POLISI WAINGILIA KATI KUFUKUA KABURI LA MTU ANAEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA -KIBALI CHA MAHAKAMA CHATAKIWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 มิ.ย. 2024
- POLISI WAINGILIA KATI KUFUKUA KABURI LA MTU ANAEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA -KIBALI CHA MAHAKAMA CHATAKIWA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Global hongereni, Columba Lebaba unajua kuhoji. Jamaa wa Millard "Ng'omba" anatoa habari nusu nusu. Anahitaji kuboresha taaluma ya kuhoji.
Huyu atakuwa aliwekwa msukule akawa anafanyishwa kazi sokoni sasa ghafla kaponyoka akiwa anapelekwa kazini😅
😂😂
😅😅😅😅
😂😂Ni kama
Mungu amtetee huyu Baba inaonekana Kuna jambo nyuma ya pazia Mungu makusudi yako yasimame kwake wale maadui wa siri wafe wao kwa jina la YESU.
Ukifuatilia vizuri, utaona marehemu amerudi na anadai shamba lake....vipi kama wanataka kumdhulumu shamba lake wakatengeneza mazishi ya mchongo?
Nivizur wafukue waangalie kilichopo kwenye kaburi!!, Mambo kama ya Mkoa wa Kigoma yameanza!! watu wanakufa na kufufuka, chezea wachawi wew🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo kigoma tu ndo Kuna wachawi?sehemu zingine jee hayakuepo hayo
Acheni kuwachafua wanakigoma
Washirikina wame feli, mwamposa safi 🙏🏾🙏🏾
Acha fikra potofu
😂😂😂😂 eti mwamposa dah mmelambwa sana
Hapa hakuna uchawi, kuna mistaken identity tu
Sure
Samia ni mama mwerevu sana naelewa sasa kwanini kamtuma makonda kuwa mkuu wa mkowa arusha,juu ni mkowa wa kwanza mtz wenye vituko vingi.tena vyakusisimuwa.
Kamtuma kwa manufaa ya chama chao ,kuvunja upinzani. Kwa akili yako unajidanganya
Hili jambo linahusianaje samia na makonda kw kufufuka jamaa huyu au wao do wamemfufua
Jamani Sasa mama kaingiaje hapo ,mbn kizaz hiki kimekuwa Cha kijinga hivi daaah
Dah na magufuli angefufuka tu jaman😢😢
Kabisa yaan...!!
Arusha na Kigoma kwa matukio ya ajabu kunaongoza Dar tunaongoza kwa kutekwa tu😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂🇹🇿
😂😂😂😂😂
@@latifamubba100 😂
😂,😂🎉🎉
Hyu mzee mbna amekataa, isijekua yuwahusika tu😂
Huyu ni mzee sio kijana
Hii ndo comment nilikua natafuta
Leteni manispaa tunachangia
Tutapeleka wapi ndo swali gani Hilo? KWAIO HILO KABULI LA MTU AMBAE YUKO HAI LIENDELEE KUBAKI HAPO ILII ??WAFUKUE WATHIBITISHE..
Huyu mzee aeza kua yuwajua kinachoendelea
Welcome back brother tuendeleze mapambano 😂 utupe na stori za heaven 😂
😂😂😂
Aisee
Hiki kijamaa kinaongeaaaa mpaka kinakera
Tz tupo nyuma sana hii habari ilipaswa kuwa kwenye vyombo vya habari vikubwa kama tbc, itv na maswali ya msingi yakuhoji ni uzembe wa mortuary ya mkoa kufanya makosa yakutoa mwili wa mtu mwingine bila kujirizisha vizuri, Kuna watu wapo sehemu wanatafuta ndugu Yao amepotea kumbe mtu alipata ajali na ameshaenda kuzikwa kimakosa.
😅rambirambi wialishagawana na msosi walishakula. Marehemu amerudia malipo yaliyomuaga😂😂 karibun Arusha home town city
Na urithi tumegawana
Wakae wenyewe huko😂😂
Dho hatarii😢😢😢
Mungu wangu watu tunaoendaga kununua viwanja tuwe makini... Fikiria ndiyo waendako kununua KIWANJA na muuzaji ni Robert
Serikali inawapiga matozo kila siku alafu mnakaa kimya alafu mnakuaga mnanguvu Kwene mambo ya ujinga tu
Wazee ndoo wanakwamisha hili taifa kusonga mbere ndoomana hatuendaniii namda kisa hawa wazeee wazembe
Hivi Izo taratibu zote, zilifanyika kwenye kufufuka Kwa yesu kweli??
Yesu kaburi lilikuwa wazi
Daa makonda awe pole wasije wakamtoa akili tu maaana Arusha bw salutee
Mwenyew ashasem hajafa nyie nani mpingee😂😂
Ndio hapo sasa
Basi mchongo huo. Kama mnakataa kufukuwa kaburi
Usalama wa Taifa ni Idara yenye maarifa mengi sana
Ndio lakini haiwajibiki ipasavyo.
Duuuuuh!!
Huyu mzee wa boma anajua kilichozikwa uko kwenye kabur ndio maana anakataa lisifukuliwee
Walizika mtu ambaye siyo mlfanywa mazingaombwe😅😅😅😅 mshikaji alimkimbia makonda 😂😂😂 kaona upepo mzur wa makonda kaona ajitokeze😢😢😂😂😊
Mungu yupo moindeni jamani kaka wa watu, Mungu amemuokoa
Au walinzika mtu siyo wao
Walizika mtu sio wao
Watu kweli wanajua kuloga😢😢
Kweli Hajafa.
