Hii ni moja elimu nzito za sayansi ndani ya Quran iliyowafanya wengi wasilimu- Abdillah Kitota

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 39

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 4 หลายเดือนก่อน +5

    Dini ni Imani katika Imani ambazo Zina ukweli basi uislamu ndio unafanana na ukweli anaotafuta binadam

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 4 หลายเดือนก่อน +1

      Shukran kwa maoni yako lakini kimantiki kitu kinapofanana na kingine hakiwi kitu hicho. kwa hiyo UISLAMU HAUFANANI NA UKWELI BALI UISLAMU NDIO UKWELI WENYEWE

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 4 หลายเดือนก่อน

      Izi Imani ukizifatilia kisayansi au kwa ufahamu wa mwanadamu hupati majibu ila katika dini kabisa ambayo inaelekeana na uchunguzi wa kisayansi Quran pekeake ndio Ina majibu

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 4 หลายเดือนก่อน

    Allahu akbar❤

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 4 หลายเดือนก่อน

    ALLAH IS GREAT

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 4 หลายเดือนก่อน +3

    Dunia inazinguka ,jua linazunguka pia mwezi unatembea pia hakika ametakasika mfalume WA dunia hii na akhera yake

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 4 หลายเดือนก่อน +1

    upo vzr sana kaka mashaAllah, Allah akulipe kheri

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 2 หลายเดือนก่อน

    MANGO
    Movement
    Action
    Necessity
    Good
    Order

  • @LukmanMagambo
    @LukmanMagambo 4 หลายเดือนก่อน

    ماشاءاللہ❤

  • @jumajuma8263
    @jumajuma8263 4 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akulipe sheikh nilikua naomba hizo Aya ue unasema nisura gan na Aya yake ilitukinote badae tupitie vzr elimu nzur sana hiyo

    • @hassannasibu678
      @hassannasibu678 4 หลายเดือนก่อน

      Mbona ametaja ndugu

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 4 หลายเดือนก่อน

      Surat Yassin ndo inaongelea kutembea kwa jua

  • @munaafaraj9683
    @munaafaraj9683 4 หลายเดือนก่อน

    ماشاء

  • @a.856
    @a.856 4 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah khayran

  • @Muharram-c5n
    @Muharram-c5n 4 หลายเดือนก่อน

    Baaraka llahu fik

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ❤️ ❤️

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 4 หลายเดือนก่อน

    Allahu-akbar

  • @rayyanothumanmohammed8261
    @rayyanothumanmohammed8261 4 หลายเดือนก่อน

    Amazing

  • @MrBandari12
    @MrBandari12 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaa Allah .. Ila samahani dunia haitembei

    • @aboukar69m
      @aboukar69m 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kaka dunia inatembeya

    • @MrBandari12
      @MrBandari12 4 หลายเดือนก่อน

      @@aboukar69m kutokana ulivyofundishwa darasani ila you can't prove it..earth is stationary and its flat.. Do research on it

    • @abuubakar7594
      @abuubakar7594 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@MrBandari12 dunia inatembea na sio tambarare kuna ushahidi mwingi tu soma boss

    • @MrBandari12
      @MrBandari12 4 หลายเดือนก่อน

      @@abuubakar7594 nipe ushahidi kutoka katika qur an unaosema kwamba dunia inatembea Na ni round

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad 4 หลายเดือนก่อน

    Masha allh

  • @RajabKondo-bj5op
    @RajabKondo-bj5op 4 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka Mchambuzi

  • @AbdullahOmar-be4wy
    @AbdullahOmar-be4wy 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 4 หลายเดือนก่อน

    Sura tul Yasin

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 4 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli.
    Wanadamu wajibu wetu kutii kama mfano wa jua , lenyewe kila siku linatoka mashariki linaenda magharibi, lenyewe halihitaji chakula wala maji wala petroli wala dizeli lakinii linamtii MOLA wake, iwaje wewe unaye hitaji chakula ili upate uhai barafu unakisa kumtii Mola wako.
    Binadamu tubadilike.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi mungu ndio engineer mkuu hakuna yeyote anaweza hata jua yote tuna gusa gusa ujanja ujanja tu

  • @salumhaji3207
    @salumhaji3207 4 หลายเดือนก่อน

    Asalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh, BARAKALLAHU FIIKUM. Kaka Kitota vitabu ulivyo viandika twaweza kuvipataje? Tujuze ama twaomba mawasiliano

  • @chingychingy2066
    @chingychingy2066 4 หลายเดือนก่อน

    Somo lako ni zuri ila kitu unakosea unaposema kuwa uislam ndo dini ya kweli..tambua kuna wa kristo pia tunaangalia kama mm binsfi uwa nakufuatiliaga sana kwaiyo mm pia nina iman yangu ya kikristo na ndo naamini dini yangu ya kweli..

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 4 หลายเดือนก่อน

      hakukosea yupo kweli, dini iliokua sahihi ni moja tu ambayo ni uislam ukweli wote upo katika quran kitabu cha waisalmu

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 4 หลายเดือนก่อน

    Sub-hanallah

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa kukazia Allah SW anasema ;Vinamsabbih (vinamuabudu)M/MUNGU vilivyo mbinguni na ardhini na yeye ndie mwenye nguvu na hekima.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 หลายเดือนก่อน

    Waingo sayansi hasa mambo ya Africa wametudanganya mnoo

  • @othmanali4938
    @othmanali4938 4 หลายเดือนก่อน

    Sayansi ni uongo, Qur an ni haki

  • @California9451
    @California9451 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 Uislamu ni bandia ya Shetani

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 4 หลายเดือนก่อน

    Allahu-akbar