NABII KIBOKO YA WACHAWI WA BUZA AIKATAA VITA ya MWAMPOSA "NINA HESHIMA KUBWA, KUNANJIA WAMEIPASUA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 มี.ค. 2024
  • #MzalendoTv #KaziIendelee #M4C
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 345

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 4 หลายเดือนก่อน +10

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI

  • @BarakaDonasiani-pj9bx
    @BarakaDonasiani-pj9bx 4 หลายเดือนก่อน +7

    Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245 3 หลายเดือนก่อน +8

    TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.

  • @bonithakankerauwera2323
    @bonithakankerauwera2323 3 หลายเดือนก่อน +2

    Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment

  • @BenardSaimon
    @BenardSaimon 14 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi wa mungu endelea kuifanya kazi ya mungu kwa moyo mungu azidi kukutia nguvu ,na mungu azidi kutufungua kupitia wewe

  • @rachelmosha5619
    @rachelmosha5619 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 4 หลายเดือนก่อน +50

    Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน

      Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake

    • @Neema-qm9kk
      @Neema-qm9kk 4 หลายเดือนก่อน +2

      Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli

    • @agneskawamala618
      @agneskawamala618 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mwizi tu

    • @janethelly4986
      @janethelly4986 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mimi nilienda nikatoa 80k na sikuonana nae ,nilipewa mungine kabisaaa akunitabiria chochote

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao

  • @JanethEmmanuel-mr5le
    @JanethEmmanuel-mr5le หลายเดือนก่อน +3

    Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu

    • @SeleAlfan
      @SeleAlfan 28 วันที่ผ่านมา

      Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe

  • @user-zs6kw8ks4m
    @user-zs6kw8ks4m 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi

  • @user-yj2wm7rh6u
    @user-yj2wm7rh6u 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 3 หลายเดือนก่อน +2

      Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  3 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 3 หลายเดือนก่อน

      Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana

  • @josephkileo-wk6ye
    @josephkileo-wk6ye หลายเดือนก่อน +1

    Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba

  • @Zumlatti
    @Zumlatti หลายเดือนก่อน +1

    Amina niombee namim nateseka

  • @Stella-118
    @Stella-118 4 หลายเดือนก่อน +8

    Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 4 หลายเดือนก่อน

      Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi

    • @vinuskalonga4656
      @vinuskalonga4656 3 หลายเดือนก่อน

      Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie.
      Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama.
      AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 .
      KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.

  • @Prolimina-im2fo
    @Prolimina-im2fo หลายเดือนก่อน

    Amina baba

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 หลายเดือนก่อน

    hongera sana

  • @wilfredjohn4829
    @wilfredjohn4829 17 วันที่ผ่านมา

    Kumbe kuwa na kanisa ni kupata hamasa ktk makanisa mengine sikujua ila Mungu tunasihi huruma zako na rehema zako ndani ya Kanisa na Taifa letu Amen...

  • @norahmajaliwa3841
    @norahmajaliwa3841 4 หลายเดือนก่อน +4

    Bwana Yesu akulinde Mtumishi

  • @richardmboyo8724
    @richardmboyo8724 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki nabii watu wengi wanapona kabisa

  • @SalomeKyamba-mk6zq
    @SalomeKyamba-mk6zq 24 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo

  • @sharonjosephine6252
    @sharonjosephine6252 หลายเดือนก่อน

    Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co หลายเดือนก่อน

    Hongera. Sana baba

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 หลายเดือนก่อน

    Amen Baba

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo

  • @Stella-118
    @Stella-118 4 หลายเดือนก่อน +10

    Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.

  • @salmamose4244
    @salmamose4244 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu asifiwe sir

  • @user-on5pu8wv4g
    @user-on5pu8wv4g หลายเดือนก่อน

    Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏

  • @MageLuvanda
    @MageLuvanda 15 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni tapeli kunajirani yangu aliambiwa atoe laki moja kukuona baada ya hapo akanza kutolewa maneno machafu na pesa mumechukuwa na kumwabia uliitwa ata ukishitaki mungu awezi kuwabariki kwa utaperi

  • @JosephMollel-wz7kn
    @JosephMollel-wz7kn หลายเดือนก่อน

    Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 4 หลายเดือนก่อน +1

    👏👏

  • @charlesfaru485
    @charlesfaru485 2 หลายเดือนก่อน

    hongela sana baba mchungaji

  • @lusajoully
    @lusajoully 2 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @LuluJackson-u6e
    @LuluJackson-u6e 14 วันที่ผ่านมา