Pastor lugha alotumia hapo duuh kwel chuga jau😢
Jamaa amekuwa yesu
Vizazi og na wadudu wameamua
Hiyo ni kiki yule mzee anataka kutoa album yake ya kwanza😂
😂😂😂 kitu kilichukuliwa msukule kikaponyoka😂😂
😂😂😂😂
Kimetoroka😂😂😂
Wazungumzaji kweny hii habari wanaakili sana?
Fukueni maana yawezekana walizika mtu tofaut bhana me siamini haya anafufukaje kwani ni yesu
mwenyekiti yupo sahii
Acheni kufanya biashara kupitia imani hii ni harari sana ndugu zangu
Jaman atuwambie imekuwaje mpaka amefufuka au alitolewa msukule nin?
Sio kweli
Ndo maana Mungu anatenga wafu na walohai!
Waliotoa taarifa ya ajali na kifo siyo wa kweli na watu wengi hawangalii maiti
SIJAFAAA😅😅
Hapo ushirikina tu!
Wakifukua atakufa moja kwa moja waache tu kama wanampenda huyo ndugu yao
Maiti wa mchongo Ndugu walichukua rambirambi tu 😂😂
warudishiwe rambirambi zao😂😂
@@Max9_captain kiendacho kwa mganga hakirudi 😂😂😂
Hapo n wapi
Kwani yeye mwenyewe alieonekana anasemaje
Wenawe.umenichekesha.eti.anasemaje
Mtu hakufa aliyezikwa ni mwingine walifikiri ni yeye.....mpeni shamba lake jamani aendeleze mapambano
Duh amechukuliw n wakuu nd karudi n Ujio mya😂
Hao wachawi ndio wanakataa hata huyo mzee nna wasiwssi nae huyo mbona anabisha hivoo
Mzee yeye amejuaje kuna mifupa huko shimoni,
Jamaa anakataa kabisa sijafa!,nimekufa? acheni utani
Hapo ni mipango ya watu wachache waliopanga ilo tukio kamata watu waseme jamaa anaonekana ana misimamo mikali
Swali ni moja tu, huyo Robert kama alikua hajafa ck ya mazishi yake alikua wapi? Maana msiba ulifanyikia kwao, na je hata tetesi za msiba wake hakuusikia?
Hilo nalo neno
Kusumbua tu police na kupoteza mafuta ya serikali
Weee unavuta bangi pesa za Kodi zao zinakuuma au vp
Ndugu mwandishinkama auna maswali usiulize sana utaonekana sio professional mwandish uliza maswali yenye mantiki common unauliza maswali kiuchonganishi chonganish tu
UNAONGEA SANAA
Au mama yake alizaa mapacha,wakifanana sana na wanaishi sehemu tofauti siyo rahisi kugundua maana ukimwona huyu unafikiri umemuona yule😂sa mziki ndo huo,pacha kafa mwenzake anazua yake huku duniani,nawaza tuuu🚶
Nguo ni zile zile
Huyu baba km angekuwa msukule wala asinge kuwa hivyo anavyoonekana yuko na akili zake timamu kabisa hawa ndg walizika mtu sio wao bhn
Huwo mwez mzima alikua wapi?
Huyu ni kama walifanya yy msukule
HUYO ANAYEPINGA KUFUKUA HUWENDA NI MCHAWI ANALINDA SIRI
Bunge serikali na jeshi 😹😹😹alosema jeshi kamichekesha kwenye msiba
Yawezekana walikua mapacha na walipotezana..
Huyo mzee anayekataa atakúwa mwanga
Marehemu apunguze kiherere kuuza,kiwanja ajenge,atakufa kikweli,atajiju,
Wafukue usiku😂😂Si lazima ukue mchana
Waufukue huyo walie mzika akitafutwa kwao na wazazi wake je
Mmmh iyo ni ajabu
Fukueni hao ndo wanajificha kwenye vivuri vya wachawi
Macho ya mchungaji ni madogo hakuona vizuri mwili
Na ndugu zake waliopigiwa cm kwa sababu alipogongwa na pikipik hajafa palepale alipelekwa hospital ambako ndiko alipofia na ndugu walimuona alama zake domo umekatika na meno hana
Msibani kwao hakuonekana ndiomaana
Wafukue muumbuke nyoko 😂😂😂😂 shamba linatakiwa
Mbona kama aloffuka haziaomi vzr🙄
Huyo hakufa ila walimnguuza msukule2
polic si ndo wanafukuaga waone kilichopondani ni nn
Serikali ifukue mbona kule Kahama walikuwa lifukuliwe
Kama sio msukule bc alikuwa pachaaa nauyo pacha alikuwa ajulikan
wazee sijafa nipo mapambano ya endele
Alichukuliwa msukule jaman
Unaongea sana acha police wafanye kazi yake
Kwan mnadhani kuna anayependa kufa
Asa lazima muhakikishe msibaki n maswali
Huyu mzee anaepinga hatumuelewi
nisiku zammwisho imeandikwa someni mandiko
uyo aliwekwa msukule😮
Nyiny apan fukueni kaburi mujue nikweki mulizika nan serikali siiko jaman
Wafukue jamaniii
Watu wamegomaa😂😂
Icho kijamaa kimwenyekit kichawi
Tunaomba mwendelezo..bhna itakuwa walizika mtu mwingn
Atwambie mtu akifa anaenda wap mubaneni aseme
mmefungwa Jamani fukueni acheni utani