NDUGU WAWILI WASHEA MUME NA KUMZALISHA MMOJA NA KUKIMBIA NYUMBANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ธ.ค. 2023
- NDUGU WAWILI WASHEA MUME NA KUMZALISHA MMOJA NA KUKIMBIA NYUMBANI
#church #jesus #god #bible #christian #love #faith #worship #jesuschrist #gospel #prayer #christ #architecture #christianity #pray #photography #holyspirit #godisgood #travel #hope #blessed #bibleverse #art #catholic #grace #truth #amen #believe #religion #ig
Nabii naomba ntabirie maisha yangu naitwa mage kimei
Amen I received
Amen naomba waliyonifunga maisha yangu uchumi wangu wateketee kwa jina la yesu
Ameen mtumiishi naomba nami nikatendewe km unenavyo
Amina Baba nafuatilia sana maombi Yako na Mimi Mungu anikumbuke
Nibaliki kiuchumi na kimaisha naomba uniombee imani yangu iongezeke amen
Amen mtumishi naimani namm nikifika nitapona matatizo yangu ❤❤😢😢
Baba naitwa supat kukay nitabiriye nipate izo pesa Niko kwenye maisha magumu baba yangu
Amen napokea kufunguliwa kutoka kwenye vifungo vya mikono wa watu wa giza kiuchumi ndoa ujenzi gari uzao
Amen baba
Mtumishi tunakuombea uzidi kutusaidia katika jina la Yesu Kristo amina
Amina mtumishi wa mungu
Naomba iwe kwangu kwa jina la yesu
Atari sana. Tunaitaji huruma ya mungu.
Ubarikiwe baba Kwa kutusaidia
Naitwa ritha mwakasege baba naomba unifungue kiuchumi nipovibaya maisha yangu yapohatarini,nipo kisemvule
Nakupenda baba Mungu akubariki ❤❤❤❤
Naomba waliofunga maisha yangu wateketer katika jina la yesu wafe wote
Amina Baba namimi nafatilia kipindi ipo siku nami nitafungulia
❤ ponya hapo mtumishi waende wamepona
My favorite
Nabarikiwa sana shuhuda
Amen 🙏🙏
Baba🎉ameeni nimefurahi sana kuna cku nitakuja
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏
Amin napokea
Flora Pius Amen najiapatanisha na Ibada hii
Namini mungu atatenda
Mungu aniongoze nataka unitabiri nina kiwanja nimeshindwa kujenga na na mguu upone
Mungu atende muujiza kwenye maisha yangu
Mtumishi na kutazama nikiwa Kenya naomba kupokea huo mafuta natamani sana .naitwa SAVERIO ADUNGO niombee shida ya familia asante
Nisaidie mtumishi nimevunjika mguuni ninamuda mrefu mtumishi
Amina
naitwa Ibrahim chembele Baba mchungaji naomba unitabilie lakini pia uniombee maana maishayangu siyaelewi kabisa Baba mchungaji nakuomba
Amen
Ameeni naomba niombee
Walah nabii mi napenda sana ukweli wako Mungu akuongoze
Mungu aendelee kukupa kipawa hiki ili uweze kutukomboa
Naitwa Msenga Salumu,nipo kigoma naomba unifingue uchumi wangu unateketea nabii
Amiin
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Baba yangu nakufatiliasana baba nahoba mahobi yakobaba
Hii ishu isikie tu wa mtu usiombe ikukute haya Mungu alinivusha nashukuru sana
Baba nitabiriye anaye niaribiya maisha naitwa supat kukay
AMEN
Njoo uzichukue ninazo😊😊😊
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Naomba nifunguliwe Mtumishi
Nabii naomba nisaidie baba naomba niombee niponye naumwa sana miguu ,magoti , mgongi , kiuno , , mikono inauma na ina ganzi yaani kwa ujumla ni mifupa yote inauma nimeumwa miaka 15, naitwa Mwajuma Yusuph
