Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 159

  • @kristinmpoli3586
    @kristinmpoli3586 ปีที่แล้ว +18

    Allah akulipe kheri nyingi sheikh wetu

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mi nawaelewa sana mashekhe ingawa ni mkristo ila nafuatilia sana darasa za mashekhe hasa mashekhe kama wew na wengine mna elimu halisi kabisa

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk ปีที่แล้ว +35

    Swadacter naomben like zangu

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 ปีที่แล้ว +25

    Maneno Matamu Mashallah! Mwenyezi Mungu akuweke Shekh Wetu

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn ปีที่แล้ว +9

    Asalam alaykum warahamatullah. Wabarakatuh. Shukrani. Kwa. Darasa. Mungu. Akuhifadhi. Insha allah❤❤

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 9 หลายเดือนก่อน +8

    Ee Mola wa muumba wa mbingu na ardhi munyanyue darja mja huyu aendelee kuwatumikia waislam mjaalie kusikilizwa na mkinge na maadui pande zote nne na jicho la husda inshaallah

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 ปีที่แล้ว +7

    Ahsante sana shehe wangu

  • @SumaiyaJm
    @SumaiyaJm 20 วันที่ผ่านมา +1

    9:29 9:34 9:35 9:49

  • @Malkiawanyuki1
    @Malkiawanyuki1 9 หลายเดือนก่อน

    Maneno mashaallah

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py ปีที่แล้ว +11

    Mash Allah tabarak Allah kheri. Mola akupe Afya , umri na elimu yenyekunufaika ili uendelee kutuelimisha inshaallah

  • @GuelordDjela
    @GuelordDjela 10 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akulipe Kila laheri n'a darsa y'a cheikh

  • @Shakila-t3c
    @Shakila-t3c ปีที่แล้ว +9

    Aslm alkm ww.... sheikh Walid usinichekeshe😀😀😀😀😀. Allah akulinde, akupe umri furaha na mafanikio Masha Allah 🌹. Jazakallah kheir 🙏❤️♥️♥️♥️😁😁😁😁😁

  • @Zeelao-yb4po
    @Zeelao-yb4po ปีที่แล้ว +4

    Swadaqta

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 17 วันที่ผ่านมา

    Maisha marefu yenye hekma na elimu sheikh wetu Allah akuhifadhi

  • @FridaMajii
    @FridaMajii ปีที่แล้ว +10

    Sheikh Walid nakupenda kwa ajili ya Allah,,Allah akupe afya umri mref uendlee kutuelima,,,jazzaqalah kher

    • @Mpakistanog
      @Mpakistanog ปีที่แล้ว +1

      Nami nampenda kwa ajili ya allah

  • @SaadyZahaze
    @SaadyZahaze 10 หลายเดือนก่อน +6

    Maashallah sheikh Allah akuhifadhi tunakupenda saaaana

  • @Fatuma-x6d
    @Fatuma-x6d ปีที่แล้ว +6

    Jazaq llah. Khairan

  • @abdallahshariff2983
    @abdallahshariff2983 10 หลายเดือนก่อน +4

    Wallahi,kama shabiki yako,napendezwa na mawaidha yako,kwanza wewe ni mchezi,kisha unatumia lugha ya upole na ya kuridhisha.

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 9 หลายเดือนก่อน

      Kaka hatushabikii mashekhe tunajifunza toka kwao.mwalimu

  • @saidmnogamoyo6591
    @saidmnogamoyo6591 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah. Shukhuran sana kwa darssa. Allah subhaanah wataala akuhifadhi

  • @fadhilimagembe6413
    @fadhilimagembe6413 7 หลายเดือนก่อน +4

    Shukran sana Sheikh Walid kwa elimu kubwa ya uchumi kwa waumini wa kiislam..Allah akulinde na akuhifadhi.

