Shukran kwa maoni yako lakini kimantiki kitu kinapofanana na kingine hakiwi kitu hicho. kwa hiyo UISLAMU HAUFANANI NA UKWELI BALI UISLAMU NDIO UKWELI WENYEWE
Izi Imani ukizifatilia kisayansi au kwa ufahamu wa mwanadamu hupati majibu ila katika dini kabisa ambayo inaelekeana na uchunguzi wa kisayansi Quran pekeake ndio Ina majibu
Ni kweli. Wanadamu wajibu wetu kutii kama mfano wa jua , lenyewe kila siku linatoka mashariki linaenda magharibi, lenyewe halihitaji chakula wala maji wala petroli wala dizeli lakinii linamtii MOLA wake, iwaje wewe unaye hitaji chakula ili upate uhai barafu unakisa kumtii Mola wako. Binadamu tubadilike.
Somo lako ni zuri ila kitu unakosea unaposema kuwa uislam ndo dini ya kweli..tambua kuna wa kristo pia tunaangalia kama mm binsfi uwa nakufuatiliaga sana kwaiyo mm pia nina iman yangu ya kikristo na ndo naamini dini yangu ya kweli..
Dini ni Imani katika Imani ambazo Zina ukweli basi uislamu ndio unafanana na ukweli anaotafuta binadam
Shukran kwa maoni yako lakini kimantiki kitu kinapofanana na kingine hakiwi kitu hicho. kwa hiyo UISLAMU HAUFANANI NA UKWELI BALI UISLAMU NDIO UKWELI WENYEWE
Izi Imani ukizifatilia kisayansi au kwa ufahamu wa mwanadamu hupati majibu ila katika dini kabisa ambayo inaelekeana na uchunguzi wa kisayansi Quran pekeake ndio Ina majibu
Allahu akbar❤
ALLAH IS GREAT
Dunia inazinguka ,jua linazunguka pia mwezi unatembea pia hakika ametakasika mfalume WA dunia hii na akhera yake
upo vzr sana kaka mashaAllah, Allah akulipe kheri
MANGO
Movement
Action
Necessity
Good
Order
ماشاءاللہ❤
Allah akulipe sheikh nilikua naomba hizo Aya ue unasema nisura gan na Aya yake ilitukinote badae tupitie vzr elimu nzur sana hiyo
Mbona ametaja ndugu
Surat Yassin ndo inaongelea kutembea kwa jua
ماشاء
Jazakallah khayran
Baaraka llahu fik
Mashallah ❤️ ❤️
Allahu-akbar
Amazing
Mashaa Allah .. Ila samahani dunia haitembei
Kaka dunia inatembeya
@@aboukar69m kutokana ulivyofundishwa darasani ila you can't prove it..earth is stationary and its flat.. Do research on it
@@MrBandari12 dunia inatembea na sio tambarare kuna ushahidi mwingi tu soma boss
@@abuubakar7594 nipe ushahidi kutoka katika qur an unaosema kwamba dunia inatembea Na ni round
Masha allh
Asante kaka Mchambuzi
Mashallah
Sura tul Yasin
Ni kweli.
Wanadamu wajibu wetu kutii kama mfano wa jua , lenyewe kila siku linatoka mashariki linaenda magharibi, lenyewe halihitaji chakula wala maji wala petroli wala dizeli lakinii linamtii MOLA wake, iwaje wewe unaye hitaji chakula ili upate uhai barafu unakisa kumtii Mola wako.
Binadamu tubadilike.
Mwenyezi mungu ndio engineer mkuu hakuna yeyote anaweza hata jua yote tuna gusa gusa ujanja ujanja tu
Asalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh, BARAKALLAHU FIIKUM. Kaka Kitota vitabu ulivyo viandika twaweza kuvipataje? Tujuze ama twaomba mawasiliano
Somo lako ni zuri ila kitu unakosea unaposema kuwa uislam ndo dini ya kweli..tambua kuna wa kristo pia tunaangalia kama mm binsfi uwa nakufuatiliaga sana kwaiyo mm pia nina iman yangu ya kikristo na ndo naamini dini yangu ya kweli..
hakukosea yupo kweli, dini iliokua sahihi ni moja tu ambayo ni uislam ukweli wote upo katika quran kitabu cha waisalmu
Sub-hanallah
Kwa kukazia Allah SW anasema ;Vinamsabbih (vinamuabudu)M/MUNGU vilivyo mbinguni na ardhini na yeye ndie mwenye nguvu na hekima.
Waingo sayansi hasa mambo ya Africa wametudanganya mnoo
Sayansi ni uongo, Qur an ni haki
😂😂😂😂😂 Uislamu ni bandia ya Shetani
Allahu-akbar