Nikweli watu tunapitia matatizo sana ktk dunia hii lkn so kwamazingaombwe haya kwanza ngoja niulize ww mungu siunamwamin anakulinda sasa hao walinzi wanaokuzunguka hapo wakaz.gan bx mungu hayupo hapo kwashogaako
Nabii tabirijuu yangu Mimi ibrahim mgonja
Naomba pesa ya dola ifike mikononi mwangu kwa moto wa Roho Mtakatifu amen
Dada Maria Omojo naomba ANITUMIE dola mara kwa mara Mimi ni MJANE anipende anitunze kwa Yesu ni faida nyingi sana amen
Mungu akulinde mtumishi uishi miaka mingi sanaaa
Mungu nisaidie
Baba naumwa nakiuno kunavitu nasikiya kama usua nahamini ww nimasata utaniponya naamini nakusikiliza vipindi vako hadi na piga saluti kwako baba
Hatari
Namba zako pastor
😂😂😂😂😂❤nakupenda
Nabii baba naomba uniombee naumwa kizazi
Mwili wote zaidi ya miaka kumi niliona huduma ya kwenye mtandao nimekubali baba .Kila nikitaka kutuma sadaka jina linalokuja sio lako sijui kama nakosea namba
Naomba madeni yangu yaishe na ninaowadai wanilipe
Nmecheka km mazur Yesu umeumba ukaleta mtumishi Tz Mungu amtunze
😅
Kasheshe
Nabii naomba musada wako okowa maisha yangu
Ivi haya mambo kweli jamani au? Au Sanaa?
Baba naomba unitabirie kuhusu ugonjwa wa mtoto angu anasumburi na magonjwa ya kisukari
Aslm mbona sim yangu haishikwi niko na mkosi kweli nisaidie
Napokea hizo dola mtumishi
Baba mi nakupenda sana ipo siku na mimi nitafunguliwa hiro naamini nipo kwenye ndowa uke wenza wa3 mimi wa2 ila nimepata vita sana wakati wa kuzaa hadi nimechanwa fuko la uzazi na mitihani mingi kama kuna mke mwenzangu yoyote ananiendea kinyume na afe kwa jina la yesu
😊
😅😢
Hapa hapa amaliz
Hy nn maigzoo
Nabii naomba nifunguliwe kiuchumi
Nibariki kiuchumi
nacheka kama mazuri
Mtumish naomba niombee naumwa upande wa mguu wakushoto
Nabii tabiri juu yangu napitia wakati mgumu sana.
Pastor nisaidie na no Yako nahitaji maombi
Fungua uchumi wangu nabii
Sisi sio wajinga mjinga wewe unaewapinga watumishi wa mungu tupo pamoja baba
Nabiii naomba na m uniombe jmn
Izo mike kwann msiwahachie watu wazishike?.
Ombea wachawi wote wafe
Namin siku moja nitakufikia ba ba namatatizoyngu.yatakuwa mwisho
Amin❤😅😂😂
Mweeee mweeee mweeeee
Yani kama nimimi nikifika nyumbani nampiga ngumi mpaka kieleweke mmmm mdogo wangu ka
Baba Kuna kaka angu kichaaa ana miaka kama 30 ya ukichaa waganga tumemaliza makanisa tumemaliza Bado kichaa kina endelea baba
Mtumishi tunaomba sauti, sauti yako iko chini
Nko mkoa songwe naomba mtoto wangu aache pombe 7:20
Amina ingie kwangu kwa Jina layesu
Mtumishi niombe ni mimba mwaka unaisha haikuwi hospital nikienda wanasema hakuna mimba nisaidie Mtumishi naitwa sabina damiano
Muwe munatuletea murejesho
Mtumishi nisaidie mimi masai naomba msada Mtumishi
Baba naitwa audax luhangisa ni ashida ya kifamilia pia uchumi umeyumba mnoo nataka kuuza nyumba yangu ipo hapo dar kimara bonyokwa naomba nipate mteja sahii
Kwaimani napokea kwajina layesu
Naitwa jane mavika niombee baba angu
Dunia hii lakini inamambo mengi Sana
Nisaedia nmimi
Mh!
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Nami niwe mmoja waowakupata izo dola
Anatia huruma na mtt mgongon
😂😂😂😂mtumishi ana kifua😂😂😂