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 ปีที่แล้ว +3

    Jazakallah

  • @sakinahassani1455
    @sakinahassani1455 ปีที่แล้ว +6

    MashaAllah MashaAllah

  • @HalimaSaid-w2j
    @HalimaSaid-w2j ปีที่แล้ว +5

    Ma Sha Allah, Swadaqta

  • @OmariJumaaWaziri
    @OmariJumaaWaziri 3 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akulipe akulinde pia na akupe mwisho mwema🤲 Amiin inshallah 🤲🤲

  • @allyjumarashid6095
    @allyjumarashid6095 ปีที่แล้ว +5

    MA SHA ALLAAH MADA HIYO NI MUJARAB SHEIKH WALID ALLAH AKUHIFADH WALA HUNA KUJIMWAMBAFAI

  • @FadhirMagembe
    @FadhirMagembe ปีที่แล้ว +6

    Mashaallh

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah....sheikh walid nakukubali sana

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 7 หลายเดือนก่อน +4

    Shukran jazakallah Allah atufanyie wepesi

  • @SelemaniYahaya-v3w
    @SelemaniYahaya-v3w 3 หลายเดือนก่อน +1

    Allah amzidshie ilmu zaid mwinyi Walid ili tupate kunufaika zaid

  • @nabillionairevevo5986
    @nabillionairevevo5986 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah mawaidha mazuri Sheikh nakuskiza tokea Mombasa

  • @barkaabdallah2407
    @barkaabdallah2407 8 หลายเดือนก่อน +3

    MashaAllah jazakalahu kheri baadal kheri janatil fridaus from kenya 🇰🇪

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 ปีที่แล้ว +10

    Maneno Matamu Mashallah!

  • @Hassan-rz2np
    @Hassan-rz2np 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mashallah ❤may Allah grant you blessings

  • @tifashadrack7135
    @tifashadrack7135 หลายเดือนก่อน

    Allhamdulli llah llabiallaar minar

  • @AdamMatmbwa-pf7gw
    @AdamMatmbwa-pf7gw ปีที่แล้ว +4

    Alhamdulillah Allah akuweke shehe wetu

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke หลายเดือนก่อน

    Shukrani Jazeera

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +7

    Walid wallah unahekima sana

  • @AllyBanda-en2bk
    @AllyBanda-en2bk ปีที่แล้ว +4

    Mashaalaah

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +6

    Mashaallah ❤❤

  • @SaidiKilobo
    @SaidiKilobo ปีที่แล้ว +4

    Allhaa akuhifadh inshaallha

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi1379 2 หลายเดือนก่อน

    Shukran shekhe kw Elimu nzr sana ALLAH Akujaalie Pepo y Jannat Firdaus Inshaallah

  • @zainabiddi8650
    @zainabiddi8650 ปีที่แล้ว +7

    Mashaallah!! Sheikh Walid. Jazakallahu kheir

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed3477 ปีที่แล้ว +2

    Asanteee shekhe

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk ปีที่แล้ว +5

    Ma Shaa Allah upo sahihi kabisa Sheikh wangu

  • @KhamisRubea
    @KhamisRubea 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah akiongea kwaza unamuelewa hapapariki akiongea taratibu anachambua kwa mpangilio

  • @tifashadrack7135
    @tifashadrack7135 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @obahaddad
    @obahaddad 3 หลายเดือนก่อน

    FRREE DVR ZZ SAW

  • @SalehMzee-r1n
    @SalehMzee-r1n 3 หลายเดือนก่อน

    Shehe nakukubali sn mung atupewepesi

  • @OwizeyeIsmailyakobo
    @OwizeyeIsmailyakobo 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Walid wewe kama Imu Hambal

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py ปีที่แล้ว +3

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463 11 หลายเดือนก่อน

    Alhamdu lillah masha All’wa sheikh Walid baaraka llwah fiiqa

  • @AsiaAbdalla-jx8rj
    @AsiaAbdalla-jx8rj 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah barakllah