    Yan tz tumepatkana jmn mmh ,mungu kama aishivyo ipo sku

  • @StellaRupia
    @StellaRupia 16 วันที่ผ่านมา

    Mashaka ni pale mtumishi wa mungu anapoleta bili kwa ajili ya maombi ndipo inakuwa biashara,

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 2 หลายเดือนก่อน

    Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi

  • @nataliedayana9824
    @nataliedayana9824 หลายเดือนก่อน +1

    Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale

  • @EvaSadala-vv8jn
    @EvaSadala-vv8jn หลายเดือนก่อน +1

    Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea

  • @JoyceMassawe-f5i
    @JoyceMassawe-f5i หลายเดือนก่อน

    Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo

  • @user-bj6bs9do2f
    @user-bj6bs9do2f 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano

  • @Eunice-kb8yz
    @Eunice-kb8yz หลายเดือนก่อน

    Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo

  • @NaomiSilayo
    @NaomiSilayo หลายเดือนก่อน

    Amina baba tusaidie

  • @VeiceNasson
    @VeiceNasson 24 วันที่ผ่านมา

    Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v

  • @felisianafelisiani7519
    @felisianafelisiani7519 2 หลายเดือนก่อน

    Ameeni

  • @Prolimina-im2fo
    @Prolimina-im2fo หลายเดือนก่อน

    Amina baba naomba uniombee

  • @FridaMtui-pp3lt
    @FridaMtui-pp3lt 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza หลายเดือนก่อน

    mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu

  • @Aminatwahily
    @Aminatwahily หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤

  • @richardmboyo8724
    @richardmboyo8724 20 วันที่ผ่านมา

    Naomba uniombee baba nipate kazi ya kudumu

  • @devotamwambola8303
    @devotamwambola8303 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani

  • @petermuturi4564
    @petermuturi4564 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 หลายเดือนก่อน

    Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu

  • @patrickmalewo5098
    @patrickmalewo5098 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .

  • @Yusta-vx6ns
    @Yusta-vx6ns 4 หลายเดือนก่อน

    ❤🎉

  • @DrAmiijmpembaThedon
    @DrAmiijmpembaThedon วันที่ผ่านมา

    Nakurespect baba

  • @AishaNasolo-j2u
    @AishaNasolo-j2u 19 วันที่ผ่านมา

    Bwanayesu asifiwe mtumishi Mimi naitwa Aisha nipo dodoma kibaigwa naomba msaada wamaombi ninamtoto wangu anaitwa hadija anasumbuliwa na ugonjwa wa kifafa nimwaka watatu naomba maada

  • @JosephNnko-nz6kk
    @JosephNnko-nz6kk 2 หลายเดือนก่อน

    Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha

  • @NaimaAlly-bh6yn
    @NaimaAlly-bh6yn 3 หลายเดือนก่อน

  • @deogratiusmsafiri
    @deogratiusmsafiri หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂

  • @Malkia01
    @Malkia01 2 หลายเดือนก่อน

    Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢

  • @EnnyMnzava
    @EnnyMnzava 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana yes asifiwe mtumish nahitaji nipate kazi ,nyumba .gari nakufunguliwa kiuchumi

  • @user-te4nq8vv6c
    @user-te4nq8vv6c 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏

  • @fanuelMndeme
    @fanuelMndeme หลายเดือนก่อน

    Ubariwe

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mtumishi

  • @DenisSimon-u2o
    @DenisSimon-u2o 27 วันที่ผ่านมา

    amee

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 หลายเดือนก่อน

    Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete

  • @AbdallahNzumila
    @AbdallahNzumila 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukutumia Kwa viwango vya juu endelea kufungua na kusaidia watu wenye matatizo mungu azidi kukubariki mtumishi Nina Imani na weww

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 19 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni tapeli ,waziri wa mambo ya ndani tunaomba chukua hatua

  • @SixtenTenga
    @SixtenTenga 29 วันที่ผ่านมา

    Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen

  • @NyiranezaWarda-bk1yn
    @NyiranezaWarda-bk1yn 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe ushindi roho wamungu akufunike akusimamishiye bendela yawushindi 🥰💯🙏🙏🙏

  • @user-nt1lf8rr9g
    @user-nt1lf8rr9g หลายเดือนก่อน

    Tz kwishaaaa

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 26 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa

