterchelela3522
    @sausterchelela3522 ปีที่แล้ว +2

    Mungu nakupenda sana wewe ni wa haki machozi yetu wewe wayafuta

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 ปีที่แล้ว +3

    Ndugu wa huyu dada mpelekeni maombi ndugu yenu huo upofu ni wa kutupiwa hakika huyo ni mzima kabisa macho yake hana sukuri wala bresha nendeni maombi

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwemaaa sifa na utukufu ni kwake

  • @marcynhumbi3534
    @marcynhumbi3534 ปีที่แล้ว +6

    Tunashukuru Kwa hatua hii,pia ile hati yake ya mauziano ya hicho kiwanja msaidie aipate huyo wifi ake sio kabisa

  • @عبداللهالعازمي-ع3ش
    @عبداللهالعازمي-ع3ش ปีที่แล้ว +2

    Mungu akuongoze

  • @khadijajacobo4660
    @khadijajacobo4660 ปีที่แล้ว +4

    Sasa hawara anatakaje kumzika mume wa mtu ??? Hizi imani zingine jamani duh 😭😭😭😭😭

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว

      Nashangaa katoa wapi ujasiri huo

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat ปีที่แล้ว

      @@sarahgaula2220 anasema eti ndoa yake ni serikali

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 ปีที่แล้ว +6

    Tuanze na vibali vya mchepuko huyo kuishi ndani ya nchi.... Asije akawa anaanzisha ugomvi wa mawe wakati anaishi nyumba ya vioo. Hongera familia na poleni Mungu akawafariji ktk hili.

    • @christinelihavi4068
      @christinelihavi4068 ปีที่แล้ว

      Wakili amesema kua huyo mchepuko hajazuia Mwili,ni ndugu wa marehemu ,alafu musiwe na ubinafsi Sana,mbona asilaumiwe marehemu kwa kuitelekeza familia na kuhamia kwa kimada?

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 ปีที่แล้ว

      @@christinelihavi4068 Hilo in angalizo tu dear wala is tuhuma.

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 ปีที่แล้ว +3

    Ndugu ndugu.shame on you!!! Inaonekana huyo mkenya ana hela hivyo sasa lilian mama wa watu na watoto hawana dhamani kwenu tena

  • @aluwaalvine2382
    @aluwaalvine2382 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kunawanawaka wanapenda kwa vyote Mme wake alimufanyiya bado analiliya amuzike Mme wake eeeh maman yangu uko njasiri dans mungu akulinde maman Yangu

  • @aishajuma18
    @aishajuma18 ปีที่แล้ว +24

    Maskini dad wa watu kapata ulemavu kwa sababu ya mapenzi😓😥mungu akupiganie

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc ปีที่แล้ว

      Wee kumbe ilikuwaj

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 ปีที่แล้ว +1

      @@Zainab-sq1tc Baada yavkusikia mumewake ana huyo mke mwingine akapata pressure ndio akapofuka macho😓😓wanaume hawana huruma hawa

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc ปีที่แล้ว +3

      @@aishajuma18 jomon ss sijui atapunzkaje kwa aman wakat huk ajaacha aman

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b ปีที่แล้ว +2

      @@aishajuma18 maskini pole jameni wanaume wanatupa ulemavu ,, lakini nashukuru mungu Kwa hii mahakama kusimama naye asante mungu

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 ปีที่แล้ว +1

      @@aishajuma18 masikin😭😭😭😭😭😭 mungu amusaidie🤗💔

  • @queenpeter9809
    @queenpeter9809 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awatie nguvu hiyo familia jamani

    • @elizabethnelson583
      @elizabethnelson583 ปีที่แล้ว

      Huyu mkenya alifunga ndoa ya serikali ili apate kukaa hapa tz afanye umiliki wake,

  • @oliverkyara8232
    @oliverkyara8232 ปีที่แล้ว +1

    Caroline be carefully dear sister life is too short

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 ปีที่แล้ว +6

    Pengine hata hayo macho lilimroga

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 ปีที่แล้ว +8

    Mungu mkubwa nautashinda dada mume wako utamzika insha'Allah

  • @gladsmwageni9049
    @gladsmwageni9049 ปีที่แล้ว

    Yaani mindugu yamume inatamaa MUNGU kakushindia dada 🙏🏾

  • @fatumafatuma1503
    @fatumafatuma1503 ปีที่แล้ว +1

    Katika maisha ukimtegemea mungu hakuna kinachoshindikana kiukweli pole sana dadaangu

  • @aminasuleiman8120
    @aminasuleiman8120 ปีที่แล้ว +2

    Ila hawa wanaumee mhhhh!!ndio chanzo Cha matatizo

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Pole sana mama dah

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 ปีที่แล้ว +1

    Afie mbali shetani huyo akatafute mume wake wa halali,ndugu Sasa cjui sura zenu mtaweka wapi,Ila wanaume nyieee Mungu anawaona ushamsababishia dada wa watu ulemavu bado mpaka ck unakufa unamsababishia mahangaiko kwa ajili ya matendo yako dah,Mungu awatetee.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 ปีที่แล้ว +6

    Hiyo mindugu ni njaa ilikuwa ikiwasumbua,Mungu atashughulika nayo.