  • @BizimanaBaruwani-o3l
    @BizimanaBaruwani-o3l 4 หลายเดือนก่อน

    Naaam sheykh kiukweli waisilamu lazima wawe napesa

  • @LEDAMASUKE
    @LEDAMASUKE 2 หลายเดือนก่อน

    Takbir

  • @rubbyruu7172
    @rubbyruu7172 ปีที่แล้ว +4

    MashaAllah maneno Safi kabisaa

  • @yoramabubakar8012
    @yoramabubakar8012 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah. Shukran mashekh zetu

  • @hamidamussa-x6i
    @hamidamussa-x6i 5 หลายเดือนก่อน

    Ma shaa Allah Allah akujalie kila lakheri na umri mrefu uzidi kutuelimisha

  • @haidaryjoe5546
    @haidaryjoe5546 ปีที่แล้ว +4

    elimu Sahih kwa wakati sahihi..Mashallah😅

  • @RaydonKingfay
    @RaydonKingfay 4 หลายเดือนก่อน

    Maneno mazito.maashallah kaka.baaraka llah fii

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 ปีที่แล้ว +3

    ان الله في ما عليه العبد si hadithi Shehe

  • @MasiziaKari-lh6wc
    @MasiziaKari-lh6wc ปีที่แล้ว +3

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 ปีที่แล้ว +1

  • @njeyaduniatv
    @njeyaduniatv 10 หลายเดือนก่อน +12

    mimi ni mkristo , ila kwa haya aliyoyafundisha huyu shehe nitaenda kuyafundisha kanisani.

    • @amilyabdu1563
      @amilyabdu1563 3 หลายเดือนก่อน +1

      Si Uhamie Ulipo Sikia Hicho Maana Kuna Na Mengine Yenye Faida

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@amilyabdu1563 kweli kabisa akaribishwa🎉🎉

  • @AbuuLuqman99AbuuLuqman
    @AbuuLuqman99AbuuLuqman 6 หลายเดือนก่อน

    FANYA IBADA KUTAFUTA RADHI ZA ALLAAH SIO KUPATA THAWABU , HAYO MENGINE MUACHIE ALLAAH

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah sheikh

  • @hamisimtemi3803
    @hamisimtemi3803 8 หลายเดือนก่อน +1

    Allahu Akbar

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo ปีที่แล้ว +2

    Maashallaah

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah shekh

  • @AbasiAbdi
    @AbasiAbdi 4 หลายเดือนก่อน

    Your very smart shekhe Mashaallah

  • @regnaemanuel5331
    @regnaemanuel5331 ปีที่แล้ว

    mashallah❤❤❤

  • @Kadaboy-sg6pd
    @Kadaboy-sg6pd 9 หลายเดือนก่อน +4

    nisahihi ufakiri hautakikan ktk dini ya kiislam

  • @FatwimaZahrau
    @FatwimaZahrau 5 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa❤

  • @GedeonAgenongajawiyambe
    @GedeonAgenongajawiyambe 5 หลายเดือนก่อน

    Jazakumullah Sheik

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @munaissa2529
    @munaissa2529 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @bethwinfred4400
    @bethwinfred4400 5 หลายเดือนก่อน

    Amen amen kaka

  • @husseinkombomwachikobe8828
    @husseinkombomwachikobe8828 10 หลายเดือนก่อน

    Allhamdullillah .allha.akuweke

  • @DawsonKiwia-qt6zf
    @DawsonKiwia-qt6zf 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli kwenye ahadi.

