Ee Mola wa muumba wa mbingu na ardhi munyanyue darja mja huyu aendelee kuwatumikia waislam mjaalie kusikilizwa na mkinge na maadui pande zote nne na jicho la husda inshaallah
Mimi sio muhislam lkn anacho fundisha shekhe ni sahihi kabisa uwaminifu ni kitu muhimu uwaminifu kwa MUNGU na kwa wanadamu. Me nitakufatilia sana shekhe ili nipate maarifa
Usipo Shiba kwa jasho lako pia asema yasiyo yako ..😂😂kweli kabisaa na Watu w karni hii hawapendi kuondolea w2 shida wataka kuwacheka wenye shida Allah atuongoze yarabb.
Mtu mwema ni yule anayetafuta kasoro zake akazifanyia kazi,ukitafuta kasoro za watu hiwezi kizifanyia kazi...utaishia kugombanisha watu na kuongea usiyoyajua!Tuwe kusikiliza na kucjukua yaliyomazuri inshaAllah...
Swalatu awabin ni صلاة الأوابين هي صلاة الضحى إذا تأخرت حين ترمض الفصال، كما جاء في ذلك الحديث عن النبي صلى الله عليه وسلم في صحيح مسلم، وهي أيضاً صلاة الضحى إذا تأخرت إلى آخر الوقت، وليست تختلف عن غيرها فيما يقرأ فيها ويدع فيها، وليس لها حد؛ قد يصلي الإنسان ركعتين، وقد يصلي أربعة ركعات بسلامين، وقد يصلي ست ركعات بثلاثة ...
shekhe watu hao walikua mafukara sana enzi hizo sema walikua wanajitahidi kueneza wanacho kiamini ili wewe leo ule matunda ya biashara yao wao hawakuwaza pesa hata kidogo kulikua nabiashara za kubadilishana biashara kwa biashara
Hivi nyie mashekhe munajua lkn kama hizi pesa za karatasi ni shirki na kinyume na quraan? Sawa hamuna power ya kubadilisha chochote kuhusiana na pesa lakini jee hata kulisemea hili jambo basi pia hamuwezi unless iwe hamuelewi.
Assalamu alaikum mm nimefanya San ile ya kumswali mtume kwa siku 1570 n swala za usku lakini nimepta mtihani ,nimefutwa kazi😭 sah niko n miez 5 bila kibarua chocte nipo saud.😭😭😭😭 Inaniuma sanà
Ongeza jitihada kwenye ibada pia dunia ya sasa inahitaji saan kujitoa akili illaaa katika kila ulifanyalo omba msaada kwa allah pia usiache allah anatabia yakukujarib je utashkuru au utakufuru anapima nia yako lakn jua allah ndie kila kitu na anafanya anapoamua ila sio unapotarajia ww , hio hata mm ilinitokea lakin amka usiku lia kwake muelezee shida kidhat utapata zaid ya hio uskute ilikua na mtihani usioujua
Mashallah ❤may Allah grant you blessings
Shukran sana Sheikh Walid kwa elimu kubwa ya uchumi kwa waumini wa kiislam..Allah akulinde na akuhifadhi.
Allah akulipe kheri nyingi sheikh wetu
MashaAllah jazakalahu kheri baadal kheri janatil fridaus from kenya 🇰🇪
Ma Sha Allah, Swadaqta
Jazaq llah. Khairan
Shukran jazakallah Allah atufanyie wepesi
Maashallah sheikh Allah akuhifadhi tunakupenda saaaana
MashaAllah MashaAllah
Ahsante sana shehe wangu
Walid wallah unahekima sana
Jazakallah
Asalam alaykum warahamatullah. Wabarakatuh. Shukrani. Kwa. Darasa. Mungu. Akuhifadhi. Insha allah❤❤
Maneno Matamu Mashallah!
Maneno Matamu Mashallah! Mwenyezi Mungu akuweke Shekh Wetu
ll
Allah akulipe Kila laheri n'a darsa y'a cheikh
MashaAllah....sheikh walid nakukubali sana
Sheikh Walid nakupenda kwa ajili ya Allah,,Allah akupe afya umri mref uendlee kutuelima,,,jazzaqalah kher
Nami nampenda kwa ajili ya allah
Allahu Akbar
Mashaallh
Swadacter naomben like zangu
Mimi nishakupa 😂
Aslm alkm ww.... sheikh Walid usinichekeshe😀😀😀😀😀. Allah akulinde, akupe umri furaha na mafanikio Masha Allah 🌹. Jazakallah kheir 🙏❤️♥️♥️♥️😁😁😁😁😁
Mashallah
Mash Allah tabarak Allah kheri. Mola akupe Afya , umri na elimu yenyekunufaika ili uendelee kutuelimisha inshaallah
Alhamdulillah Allah akuweke shehe wetu
Mashallah mawaidha mazuri Sheikh nakuskiza tokea Mombasa
Allhaa akuhifadh inshaallha
Mashaalaah
Ma Shaa Allah upo sahihi kabisa Sheikh wangu
Mashaallah!! Sheikh Walid. Jazakallahu kheir
MA SHA ALLAAH MADA HIYO NI MUJARAB SHEIKH WALID ALLAH AKUHIFADH WALA HUNA KUJIMWAMBAFAI
Amiin
Asanteee shekhe
mimi ni mkristo , ila kwa haya aliyoyafundisha huyu shehe nitaenda kuyafundisha kanisani.