    • @awezayesu1779
      @awezayesu1779 ปีที่แล้ว

      Yaan mipumvavu wote hawana hata washauri 😢

  • @ssaa7495
    @ssaa7495 ปีที่แล้ว +21

    Ila wanaume mgekuwa mnajuwa umnavyo tangulia mbele za haki huku nyuma wake zenu wanateseka sijui ingekuwaje. Hasa wachaga sijui kwanini mnakuwa na tamaa za mali . Mume amekufa mali zinabaki kuwa za mke . Lakini ndugu sijui kwanini mnakuwaga na tamaa za hovyo!! Wachaga badilikeni wapumbavu wa akili nyie

    • @ادريسالبلوشي-ل9ي
      @ادريسالبلوشي-ل9ي ปีที่แล้ว +5

      Wachaga hawajui kubadilika..wao wanachokijua ni kuumiza mioyo ya watu..wachaga wachaga

    • @abigaelmassamu2970
      @abigaelmassamu2970 ปีที่แล้ว

      Sasa hapo ni mchaga au mkenya...pumbavuuu

    • @doricemtungi277
      @doricemtungi277 ปีที่แล้ว +3

      Mi siwapendi wachaga

    • @ssaa7495
      @ssaa7495 ปีที่แล้ว

      @@abigaelmassamu2970 kama wewe mchaga baki nalo wapumbavu nyie. Mmekuwa na tamaa za mali za mjane kama nyie hamtakufa wajinga kabisa

    • @dorotheajoseph2038
      @dorotheajoseph2038 ปีที่แล้ว

      @@doricemtungi277 hata sisi hatukupendi

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 ปีที่แล้ว +2

    Safi sanaaa msomi

  • @sylvierlumbasio4226
    @sylvierlumbasio4226 ปีที่แล้ว

    Mkikuyu shikamoo corolin munga,,Pole mama haiki haitozama

  • @elsonkibasindila7526
    @elsonkibasindila7526 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mama inaonekana na yeye mjanja mjanja maana hao wapambe wenyewe ni balaa mtaani wanajulikana

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 ปีที่แล้ว

      Adui yako hatoki mbali... unaonekana unamfahamu na unafuraia matatizo yake

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 ปีที่แล้ว +4

    Wakili wa Lily ni mtu wa Mungu.

  • @getrudemusimbi6115
    @getrudemusimbi6115 ปีที่แล้ว

    Kenya ndio sisi

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky ปีที่แล้ว +3

    Muandishi msomii 👏👏👏👏👏story yetu ya Bayoo imeshia wp?

    • @zawadizawadimussa23
      @zawadizawadimussa23 ปีที่แล้ว

      Jamani kutakuwa na kitu sio bule mtoto wa mwanajeshi

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 ปีที่แล้ว

    Hongera sana muandish Allah akuzidishie🤗🤗😥💔

  • @hadiyamohamed594
    @hadiyamohamed594 ปีที่แล้ว

    Mkikuyu wa kenya ni wachanga wa tanzania tabia wote ni sawa mshenzi arudi leo kenya

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 ปีที่แล้ว +1

    haki hipatikane jmn hadi nyumba yake hakabidhiwe mke na watto wapo ndg hawana nafasi hangekuwa hajaza sawa

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 ปีที่แล้ว +1

    Mitihani jamani Poleni

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 ปีที่แล้ว +1

    Huyo dd atakuwa kaungana na huyo wa kenya kumuuwa ndg yake

  • @mwajumajuma2999
    @mwajumajuma2999 ปีที่แล้ว +2

    Minahisi hata hayo macho ni mke mwenzie ndoalie mloga

  • @karenkairu9938
    @karenkairu9938 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahi sana kusikia uwamuzi wa mahakama,huyu caroline arudi kwao akatafute bwana huko,mwizi wa bwana na mwizi wa maiti??lo!jameni wakikuyu.

  • @lovenessmollel9099
    @lovenessmollel9099 ปีที่แล้ว +2

    JAMANI HUYU MAMA APELEKWE KIBOSHO HOSP ATAPATA MATIBABU YA MACHO. NINA NDUGU YANGU ALIKUWA KAMA YEYE NA SASA AMEPONA

  • @neema_mollel
    @neema_mollel ปีที่แล้ว +3

    Maskinnn daaah wanaume shikeni adabu ,mnaleta majanga kisa uasherati wenu

  • @elizabethnelson583
    @elizabethnelson583 ปีที่แล้ว +1

    Hongera msomi,huyo mkenya afuatiliwe kwa undani arudishe kill kitu cha Mareham kwaajili ya watoto wake,na huyo mkenya achunguzwe anafanya kazi gani haha tz

  • @winnerlucas5924
    @winnerlucas5924 ปีที่แล้ว +1

    Dear mume wangu meshack usijichanganye ukisepa nikiwa hai ukifa walaaaaa wakuzike tu beeiiibeeee sio habari zangu

  • @rosemalle3600
    @rosemalle3600 ปีที่แล้ว

    Huyo hawara anaeng'ang'ania mwili wa Marehemu,awekwe ndani ili iwe fundisho kwa wengine,wanaodhulumu Mali ya yatima na mjane

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 ปีที่แล้ว

    Afazali jmn ,michepuko cjui inajikutaga nani?