  • @d.e.o8296
    @d.e.o8296 ปีที่แล้ว +9

    Mimi si muislam ila huyu jamaa kiboko anafundisha ukweli kabisaa

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 ปีที่แล้ว +1

    Allah akbar 🥱

  • @AmiriKudra
    @AmiriKudra 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaalla

  • @MIRAJIMSURI
    @MIRAJIMSURI 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ni muda sasa wa kufunguliwa mlango mwingine wa kheri zaidi ya ileee ya mwanzo

  • @SimonpaulMayunga
    @SimonpaulMayunga ปีที่แล้ว +51

    Mimi sio muhislam lkn anacho fundisha shekhe ni sahihi kabisa uwaminifu ni kitu muhimu uwaminifu kwa MUNGU na kwa wanadamu. Me nitakufatilia sana shekhe ili nipate maarifa

    • @mohdloushmoney9994
      @mohdloushmoney9994 ปีที่แล้ว +4

      Mfuate akusomeshe uujue uislam

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  ปีที่แล้ว +2

      Mwenyezi mungu azidi kukuongoza

    • @jafarinauma6798
      @jafarinauma6798 ปีที่แล้ว +4

      Mwenyezi Mungu akupe hidaya inshaallah

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 9 หลายเดือนก่อน +2

      Allah akuonyeshe kheri na njia iliyosahihi na akupe nguvu ya kuiendea inshaAllah

    • @salhidsalhida4151
      @salhidsalhida4151 9 หลายเดือนก่อน +1

      Karib katika uislam

  • @MohammadIsmailsalah
    @MohammadIsmailsalah 8 หลายเดือนก่อน

    shekh twaomba utfafanulie hicho kitendo hatujakifaham

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 3 หลายเดือนก่อน

    We shekhe nakufatilia sana nimegundua unaakili timamu uko vizur sana , waislamu nawakubali sana japo ni wachoyo sana kutoa zaka na sadaka 😂 utakuta mtu swala kubwa kama ya ijumaa mtu anabeba sh 1,000 tu hatariii ,ndo maana utakuta msikiti umezingizwa na nyumba za watu kwakuwa hauna hela za kujitanua kuwahamisha watu ili eneo liwe kubwa.

  • @djumaassumani5169
    @djumaassumani5169 10 หลายเดือนก่อน

    Mambo yana bana kila siku

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid ปีที่แล้ว +2

    Usipo Shiba kwa jasho lako pia asema yasiyo yako ..😂😂kweli kabisaa na Watu w karni hii hawapendi kuondolea w2 shida wataka kuwacheka wenye shida Allah atuongoze yarabb.

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 4 หลายเดือนก่อน

    swadakta

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 ปีที่แล้ว +6

    Uwe uchumi halali sio fedha za dhuruma kutoka kwa wanasiasa.

    • @maftahramadhani2382
      @maftahramadhani2382 ปีที่แล้ว

      Sahihi

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 9 หลายเดือนก่อน

      Mtu mwema ni yule anayetafuta kasoro zake akazifanyia kazi,ukitafuta kasoro za watu hiwezi kizifanyia kazi...utaishia kugombanisha watu na kuongea usiyoyajua!Tuwe kusikiliza na kucjukua yaliyomazuri inshaAllah...

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 9 หลายเดือนก่อน

      Usihukumu watu na kuwakhofisha watu kwa isiyoyajua bro

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 9 หลายเดือนก่อน

      @@abdizoseyyid633 wacha wewe tunaishi nao tunawajua.

  • @mwanabayadola5476
    @mwanabayadola5476 ปีที่แล้ว +2

    Assalamu alaikum mm nimefanya San ile ya kumswali mtume kwa siku 1570 n swala za usku lakini nimepta mtihani ,nimefutwa kazi😭 sah niko n miez 5 bila kibarua chocte nipo saud.😭😭😭😭 Inaniuma sanà

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 ปีที่แล้ว +1

      MUNGU Atakusimamia Inshaallah

    • @abdulwaheedmzury351
      @abdulwaheedmzury351 ปีที่แล้ว +1

      Ongeza jitihada kwenye ibada pia dunia ya sasa inahitaji saan kujitoa akili illaaa katika kila ulifanyalo omba msaada kwa allah pia usiache allah anatabia yakukujarib je utashkuru au utakufuru anapima nia yako lakn jua allah ndie kila kitu na anafanya anapoamua ila sio unapotarajia ww , hio hata mm ilinitokea lakin amka usiku lia kwake muelezee shida kidhat utapata zaid ya hio uskute ilikua na mtihani usioujua