    • @TinahSteve
      @TinahSteve 20 วันที่ผ่านมา

      N kweli

  • @FadhilFadhil-zr1xs
    @FadhilFadhil-zr1xs 2 หลายเดือนก่อน

    Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 26 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure

  • @JamilaAdamu-nr1wu
    @JamilaAdamu-nr1wu 3 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  3 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kufuatilia @mzalendomediatz

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza หลายเดือนก่อน

    naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi

  • @winniejohnson9458
    @winniejohnson9458 22 วันที่ผ่านมา

    baba na mimi naitaji msaada wa maombi nina roho ya kukataliwa

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @rehemakudra868
    @rehemakudra868 2 หลายเดือนก่อน

    Nimekukubali

  • @MassAlex-dv7rs
    @MassAlex-dv7rs 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huu sio wakati wa kuua wachawi ni wakati wa kuwafanya watu hawa kuwa wema,tambua ukiwa muuwaji nawewe pia ni mchawi.😂😮😅

    • @jasmineomary4325
      @jasmineomary4325 4 หลายเดือนก่อน +1

      Sio kweli we husomi bible inasema usimwache mchawi Aishi sio unaongea TU bila kujuwa

    • @miriamgeorge2929
      @miriamgeorge2929 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hasomi biblia angekuwa anasoma wala asingesema hivyo

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@jasmineomary4325mnadanganywa nanyi mnakubali kisasi ni cha Mungu tu na si mwanadam nyie ndo hamsomi biblia vizuri

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 2 หลายเดือนก่อน

      ​​@@miriamgeorge2929usitumie mstali mmoja kujidanganya soma uelewa Hilo Neno Lina maana gani baada ya kifo cha yesu msalabani na alieokoka aikilogeka na kuwaogopa wachawi bado haeliwi KAZI ya yesu msalabani

  • @DottoPwele
    @DottoPwele 3 หลายเดือนก่อน

    Baba mungu akubarik naakusimamie uendelee kuwa ponya watu asnte Mimi niMefunguliwa kwenye mambo mengi sanà

  • @mamaziada134
    @mamaziada134 3 หลายเดือนก่อน +1

    Domi baba yangu usiwasikilize watu fanya ulicho jaariwa na mungu nakuamini aslimia mia na ukuisomatu ujumbe huu nami nitapona kwa imani ubarikiwe niombee naitwa esta andrea

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  3 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

  • @user-kh5xu3vu1x
    @user-kh5xu3vu1x 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmm

  • @GraceSilo-vt6ke
    @GraceSilo-vt6ke หลายเดือนก่อน

    Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  หลายเดือนก่อน

      Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv

  • @HanniaKanti
    @HanniaKanti หลายเดือนก่อน

    Mbona msg hujibu

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s หลายเดือนก่อน

    Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18

  • @claudiokatucha6652
    @claudiokatucha6652 2 หลายเดือนก่อน

    Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co หลายเดือนก่อน

    Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii

  • @ManenoLwanji
    @ManenoLwanji 3 หลายเดือนก่อน

    Siijaelewa Huyu ameongea me ngi LA kin jibulake liko kitabu cha mate nd ya mtume 8,9 ,1o 🎉

  • @WinifridaNgalamika
    @WinifridaNgalamika 2 หลายเดือนก่อน

    Nataka kujua kuusu dada yangu grace

  • @JaphetIramba
    @JaphetIramba 2 หลายเดือนก่อน

    NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI

  • @JoyceMassawe-f5i
    @JoyceMassawe-f5i หลายเดือนก่อน

    Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba

  • @user-cp3uo9gz2x
    @user-cp3uo9gz2x หลายเดือนก่อน

    Kwakweli mm simfahamu ila nimeongea point sana saana

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz 4 หลายเดือนก่อน +7

    Kumbe ndo huyu nilifikiri ni mbaba kumbe ni muhuni muhuni tu

  • @michealkasanga2927
    @michealkasanga2927 21 วันที่ผ่านมา

    Kiboko kisiwepo la kukuvunja moyo unaeleweka

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 28 วันที่ผ่านมา

    Kwanini mmekimbia Kongo na kuja kuhubiri huku Tz??

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co หลายเดือนก่อน

    Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila

  • @happyminja-kb1ow
    @happyminja-kb1ow 4 หลายเดือนก่อน

    Muuhubirini MUNGU WA ukweli acheni kumsikiza .....

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z หลายเดือนก่อน

    Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.

  • @DerckMchomvu-kw4ro
    @DerckMchomvu-kw4ro 2 หลายเดือนก่อน

    Nisaidie nabii