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si ปีที่แล้ว +1

    Shukraan za dhati na pongezi kwako kolumba

  • @conzelabusega9171
    @conzelabusega9171 ปีที่แล้ว +1

    Kuna watu akili hawana asa utandawazi wote huu kung'ania Mali za marehemu Aliyakuwa anawatoto na mke yupo Hai kweli jamani si niutahira uo,ndugu nao ni akili hawana damu yenu ipo acheni hira

  • @rizikahmad6930
    @rizikahmad6930 ปีที่แล้ว +1

    Manshallah

  • @estertiffathomas5651
    @estertiffathomas5651 ปีที่แล้ว +1

    Big up muandish msomi

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU ni MKUU,hakika ww mwanamke wa kikenya izo pesa unazojidai unazo sheria itakumaliza na hai mawf wenye tamaa wanawake msio na huruma mnamkana wifi yenu wa halali na watoto kisa vijicent vya mkenya, MUNGU atawaumbua

  • @mercysamuel9281
    @mercysamuel9281 ปีที่แล้ว

    Nakuombea kheri Kolumba le babas ,

  • @adellamateru4459
    @adellamateru4459 ปีที่แล้ว +6

    Jamani hii tabia imeenea sana haswa kwa wachaga wamezoea kuwanyanyasa wajane na watoto wao na kuwanyanganya Mali walizoachiwa naomba serikali ingilie hili haswa kwa wachaga

    • @vivianvivian8585
      @vivianvivian8585 ปีที่แล้ว

      Tafuta kazi ufanye achana na wachaga 😒

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 ปีที่แล้ว

      Sijui wale wa marehemu bilionea msuya wamefikia wapi

    • @praisesteven7774
      @praisesteven7774 ปีที่แล้ว +1

      @@florencemeza6540 ata mim nimewazaaaa ivo😆😆😆😆

  • @Ann-Strong
    @Ann-Strong ปีที่แล้ว +1

    Yaani wanawake wakikuyu TU ,. Ata huenda aliua huyo mwanaume kisa mali

  • @gililwise
    @gililwise ปีที่แล้ว

    Ndoa na iheshimiwe na watu wote.huyo malaya wa kenya arudishwe kwao masaa 24.pili ninyi ndugu wa star acheni dhambi ya.dhuluma.Msitafute laana kwa vizazi vyenu

  • @annahnguvumali1626
    @annahnguvumali1626 ปีที่แล้ว +1

    Hakika Mungu amesikia kilio chako dada

  • @floranceluqman2951
    @floranceluqman2951 ปีที่แล้ว +1

    Nataman kumuona huyo shetani anaejiita Caroline mwizi wa wanaume za watu shetani wa mguu mmoja hatimae amedondokea pua

  • @edithkajuna2281
    @edithkajuna2281 ปีที่แล้ว

    Mdau wa Sheria na harakati, nimefurahi kuona Mama huyu ametendewa haki na Mahakama

  • @juliasmolellmolell4815
    @juliasmolellmolell4815 ปีที่แล้ว

    Mama Samia amesema haki ufwate

  • @aash4145
    @aash4145 ปีที่แล้ว +2

    Mungu mkubwa

  • @levinamwanakulya9379
    @levinamwanakulya9379 ปีที่แล้ว

    Hawa ndugu mbona hayana huruma

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mkubwa Sana pole dada yangu

  • @annasaitabau7889
    @annasaitabau7889 ปีที่แล้ว

    Ndugu wa mume mmmmh

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si ปีที่แล้ว

    Hongera bro hunaga mbambamba

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 ปีที่แล้ว

    Michepuko sijui wanamatatizo gani

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 ปีที่แล้ว

    Dunia hii .mh kuwa uyaone

  • @noorlheyaljabri602
    @noorlheyaljabri602 ปีที่แล้ว

    asantesana mwishimiwa hakimummetendahaki ukovizuri hskiniyamkewewahalali walitaka kumzurum tenatunaombaselekari wawa agaliyesana mkewamarehem na watoto

  • @lalorestaurant9003
    @lalorestaurant9003 ปีที่แล้ว

    Ni mkenya mkikuyu chenza na kikuyu mtaibiwa mpaka nynyi wenyewe mkauzwe.ongopa mtu anaitwa kikuyu

  • @aminasuleiman8120
    @aminasuleiman8120 ปีที่แล้ว

    Dunia hii jamaniiii 😭😭😭