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 ปีที่แล้ว

      Mm Ile nlisoma na mama Yangu akanisaidia kuisoma Majini yamenitoka mwilini usiogope mitihani ya Allah 🙏

    • @fatmaabubakar5946
      @fatmaabubakar5946 ปีที่แล้ว +1

      Inawezekana hiyo ndio kheri,mm nimepata kheri kubwa baada ya kufukuzwa kazı.Alhamdulillahi rabbil a'lamiyna

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 9 หลายเดือนก่อน

      Unatakiwa kumtegemea Allah na siyo kumtegea kwa unachokifanya

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 ปีที่แล้ว +2

    Swalatu awabin ni
    صلاة الأوابين هي صلاة الضحى إذا تأخرت حين ترمض الفصال، كما جاء في ذلك الحديث عن النبي صلى الله عليه وسلم في صحيح مسلم، وهي أيضاً صلاة الضحى إذا تأخرت إلى آخر الوقت، وليست تختلف عن غيرها فيما يقرأ فيها ويدع فيها، وليس لها حد؛ قد يصلي الإنسان ركعتين، وقد يصلي أربعة ركعات بسلامين، وقد يصلي ست ركعات بثلاثة ...

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane2706 ปีที่แล้ว +2

    E preciso nos informar

  • @Haarun-h4q
    @Haarun-h4q ปีที่แล้ว +2

    Nauliza,mshahara wa sheikh wa mkoa unatoka wapi?

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 ปีที่แล้ว +2

    Yani huyu jamaa mpka wa din zingine wanampenda

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 4 หลายเดือนก่อน

      Jamaa ana nyota sana huyu lakini pia ni muungwana sana hana ugomvi na mtu

  • @maheitumdintunya2928
    @maheitumdintunya2928 ปีที่แล้ว +2

    shekhe watu hao walikua mafukara sana enzi hizo sema walikua wanajitahidi kueneza wanacho kiamini ili wewe leo ule matunda ya biashara yao wao hawakuwaza pesa hata kidogo kulikua nabiashara za kubadilishana biashara kwa biashara

  • @farris_2549
    @farris_2549 7 หลายเดือนก่อน

    🤌✅️💙💨

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz ปีที่แล้ว +3

    hahahahaha

  • @mobilespecialschool4216
    @mobilespecialschool4216 ปีที่แล้ว +3

    Amesahau kusema sehemu ya tano imejificha kwenye MAULIDI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  ปีที่แล้ว +1

      Huu ugomvi sasa 😀

    • @hassanisihaka910
      @hassanisihaka910 ปีที่แล้ว

      Wewe bwana acha chuki usiwee mjinga sanaaa

    • @mobilespecialschool4216
      @mobilespecialschool4216 ปีที่แล้ว

      @@hassanisihaka910 ndio nikishakua mjinga ivo nielimishe

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 9 หลายเดือนก่อน

      Isipotambua kwa elimu yako utazungumza kwa ujinga wako

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 ปีที่แล้ว +1

    Hivi nyie mashekhe munajua lkn kama hizi pesa za karatasi ni shirki na kinyume na quraan? Sawa hamuna power ya kubadilisha chochote kuhusiana na pesa lakini jee hata kulisemea hili jambo basi pia hamuwezi unless iwe hamuelewi.

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 9 หลายเดือนก่อน

      Si kweli wala si sahihi pesa haina haramu yoyote ila shida unaipataje na kuitumia

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe ukienda dukani kununua mchele au sukari utalipiaje bila pesa?

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 4 หลายเดือนก่อน

    مشأ الله تبارك الله