❤
Swadaqta
Mashaallah
Alhamdu lillah masha All’wa sheikh Walid baaraka llwah fiiqa
Mashaallah ❤❤
Mashallah sheikh
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
ان الله في ما عليه العبد si hadithi Shehe
Mashaallah shekh
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏
nisahihi ufakiri hautakikan ktk dini ya kiislam
Maashallaah
elimu Sahih kwa wakati sahihi..Mashallah😅
Mimi si muislam ila huyu jamaa kiboko anafundisha ukweli kabisaa
MashaAllah maneno Safi kabisaa
Ukweli kwenye ahadi.
Allhamdullillah .allha.akuweke
Maneno mashaallah
Allah akbar 🥱
Mashaalla
Ni muda sasa wa kufunguliwa mlango mwingine wa kheri zaidi ya ileee ya mwanzo
Ee Mola wa muumba wa mbingu na ardhi munyanyue darja mja huyu aendelee kuwatumikia waislam mjaalie kusikilizwa na mkinge na maadui pande zote nne na jicho la husda inshaallah
Aamin
mashallah❤❤❤
shekh twaomba utfafanulie hicho kitendo hatujakifaham
Mimi sio muhislam lkn anacho fundisha shekhe ni sahihi kabisa uwaminifu ni kitu muhimu uwaminifu kwa MUNGU na kwa wanadamu. Me nitakufatilia sana shekhe ili nipate maarifa
Mfuate akusomeshe uujue uislam
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza
Mwenyezi Mungu akupe hidaya inshaallah
Allah akuonyeshe kheri na njia iliyosahihi na akupe nguvu ya kuiendea inshaAllah
Karib katika uislam
Yani huyu jamaa mpka wa din zingine wanampenda
Wallahi,kama shabiki yako,napendezwa na mawaidha yako,kwanza wewe ni mchezi,kisha unatumia lugha ya upole na ya kuridhisha.
Kaka hatushabikii mashekhe tunajifunza toka kwao.mwalimu
Usipo Shiba kwa jasho lako pia asema yasiyo yako ..😂😂kweli kabisaa na Watu w karni hii hawapendi kuondolea w2 shida wataka kuwacheka wenye shida Allah atuongoze yarabb.
🤌✅️💙💨
E preciso nos informar
hahahahaha
Mambo yana bana kila siku
Uwe uchumi halali sio fedha za dhuruma kutoka kwa wanasiasa.
Sahihi
Mtu mwema ni yule anayetafuta kasoro zake akazifanyia kazi,ukitafuta kasoro za watu hiwezi kizifanyia kazi...utaishia kugombanisha watu na kuongea usiyoyajua!Tuwe kusikiliza na kucjukua yaliyomazuri inshaAllah...
Usihukumu watu na kuwakhofisha watu kwa isiyoyajua bro
@@abdizoseyyid633 wacha wewe tunaishi nao tunawajua.
Swalatu awabin ni
صلاة الأوابين هي صلاة الضحى إذا تأخرت حين ترمض الفصال، كما جاء في ذلك الحديث عن النبي صلى الله عليه وسلم في صحيح مسلم، وهي أيضاً صلاة الضحى إذا تأخرت إلى آخر الوقت، وليست تختلف عن غيرها فيما يقرأ فيها ويدع فيها، وليس لها حد؛ قد يصلي الإنسان ركعتين، وقد يصلي أربعة ركعات بسلامين، وقد يصلي ست ركعات بثلاثة ...
Amesahau kusema sehemu ya tano imejificha kwenye MAULIDI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huu ugomvi sasa 😀
Wewe bwana acha chuki usiwee mjinga sanaaa
@@hassanisihaka910 ndio nikishakua mjinga ivo nielimishe
Isipotambua kwa elimu yako utazungumza kwa ujinga wako
shekhe watu hao walikua mafukara sana enzi hizo sema walikua wanajitahidi kueneza wanacho kiamini ili wewe leo ule matunda ya biashara yao wao hawakuwaza pesa hata kidogo kulikua nabiashara za kubadilishana biashara kwa biashara
Nauliza,mshahara wa sheikh wa mkoa unatoka wapi?
Ili iweje
Unautaka ushekhe wa mkoa endelea kupambana
Mkoani
Hivi nyie mashekhe munajua lkn kama hizi pesa za karatasi ni shirki na kinyume na quraan? Sawa hamuna power ya kubadilisha chochote kuhusiana na pesa lakini jee hata kulisemea hili jambo basi pia hamuwezi unless iwe hamuelewi.
Si kweli wala si sahihi pesa haina haramu yoyote ila shida unaipataje na kuitumia
Assalamu alaikum mm nimefanya San ile ya kumswali mtume kwa siku 1570 n swala za usku lakini nimepta mtihani ,nimefutwa kazi😭 sah niko n miez 5 bila kibarua chocte nipo saud.😭😭😭😭 Inaniuma sanà
MUNGU Atakusimamia Inshaallah
Ongeza jitihada kwenye ibada pia dunia ya sasa inahitaji saan kujitoa akili illaaa katika kila ulifanyalo omba msaada kwa allah pia usiache allah anatabia yakukujarib je utashkuru au utakufuru anapima nia yako lakn jua allah ndie kila kitu na anafanya anapoamua ila sio unapotarajia ww , hio hata mm ilinitokea lakin amka usiku lia kwake muelezee shida kidhat utapata zaid ya hio uskute ilikua na mtihani usioujua
Mm Ile nlisoma na mama Yangu akanisaidia kuisoma Majini yamenitoka mwilini usiogope mitihani ya Allah 🙏
Inawezekana hiyo ndio kheri,mm nimepata kheri kubwa baada ya kufukuzwa kazı.Alhamdulillahi rabbil a'lamiyna
Unatakiwa kumtegemea Allah na siyo kumtegea kwa unachokifanya
Mashallah
Mashaallah
❤
Mashallah
Mashaallah